Dalili 10 za mke ambae hakufata ndoa kwako - Mwalimu Dimoso

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 17 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 122

  • @IdrisaSulaimani-nv8uh
    @IdrisaSulaimani-nv8uh 4 місяці тому +1

    E mwenyezimung tfanyie weps ktk ndoa zet ya rabbi🎉

  • @twalibu
    @twalibu Рік тому +5

    Anayoyasema sheikhe yamenikuta Mimi subhanallah

  • @jumahamisi9328
    @jumahamisi9328 Рік тому +2

    Yamenikuta ila subra na swala zimetia nguvu ktk kuyamaliza kwa wema. Allah ndie Mwenyezi Mungu mwenye uwezo

  • @zahrathomary1805
    @zahrathomary1805 Рік тому +11

    Kwenye mahusiano dhuruma zinaonekana sana sababu mahusiano yameteka sana dunia ya leo Ila dhuruma saiz zimetapakaaaa kila sehemu. Mungu atunusuruhu. ALLAH ATUEPUSHEEE IN SHA ALLAH

    • @mshamsan4338
      @mshamsan4338 Рік тому

      yaan we acha tuuuu allah atujazee iman ktk mioyoo yetuuu

  • @Shahabudin-e1h
    @Shahabudin-e1h 6 днів тому

    Nampenda Sana Uyu Sheikh na Mawaitha yake

  • @SalmaJadi-sj6dx
    @SalmaJadi-sj6dx Рік тому +4

    Mashallah Allah atupe usikivu sisi wanawake

  • @sakeenaanzi4431
    @sakeenaanzi4431 Рік тому

    Asante mwalimu najifunza mengi nisiowajua

  • @AaAa-dd1qu
    @AaAa-dd1qu Рік тому +2

    Unasema kwer inauma hiyo Jamani sisi Wanamake dutunze waumezetu naroho moja Jamani hii inauma🤲🤲💔💔🥺🥺🙏🙏🗣️

  • @nasramusaro
    @nasramusaro Рік тому +9

    ALLAH akulipe kheri Inshaallah

  • @khadidjasuleiman8006
    @khadidjasuleiman8006 Рік тому +5

    Mashallah tabaraka llah 😅😅 Sheikh umetowa Siri zote 😂😂😂haki 😅😅😅

  • @yasminally1015
    @yasminally1015 Рік тому +3

    Asallam maalequ Shek Maaishaala maaishaala maaishaala maaishaala Allamdulirai Ishaalla Allah hjelp you Ishaalla Ishaalla Alaamdulirai

  • @bethjohn928
    @bethjohn928 Рік тому +9

    🤣🤣🤣🤣mi unavyoongea tu najikuta nafurahi mungu akuzidishie

  • @saebajoma8419
    @saebajoma8419 Рік тому +3

    Nakukubali Sana mwalimu dimoso mm naliaga saa nyingine kwanasaha zako allah akulipe 🙏🙏

  • @seifkandanga8281
    @seifkandanga8281 Рік тому +4

    mwalimu allah akuzidishie kwa mawaidha yako

  • @husseiniddy2270
    @husseiniddy2270 Рік тому

    Maaashallah!!shekh ALLAH akulipe swadacta!!kuli haku laukana muuraaaa!!🙏👍👍👌👌

  • @yasminhussein7426
    @yasminhussein7426 Рік тому +14

    😂😂😂😂 duuuh kweli kabisa SHEIKHE umesema yote kweli ALLAH atusamehe sisi Wana wale walahi, ila mm NAOMBA NIJALIWE MUME NTAKAE MDHAMINI INSH-ALLAH AMEEN 🤲

  • @hajiidd
    @hajiidd Рік тому

    Shekhe mwenyezimngu akujalie Kila la kheri

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 Рік тому

    Sheikh wangu dimonso na kukumbuka sna pindi npo Tanzania ulishawai Kuja morogoro kilangali

  • @aaaggdhbdgxhhdb2471
    @aaaggdhbdgxhhdb2471 Рік тому +3

    SubhanaAllah 😭😭😭😭 yauma sana

  • @MariamObote
    @MariamObote 29 днів тому

    Mora atusamehe wanawake😢😢😢

  • @hafidhnzota2142
    @hafidhnzota2142 Рік тому +1

    Asalaam aleikum ndugu zangu Mtume Muhammad (SAW) amekemea sana inapozumzwa dini au jambo la dini kuchekesha ni mwiko.

