"WE DADA UNANITAFUTIA MATATIZO/ HII DUNIA UNAWEZA KUAMKA MZIMA NA UKAFA" | HIVI NI KWELI
Вставка
- Опубліковано 8 вер 2024
- "WE DADA UNANITAFUTIA MATATIZO/ HII DUNIA UNAWEZA KUAMKA MZIMA NA UKAFA" | HIVI NI KWELI
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
DOTTO ARUDISHA PENZI LA MOTOWN SANYA
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Nilifika saa tatu na dakika 30. Nikawa nawasubiri tu hapa..
Na Leo Nimekuwa wakwanza tena.
LIKE KWANGU ❤️🤣✍️
Motown sanya zidi kubarikiwa sana u have made my day you have made the day of that guy ipo sikuu nitakam Tanzania 🇹🇿 pia nipatanae nawe mimi ni mkenya niko Dubai
Huyo Bro wa musoma Daah nimeumia Sana anaongea kwa hisia Sana, kazi nzuri sana mmeitendea haki Sanaa Mo town Sanya na huyo Dada 🔥🔥🔥
Dottto mnyamaa sanaa Mwana kinyongee sana lakin kasolvee Soo kibingwaa sanaaa💪🏾💪🏻💪🏾🙌🏼🙌🏼
Safi sana kipindi kizuri mnafanya vizuri pia kuwapoza watu kwa chochote kwa kutumia muda wao big up sana
Safi sana Dotto nimeamini kwenye hii dunia kuna watu wapole ambao maisha yamewapiga mpaka wanachohitaji ni amani ya moyo tu wala hawataki kujua kama nchi ina mpango gani wao wanaishi maisha yao tu na familia zao wanamtegemea MUNGU na wanafanya bidii kwenye kazi zao.Kama wakoafanikiwa maishani sawa kama wakiondoka siku zimefika sawa wao wanajiona wapita njia tu hapa duniani kwamba hii dunia ina wenyewe wao sio wahusika.Kwa kweli inasikitisha.
😢
Sanya umependeza mashallah
Mazingira yangu hayaruhusu bro. Ukinianiangalia Mazingira yangua naweza kuwa na mwanamke kama huyu. Kauli hii ina ujumbe mzito daah
Sana
na inatia uzuni sanaa
Jamaa Anzukwa na Tumbo" la Muharo🤣🤣🤣🤣🤣 Utansababishia matatizo mm mwenyewe sina maisha,Maisha yangu yakuunga🤣🤣🤣🤣🤣
Kiki kipindi unaweza kujuwa kinachekesha kumbe kinafundisha jinsi ya kuishi✊
Point mzee
Kwenye hiki kipindi unaona uhalisia wa hali za watanzania hasa walioko jijini dar yaani ni halisia na si maigizo tena na ndo utaelewa watu wanamaisha magumu sana uwezi jua kwa kuwaona wanapita au wamekaa tu ila hiki kipindi kinawafanya waziseme tu hali zao …DOTTO…
Duh! machozi yamenitoka juu ya huyo kaka wa Musoma anasema maisha yenyewe ya kuunga unga😥 duh anasubira sana
Nionee huruma 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣Kaka leo umeua saaf sana, unatakiwa uwape presha hvyo, umeona hadi katoa tiketi daaaaaaaah Mamae🙌🏽, Ila next time kama anaweza kukubali umpige hata kibao huyo dada(AS PART OF ACTING SCENE) af usiingie kwa utulivu kabisa uingie kwa shari ili yeye akutulize!! But KAZI NZURI KAKA🙌🏽😅😅😅
Kweli kabisa mzee 😃😃😃atoe action ivi.
Dotto kaupiga mwing SANA licha ya kuwa mgeni kweny huu mji,wakurya waogope wakiwa wanaongea wako calm. Hapo angetaka kubadilika damu ingetapakaa.
