SHEMEJI | latest 2021 SWAHILI MOVIE | BONGO MOVIE
Вставка
- Опубліковано 19 січ 2021
- Shemeji, ni filamu ya kitanzania inayoelezea maisha ya mapenzi na mahusiano. Mume anapojaribu kumchunguza mke wake ili agundue kama kweli anampenda, anatumia njia ambayo ni ya hatari na mwisho wa siku anajua ukweli utakaomuumiza.
- Розваги
Tazama vituko vya dogo aliyezubaa baada ya kutafutiwa mke na mjomba wake😂😂Komedi ya kuchekesha👇👇
ua-cam.com/video/Fu1K5aTTj10/v-deo.html
I had this feeling that bongo movies was dead but alas i was wrong, since I bumped into this channel it has been different. Congratulations ADAM LEO & crew .. always watching your movies fro Dubai UAE
Thanks a lot, I appreciate🙏
Daaah movie nzur sana jmn nmejifunz san ila inauma san jamn nmeshka point moja..."NDOA INAJENGWA KWA MASIKILIZANO NA KUSHAULIAN BAINA YA WANANDOA". Big up saaaanaaaaaaa👍👍👍👏👏👏👏👏❤️
Kabisa, Asante sana! Tunakukaribisha kutazama tamthilia yetu ya KICHECHE hapa👉👉 ua-cam.com/video/Va7TqjDkX9g/v-deo.html
Japo mm nimwanamke lakin nimejifunza kitu,kwanza wanawake wenzangu tufanyeni kazi,tuache tamaa, Asante sana adam kwa kazi nzur,
Asante sana aisee.
Daaah bro Adam noma sana imeniuma ata mimi
Umeona eh
Yapo haya yanatokea Ila wanawake sio wote wenye tabia izi jamani musituambie kua niviumbe vibaya Mama zenu ivo sisi 😂 kazi nzur 💗
Hahaha ni kweli kabisa mama siyo wote, wengine wapo vizuri mno.
Kutazama filamu yangu mpya baada ya hii SHEMEJI, inaitwa KICHECHE bonyeza hapa👇👇
ua-cam.com/video/Va7TqjDkX9g/v-deo.html
Shemeg umecheza hapo ingekua mwingine angekula nyama tayar
Kabisa kabisa. Ila katika marafiki zetu kumi huwezi kukosa mmoja mwenye roho nzuri.
@@AdamLeoStudios ...Tatizo Sio marafiki ‘ Tatizo ni wanawake ‘ Kwani mwanamke ukitongozwa ni lazma ukubali..?..wengine wanatongozwa na baba zao wanakubali ‘ Ndio ujue Akili za wanawake ni za Ajabu..!
Yaani acha kabisa kaka. @ismail
@@ismailyusuph740 lkn nyny waume ndio akili zenu sizaajabu kutongoza shemegiyo
Usiache kutazama shortFilm nzuri ya MAAMUZI MAGUMU hapa👇👇
ua-cam.com/video/s0-pKGpqX4Y/v-deo.html
Ndinyi kio cha jamii ndiomana mkaitwa wanasanaa, mna fundisha vyema kabisa jamii, thanks god bless you always in your arts works.
Asante sana. Tunashukuru. Ubarikiwe🙏🙏🙏
Iyo movie ime wezaa♥️♥️..n upande mwengine bro Adam n km umegusia part y life yngu...umeweza mkali🙏🙏🙏🙏🥰🥰🥰😍👍👍
Shukrani sana, hakikisha una subscribe channel yetu ili usipitwe nayo.🙏
Daaaa ila Adam kama lafiki tu umepata..angekua mwengine angekugeuka....na sisi wanawake tunakosea sana kutoa siri za wanaume zetu....move nzuri bg up adam💞💞💞💞💞
Asante sana! Barikiwa dada...!
