WIVU (Part 2) | latest 2023 SWAHILI MOVIE | NEW BONGO MOVIE | Filamu za Adam Leo
Вставка
- Опубліковано 13 вер 2024
- Ndoa nyingi sana tumeshuhudia zikiwa na migogoro na hata kuvunjika kwa sababu ya WIVU katika filamu hii utaona maisha ya mwanadada Dahuu anavyopitia changamoto kubwa kutoka kwa mume wake Dullah sababu ya wivu.Fuatilia kisa hiki cha kusisimua mwanzo mpaka mwisho.
Tazama vituko vya dogo aliyezubaa baada ya kutafutiwa mke na mjomba wake😂😂Komedi ya kuchekesha👇👇
ua-cam.com/video/Fu1K5aTTj10/v-deo.html
Mh mwanaume unatesa ww na umezidi wivu sana ila filamu poa sana nimeipenda na nimeenjoy sana
Asante sana kwa kuenjoy.
Mwanaume wa tabia izo simtaki at nipewe bahari nyangumi na papa wote wawe wakwangu, sitamtaka kabisaaa.
Anataka ale vinono na hela hana wala hataki mkeo atafute.mara kumkagua kama ametembea na waume.maisha ni kuvumilia lakini hata mimi singevumilia haya.kazi nzuri saana lakini
Shukrani sana
Hongera Adam Leo kwa kazi yko
Asante sana, nashukuru kwa kuendelea kutazama kazi zangu.🙏
Huyu ndio mama sasa❤❤
Umeonaaa eh
Usiache kutazama shortFilm nzuri ya MAAMUZI MAGUMU hapa👇👇
ua-cam.com/video/s0-pKGpqX4Y/v-deo.html
Nice job🇰🇪🇰🇪
Thanks
Wivuu sio mapenzi kaka angu badirika
Jamani wivu si ndiyo mapenzi
Kilichokuponza shoga angu uvivu 😂😂😂ungeinuka mwenyewe ukamtafutie yasingekukuta yote ayo😅😅😅😅
Jamaniii alikuwa anafanya kazi akafukuzwa
Uyu mama kanichekesha wallah 😂😂😂😂
😂😂😂
Hongera sana jombaa 🙏🏾💯🏁 Sema nini, uyo baharia katudhalilisha😁😁
Hahahaha jamaa noma sana😁
😂 😂 😂 😂 😂 Hapana anawafunza
Jahahaahh umeona eh
Anafundisha sikufichi wallah ndoa yangu ipo Kama iyo muvi mume wangu anatabia Kama uyo Kaka yaani acha tu nipo mie omba omba wivu ataki nifanye kazi wala biashara ataki niende ata kwa jirani ananikagua mwili msukuma uyu mshamba wa mapenzi wivu nipo navumilia kipigo pia usiseme achagui sehemu ata nje anakupiga
Pole sana jamani.
Jamaa kaacha 600 alafu anaanza kukosoa chakula mara imekaaa sana kwa frij , nimechekaa🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂jamaa wazimu sana huyo.
Huyu mume ni boya sana.. Doh
Gubu limemjaa😂😂😂
❤❤❤
😍😍😍
Nazikubali sana kazi zako mwamba all the way from🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Thanks🇰🇪
Mwanaume anagubu huyu khaaa! Sanamu lake likawekwe posta
Hahahaha kama ukumbusho au sio.
@@AdamLeoStudios eeeeh maan anajilalamisha kama kaibiwa figo
Umeona eh😁😁
Jameni 😳😳😳🙆♀️🙆♀️ 600 alafu anakagua chakula waaah huyu mume n mwisho, alafu sasa kakiramba chote hata bila haya🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nmependa kazi yenu aise much love ❤❤❤❤❤
Thanks alot, asante kwa kuwa hapa hutojutia.
@beyoncebaby3591 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Jahahah
Nimeimaliz jamaniii hongereni sana stori ni nzuri mno
Shukrani sana aisee.
Wamecheza vizuri jamani hongera Sana huyu Dada na dullah
Shukrani sana, nawe asante kwa kutazama.
Mh jamanii kama ndoa zenyewe ivi apanaaaaa😂
Nomaa sana
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂mbavu zangueeee😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣
Jamani movie nzuri ❤❤❤❤inamafunzo ❤
Asante jamani, soon tunawaletea filamu mpya.
