MAOMBI YA KUVUNJA NGUVU ZA GIZA, UCHAWI NA UGANGA HAPO HAPO ULIPO , BY MWOMBEZI KIBOKO YA WACHAWI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 19 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 176

  • @HalimaDiana-rr5wi
    @HalimaDiana-rr5wi Рік тому +10

    Kila uchwawi huyu Ndayikegurukiye Albert anatuma kutoka Burundi nina teketeza katika jina la yesu kristo popote alipofungia pich yangu namajina yangu ninatuma moto wa mbinguni ukachome kila kitu kilichofungwa na jina langu katika damu ya yesu kristo naomba nakuamini amen

    • @stainamwannda3700
      @stainamwannda3700 9 місяців тому

      Naharibu kila uchawi wafarakane waokwa wao

    • @philimonlucas3080
      @philimonlucas3080 6 місяців тому +1

      That😢😮😮😮

    • @kobylwaho3191
      @kobylwaho3191 5 місяців тому

      naunguza uchawi uliofanyika katk biashar ya familia yangu ,uchawi niliofanyiw mwilini mwangu nateketeza kwa damu ya yesu ,waliomwaga damu kweny malango ya biashar yangu natuma moto wa Mungu ukawateketeze kwa jina la yesu ameen

  • @Moureenegeiza
    @Moureenegeiza Місяць тому +1

    Amen Amen 🙏 kila uchawi Ichomeke kwajina la yesu kristo

  • @Christianchazinho
    @Christianchazinho 22 дні тому

    Naukataa nakemea roho zote za kichawi naunguza katika jina la yesu kristo Amen 🙏

  • @buzanation1040
    @buzanation1040 4 місяці тому +1

    Nyie wachaw wote mlionitesa n kukamata nyota yangu n watoto wangu, niliowaamini km marafiki wa karibu kumbe ni wachawi nawasambaratisha kuzimu n familia zenu…,natuma moto 🔥 navunja kila mipango yenu ktk jina la Yesu 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻

  • @BarekeTumaini
    @BarekeTumaini 2 місяці тому

    Amen nimefunguliwa katika maisha yangu pamoja nafamilia yangu nabyangu byote

  • @AmosiPetro-bn9dx
    @AmosiPetro-bn9dx 2 місяці тому

    Napokea mungu wangu naomba unilinde usiku huu tazama wachawi wamekatalia maisha yangu mungu wangu naomba ufungue milango yangu yote

  • @اال-خ2ت
    @اال-خ2ت 7 місяців тому +1

    Maombi nidawa Asa nte mtu mishi w a mungu Amen 🙏🙏🙏🙌

  • @LindaNdikumana
    @LindaNdikumana 6 місяців тому

    Navunja kila uchawi niliofanyiwa tokea siku niliyo zaliwa hadi sasa nateketeza kila uchawi kwa jina la yesu kristo Amen Amen 🔥🔥🔥🙏🙏🙏

  • @bahatichenje6224
    @bahatichenje6224 2 місяці тому

    Connect my kids to this prayer in Jesus name Amen

  • @mariammasanja9211
    @mariammasanja9211 9 місяців тому +1

    Naomba uniobee mwanagu apate uzima ameteseka ndani ya miezi nane

  • @SharleenOteri
    @SharleenOteri 6 місяців тому

    Sahii ni saa tisa nashukuru mungu maana mungu amenifungua leo amen

  • @CatherineNdambuki-z1e
    @CatherineNdambuki-z1e 4 місяці тому

    Kwa jina la yesu nitakua huru juu nyumbani hata kazini wamenizingira na watasidwa kwa jina la yesu naitwa Catherine kutoka Kenya amen

  • @LindaNdikumana
    @LindaNdikumana 6 місяців тому

    Asante mungu wangu kwa kuniweka huru mimi na familia yangu yote 🙏🙏🔥🔥🙌🙌

  • @FelixAlbert-hs7ls
    @FelixAlbert-hs7ls 7 місяців тому

    Shallom Kila uchawi niliofanyiwa nikiea mdogo na hadi Sasa nateketeza kwa moto katika jina la YESU KRISTO Amina.

