MIMI HELA NATOA WAPI JAMANI, SINA HELA !! 🙌 - MALKIA KAREN | HIVI NI KWELIAC
Вставка
- Опубліковано 28 сер 2023
- MIMI HELA NATOA WAPI JAMANI, SINA HELA !! 🙌 - MALKIA KAREN | HIVI NI KWELIAC
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Розваги
Malkia careen mstaarabu sana nmempenda bureee
Kumbe umeliona hilo ni mastaarab mno
Mstarabu sana mashalla
Show kali sana wanangu,love from 254💪
Kasauti kake ka upole mashaAllaah😊
Nimekapenda haka kadada kana busara sana
Jomn wasanii wote wangekuwa wastaarabu kama karen ingekuwa unyama😂😂😂
🔥🔥🔥 motown sanya ❤lakini malkia caren ni mpole Jamani
Nimekupenta bure❤
😂😂😂😂😂😂😂😂mbona mitihani😂😂😂😂eti msaidieni huyu mtu,kaabiwa eti milioni 2😂😂😂
Bado Giggy money😂😂😂😂 mwenda pigwa kweli huko na viatu
😂😂😂 wallah laadhimu imengiaje kweny deni
Nimpole huyu dada anabusar
🤣🤣🤣🤣🤣Muonekanoo wa face anavyo act Sasaaaa😂
Naombeni likes jamooni wa kwanza leo mimi all the way from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Za kazi gani
Jaman jaman ya masha minyonyo ilinibamba hatar zote kal lkn ile ilikuwa kal kama ya zuwena alonyata hahahaha
Show hiko sawa
Careen mpole sana
Madam pakome yuko humble sana
Utafika mbali una hekima sana
Kwahiyo sisi watu w iringa washamba! Sijapenda
😂😂😂😂😂
Achana nae sisi hatupo hvo bwana ushamba wetu nn
Hatari
Sanya umeweka camera kila sehemu🤣
Inaonekana n kweli jamaa alipewa hela😆
Ila nyiyee 😂😂😂😂
Noma Sana mo town
Dada mpole sana ana haiba ya huruma❤❤❤
Huluma gan kashindwa kumsaidia nauli 😂😂😂
Mo town asimfia Karen we n mzur sana🤨
MUWE MNAOMBA RISIT
Zamu ya diamond sasa mkamwambia ile ndege yetu imepatikana😂😂
Wow , Karen yupo vizuri😂
Malkia Karen anamchapa picha kimya kimyaa jamaa kastuka😅😅😅
😂😂😂😂🙌🙌🙌
Such a humble girl, omg namfollow sasa hv
Sa hyo itamsaidia nn n who are yu
Ita msapot tu kweny mbanga zake
@@geofreybahema5118 am no body, but itamsaidia kwa one way or another.... your reply is so harsh mate, soma my comment vizuri. L.O.L
@@bigdawstz7258 i think amesoma *unfollow* hatuwezi blame huyu mtu
Usiombe ukutane nahii situation
Nembo ya mtaaa unatisha sn😅😅😅
🎉🎉🎉❤❤❤❤nakukubali mwamba 🎉🎉🎉😂😂
Caren mtu poa sana
Huyu mdada mpole
Hahahahahahaha yakobo bwana yuko serious 😂😂😂😂
Nampenda uyu kaka wajameni kama kaniroga vile
😂😂😂😂
Sema nn iringa sio washamba kiivo
Hii lazima uumwe na kichwa
Hahahaha lakin malkia careen mstarab san jmn
😅😅😅😅😅😅masha love na Gigy money hapo kingewaka😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
🤣🤣🤣🤣😆😆😆👍
Uyo bro pembeni kaniua eti show za vijijini wanaambizana😂😂
Tunataka zuchu au diamond😂😂😂
Zuchu tayariiii
Nampenda sana malikia Karen sijui kwa nini Kazaa mapema
Kwan dhambi kuzaa mapema
Sio mtoto uyo mwakan ana 30 ...sasa ulitaka azae Lin na umri una sogea
Naomba mumfanyie dada yangu Gigy Money jamani kama hii
Unataka mtu apigwe
😂😂😂😂😂😂
Mambo mrembo
Uyu binti anaupole ambao sio waku pretend...karen uko wife material
Sany ibiza tena mwatuonea iringa
Huyu dada mpole sana jmn😂
Nembo ya mtaa umetisha sana sasa ni wakati wa kuprank dimond the boss😂
Uhakikaaaa😂😂😂
Haya ma drama yenu yashakuwa yakawaida wala haya vutii tena kutazama,,tafuteni ubunifu mwingine
Wivu
Mo town asimfia Karen we n mzur sana🤨