😤😤umeniliza sana kaka unajiona ukahisi haufai kwa dunia unafaa sana alafu mo town sanya msiwatafute watu wenye maisha magumu mnatuliza
ofcoz hata mimi huyo doto kanipa simanzi
Kwel kabisa yani
Ad mim
Pamoja na hivyo tunataka vijana kama hawa wenye akili hawana tamaa
Binafsi niko pamoja na homeboy Dotto maana huwezi kuja mjini siku chache then ukawavimbia wenye mji ikiwa hujapata ramani,ko yupo sahihi kabisa na ameenda vile script inataka 👍👍👏👏
🤣🤣🤣🤣dah muuza ice cream kiukweli kanichekesha saaana kiukweli duh
Watu musoma tukijaga kwenye mikoa yenu tunakuwaga wapole 😭😭😭
🤣🤣🤣🤣🙌
Huyu shabiki mwenzangu wa simba cjamuelewa kisa kavaa jezi ya simba ndo ashindwe kuyaamin mazingira yake...! Ahaaaah
🤣🤣🤣🤣🤣
maisha yangu ni ya kuunga tena ni ya kuunga munooo
😭😭
hii kauli inasikitisha sana
@@japhetbarton8268 kwa kweli
@@japhetbarton8268 kabisa ila Mungu ata bariki tuuu
Duah mwanangu sema kinyonge sana ila mambo ya tajipa kwa mwanetu doto
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Jaman kumbe mdogoake Said,,,,,,,,Muuza ice cream sasa🤣🤣🤣🤣
oaaah..weee Nembo yaMtaa metish xan mor creativity mzee💪✌
Wangapi awanamaishi jamani wametoka musoma
Ahaaah huyu mwamba katuangusha sana
Alivokuwa ananyoosha mkono mara ya kwanza apokee simu🤣😂😂
Aliona fursa imejileta kumbe matatizo
Alidhan kazi rahis 😂😂
kuniangalia mazingira yangu naeza kuwa na huyu mtu?😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣maskni ajui mapnzy upofuuu sjui mbona yuajishusha ati mazingira ayaruhusu
@@fatmaomar4838 Jamaa cjui anaferi wap😅😅
Oya mwenetu wa Simba katuangusha huku😂😂😂😂😂
Kazingua uyo🤣🤣🤣🙌
Wanaume wanaongea kiume sio watu wa shari ... wanavutana Pembeni kuongea mambo yaishe
Nimecheka mpaka basi bwana Dotto na muuza ukwaju daaa bonge la hivi ni kweli.
Wanaume wa msoma ngangari ,mbona saidi hakuwa muoga 😂😂😂😂
nimejisikia huruma jamaa anasema unavyoangalia mazingira yangu hivi naweza kuwa na mwanamke kama huyu naomba namba nimtumie laki masikini
Mpee kazi kama kweli wataka msaidia
🤣🤣🤣🤣
Ishu pa kumkuta uyo jamaa af umpe iyo laki ni kipengele
Kwani Ni maskini huyo 🤣🤣🤣🤣
Mo town haunipiti hata kwa dkk 💥💥💪
Hana maisha jmn ni yakuungaaaa🤣🤣🤣
Daah sema jamaa wa musoma roho safi sana
😂😂😂😂Napendaa hii kitu 😂😂
Lafiki yangu unaniletea matatizo rafiki yangu dah😂😂😂😂😂😂
Jamaa wa msimbazi alijifanya mkauzu kuongea ktk cm.baada ya kumuona bishoo mwenyew kapoa
Mkurya FALA KWELI .,,Aaaahahaaa mpaka tiketi katoa kwamba yeye WAKUJA.Yaani mimi hapo huyo Dem ningeanza kumbinyabinya kama embe wenyewe wangeona hapa sio
Wee mkorof
Khaaaa 🤣🤣🤣
huyo sio mshamba ni mkalimu
Maskini uyo Jamaa wa Musoma anatia hadi huruma, Maskini ya Mungu mpole sana 😢😢😢
😂
Wanaume tunavutana pembeni 💪💪 very impressive
Nakubali sana kazi zako ASANTENI
Dotto amerudisha penzi dotto nimecheka Sana
Maskn 😔 eti huyo sio type yangu mimi, kwa mazingira yangu mm unaona unaona kabisa hafu anajiangalia viatu 😔😔 roho imeniuma mi cwez kuangalia hv vitu
Sanya umeua Sana mwamba maubunifu full🔥🔥🔥
Jamaa kutikisa miguu aliingiza baridi kinoma😄😄😄😄😄
Et kwenye maisha yako kwani unapata furaha?
Sanyaaa fireee
😂 😂 😂 jamaaa anatia sana huruma
Mpaka anaonyesha na ticket waone kama nimgeni asimuletee matatizo😀😀😀😀
😂😂😂😂
Anae shoot anashoot akiwa mbali San sometimes sura azionekan vzr afu fujo za magara na pikipiki izo atuelew
Dotto ana moyo sana. Ni mpatanishi mzuri wa jamii
Mackin dah!! ety sina maisha mimi
Unanipenda hunipendi hapo Ndo #kipengere😁😁😁😁😁
Yule mwenye jezi ya simba amenitoa machoz maskin
Nachekaga mo town anavyokujaga na bodaboda🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Uyooo Sio typ yangu mm embu niangalie mazingira yangu
😁😁😁😁me ningekimbia
Mo Town Sanya Nembo Ya Mtaa kijana wa Ovyo🙌🙌😂😂😂
etii Dotto baada ya kuambiwa anaonekanaga kwenye tv Ndo akakumbuka salam etii aah mambo vipi kwemaaa 😅😅😅😅
😂😂
Daah.! Hapo mm utajikuta nilisha rusha ngumi hapa mchezo.