Wangekuaa walee marafiki wa sasaa heheheeee ingekuaa mbayaaaaa
Asante sana bro adamu niko darasani kujifunza kitu🎉🎉🎉❤❤❤❤ mungu akubariki sana
Asante
Daah ni noma,,,,movie kali sana
Asante mno
Woow🥰🥰🥰 congrats ila sio wanawake wote wako sawa
Kweli kabisa
Kazi nzuri kaka angu Jamani mungu akulinde na akutie nguvu,,maana kwa kweli sio rahisi najua unaumiza kichwa hili tujifunze kwako,,badly niko darasani najifunza mengi katokana na movie zako be blessed my brother 🙏
Thanks a lot aisee.🙏🙏
Nimeskia kirangi😂asante kabila langupendwa😂😂😂 Adamuuuu umetisha
Asante sana.
Bg up broo adam kaz mzr lkn mshukuru sana hans yaan km mm mchezo ucngali maliza mana shemej katimia😂😂😂
Hahahah jamani vijana wa ovyoo nyiee😂😂😂
Watanzania mko juu sana kwa movie za kiswahili,mnatuweza sisi wakenya
Asante sana kaka yangu🙏🙏🙏
Asanteni nyote! 🙏🙏🙏 NAWAPENDA SANA.
Boss!🙏
Nice move broo
Hongera sana adam
Kazi nzuri mashallah
@@rahmaibrahim4020 ?lm
Umetisha Sana 🥰
Asante mno
Hilo somo zuri sana kwa wanandoa
Shukrani
Yan nyinyi wanaume aky sai mmenifundisha nikiombwa namba na best ya mumewangu simpei
Usimpe ni mtego huo🤣🤣🤣
😂 😂 😂 😂 😂 Mwana kulitafuta mwna kulipata Kilanga komo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kz nzur ila msijaribu Kumchunguza bata
Hahahahaha kabisa! Japo mwishowe kapata ukweli wenye maumivu na umeokoa ndoa yake.
pole dogo mwanamke achunguzwi kiumbe hatari
Kabisa kabisa hakika Adam kajifunza hilo japo limemsaidia kugundua nini tatizo lake.
Aisei Adam move zako nazipenda sana hakika nmekifunza kitu hapo ❤❤❤🎉🎉🎉
Shukrani sana sana
Adam u never disappoint aky much love watching from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Thanks a lot🙏🙏
Wanawake siss ni wtu Sema katika mapenz ukianza Kumchunguza mkeo au mumeo bas utamaliza Dunia!!! Cheza na party yako kikamilifu kwenye mahusiano
Umemaliza, ushauri mkubwa sana huu.!
Kwelii kabisaa
Yeah ni kweli.
Fact
Msichunguzane Kwa nini wakati nyie ni mke na mume...!...mnaogopa nini kuchunguzana..!
Adam nakubari sana mambo yako
Asante mno🙏🙏🙏
Aka uyu nichee uvaha jii hahahahaaaa mashaallah nzur nimeipenda na kiluga juu ila nimekupata vilivyo kumbe wakayi😀😀😀😀
ShukrAni sAnA
Adam uko vizuri,hii unafaa kufundishia kwa jamii zote,Ni Tamthiliya inayoonyesha tatizo la pande zote,lakini wakati Mwingine pia Onyesha Nafasi ya Mungu ktk utatuzi wa tatizo kama Hilo kwenye Tamthiliya.
Ubunifu Safi.
Asante sana kaka. Nashukuru! Usiache ku Subscribe channel yangu kwa kazi zangu mpya zijazo.👏 Barikiwa.
@@AdamLeoStudios safi
Ongera sana kaka mkubwa naona Kazi nzuri
Shukrani man.. Burundian actor!