Gubu, Nalo hakuliacha nyuma Hata kwenye kula🤣🤣🤣🤣🤣
Mnachelewa Sana jaman kuleta
Big up. Adam leo
Tutajitahidi tuwaletee kwa wakati
Vituko na ndoa Mungu tupe nguvu wanaume na wivuu
Jamaniii
hahahahaah mwanaume kama kuzimu jamniii mi kuwezaaa akaaaah cku mbilii tu naona kama miaka kumi na 8 weeee miguuu niokoe
Hahaha jamani
Mbali na wivu bado unaroho mbaya sana we mwanaume😏 haumjali mwanamke hautoi matumiz sasa wivu wa nini?ehee Mungu niepushe na mwanaume wa aina hii
Kabisaa yaani
Wakwanza leo Nipe japo like chache jamani
Tayari aisee, imetisha sana!
Nakubar kaka Nili I subir kwa ham sana hii kaka usiwe unachelewa ku upload kaka
Tuko pamoja
mpiya lini Adam
Soon tu
Sawa kaka
Vinyama vyenyewe shoga amesema vimechacha watu wanavisokomezaa🤣🤣🤣🤣ilaa jamaniiiii huyu mwanaume Ana gubu hadi wakati wa kulaa🙌🙌🙌🙌
Yaani hatari kabisa😂
Wivu
Wivu nomaaa
Bonge la filamu hakika nimeielewa sana japo mwanaume kuwa wa zama za leo daaah haifai kabisa kama wapo wabadilike hata hivyo huyu binti ni mvumilivu sana hiyu ni mke kabisa.
Kabisa kabisa aisee..🙏🙏🙏 asante kwa kutazama.
@@AdamLeoStudios sawa chief nimepata somo hapa
Shukrani.
wivu wa huyu jamaa umenichekesha sana na kukubali Adam leo
Shukrani sana, hakikisha una subscribe ili usipitwe.
Lazima hiyo mbona zamani nisha subscribe
Shukrani sana
Kiufupi movi nzuri
Asante mno🙏🙏
Akuna siri ya watu wawili
Umeona eeh...!!
Sasa mwanaume hela za kumlea mke huna,kumkagua tu ndohujambo,duh!kwakweli,hiyo inaitwa ombayasikukute
Kabisa yasikukute aiseee.
Very nice, congrat bro jah bless u
Amen
Mko vizuri saaaana
Mama usingempea ata io pesa
Hahaha na jamaa asivyokuwa na aibu kaichukua.
Nakubali kaka
Shukrani sana
Mwamba kaacha Mia
Sita kaludi kaona kuku
Aulizi duuuuk kali
🤣🤣🤣nomaa sana aisee🤣
Amazing ❤
Thank you! Cheers!
@@AdamLeoStudios 🥂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣nyieee yaani mie leo nacheka mpaka machozi yananitoka huyu mume wa da huu ananitia uchizi mieee😂😂😂😂
Hahahha mume noma huyoo...!!!
kali haswa streng awe ww
Shukrani!!!🙏🙏
Dona hela unaacha 😂😂😂🤣🤣Huyu mwanaume kiboko 😆😆😆
Kiboko saanaaa
😂😂ebu nina tatizo gani 😂hujui ww ?shetani mtupu
Ahaha jamaniii, mbona shetaniii...!
Huu sio wivu huyo mwanaume ana gubu kabisaaa🙌🙌
Umeona eeh
@@AdamLeoStudios ndioo
Mh kwan Adam ulitusahau jaman
Sijawasahau, nilikuwa bize nawaandalia vitu vizuri.
@@AdamLeoStudios midevu kma chachandu ya mihogo hahaa Adam shikamoo
Hahahaha Marhabaaaa😂😂😂
Mwanaume avumiliki huyu
Yaani hafai kabisa
Jamaa jau sana huyu Tena haon kosa kachukua elf35 yake🤣🤣🤣
Hahahah kaibeba aisee🤣🤣🤣
Elfu 30 kwa mwaka alie msikia dula
Hii to much
Nomaa sana
Wivu huo so wamaendeleoo
Umeona eh
Mwanaume amekaa kama taarifa ya habari.. Anaongea muda wote na anaongelea kila kitu
Hahaahhah mwanaume noma huyu😂😂
Adam sijakuona kwenye movie hii, sijui kama ni macho yangu au ni kweli!
Nipo kwenye inayofuata aisee🙏🙏🙏
Ya ngapi?
Kwenye hamu na kihoro
Mimi na zungumzia hii ya "WIVU"
Hii labda tukija kutoa muendelezo
Huyu jamaa mkubwa umbo la mwili na umri kiakili hamna kitu
Hahahaha jamani aisee😪
Amemumalizia mkewe chakula ya kuoba? Mwanaume matata huyu,, Mia sita na anakula kama ngurue,,,😅😅
Hahaha jamani mwanaume mbaya huyuuu😂
@@AdamLeoStudios kabisaaaa,, ni ngurue haibakishagi😂🤣😂🤣
I waiteeeeeeeeeeeeed,❤️
Naaaaaammmm
❤❤❤
Eti kanga🤣🤣🤣waah huyu bwana kiboko
Nomaaah sanaa
Kado Tena kZidi chakula chote kamaliza hata kumuachia mkewe wivu anaona na choyo pia
Yaani acha tu
Elfu35 yenyewe umenipa!! 😭😭😭
Hahahaha jamaa haachi kitu.
