SAIKOLOJIA YA MWANAMME
Вставка
- Опубліковано 12 вер 2024
- Kuna ufa mkubwa wa ufahamu baina ya wanandoa, darsa hili linatoa mwangaza kwa wanawake waliomo ndani ya ndoa juu sifa na saikolojia za waume zao, hii itasaidia kupunguza misuguano iliyomo ndani ya ndoa zetu
Allah akulipe MashaaAllah nipo kwa ndoa ya pili mwanzo nilihisi ndoa ya kwanza Mume ni m'baya na hakufaa kuwa Mume kumbe Kuna vipengele sikuplay vizuri ,,ila kwa kuwa Nia ni njema na Nina dini nikachukua muda kupata ndoa nikaona tabu za upweke na neema ya ndoa ,,Allah akaitikia Dua zangu nikapata Mume nimpendae na anipendae zaidi haya nikajikuta nayapractice kwa ukubwa Hadi Mwanaume anasema hajawahi kupata mke kama Mimi NAMI kwake naona mazuri tu ,, Alhamdulillah Shaykh Allah akuweke kwa mada zenye kututakia kheri ,,Wanaume pia wahitaji darsa ,,SIJAWAHI kuona clip Yako niipite pia hutoa elimu kupitia clip zako na kuendeleza swadaqatu njaariyah ..
Jazaakillahu Khairna, Allaah akufanyie wepesi ktk maisha yako. Aamin.
Ukty naweza kupata Sono kupitia ujuzi wako insha'Allah na Mimi nitakapo ingia Kwenye ndoa ili mambo yawe mazuri bidhinallah
Masha'Allah, sheikh kaeleza uzuri na kwa lugha safi sana, Asante sana
ALHAMDULILLAH mwengine ukitoka unaingia kwenye moto zaidi ya uliko toka mshkuru sana Allah 💜
Mashallah Sheikh ALLAH akulipe kila lenye kheri n ww pamoja n Ummat mzima Ameen
ni kweli shekhe heshima ilikuepo kwa bi khadija na hakuwahi kumsimanga mtume,ila tatizo enzi hizo mitume ilikua haichepuki,zama za sasa mume unamhudumia na wanawake wengine anatafuta nje .na dharau anakuletea na huku unamhudumia unafkiri respect itatokea wapi.?lazima itafika siku utamsimanga tu moyo unachoka sheikh
Summary kuhusu Saikolojia ya Mwanamume:
Vitu vya msingi (basic) alivyonavyo mwanaume;
Anatumia logic (kufikiri kwa mpangilio) zaidi kuliko hisia (hisia zake ziko mbali).
Hufanya jambo moja mpaka liishe tofauti na mwanamke (anaweza fanya mambo matatu, manne au zaidi kwa wakati mmoja).
Matarajio matano (5) ya Mwanaume kwa Mwanamke (mkewe):
1. Heshima (ndio jambo la kwanza na wanawake wengi hawajui).
2. Kuthaminiwa (sifa nzuri) na kushukuriwa kwa kutekeleza majukumu yake (wanawake wengi wanajua ni majukumu yao ndio sababu hawawashukuru waume zao kitu ambacho sio sawa).
3. Kupendwa (mapenzi) na kudekezwa (kama mtoto mdogo).
4. Mwanamke mwenye mvuto (mwema).
5. Mwenye kujiamini na mbunifu (mapishi, mavazi, fikra n.k).
Jazakhallah kheir sheikh Allah akupe afya tele namaisha marefu for sure nimejifunza wallah shukran 🤌🏻🫡🤲🏻
Tulikosea kweli shekh. Shukran Sana Kwa kutupa maarifa ya kuishi nao wasitutoe roho. Ndio lililobwkia mana washatuzeesha mvi Tele kichwa wakubwa wangu hawana
Mash Allah tabarak Allah kheri, Jazzak Allah kheri. Darsa zuri sana shekhe swàdaqta.
Wanawake tukona kitu inaitwa instics na intuition. Kwanza zangu ni kali sana Alhamdulillah halafu sinyamazi naongea. Ila nimejifunza kupitia ili somo.kumbe nilipojifungua alisema mtoto kachukua mapenzi yangu yote ambayo nilitakiwa kupata. Alikua yuamaanisha, doooh mpaka huruma 😅😊❤
Kwa kweli wanawake lazima watakua wameumbiwa saruji sio udongo
Kwanini unaona km wameumbiwa saruji na sio udongo
Shekhe umegusa maisha yng😢😢 mwenyezimungu akubariki sana
Sina zaidi japo shukrani na duaa ALLAH ayifanye ilmu hii kuwa yenye manufaa makubwa, salaamu zetu kutoka Kigali Rwanda
,kwa kweli tuwaombee saana masheikh wetu ,Allah awajaalie afya njema,,ili tuzidi kupata faida,,
Karibu Tanzania mpenzi
Mashaallah tabarakaah
Shukran Shukran sheikh wetu mawaiza mazuri sana
❤:::shukran::::❤
Mungu akupe pepo inshaallah
Mweshimiwa mpaka apo Allah akulipe nusu ya furah zeto
❤❤❤❤❤ nimelipenda somo na nimejidunza
Shukran saaana sheik Maneno yamwisho umezungumza yamenigusa saaana yaaani mmewangu ndivyo alivyo nimepata ushauri kutoka kwako nitaufanyia kazi asante sana niliteseka sana mpaka nahisi kuuguwa ugonjwa wa moyo😢
Mungu akubariki shekhe kwa mafundisho mazuri.
