Naomba ulinzi wa mungu mkwe wangu aweze kuinuka tena,akaungane na familia yake,e mwenyezi mungu ukatoehicho kitu kinachomuuma tumboni na aweze tena kula chakula kama zamani na aweze kupata nguvu.
Amina mtumishi mungu akuongezee kiwango cha huduma yako mungu nisaidee na mimi niinue katika majaribu yangu magonjwa na alinde mazingira ya nyumba yangu na ndoa yangu
Amen 🙏 Mungu na kuomba uniepushee na hili kundi la wachawi wanao kuja mbele ya na kwa kina la yesu hawa ta niweza na bomoa kila vikao vyao kwa damu ya yesu
Amen Amen Amen Mungu akubariki Pastor, mnapo mjengea Mungu nami Mtumishi pia uniombee mwishoni mwa huu mwaka nkapate kujenga Nyumba katka Jina LA Yesu Kristo 🙏. Naomba ukazidi kuniombea maombi ya kujenga ndoa, biashara, masomo ya watoto, Amani, Baraka,,niwe kichwa kwa kila jambo nisiwe mkia. Mungu anifanye niwe kisima katka Familia yetu, niheshimike na kukubalika popote nikanyagako na niendako. In Jesus might name 🙏🙏🙏
Ameeni mungu nibariki,naomba nipe wepes katika mafanikio,nimekuwa mtu wa kurudishwa nyuma, kwamaana kuibiwa ,kutapeliwa,kudhurumiwa naamin baba utakwenda kunisaidia mana wew hujawah kushindwa
Amen 🙏🙏🙏 Kwa maombi Haya...Mimi nilikua nimefika mahali nimechoka Na Maisha..but maombi yameninua sanaa juu ya watoto wangu.jamii yetu....kazi yangu Na madui xangu wwote mungu anitete xanaaa
Naomba ulinzi usiku na mchana siku zote naomba ulinzi wa mungu ndani ya familia yangu yote ndani ya wazazi wangu kwa jina la yesu kristo🔥🔥🙏🙏
Amen 🙏🙏 Sana maombi haya amenisaidia pamoja nakuwamini nimazuli Sana unamafuta kiukweli umepakwa namungu uzidi kubalikiwa❤️❤️🙏🙏
Amen
Amina baba lao
I received
Amen amen
AMINA BABA lao
Amen Amen Amen baba mtumishi 🙏🙏 mungu azidi kukuinuwa siku zote ubarikiwe sana baba yangu 🙏🙏🙌🙌
Ameen naomba ulinzi kwa mwezi huu na mwaka mzima na kwa watoto wangu,mume wangu na wajukuu zangu na ndugu zangu na wakwe zangu
Amen Amen napokea ulinzi wa Mungu ndani ya maisha yangu yote 🔥🔥
Amen Amen baba mtumishi napokea ulinzi na uponyaji kwa jina la yesu kristo🙌🙌🙏🙏
Mungu naomba ulinzi kwa familia yangu pia mimi ulinzi Amen Amen 🙏🙏🙏
Amen baba mtumishi 🙏
Mungu naomba ulinzi katika familia yangu yote na mimi pia Amen Amen ya ushindi 🔥🔥🙌🙌
Ameen Ameeen naomba baba unirinde na uniongoze safari zangu niweze kufika salama naomba ulinzi katika familia yangu
Amen napokea ulinzi na uponyaji kwa Jina la Yesu! Asante mtumishi wa Mungu.
Amena amena ubarikiwe
Asande sana Yesu mwokonzi waku nakupenda Yesu Asante Kwa ulinzi
Amen barikiwa mutumishi
Amen Napokea Kwa Mikono ya Imani
Amen napokea ulizi kwa jina la yesu
Am john from Kenya am blessed with the prayers may God exhausted you pastor in Jesus mighty name am blessed
Naomba ulinzi wa mungu juu ya maisha yangu kiafya,kiuchumi na kiroho
Asante mungu kwakumwamusha baba angu 🙏 sifa na utukufu zikurudie wew baba🙏🙏🙏🙏 hallelujah hallelujah hallelujah 🙌🙌🙌
Amen mtumishi nimeamini maisha yangu yamechukua mkondo mpya ndani ya kristo
Congratulations mutumushi bwana akulinde
Bwana Yesu naomba ulinzi wako Yesu Kwa maisha yangu
Ubarikiwe pastor na uzidishiwe milele
Ee mu nawekeka ulinz katika maisha na afya yangu amen
Mungu akubariki sana mtumishi wa mungu
Amen. Uniombeye. Pesa zangu zina fungwa na adui. Naomba wokovu wa jamaa yangu. Amani, la masikilizano.
