Safi mheshimiwa kama wakuu wote wa mikoa mngewajibika kama hivo taifa lingekuwa mbali sana kimaendeleo Asante Mheshimiwa Raisi Kwa kukuteua wewe pamoja na makonda na slaa mpo vizuri
Dah!wakati mwingine ukiona UZEMBE mkubwa unaofanywa na baadhi ya watumishi wa UMMA,unaona Hadi kinyaa.hivi watumishi labda niwaulize kitu Leo,mnataka hizi kazi za usimamizi tuwape WANAJESHI??????,
HOJA KAMA HIZO KWAMBA ETI MAKONDA NDIYE ORIGINAL WANACOPPY KWAKE,,,NI HOJA DHAIFU HATA KAMA NI KWELI LAKINI KWA MTU ANAYEJITAMBUA HAWEZI KUTAMKA HIVYO NADHANI HAUJAFIKIRIA VIZURI USINGE TAMKA HIVYO WEWE WAPONGEZE SANA WATU KAMA HAWA USIWAVUNJE MOYO ETI WANA COPPY KWA MAKONDA SASA UTASABABISHA WAACHE KUFANYA VIZURI ILI WASITAFSILIWE KWAMBA WAKO WANA COPPY MAANA WAKO WENGI WAZARENDO AMBAO MAMA SAMIA ANAWATEUWA KTK NAFASI MBALIMBALI SEMA TU WALIKUWA NA NIDHAMU YA WOGA WALITAKA MTU WA KUWAANZISHIA UJASILI WA KUWASEMA WAZI WATUMISHI WASIO WAJIBIKA NA MAFISADI WAKUBWA NA WADOGO,,MAFISASI WAKUBWA NI KAZI YA RAISI WETU KUWAONA NA KUWATOWA KWENYE MFUMO ,,NA MAFISADI WADOGO TUSAIDIWE NA WAKUU WA VITEGO WAKIWEMO WAKUU WA MIKOA,,WILAYA N.K
Mkuu wamkoa. Mzuri huna jaziba Wala mihemko uko vizuri
Asante Kwa Kutufuatilia
That's my Brother Mr Mtanda
Asante Kwa Kutufuatilia
Safi mheshimiwa kama wakuu wote wa mikoa mngewajibika kama hivo taifa lingekuwa mbali sana kimaendeleo Asante Mheshimiwa Raisi Kwa kukuteua wewe pamoja na makonda na slaa mpo vizuri
Asante Kwa Kutufuatilia
Yani huyu kiongozi apewe maua yake🎉
Asante Kwa Kutufuatilia
Upigaji tu wanataka kuuziana
Asante Kwa Kutufuatilia
Uyu uwa namkubari sn anaakili nyingi Sana
Asante Kwa Kutufuatilia
Wizi na uzembe serikalini😢
Asante Kwa Kutufuatilia
Ifike mahali serekali itupe ajira sisi darasa la Saba kama wasome wanavurunda namna hii kwanini sisi darasa la Saba tusianiriwe?
Asante Kwa Kutufuatilia
Mtanda kanyooka
Asante Kwa Kutufuatilia
Hii taalifa si niyazamani huko mara wewe unasema mwanza
Asante Kwa Kutufuatililia ila huyu kwa sasa ni Rc Wa Mwanza
Hii ni Kwimba Mwanza si Musoma
Dah!wakati mwingine ukiona UZEMBE mkubwa unaofanywa na baadhi ya watumishi wa UMMA,unaona Hadi kinyaa.hivi watumishi labda niwaulize kitu Leo,mnataka hizi kazi za usimamizi tuwape WANAJESHI??????,
Asante Kwa Kutufuatilia
Tangia ulipokuwa Mkuu wa Wilaya Arusha namkubali sana sana
Asante Kwa Kutufuatilia
Mtanda Mungu azidi kubariki katika kazi yako hua auna mzaa kwenye kazi mi nakukubali sana
Asante Kwa Kutufuatilia
Safi sana said katanda hao watumishi nimzigo
Asante Kwa Kutufuatilia
Msaidieni Mama❤
Mkuu ulikua wapi? Maana hayo magali wanagawana hao hao wala si mbovu ki hivyo
Asante Kwa Kutufuatilia
HAo Huwa wanajiuzia wenyewe vibaka hao fukuza
Asante Kwa Kutufuatilia
That's my Brother Mr Mtanda
Asante Kwa Kutufuatilia
Izo gar wakizpaki tu utaskia imeuzwa 2m
Asante Kwa Kutufuatilia
Huyu jamaa mpuuzi, Hana uchungu na Kodi za watanzania, afukuzwe kazi
Asante Kwa Kutufuatilia
magar yasiuzwetena,makeimekuwa diri,akienda mwingineilianunue ,anapigwa danadana ilimkatewajimilikishe ,garin8nzimazote,ilakunauhuni katkaharmashaurinyingi
Asante Kwa Kutufuatilia
Ccm.nchi.imewashinda.