  • @FelixAlbert-hs7ls
    @FelixAlbert-hs7ls 7 місяців тому +1

    Shallom. Katika Jina la YESU kristo ninakataa Kila uchawi aliofanyiwa wazazi wangu. Amina.

  • @emilyamani2016
    @emilyamani2016 9 місяців тому

    Pastor ombea mme wangu zifunguliwa kwa jina la yesu

  • @consolataanyambilile-mr5ph
    @consolataanyambilile-mr5ph Рік тому

    Pastor naomba niondolee Hali ya uchawi initike katka mwili wangu na uzao wangu Ameeni

  • @loreamusanga7145
    @loreamusanga7145 5 місяців тому

    Katika jina la yesu Christ.❤❤❤❤

  • @LydiaNasimiyu-h1n
    @LydiaNasimiyu-h1n 4 місяці тому

    Alelluyah alelluyah blessed ❤❤❤ aminaaaaa aminaaaaa

  • @edithachibululu2419
    @edithachibululu2419 Рік тому +2

    Uchawi wao Sasa umeharibika, KWA jina la Yesu, amina.

  • @adisabetty2173
    @adisabetty2173 Рік тому

    Amiiiina
    Baba
    Mungu akubaliki
    Amiiina
    Baba
    Balikiwa
    Pasta niombeye kwa hiyo picha 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼😭😭😭😭😭

  • @JoyceJacksontz
    @JoyceJacksontz Рік тому

    Ameen asant baba umenifunguuwa

  • @arlnembone6844
    @arlnembone6844 Рік тому +1

    Amen amen amen amen amen amen amen in Jesus name

  • @mayxh1918
    @mayxh1918 Рік тому +1

    Amen Amen Amen Amen Amen Asante sana mchungaji🙏🙏🙏

  • @PericeMghoi
    @PericeMghoi 3 місяці тому

    Ameni Ameni Ameni Pastor

  • @CandyKenya-y1b
    @CandyKenya-y1b 6 місяців тому

    Naharibu kila nguvu za wachawi zinazofutilia misha na haribu kwajina la yesu christo 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @JeanBaraka-pu5xo
    @JeanBaraka-pu5xo 4 місяці тому

    niombeye mwili wangu

  • @aidaa8253
    @aidaa8253 10 місяців тому

    AMEN UBARIKIWE MTUMISHI WA MUNGU

  • @CandyKenya-y1b
    @CandyKenya-y1b Рік тому

    Narudisha nyota angu iliobiwa na wachawi nairudiaha kwadamu ya yseu🙏🙏🔥🔥🔥

  • @monicamhema7373
    @monicamhema7373 Рік тому

    Mungu nifungulie

  • @adisabetty2173
    @adisabetty2173 Рік тому

    Chomeka uchawi yavelonika wakisumu Kenya
    Chomeka Sasa
    Namutu
    Alinileta kwako arileta mafuzi
    Yangu yacini
    Napati yangu amiiina
    Baba
    Wawombeye walinivunja mugu sijanyoloka vizuli
    Amiina

  • @JosphineMwasame
    @JosphineMwasame 23 дні тому

    Adui wachome moto wamungu amen 🙏

  • @CandyKenya-y1b
    @CandyKenya-y1b Рік тому

    Kila uchawi Enock anatuma kutoka Tanzania kuja kunishabulia mimi ninauharibu na kuufunga kwajina la yesu christo 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @gygy41
    @gygy41 Рік тому

    Mungu nipee ushuhida

  • @victoryndugutse296
    @victoryndugutse296 Місяць тому

    Kirauchawa chomeka kwajina rayesu❤

  • @elishamafulu106
    @elishamafulu106 Рік тому

    Naomba maobezi ya kuchoma uchawi na uganga Kwa jina la YESU christo amen baba 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @LizzyOfficial-g5g
    @LizzyOfficial-g5g 6 місяців тому