Amen papa pasta mungu akubariki Kwa uduma wakazi zake
Amina mtumishi nayapokea maombi haya na ninamuomba Mungu akanitendee kama maombi haya yanavosema🙏🙏🙏
❤❤❤❤❤❤❤❤ ulinzi wako Yesu Kristo Kwa maisha yangu
Amen ubalikiwe sana mtumishi nimebalikiwa sana na maombi yako mungu akubariki
Amen mtumishi nimebalikiwa sana na maombi yako🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Amen Amen yesu navunja nguvu zote zangiza ndani ya familia yangu mujina la yesu
Amen Mungu aendelee kunitetea na familia yangu na ndg zangu'Ulinzi kwa kazi yangu na biashara zangu ziiimarike na kustawi.Amen
Amen napokea ulinzi wa mungu ndani ya maisha yangu god ❤
Nakutanguliza wewe bwana mungu wangu katika kila kitu changu chote kwa jina la yesu kristo 🙏🙏🙏 uniongoze baba mungu Amen 🙌🙌
Amen ubalikiwe sana mtumishi kwa maombi yako mazuri
Amen kwa Iman nimepokea uponyaj ktk jina la yesu🙏🙏🙏😢🙏
Napokea KWA jina la YESU. nawafunga wachawi wote wanaoshambulia Manisha yangu.
Amen nadai ulinzi kwa jina la yesu amen 🙏
Amen na pokea ulinzi kwa jina la Yesu 🙏🙏🙏
AMINA BABA
AMAN
Naomba ulinzi
Amen amen I received
Amina Nimebarikiwa nafamilia Yangu Imebarikiwa.
Napokea Kwa jina la YESU christo amen baba 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Tunashukuru sana kwakutusaidia kwa maombi haya tukiwa ndani ya safari n'a kadhalika
Haleluya amen baba mtumishi napokea ulinzi kwa jina la yesu kristo🔥🔥🙏🙏
Amina nimebarikiwa Kwa maombi mtumishi wa mungu
i believe in the name of Jesus Christ.🙏🙏🙏🙏🙏/Amen be blessed
Naomba ulinzi wa mungu mkwe wangu aweze kuinuka tena,akaungane na familia yake,e mwenyezi mungu ukatoehicho kitu kinachomuuma tumboni na aweze tena kula chakula kama zamani na aweze kupata nguvu.
Amina Mtumishi wa Mungu Asante kwa maombi ya ulinzi, Mungu akubariki natamani kujiungamanisha sadaka ya ujenzi niombee nikatimize agano hilo.
Ahsante Mungu kwa ulinzi wako usiku kucha umekuwa na sisi tunakushukuru Mungu tukinge na kila aina ya uchawi kwa JINA LA YESU KRISTO ALIYEHAI.
Amen napokea ulinzii kwa jina yesu amen
Hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah 🙏🙏🙏
Amina mtumishi mungu akuongezee kiwango cha huduma yako mungu nisaidee na mimi niinue katika majaribu yangu magonjwa na alinde mazingira ya nyumba yangu na ndoa yangu
Ulinzi wa Mungu ukanifunike mi na familia yangu
Amen Mungu ñaomba ulinzi kwa maisha yangu arindwe nanguvu zamungu🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Amen 🙏 Mungu na kuomba uniepushee na hili kundi la wachawi wanao kuja mbele ya na kwa kina la yesu hawa ta niweza na bomoa kila vikao vyao kwa damu ya yesu
Amina napokea ulinzi mkuu kwangu na wanangu
Mungu aonekane katika jina lake
Napokea ulinzi kwa jina la yesu 🙏🙏
Amina Amina Amina katika jina la yesu kristu
Ameen 🙏
Amen Jina la Bwana lipewe sifa tunapokeya ulinzi kutoka kwa Mungu
Aminaaaaa aminaaaaa aminaaaaa aminaaaaa ❤️ napokea uponyaji
Amen Amen in Jesus name 🙏🙏🙏🙏
Amen mtumishi wa Mungu nimebarikiwa kwa haya maombi, Mungu akubariki
Ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ❤❤❤❤ hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah ❤❤❤❤ barikiwa pamoja na family yako
Naomba Ulizi juu ya kazi yangu ju familia yangu ju yaAfya zetu Ulizi ju kilatunachokifanya