Mke wa mtu ni sumu lakini Mme wa wenyewe ni maziwa 😂😂
😂😂😂aisee
Hahaha huyu mwamba,hafai ,anagubu,mwanaume na gubu tena ,mh!
Yaani noma kabisa hafai hata kidogo.
Umesema aumtangazi katoka tu unamwambia shoga ako hahahah wanawake bana
Hahahah ndiyo walivyo hivyo hahaha😁😁
Huyu Dada izoela Kama Ni Mimi ningechimbia chini duuh kamponza Kaka wa watu duuh
Yaani hakujua mwenzio... Akaona pale ndo kafiiichaaa🤣🤣🤣
Yani ndio actors tu lkn kwa nn asimwambie umeacha 600 na anasema chakula kidg mpuuzi
Siyo acting tu kuna wanawake wapo hivyo, hawawezi kusema kitu.
Mwanamume nuksi km nn 🤣🤣🤣wivu wa kimaskini ndio anao 🤣🤣🤣🤣🤣
Hapo plus na gubu juu.
Kuolewa na mwanaume mwenye mawazo ya kimaskini bora kuwa single mother daima upambane mwenyew na watoto wako kama utakuwa nao
Kabisa, nilichoelewa hapo ni kwamba kuwa masikini siyo tatizo, ila kuwa na mawazo ya kimasikini ndiyo tatizo.
Eti kwanini hupendi kutumia kanga😢😅😅
Hahahah jamaa wivu mwingi.
Kaka dula tatzo lako n kwamba una wivu wakupitiliza Alafu mwanamke anajichunga mwenyewe sio km hvyo❤
Umeona eh
Hela ya kula hatoi ila anavyokula
@miriamdavis3893 hahaha jamaniii
😂😂😂😂😂😂😂
Haha enjoy
Apana kwa hii namba Mbili huyu jama amamezidi. Biman WIVU WAKE AMEINGIZA NA UBAKHILI NA GUBU KABISA.
KWA HAPA , ANASHINDWA KUJITAMBUA , ILA TUNAPATA FUNZO KWAKUA WAPO WANAUME MFANO HUU.
AMEPITILIZA KABISA .
Hahaha umeoonaaaeh!!!
Jamaniii samahaniii kama nawaudhi kwa coment maana naangalia huku nacoment so sorry🙏🙏 etiiiii chana khanga ufanye pedi mwanaume Ana balaa huuyuu hayo mambo ya kushika shika hiyo kitu tulishaga sahau siee☹️
Hahahaha we comment tu jiachie.!😂
Hilii piaaa limenikwazaaa jomnnn duuuh😀😀😀😀😀😏😏😊
Weee!!! Kama huu ndio wivu, mapenzi ya aina hii basiiii
Hahahah mapenzi nomaa kabisa achana nayo🙏🙏
@@AdamLeoStudios niliacha kitambo, najifunza kuzoea
Yaani acha kabisa
Kha huyu mume mm hta wabule simtk kha nibahiri huyu
Hahahaha saanaaaa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣jmn mi nacheka tu na vtuko vya uyu dullah
Dullah kiboko.
Duuuuh
Maisha yangu kabisa hayo duuuuh jamani
Noma Joy
Jamani izo ngumi za kwel au hahahahhs
Hahahaha hatari kabisa.
Kuigiza kugumu nyie, msione hivyo.
Kabisa adamu maan izo ngumi jamani duuu
We acha tu😁
Ngoja nije kujalibu
Eti mironjo😂
Noma
tunasubili mambo mazuli
Mengi yanakuja😂😂
😢hela huna halafu unakuwa na wivu 😢ukipata presha hospital utatoa nini?? Si utakufa tu😅
Hahahah hapo kifo kinakuhusu.😂😂😂
Kweli haya ni mafunzo mazur kwakwli🙏🙏
Asante sana kwa kuliona hilo.
Ondosha vyombo wakati hata MIA hajanipa
Hahahahah we acha tu😂😂
Kumuacha nikaixhi kivyangu sula yenyew sasa
Ahahaha jamani
Hiyi kunguru ya mwanamume awezi kukalia kiti changu kaa ni ndoa wacha ikae Kasia
Kabisa kabisa
Mia fil mia 😘😘
Asanteee🙏🙏🙏
mtoto wawatu unampgia hvo hata aliyemzaa hajawai mpga hvo kama punda
Yaani acha kabisa
Elfu 30 kwa mwaka alie msikia duka
Dullah kiboko