    Ameen mtumishi

  • @FwasanNyirenda-gy7nj
    @FwasanNyirenda-gy7nj 8 місяців тому

    Amen ameeeeeeeeen siombagi mwezi 2 namini nemefungu liwa

  • @ChristopherJulius-yz8vr
    @ChristopherJulius-yz8vr 6 місяців тому

    Amina mtumishi

  • @CandyKenya-y1b
    @CandyKenya-y1b Рік тому

    Katika jina la yesu 🔥🔥🔥🔥

  • @LilianMideva-cl9tj
    @LilianMideva-cl9tj Рік тому

    Mungu tufunguwe

  • @parpetuamuola4280
    @parpetuamuola4280 Рік тому

    👍👍👍🙏🙏🙏🙏 pastor niombee Io mapepo na mauchawi yatoke katika maisha yangu

  • @DorothyKerubo-lz4cd
    @DorothyKerubo-lz4cd Рік тому

    Mungu wangu nifungue🙏😢

  • @victoryndugutse296
    @victoryndugutse296 Місяць тому

    Amina amina kirauchawi chomeka

  • @mariammasanja9211
    @mariammasanja9211 9 місяців тому

    Kila uchawi na ungaga nakataa kwa jina la yesu

  • @adisabetty2173
    @adisabetty2173 Рік тому

    Amiiina unguza
    Yesi

  • @MammyMbuya
    @MammyMbuya Рік тому

    Amen amen amen kwa jina la Yesu

  • @adisabetty2173
    @adisabetty2173 Рік тому

    Amiiina pasta
    Papa wangu

  • @chancematabishi9216
    @chancematabishi9216 Рік тому

    Amen mutumishi waMung

  • @DeborahNyagawa-jy5gb
    @DeborahNyagawa-jy5gb 5 місяців тому

    ❤nmefunguliwa

  • @francisonyango1796
    @francisonyango1796 Рік тому

    Ahsante Mchungaji
    Amen

  • @bechoubechou
    @bechoubechou Рік тому

    Niludishiye mahusiano yangu mungu wangu

  • @marynguru6754
    @marynguru6754 Рік тому

    Amina Amina Amina kwa jina la YESU

  • @jane.moragwa2030
    @jane.moragwa2030 Рік тому

    Amen amen.amen

  • @julianasuleman219
    @julianasuleman219 7 місяців тому +1

    Ninakataa kila uchawi tuliofanyiwa mimi na familia yangu ya mzee Thomas Suleman.na vizazi vyetu.

  • @JoyAhmad-xs8bv
    @JoyAhmad-xs8bv 7 місяців тому

    Am en from joy nkirote in saudi

  • @JC-lk3me
    @JC-lk3me Рік тому

    Asante sana mchungaji maombi yana nguvu sana

  • @IrakozeHappy-c8m
    @IrakozeHappy-c8m 10 місяців тому

    Amen waneshindwa😂

  • @sergesnshimirimana6049
    @sergesnshimirimana6049 Рік тому

    Amène Mngu Akaliki Myumishi🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @AlbertEinstein-n5o
    @AlbertEinstein-n5o Рік тому

    Uchaw wa specioza na neema ufe kwa damu ya Yesu

  • @SalmaSa-f3x
    @SalmaSa-f3x 28 днів тому

    Kwa jina la yesu nasambaratisha kila uliofanyik kwetu

  • @judygathoni5861
    @judygathoni5861 2 роки тому +2

    God protect me and my family

  • @اال-خ2ت
    @اال-خ2ت 7 місяців тому

    Amen🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻

  • @mariamoyen
    @mariamoyen 8 місяців тому

    Amen Amen Amen

  • @elizabethmwangeka1879
    @elizabethmwangeka1879 Рік тому

    Amen amen amen amen.. God bless you mtumishi.

    • @cresensiankwera1776
      @cresensiankwera1776 Рік тому

      Amen mchungaji

    • @MorinZadok
      @MorinZadok Рік тому

      Ninakataa kila nguvu za giza na uganga kwa maisha yangu na watoto wangu katika jina la yesu christo ninaamrisha itoke kwa jina la yesu ninaiteketeza katika jina la yesu christo kila nguvu za kichawi za huyu mwanamke ambaye ameingilia hii ndoa ninateketeza katika jina la yesu natuma moto katika maisha yao katika jina la yesu

    • @MorinZadok
      @MorinZadok Рік тому

      Ninachoma kwa damu ya yesu

  • @jackysally7349
    @jackysally7349 Рік тому

    May God bless you man of God 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @jane.moragwa2030
    @jane.moragwa2030 Рік тому