Pamoja sana mzee
Waaaah hii iliuwa Adam box big up san🤣🤣🤣🤪🤪👌🤗🇰🇪
Shukrani sana
Yaani mpaka umemuoa bado huamini kama anakupenda!!! Hilo tatizo na usijaribu kumtumia rafiki,ndugu wakaribu au jirani akuchunguzie au amjiaribu mkeo By Mr.Habsy
Kutazama filamu yangu mpya baada ya hii SHEMEJI, inaitwa KICHECHE bonyeza hapa👇👇
ua-cam.com/video/Va7TqjDkX9g/v-deo.html
Wow kazi nzuri kaka ake hujawahi kufel mungu akulinde uendelee kuinua vipaji ❤❤
Amen!
He jamani wanawake tuwe makini
Kabisa kabisa.
Daaaaaaah jmn achen2 hv wanaume wa hv wapo kwel au walishakufaga kwenye meli ya titaniki
Hahahaha kabisa aisee, tumebaki wachache.
uyo shemeji awache usnitch, angeDinya uyo dem Na anyamaze Nayo!
Dah hahahaha we jamaa wewe
@@AdamLeoStudios cheki, Mi Ni shabik kutoka Nairobi,kenya, Nikikuja kutembea Tanzania Mnaezakunipea ni act part flani Ndogo?
shemeji nae mzuli khaaa🙌🙌🙌🙌🙌❤❤
Hahahaha usingeweza kuvumilia ww.
Picha iko na mafunzo mazuri sana juu ya maisha na kina binti.
Shukrani🙏
Me SIKUACHI . USIFIKIRI BAADA YA HAYA NITAKUACHAA SIKUACHI😀😀😀😀😀 ADAM UNAJUAA YAAAN UNAFANYA SANAA KAMA MCHEZO WA KAWAIDA TU KWAKO BIG UP BRO SIJUI NILICHELEWA WAPI KUKUFUATILIAA
Hahaha asante sana kaka leo, wajina. Unarikiwe mno.
Uclie bby mie nipo kwa ajili yako Adam❤️🤓
💖🙏santeeee
Hongereni Kwa move tamu washiriki woteh move karii
Asante sana, ubarikiwe! Usiachebku SUBSCRIBE channel tetu🙏🙏
Muvi iko poa sana hongereni sana kwa kutoa elimu kwa jamii
Asante sana, usiache ku subscribe channel yetu kwa filamu zetu mpya zijazo!
Picha nzur San jmn nmeipenda na inafundisha sana
Shukrani sana
Movie poa kabisa, love from Mombasa
Asante sana. Wasalimie mombasa!
Daaa kaka ilo.tatizo linatafuna ndoa nyingi sana
Kabisa, ila jambo la muhimu ni kuambizana kama wanandoa ili mpange namna ya kulitatua. Hakuna kinachoshindikana chini ya jua!
Zai
Hatar sana ,hakuna mwanamke anayempenda mwanaume asiyemfikisha kileleni
Kabisa peter
Daah inauma Sana, moves ndo hizi picha nzr
Shukrani sana!!!🙏🙏
Jikaze brother 😢😢😢 hivyio ndivyio ilivyio tamaa baya but in all we❤❤❤❤ you bro
Thanks
Daaa nimeipenda sana iyo jaman tuleteen pact 2
Asantee, soon tunawawekea.
Very nice move👌👌👌keep it up
Thanks mama. Stay tuned for our next movie.
Safi sijawahi ona movie kali kama hii
Asante sana! Nashukuru kwa maoni yako.🙏🙏🙏
Hongera sana ndugu yangu Adam Yan napenda sana move zako
Asante sana kiukweli🙏
Adam unajuw yan unajuw fundi sna
Shukrani sana sana.
Mwanakulfind mwanakulget😁😁😁
Kabisa kaligeti alilokuwa anali faindi.
Hawa watu wanajua aisee movie moja tamu sana
Asante sana kaka ubarikiwe.
Adam unajitahida San mungu akutangulie
Amen
Umezalilisha Chama ,,,ungemtwanga kidogo.
Hahaha mzee noma
Wale Wa kusoma coment huku Wa naangalia movie weka like twende sawa
Tupo pamoja sana!
