KUMBUKIZI Rais Magufuli alipofanya Ziara ya Kushtukiza Bandarini DSM
Вставка
- Опубліковано 6 сер 2023
- #Magufuli #Tanzania #Magulificationoftanzania #short #shprts #shortvideo #shortsvideo #shorts
KUMBUKIZI: RAIS MAGUFULI ALIPOTEMBELEA GHAFLA BANDARI YA DAR ES SALAAM
JPM Afanya Ziara ya Kushtukiza Bandarini DSM SEPTEMBA 26,2016
Rais Dkt John Magufuli lei Mei 15, 2018 amefanya ziara ya kushtukiza katika Bandari ya Dar es Salaam na kukagua matanki ya mafuta ambayo yana utata mkubwa unaosababisha bidhaa hiyo kuadimika na kupanda bei.
Baada ya kufanya ukaguzi huo, Rais Magufuli amekuta madudu na udanganyifu mkubwa ambapo amefanya maamuzi ya kuwapiga faini waliokutwa na udanganyifu huo na kutoa agizo la mafuta yaliyokutwa ni Cruddle na Semi-refund yatolewe leo na yaanze kutumika kwa wananchi.
Licensed under a Creative commons AttribushareAlike 4.0 International License. Based on a work at https
Watanzania tunae kazi ngumu sana endapo tunaendelea kuwa shamba la bibi kwa maelezo kama rais mtangulizi Mh, John Pombe Magufuli ambaye mwenzi Mungu alimpenda zaidi
Afrika bado bado tz hii Kwa hili wengine hatujui
Kweli🤗
Mungu akupe Heri Mbinguni JPM wetu
Huyu ndo alitufaa kuongoza tanzania
If African head's of state worked like him Africa Will be developed continent
Jpm mwamba uliolala😢😢dahhh
Na ndio maana mama anafuata nyayo za magufuli Bora ibinafsishwe hao wanaopiga kelele ndio wanufaika na hao wezi mianya Sasa inazibwa ndio wanalia Liawakishirikiana na chadema. Binafsisha mama hujakosea
Tumeiua Bandari SS wenyewe hata hatumuogopi Mungu
You do what you was supposed do then you sleep 🫢😭😭😭 Rais Magufuli Ana niwuma from minebwe munyamulenge DRC
Asante baba
Wazee wakanisa wanajambo Lao kwenye hili
Baba ingewezekana kurudi ningeomba urudi Ili watu wazikimbie ofisi kunawatu Wakati wako walisema wamezeeka ila Kwa mama ni vijana na nahis ukirudi wewe watakua vikongwe wa kutembelea mkongojo Mungu aweke roho ya Magufuli Kwa kiongozi ajae ila sio ccm
Aisee ndo maana mama anataka bandari ibinafsishwe. Haya madudu ya bandarini kuyaondoa ni kubinafsisha tu
Mwambie uyo mama ako auze kuma yake na mkundu wake bandari sio mali yake
Wewe tukana tu !! Lakini jua ukweli ndio huo Kwa wanao jielewa Kwa mpumbavu kama wewe huezi juaa kaa na umaskini wako wa akili
Huyu mzee alikuwa anataka kuipeleka peponi hii tanzania
RIP MH JPM naamini huko uliko unawaona wanafiki wako live
Kupata kiongozi Kama huyu Tz kwakweli panahitaji maombi na kufunga laa sivyo uuuuuiiiiiii.....! Mambo yatarudi yaleyale
Yatarudi vipi ndugu yangu wakati tayari yapo mtaani? Maana yangu ni yamesharudi.
Mungu tupe magufuli mwingine
Ili naye mmuue kama wa kwanza ,kaani na wezi hao mliowataka.kafa Nyerere,Mkapa,na Pombe,why?
RIP
The slept rock
Nilimpenda sana huyu
Tanzania ilikuwa na Rais. Mwenyezi Mungu alituchukulia Rais ambaye angetufikisha mbali. Kwa sasa tumebaki na mafisadi. Hayati Magufuli lazima angekufa mapema. Sasa Samia anataka kuwapa waarabu kwa kuwa kashindwa kazi ya kupigana na cartels. Miaka kumi ya Kikwete hasara tupu. Watanzania tutapata wapi Rais Kama Magufuli eh Mungu tuhurumie.