  • @JamaalAbubakar-f7i
    @JamaalAbubakar-f7i 5 місяців тому

    😂😂😂😂😂 iyo kweli sheikh wangu

  • @aishamwabasi3292
    @aishamwabasi3292 Рік тому +2

    Allah akujaalie utuelimishe

  • @nasramusaro
    @nasramusaro Рік тому +10

    Tutibie mwalimu tunaumwa kila nyumba hakuna mwenye nafuu

  • @chidampiri1012
    @chidampiri1012 Рік тому

    Ni mtihani sana

  • @mrishorajabunaniza4798
    @mrishorajabunaniza4798 5 місяців тому

    allahu akbaru

  • @IsmailyNcheve-ye8zq
    @IsmailyNcheve-ye8zq Рік тому +1

    Duuhhhh!!!! shekh umenigusa

  • @ramadhanhamsini5982
    @ramadhanhamsini5982 Рік тому +3

    ASANTE KWA DARSA MWALIMU DIMOSO

  • @habiptyomar1532
    @habiptyomar1532 Рік тому +5

    si wanawake na wanaume hawatoi tendo la ndoa

  • @halimaa9367
    @halimaa9367 Рік тому +3

    Subhanalha

  • @winnieanyango3951
    @winnieanyango3951 Рік тому +2

    Huyu ustadha hufunza funny but on point

    • @mwajumaissa2358
      @mwajumaissa2358 Рік тому

      Maashaallah Allah anijalie moyo wa subra na wenye kushukuru na nijali utu kuliko kitu Yaraby

  • @ZAMB334
    @ZAMB334 Рік тому +1

    Good lessons thanks

  • @rajabmadebo5570
    @rajabmadebo5570 Рік тому +6

    Daaaaah 😭😭😭 watu tumesha pigwajeeee!!!!

  • @IZIMAMUSALIMU-sv7ml
    @IZIMAMUSALIMU-sv7ml Рік тому +2

    Mashaallah

  • @Ibraahkitale
    @Ibraahkitale 7 місяців тому

    kwel shekhe

  • @sultansoule2437
    @sultansoule2437 Рік тому +2

    Subhan'Allah inauma sana😭😭😭

  • @abduljabbarmohammed4188
    @abduljabbarmohammed4188 Рік тому +2

    Suluhisho ya kusalatiwa na wanawake ni kuoa wanawake walio na mvuto wa wastani wanaokupenda na kuwachana na wanawake warembo wasiokupenda.

    • @twalibu
      @twalibu Рік тому

      Kweli yamenikuta mimi

  • @husseinbakromar5865
    @husseinbakromar5865 Рік тому +1

    nimefanya utafiti wanaumme ndio wanakufaa zaidi kuliko wanawake wanabaki wajaneee kupitia mikono yao

  • @somoesaid6070
    @somoesaid6070 Рік тому

    Shekh ni kweli unayoyasema lakini hata wanaume wapo wenye tabia hiyo. Utajitahidi kumuedhi yeye Hana mpango

  • @bethjohn928
    @bethjohn928 Рік тому +4

    Kumbe ndio mana dokta ataki kutoa talaka🤣

  • @salumhassan4309
    @salumhassan4309 Рік тому

    Asilimia kubwa wanaume ndio wanao umia MWANA MKE hasomeshi mwanaume

  • @abdulrahmanmussa4479
    @abdulrahmanmussa4479 Рік тому +1

    First 11 😂 shukran sheikh

  • @mussaissa6796
    @mussaissa6796 Рік тому +3

    Ndio maana Kenya jamaa wanawatandika risasi tu kmmmk

  • @shakirashakira-gc2yw
    @shakirashakira-gc2yw Рік тому +5

    Mi niolewa na miyaka 14 nikiwa katika doa nikuwa nafanya biashara mda mume hana kitu mimi natoa nilpo timiza miyaka 18 tukaachana na kanicha na mtoto anaumri wa 3 tujaliwa kupata vijimali kidogo lakini ata ndoo yamaji kaninyima je iyo sio zulma