Ninaomba ulinzi wako Mungu juu ya afya yangu juu ya ulinzi roho za maonez
Ameeni Mungu Nahitaji ulinzi katika maisha yangu yote na watoto wangu
Napokea ulinzi Kwa jina LA yesu kristo 🙏🙏🙏
Asante sana Bwana Yesu!!!! Maombi Dawa!!!!!❤🎉
Naomba uliz ucku na mchana nakua naota ndoto mbaya nakula nyama ndotoni mambo yangu hayaend kabsa mungu nitetee kwakila jambo mbaya naota nafanya mapenz ndotoni mungu nisaidie
Naomba uliz kwa kila jambo katika maisha yangu
Amen Amen Amen Mungu akubariki Pastor, mnapo mjengea Mungu nami Mtumishi pia uniombee mwishoni mwa huu mwaka nkapate kujenga Nyumba katka Jina LA Yesu Kristo 🙏. Naomba ukazidi kuniombea maombi ya kujenga ndoa, biashara, masomo ya watoto, Amani, Baraka,,niwe kichwa kwa kila jambo nisiwe mkia. Mungu anifanye niwe kisima katka Familia yetu, niheshimike na kukubalika popote nikanyagako na niendako. In Jesus might name 🙏🙏🙏
Asante mungu naamin utatenda sawsaw na mapenzi yako, natangaza ushindi kupitia maombi haya Ameeen
Pokea neema hiyo
Ameeni mungu nibariki,naomba nipe wepes katika mafanikio,nimekuwa mtu wa kurudishwa nyuma, kwamaana kuibiwa ,kutapeliwa,kudhurumiwa naamin baba utakwenda kunisaidia mana wew hujawah kushindwa
Amen 🙏🙏🙏 Kwa maombi Haya...Mimi nilikua nimefika mahali nimechoka Na Maisha..but maombi yameninua sanaa juu ya watoto wangu.jamii yetu....kazi yangu Na madui xangu wwote mungu anitete xanaaa
Amin mungu atufinike na damu yake
Nimepokea ulinzi katika jina la yesu
Asante Mungu kwa ulinzi mimi na fsmilia yangu.
Ameen nakushukuru mungu, kwa ulinzi natangaza ushindi katika safari yangu ya maisha.
Asante. Bwana .kwa.ulinzi. wa uck
Mungu akubariki pasteur kwa kuombeya kilamtu
Amen kwa jina la yesu christu wa Nazareth
Baada ya maombi nimepona mguu gafla nashukuru Mungu
Amen papa pasteur mungu akubariki Kwa uduma wakazi zake
Asante mungu wangu kwakumponya baba angu kaburi Asante yesu🙏🙏🙏🙏🔥🔥
Amina sana Mtumishi wa Mungu , Ulinzi wa Mungu naimani Unaonekana katika Maisha yangu . Ubarikiwe Mtushi Mungu .
Mungu aweke ulizi juu ya maisha yetu
Bwana naomba ulinzi wako Yesu
Asante mng🥰💪💪u kunipa mtumishi wamngu mngu akulinde san ♥
WEKA ULINZI KATIKA KAZI YANGU EWE MUNGU BABA KWA JINA LA BABA NA MWANA NA ROHO MTAKATIFU - AMINA
Amen Amen Ameeni mungu akubariki mtumishi wa mungu
Mungu naomba ulizi Kwa wtoto wangu
Amen powerful prayer be blessed
Ameen mtumishi kwa maombi ya nguvu za Mungu naomba uniombee mtoto wangu aache pombe mtumishi
Mungu naomba ulizi katka familia yangu namimi pia😎🙏🙏🙏
Naomba uliz kwakila jambo katika Maisha yangu
Balikiwa mtumishi wa mungu asant kwa maombi
Amen Amen
Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina baba i received
Maombi ayanimeamini Mungu akaniteendee
Asante mchungaji Kwa maombi maombi yako yamenipatia Amani ya roho
Amen Amen Amen Amen and amen 💖💖💖💖💖💖
Mm ni Ann ingabi Amen asante san mungu aku linde 🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Naomba ulinzi kwa jina la yesu
Napokea ulizi wa familia yangu watoto wangu,wazazi wangu,kazn kwangu,nyumbn kwangu,
Amen and amen 🙏🙏 mgu nipe DOA 🙏🙏 this year
Amen,amen ubarikiwe mtumishi wa mungu
amina mtumishi wa mungu maombi yana ushuhuda haya