Mzee bado unakumbukwa hakika unaishi. Kwenye mioyo ya watanzania😭😭😭
Mama ziba Masikio walete DPW tuone Faida ya Bandali yetu,wanaopiga kelele ni Mawakala wa wapigaji wanaona wakija DP watakosa ulaji
Kenya reality.KRA,KPA
ukweli una uma sana
Huyu ndiye aliyekuwa Rais mzalendo wa Tanzania.
Duuh kila mkataba unapowekwa ni lazima kuwe na kipengele cha kuuvunja,win win situation,dah yametukuta wallah
Hii ndio Tanzania,hii ndio Bandari Dar -es -salaam....🙉🙉🙉🙉🙉🙉🙉🙉
Eti Leo wanadai kukataa Morden investment
HII HUTUBA NI USHAHIDI TOSHA WA KUJUA KWANINI WATU WANAMPINGA MAMA, NA WANAPINGA UWEKEZAJI WA DP WORLD!! KWA USHAHIDI HUU WA JPM NI DHAHIRI WAPINGAJI WANAJUA WAKIJA DP WORLD NDIYO UTAKUWA MWISHO WAO WA UPIGAJI BANDARINI.
Kaka jipm tuna kukumbuka sana
Mama toa kwa DP world njia nzuri hata magu kaona
magu hakutaka mali ziwepe wageni fungua akili yako vizuri mnasoma kujaza ujinga kichwani au kuongeza upeo wa akili hapo ndio inafanya nione kumbe elim za shule ni ujinga tu kama haya maneno anayoyasema magu umeyatafriri kihivo basi elim ya shule haina faida kabsa magu kamaanisha viongozi wasimamie vizuri rasili mali za inchi wasiwe wazembe kukaa hoficin tu bila kufatilia vitengo vinatendaje kazi za ummah ?
@@aishaalbalushaishabalush8291 kwahiyo unataka iendelee kuwa shamba la bibi
Yaan kwa haya aliyoyaona magu mama Samia usisikie maneno tunaomba ubinafsishe tu
Why not DP world?
Muhimu kubinafsisha bandari km kuna ubadhirifu bandarini, ni kuwalipa mishahara tu, bora kubinafsisha bali kurekebisha tu baadhi ya vipengele ktk makubaluano, RIP JPM
Inajulikanao vile wanaiba.
Mkuu saruti San hakik chema hakidum hiv ulijua hay ipo siku yatatokea
Baba ubalikiwe popote uliko kwa ukweli wako, lakini umetuachia hayo madudu sasahizi yanatunyonya tu
Huyu akuwa kiongozi bali dikteta ..!
Kiongozi gani wa Tanzania anaweza kuwa Kama Magufuli?
Hivi kwa nini serikali isiunde kikosi kazi kuchunguza ubadhilifu pamoja na wataalamu wa ufisadi kutoka Scotland Yard au Israel ilikujua ni nani yuko nyima ya ufisadi
Lkn naamini watu wa ccm na serikali yake hawako tatari kujua ukweli
Chumaaaa
Mama anuza
Aibu nchi ya walanghai waongo wezi na hawaridhiki
Wapewe jwtz
Hiii hutuba wanaopiga kelele na kushirikiana na mawakala wao wa vyama vya siasa hawaikumbuki!!!!????
CCM ni janga
Unajuaje hao wezi hapo kama si chadema?
SS tumepewa Bandari hii na Mwenye Enzi Mungu tunawapa waarabu
Kwaiyo tubak nayo ili tuendelee kuibiwa
Kusema ukweli watanzania sisi wengi ni vilaza. Viongozi wetu wanajuwa wanaongoza wajinga wanaweza kufanya chochote kazi yetu ni kupiga makofi
Haki watanzania tuko waovyo sana, kabla yakuskitika mabaya yanayosema eti watu wanacheka nakushangilia
🇹🇿🤬
NDO MAANA MAMA HII BANDARI ANAMPA DP WORLD KUMBE APO PANA ULAJIIIIII BASI APEWE DP WORLD
Yaan hata mimi nimegundua ndo maana mama anataka kuwapa DP World
@@toptopress4909 kuna watu wanafaidika sn na hii bandari ila mama anapewa lawama tu kwa sababu anapoteza ugali wa watu kweli vita vya uchumi ni ngumu
Eeeeh mama anaona itakua ngumu kuyaondoa madudu ndiomana anataka awape waarabu
Watanzania tunae kazi ngumu sana endapo tunaendelea kuwa shamba la bibi kwa maelezo kama rais mtangulizi Mh, John Pombe Magufuli ambaye mwenzi Mungu alimpenda zaidi