Alooo weee hahahaaaaa siyo poa makolo wanakuaga waoga sana nyieee anajielezea masikin
Dah! jamaa amenunua kesi kieahisi sana
😂😂😂😂eti naongea Kama mwanaume wenzako. Pili Mimi ndo natoka nae huyu mwanamke 😂😂😂 Tanzania hii haina watu
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Background sound inasumbua, hatuskii voice vizuri
Dahhh Nimetoa machozi jamaa alivyo kuwa anaisemaa mazingira yake kwa unyongee sana nimeumia sana
😂😂😂😂😂😂daaa et hivi ukiniangalia kwa mazingila yangu na weza kuwa nademu Kama huyuu 😂😂😂halafu kinyongee daaaa et mama yangu mzazi ...#monsanya#hivinikweli..
Sanya unaezaje kufinya uso kwe izi situation😆😆😆😆mm ningeshamcheka
🤣🤣🤣🤣🤣mi mwenyewe ningecheka hyo Crip ingebuma
Hugo bwana mdogo amekuja kutafuta maishaa mnamleteya ukonjwa wa moyo
Nakukubali bro 👊
Duh hik kipind hatar Sana jaman Kuna mda kama hujui unaweza panic sana eboo
Umetisha saana bro mavazi kazi nzuri saana
haaa niatari kweli
Mwamba anabusala kinoma moyo saf leo mmeuaaa
The way amewapatanisha mpaka machoz et vero kwan kwenye mahusiano yako we unakosa furaha???😢😢😢hebu mshike mkono
Frank sikujui bro nawatakiwa maisha mema😊😊😊
Mwanaume akikwambia anaunga bac anaunga kwelii🙆
Dah Doto mpaka nimemuonea huruma😂
@@ayoubkassimu5637 dah atalii anatia huluma bhn doto
unamjua kumbe haaaaha anasikitisha
@@ayoubkassimu5637 🤣🤣🤣🤣🤣
Eti namba hyo FUTA.. ooh nitamchamba kumbe kelele tuh😂😂😂
😂😂😂
Hahahaa maneno ni rahisi sana kuyatamka
Jamaa.anasema mazingira yake hawezi kuwa na pic kali 😆 🤣 😂
😂😂😂
😂😂😂😂😂 Hii Dunia Unaweza Ukaamka Salama Alafu ................
Mda sio mrefu ukaitwa marehemu
Nimecheka mpaka nimelia
Unajua dadaangu
Kwan mwenyewe yuko wapi jamaa kaanza kuogopa🤣🤣
doto ameniumiza sanaaa sana masikini jaman
Motown Sanya is king of legit content 🤴💪💪
Asee mo una tisha safi sana aseeeh
Nasema ivi nitamalizana nae vzl nitamchamba
😂😂😂mwanaume hapotezagi fulsa ya demu “bora nimkanyagie mwana ili nichukue dem”
Tukibanwa tunatia huruma hahaha 😂😂
Uyo demu kalia nini maneno mazito kaongea dotto
ofcoz mchizi kaongea kwa hisia sana (haya maisha unaweza kuamka mzimaaa ila ukarudi nyumbani marehemu tu kwa sababu ya binadamu tu)
Nmechela kifala sana leo
😂😂 kweli mwanangu umecheka kifala hebu rudia ulichoandika
Hii Inaonyesha wanaume wengi wabongo Ni Malaya awataki wapitwe na jambo
Hapana wa bongo tunapenda kutoa msaada
Kuna Kolo Huku Kadakwa Na Sanya😂
😂😂🤣🤣🤣
Naqubalii🙌
Kwa mazingira yangu unaona naweza kuwa na huyu mwanamke 😂😂
Vitu viwili tofauti
Et unaweza amka mzima mda sio mrefu ukaitwa marehemu
Hahahahaha nmecheka san
😀😀😀
Mshikaji kasema dada mi sina maisha..
Huyu kaka anatia huruma Sana. Ningejiweza ningempa hata kazi
Dah bonge Moja la content 😂😂💪💪
NAONGEA KAMA MWANAUME MWENZAKO😁😁😁😁😁🌝
Mm wenyewe sina Maisha
Dooooh
Ujue ❤
ila umetisha san
Yaani da imenibidi nicheki
Huyu jamaa fala sana 😂😂😂