Kutazama filamu yangu mpya baada ya hii SHEMEJI, inaitwa KICHECHE bonyeza hapa👇👇
ua-cam.com/video/Va7TqjDkX9g/v-deo.html
kama xielewi vle
Safi Sana ndugu umemetufundisha kitu.😭😭😭
Shukrani sana kaka. @aljabiri
😅Niulize na mm mwaenza kunichukuwa nionekane Kwa movie yenu😂😂adam nakuuliza
Unaweza karibu.
Wow filamu iko na mafunzo mazuri I say... Kongole sana
Asante sana🙏🙏
Kazi nzuri brother..... so interesting
Thank you brother! Be blessed...!
Jamani Adam umelia Nam nmeshndwa kujizuia, pole sana 😭😭
Pole jamani, ndiyo hvyo mapenzi yanauma!
Pore adamu
Asanteee
Jaman sis wanawake mungu anatuona et jamaa hana nguvu za kiume
Yaani acha tu, nguvu za kiume ndiyo zimepelekea yote hayo.
Kazi nzur
Asante
Afuuuu wanawake sio woteee tupoo ivo banaa 🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️
Hahahaa ni kweli ila wapo wa hivyo dada Ester!
Sawa
Ester Sanga poa
@@AdamLeoStudios❤
Dah hizi ndo videos zinazotakiwa kwenye uwanja wa UTUBE nimeipenda saaana
Asante sana, usisahau ku subscribe.
Adam 😂😂😂😂😂Roho yamduda anataka kuongea
Ahahha acha kabisa
Weeh majaribu hayo makubwa mno💯💯💯💯💯🔥🔥🔥🤣🤣🤣🤣
Umeeonaaa eh!
@@AdamLeoStudios nimeona likini sio wote kakangu
Mnajua Sanaa 😁👌👌👌
Asante sana, usiache ku SUBSCRIBE channel yetu!
Duuh mungu atusamee kwakweli wanawake wana moyo dhaifu ila sio wote jamaniii.💃💃💃
Kweli kabisa!
👌👌
Thanks
Movie nzuri sana Adam mungu akubariki
Amen🙏🙏🙏
Mmejitahidi Sana hongera kwa ku ekti movie vzr nimependa kwakweli
Asante sana. Ili usipitwe na kazi zetu mpya usiache ku Subscribe channel yetu.
Mwanamke c kiumbe mbaya ila ni kiumbe dhaifu sana.
Kabisa, umeongea kweli tupu.🙏
@@AdamLeoStudios mwanamke anaweza kukupenda lkn akarubuniwa kwa 10000 tu wajanja wakala migo
Issa Hassan inawezekana pia
Hii film ni nzur saanaaa na inafunzo zuri sana kuanzia vijana walio kwny barehe mpka wanandoa!!! Saaafiiiiii Mungu akujarie ufany kazi nzur zaid ya hiii saf saaanaaa....UBARIKIWE
Asante sana nashukuru, ubarikiwe🙏
Your movies are amazing, keep up the good work
Glad you like them!
Nimeipenda sana
Shukrani sana
Hii ndio movie nzuri zaidi ya mwaka 2021 so far
Asante sana kaka, kuna siku watanzania wote watalijua hili🙏🙏
Movies nzuli sana❤️❤️❤️❤️🔥
Asante sana
Bro Adam wew ni hancham boe saaan! Ila xax nikwamby k2 kimoja wivu nisehem yamaisha hasa katik safar ya utafutaj! Hii imenigusa saan kweny maisha yang nilitaman hata bae wang asiwe na chochote ili atulie na mm2 lkn nd hivyo
Pole jamani.
Kaz zenu nzur xana Mungu awatie nguvu ili mfanye makubwa xaidi
Asante sana🙏🙏nanyi msiache ku SUBSCRIBE ili msipitwe na filamu zetu mpya.