    • @salamasaidayoub6779
      @salamasaidayoub6779 Рік тому

      Pole kipnz

    • @makelelealphard2101
      @makelelealphard2101 Рік тому

      Shakira Pole sana

    • @aishahamza2177
      @aishahamza2177 9 місяців тому

      Wanaume wanangalia upande wao tuu hawangaliii kama na sis wanawake wanatuzulumu na kutunyima haki zetu Kwa kutofuata misingi na Sheria za ndoa wanajiangalia wao tu matanio yao hata sis tunapendabkufanyiwa mazuri

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 3 місяці тому

      Nayo ni dhulma uliyofanyiwa, lakini 90% ya wanaume wanawapenda wake zao lakini 50% ya wanawake waume sio chaguo lao.

  • @ChumuJuma-b7b
    @ChumuJuma-b7b Рік тому

    Kweli malim hata mm mlisalitiwa

  • @AllyDevu
    @AllyDevu Місяць тому

    😊

  • @mohammadoman8963
    @mohammadoman8963 Рік тому +3

    Dhuluma lkn yakujitakia kwa sbb binadamu ni mwenye kubadilika

  • @abduljabbarmohammed4188
    @abduljabbarmohammed4188 Рік тому +1

    Mwalimu Dimoso hii issue ya kusomesha mke au mke mtarajiwa Kisha akakuwacha inatokana sana na msingi wa mahusiano yenu, yaani namaanisha wanaume wengi huwang'ang'ania wanawake warembo wasio wapenda.

    • @Aminaluvuno
      @Aminaluvuno Місяць тому

      Mia fil mia😊,wanahonga wakidhani wanapendwa

  • @omarymwinyi9684
    @omarymwinyi9684 11 місяців тому

    Dhulma kubwa

  • @husseinbakromar5865
    @husseinbakromar5865 Рік тому

    sheikh dimoso mtume aliashiria wanawake ni bendera ya motoni

    • @abduljabbarmohammed4188
      @abduljabbarmohammed4188 8 місяців тому

      Sisi wanaume ndiyo wabaya .
      Na sema hivyo Kwa sababu wengi wetu tunataka wanawake warembo Sana hata kama hao wanawake hawajavutiwa nasi, tunajilazimisha tu. Matokeo yake tunaishii na wanawake ambao hawatutii.

  • @SalumAbdullah-uf2xm
    @SalumAbdullah-uf2xm Рік тому

    SHEKHE unayosema niyakweli sasa wengine na mafunzo yandoa wanapata lakini nikusudi

  • @hafidhnzota2142
    @hafidhnzota2142 Рік тому

    Asalaam aleikum sheikh wangu tazama rangi ya kanzu yako rangi siyo yetu

  • @fatimahirakoze7311
    @fatimahirakoze7311 Рік тому +1

    Wanaume mnafurai dimoso anawateteya mnajisahau kama nyie njo mnatuzulumu kutwa kucha

  • @inshaamar4801
    @inshaamar4801 Рік тому +2

    Naomba mwenye namba ya huyu mwalim dimoso please

  • @vina_mtu_flani117
    @vina_mtu_flani117 Рік тому +2

    mm nishamuacha mtu , maana alikuwa kaja kuchuma aondoke sio kuishi na ndoa

  • @mrsinia3064
    @mrsinia3064 Рік тому +2

    Kwer kabisa uko sahih shee!

    • @allynassoro8448
      @allynassoro8448 Рік тому

      Shahid

    • @allynassoro8448
      @allynassoro8448 Рік тому

      Shahid Ni mtu aliwekwa kwa lengo la kutoa ukweli pindi baada ya kutolewa hiyo talaka ili asije kukataa alitoa na aliopewa, kwa hiyo shahidi hasababishi talaka kutokusihi, Ina maana inaswihi bila shahidi