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉teketeswa.kwa.jina.la.yesu

  • @rosemarymghoi3581
    @rosemarymghoi3581 Рік тому

    Ombea kijana wangu aoe

  • @linetkhaemba1029
    @linetkhaemba1029 Рік тому

    Amen pastor be blessed too 🙏🙏🙏

  • @Alisa-wv6rh
    @Alisa-wv6rh 3 місяці тому

    Kila Nguvu Za kichawi zilizotumwa kwangu kutoka Congo hapa Canada nakemea ,nateketeza kwa moto mkali katika Jina La Yesu christo Namomba Nikiamini 🙏🙌👏

  • @lovenessrichard
    @lovenessrichard 9 місяців тому

    Amina pasta

  • @CarolineMworia-lo6xr
    @CarolineMworia-lo6xr 5 місяців тому

    Amen 🙏

  • @JacklineTotito-rh3im
    @JacklineTotito-rh3im 24 дні тому

    Amen

  • @SofiaWasofia
    @SofiaWasofia Рік тому

    Amen🙏🙏🙏🙏

  • @londonsafari6623
    @londonsafari6623 2 роки тому +2

    God protect you forever pastor

  • @CandyKenya-y1b
    @CandyKenya-y1b 4 місяці тому

    🙏🙏🙏🔥🔥🔥🔥🙌

  • @jameswaititu50
    @jameswaititu50 Рік тому

    ❤❤❤Amen Amen

  • @CandyKenya-y1b
    @CandyKenya-y1b 6 місяців тому

    Kila wachawi wanaofutilia maisha yangu na wakufe kwajina la yesu

  • @aidaa8253
    @aidaa8253 10 місяців тому

    Kila uchawi unao sumbua wazazi wangu naupiga kwa moto wa Mungu ulao

  • @CandyKenya-y1b
    @CandyKenya-y1b 4 місяці тому

    Ameen 🙏

  • @JeanBaraka-pu5xo
    @JeanBaraka-pu5xo 4 місяці тому

    amen

  • @user-Ndashuka001
    @user-Ndashuka001 10 місяців тому

    AMEN

  • @Justo_The_Content_Creator
    @Justo_The_Content_Creator Рік тому

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @nshimirimanajeanne2261
    @nshimirimanajeanne2261 5 місяців тому

    😢😢😢😢amen amen amen amen amen amen

  • @munalook4477
    @munalook4477 6 місяців тому

    Navunja madhau ya uganga,kwa dorocus, madhanau ya uchawi ,toka kwa dorocus nimeucjoma na moto wa Yesu

  • @الاسدالذهبي-ح5ذ

    Amen 🙏 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @CandyKenya-y1b
    @CandyKenya-y1b 5 місяців тому

    🔥

  • @lifeinmiddleeast8179
    @lifeinmiddleeast8179 Рік тому

    Haya maombi ni zaidi ya moto aaaamen

  • @fridahmbusa-g5x
    @fridahmbusa-g5x 7 місяців тому

    Amina

  • @JosephineKengaa
    @JosephineKengaa 7 місяців тому

    Ameen

  • @CandyKenya-y1b
    @CandyKenya-y1b 4 місяці тому

    🙏🙏🙏🙏🙏🙏🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @mariammasanja9211
    @mariammasanja9211 9 місяців тому

    Ameeeeen

  • @baby_face_
    @baby_face_ Рік тому +1

    Amen naomba na nyie naishi Finland 🇫🇮 Asante sana muchungaji

  • @marymzaza4307
    @marymzaza4307 15 днів тому

  • @rehemaelia7803
    @rehemaelia7803 Рік тому

    Amina 🙏 🙏

  • @evampuya-mp9vf
    @evampuya-mp9vf Рік тому

    Ameen ameen

  • @suzysoraelw2062
    @suzysoraelw2062 Рік тому +1

    Kanisa lako liko wapi pastor

  • @laptizokerubo254
    @laptizokerubo254 2 роки тому

    Amina 🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @MercyWetoa
    @MercyWetoa 10 місяців тому

    Ameni

  • @austinejohn9348
    @austinejohn9348 4 місяці тому

    Kila uchawi anaotuma Evans kwa Regina Clara, nauvunja katika jina la yesu kristo