Watching from Zambia 🇿🇲🇿🇲🇿🇲nice nd educative movie
Thanks,
aaaah I love this movie
We kwaio izo dawa za kimasai za kunywa si nzuri
Sio nzuri kabisa.
mwanamke hachunguzwe na mwanaume hachunguzwe.ayo mausiano haya wezi fika mbali niliwai kuwa na mwanaume wa ivo ivo 😢 ila pole sana Adam
Shukrani
Movie nzuri ila Adam una moyo kweli wa kumuamini rafiki siku hizi hakuna marafiki ni wanafiki tu!
Kabisa kabisa! Rafiki mwingine angekugeuka hapo habari ingekuwa nyingine!
Rafiki Sio mnafiki ‘ mnafiki mwanamke wake..
@@ismailyusuph740 swadaqta. Wanawake wengne ovyo huyu atongozwa na shemeji.angalia alivojibu.hakusema m siwezi najiheshimu amesema je rafki yako akijua? Yaani hapa aonesha ako tayari lkn hataki mumewe ajue.kisha pale hoteli kapewa elfu10 kapokea upesi
@@maherzain615 ...Wanawake Ndio miyayusho ‘ Kwani ukitongozwa lazma ukubali..?....hujashikiwa PANGA wala BUNDUKI....Siku zote wanawake ni TAMAA zinawashusha thamani..!
Yaani.
Movie nzuli kabisa
Asante sana.
Usiache ku Subscribe channel yetu.
❤️❤️❤️❤️☝️☝️☝️sijawahi kuangalia bongo movie youtube hata siku moja 🤣🤣🤣lakini leo nmeangalia mwanzo mwisho kazi nzuri jaman nimeipenda mr Adam
Asante sana aisee. Ubarikiwe! Usiache ku subScribe channel yetu tu kwa kazi zetu mpya.
@@AdamLeoStudios aiseee mwaweza sana kuigiza yani movie zenu zote nzuri sana nawapenda sana nyote 😍😍💃💃
@veronica Asante sana!🙏🙏🙏
Oya hansi bonge la rafiki...nimekubali
Yah
Hakuna mafunzo yoyote zaid utovu wa nidham tu ...we dume zima hujiamin unatuma dume mwenzio limjaribu mkeo huo sio irijal ni ujinga wakupindukia ....
Yapo mtaani kwetu.
Hujierew we yakwako ikowap
Hahahaha @joram
Jamani me nampendaga uyu adam
Asante jamani nakupenda pia
Bigup cana
Shukrani sana
Movie nzuri hii nimejifuza mengi Sana asantee
Asante sana!🙏🙏🙏
Movie nzuri sana ila vijana jameni wacheni mambo ya punyetooo🤣 kwnza wenye wako gulf 👌 nice job 👏🔥💯
Yaani hatari kabisa.
Umeyataka mwenyewe🤣🤣
Yaani
Kazi nzuri sana❤
Asante sana
Adam hili bwawa lipo sehem gan
Mabibo
Kaka pambana mungu hatakuongoza umenifundisha kitu kikubwa
Asante sana ubarikiwe🙏
Asante kwa mafunzo
Ee mwenyezi mung nisaidie hili pepo lisije likanikumba 😢🙏🏽
Amen, ubarikiwe sana! Mungu atakuepusha na mabaya na kulinda mahusiano yako.
Usisahau ku Subscribe channel yetu kwa filamu zetu zijazo.🙏
Aa shemeji
@bremoo
Mambo
Poa @chrisant
Sonia hhhhhhhh kazi nzuriii long time kitamboo
🙏🙏 usiache ku subscribe channel yetu kwa filamu zetu zijazo.
Warangi oyeeee safi kaka amu ngojera
Hahhahaha warangi tunaye muwakilishi wenu humu. ROYAL IBIN NYERESSA
Mpnde mkeo mpnde mumeo muheshimiyane
Kabisaaa
Kabisa maana mapenzi ni upendo na heshima!
Kabisaaa
Kabisaaa