    • @zakiahhamza1621
      @zakiahhamza1621 Рік тому

      @@allynassoro8448 pp

  • @asmaabdi2956
    @asmaabdi2956 Рік тому +1

    Hakuna ihssan wala huruma ndiyo maana vituko tuuuu

  • @HalimaHalima-id2cb
    @HalimaHalima-id2cb Рік тому +1

    Nikweli kabisa shekhe 🙏🙏🙏

  • @Fadhakir21
    @Fadhakir21 Рік тому +2

    Naweza kutoa faida yamtu amedhurumia kuna sura unaweza kusoma na ukajibiwa na Allah kama unaitaji nikute in box

  • @mafundaali9974
    @mafundaali9974 Рік тому

    Swadakta

  • @abdallahmilaba5407
    @abdallahmilaba5407 Рік тому +2

    Akina mama msijirekebishe endeleeni tu hivyohivyo.

  • @ibrahimmaulid2704
    @ibrahimmaulid2704 Рік тому +1

    😂Sheikh kidume mie mie yamenikuta najuta kuowa na Wala sitaki kusikia Wala kujuwa kitu kinachoitwa ndowa for rest of my life so sad

    • @OmanOman-yk8kl
      @OmanOman-yk8kl Рік тому

      Why?

    • @hafsaabdi9295
      @hafsaabdi9295 Рік тому +1

      Unamkosea Allah kumbuka kila kinachokufika ni mtihani na sio kila mtihani ni mmbaya kwako mengine inakufunza

  • @ramlaleila374
    @ramlaleila374 Рік тому

    Wanawake tu ndio wanaodhulumu????

  • @abaajunainakombo2452
    @abaajunainakombo2452 Рік тому

    Kwahy tunafanyaje Nini tufanye apo

  • @saebajoma8419
    @saebajoma8419 Рік тому

    Mwalimu dimoso nimepeme talaka na mume wangu ya sms tuu bila hata mashahidi je hii nitalaka kweli mwalimu

  • @athmanramtu5270
    @athmanramtu5270 Рік тому +1

    Allah Awalaani Laana Tullah...wajinga wanawake na Ndio maana...wengi wamotoni,Allah atawachoma ssna kwa sababu hta wakipewa mawaidha ya vipi hwa hawaambiliki..Laana wajinga wapumbavu sanaaaaa😢

  • @gushebaker-sj9it
    @gushebaker-sj9it Рік тому +3

    Kwan shee alisomea wanawake tu

    • @bakarifakih4228
      @bakarifakih4228 Рік тому +1

      hata mie huwa nakuuliza naona mada zake zote ni kuhusu wanawake tuu na mapenzi.

    • @gushebaker-sj9it
      @gushebaker-sj9it Рік тому

      Umma unakoelekea na masheikh wa aina hii wanazidi kuupoteza. Tumuombeni Allah atuepushe na fitna iliojificha na ilidhihirika. Allah atujaalie viongozi wa dini wenye nasaha zenye mafundisho na muongozo katika kipindi hiki ambacho wanafki niwengi.

    • @Yu-jr9uf
      @Yu-jr9uf Рік тому +7

      mm nadhan dini ni uwanja mpana sana kuna mtu anaweza akawa anaweza zaid fiqh lakini sira akawa hayupo vzur,,, kwa iyo ukiwa na shida ya mahusiano kuna watu utaenda kuwasikiliza, ukitaka visa nenda kwa othman maalim, soo sioni kama ikawa kama kuna ubaya ye akaona aspecialize katika sehem flan katika dini katika kuzijenga ndoa ili mradi atembee kwny mstari wa dini yetu asije akachupa mipaka

    • @ramlaleila374
      @ramlaleila374 Рік тому

      Nashindwa

  • @خديجةالمعمري-ج2س

    🤣🤣🤣

  • @halimaa9367
    @halimaa9367 Рік тому

    🤣🤣

  • @cleartzboy
    @cleartzboy Рік тому

    Lakn mtu had umsomeshe kwa galama hzo lazma utakua umeawahi kudet nae

    • @mwanahamisimakuruomar3709
      @mwanahamisimakuruomar3709 Рік тому

      Je mimi mke tangu niolewe natamani mafanikio ila hamna sijasomeshwa sina kibarua wala biashara na wazazi walinisomesha hadi kidato cha nne ila mume wangu hanisaidii je hii si dhulma