Ulichoongea uko mwisho ni mtihani mkubwa mzito Alhamdulillah rabbilaalamiin 😢
Wallah nimejifunza kitu
kweli hapo mwisho
ndio kwenye mtihan
wanaume wa namna hiyo
wapo majumbani humu
sheikh Shams
mtihan kweli
Allah azidishe subra tu
Aalaykum mashallah mawaidha mazuri sana
Walahi hoyo nayapitiya hadi amenifanya nimekuwa na roho mbaya 😢😢 hajali wala hathamini chochote yani hujuta hadi kuolewa.
Nashangaa kwanini watu tunaingia kwenye ndoa bila kusoma. Ndoa inahitaji masomo kabisa. Allah akulipe kila la kheri kwa mafunzo mazuri haya.
Uvumilivu wenyewe sikidogo subira kwelkwelii Alhamdulillah rabbilaalamiin
Maasha Allah baarakallah
Allah akuhifadh
JazaakAllahu khair sheikh
Shehe,uko,sawa,ujakosea,akitoka,tofauti,akirudi,tuu,unamjua,huyu,leo,ayuko,sawa,mashallah, Allah,akuhifazi
Allah akubarik
Ishaalah shekhe mungu atujaalie wepesi ktk hili
Uko mwisho umeongea mashalah.
Masha Allah watabaraka Allah. Swadkata Shekhe
Asalaam aleykum shekh mungu akulipe kila la kheil na wewe nimejifunza mengi kupitia fundisho lako shukraan
😢😢😢 asant she apo umenigusa huyo anaitwa mwanaume mwenje gubu
Hahaha umegusa nyoyo zawengi ila Twashkuru sana kwa advice thank you.
Wallahi haya unayo yasema Kweli lkn kuna watu ukiwaombea dua kwa kizuri walicho kufanyia wanakwambia basi tena hayaaa hayaaaa
Mashallah shekhe jazakallahu kheir
ni mtihani wallah wangu aniumiza kichwa jambo la miaka 12 lililopita anakumbushia kila siku hana kusamehe nakosa raha kwenye ndoa yy anamakosa mengi hadi ni aibu kusimulia ila haoni
kumbe wapo wengi
mtihan ukhty wangu
Allah azidishe subra
eeeh yeye anakuwa hakosei ...kama malaika
SubhanAllah
Allah awaongoze waume zetu waione haki na waifate hakika
mateso ni mengi majumbani huku
wengine wanakesha
kwenye mitandao
ya tv n.k mpaka usiku mkubwa usiulizr ukiuliza
kosa yeye sio mtumwa
humpangiii mradi hajatoka
nje ya nyumba anaona yuko sahihi ..mke kila
siku unajikuta pekee
yako chumbani kwenu
kitandani mume anafatilia
vipindi bandika bandua
mtihani wallah
Shukran❤❤❤❤ allah akubarik 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Mwenyezi mungu akulipe shekhe
Maashaallaaaaah
ما شا ء الله و بارك الله فيك
Barikiwa sana.
Dhahiri sheikh
Allah akulipe shekhe
Jazakhallah Kheir Sheikh 🙏🙏🙏
masha allah
Jazakallah kheir sheikh
Jazakaa Allahu kheri
Sheikh Allaah akuhifadhi nimejikagua na kujitafakari ila nahitaji kujua huwa nakosea wapi?
Walahi hayoyote nayapitiya kwangu mumewangu kazi ninayo jamani akuudhi yye akasirike yye kwakweli ni majanga
Pole mamy ndio maish watu wote hwako saw
Asanteee
Sheikh naomba namba yako ya simu kwa ajili ya ushauri zaidi.
Shukran ❤❤❤❤❤
Asalam alykum shekhe naomba mawasiliano yake ninamaswali ya kidini
Swadikta tunaomba namba yako
😂::kiss😂:::kiss😂:::❤😂
nina miaka 22 mpaka sasa kwenye ndoa ila nimateso nikiongea anasema niondoke nikimwambia basi aniache hanipi talaka anasema sio jambo kubwa hio talaka niondoke tu naomba msaada shekh angalau wa mawazo
pole sana
hiyo ni ndoa ya mateso
Kwanza kitambulike chanzo cha tatizo khabibty @@Ukhtyzuhura
Ntapataje mawasiliano huwa najiuliza mie nakosea wapi kila sheikh nikimuuliza asema hujakosea ila watu si sahihi
Sheikh umepagonga kabisaaaaaaaa na hilo ndio muhimili wa nidhamu ya jamii kwaiyo kuokosa kufahamu saikolojia ya mume,ya mke na watoto hakuna kunachoweza kujengeka kikafahulu juu ya mwanadamu.
Jazakallahu khayra mwalim
Natamani mume wangu ayasikie haya mawaidha 😭
Pore kipenzi😢😢😢😢
Shukrani shekhe naomba nisaidie namba za wasap nna shida binafsi na nahitaji ushauri pia ila km haiwezekani kwa namba niambie unapatikana wapi nije nisikilize shida yangu
0715448484
Sheikh umesema Kweli lkn mamba kuuliza tu mbpna kuna watu ukiwaheshimu ndo wanazidi kukudharau hi ikoje
hivi sasa hanisemeshi hataki ni mshtakie mtu yyt ili tusikilizwe ipatikane sulhu ananichukia mpaka ananitamkia na hofia watoto wangu shekh
pole habibaty
tafuta sulhu
Kweli kabisa 🙏🙏🙏🙏