Asante Kwa Kutufuatilia
Kwa Mtazamo wako wewe
Hawana uchungu na mali za umma potelea mbali hata kama zitauzwa kwa khasara
Asante Kwa Kutufuatilia
Kabisa
Bora hawa wakuu wa mikoa walio kubari kuigwa na wamefanikiwa hongera Makonda umeamsha nchi
Asante Kwa Kutufuatilia
Mpigie cm charamira aje manispaa ya Temeke kuna madudu kama hayo mkuu
Asante Kwa Kutufuatilia
Safi sana wabane hao wamelewa madaraka
Asante Kwa Kutufuatilia
Asante Kwa Kutufuatilia
Washenzi hao alimashauri kazi yao ni kunenepa tu kama jiwe la kobe watengeneze magari
Asante Kwa Kutufuatilia
Mia Moja sabini na Saba wezi hao hyo gari ya mchanga haizwi bei hyo wamekudanganya wamivimba nyuma hera za wizi
Asante Kwa Kutufuatilia
Nakukubali sana Mzee yaani kama Mzee Said wa Simba tu!!
Asante Kwa Kutufuatilia
Haha aibu hawana wizi tuu ni mpka mtu awazibishwe kisawasawa hii tu haitoshi
Asante Kwa Kutufuatilia
Kiukweli inasikitisha sana 😢 Taifa linachezewa vibaya mno na watendaji. Sijui tumerogwa na nani 😭
Asante Kwa Kutufuatilia
Ndio shida ya kuwalewa wez fukuza kaz
Ni kweli,na walivyo wa hovyo wakifeli wanailaumu serikali au Rais wakati wao ndio walioshindwa huko chini.inasikitisha mno uzembe wa hawa wafanyakazi.
Mali za SERIKALI hazina msimamizi
Asante Kwa Kutufuatilia
magar yasiuzwetena,makeimekuwa diri
Asante Kwa Kutufuatilia
MAKONDA amewaamsha hata mkifanya ni Copy And past
Hoja dhaifu hii
Asante Kwa Kutufuatilia
Huyu alikua anafuatilia tangu akiwa mkuu wa wilaya ya Arusha na Makonda alikua nje ya system
HOJA KAMA HIZO KWAMBA ETI MAKONDA NDIYE ORIGINAL WANACOPPY KWAKE,,,NI HOJA DHAIFU HATA KAMA NI KWELI LAKINI KWA MTU ANAYEJITAMBUA HAWEZI KUTAMKA HIVYO NADHANI HAUJAFIKIRIA VIZURI USINGE TAMKA HIVYO WEWE WAPONGEZE SANA WATU KAMA HAWA USIWAVUNJE MOYO ETI WANA COPPY KWA MAKONDA SASA UTASABABISHA WAACHE KUFANYA VIZURI ILI WASITAFSILIWE KWAMBA WAKO WANA COPPY MAANA WAKO WENGI WAZARENDO AMBAO MAMA SAMIA ANAWATEUWA KTK NAFASI MBALIMBALI SEMA TU WALIKUWA NA NIDHAMU YA WOGA WALITAKA MTU WA KUWAANZISHIA UJASILI WA KUWASEMA WAZI WATUMISHI WASIO WAJIBIKA NA MAFISADI WAKUBWA NA WADOGO,,MAFISASI WAKUBWA NI KAZI YA RAISI WETU KUWAONA NA KUWATOWA KWENYE MFUMO ,,NA MAFISADI WADOGO TUSAIDIWE NA WAKUU WA VITEGO WAKIWEMO WAKUU WA MIKOA,,WILAYA N.K
Jaman hawana uchungu ni kodi zetu hiz😢
Asante Kwa Kutufuatilia
Asante Kwa Kutufuatilia
Wanajiuzia nagari ya selikali
Asante Kwa Kutufuatilia
Senga
Asante Kwa Kutufuatilia
fumua comred haosiyo
Asante Kwa Kutufuatilia
Mkuu wa mkoa tatua changamoto za wananchi achana na magari fanya kama makonda
Asante Kwa Kutufuatilia
Wanataka wauziane bure.
Asante Kwa Kutufuatilia
Hapo kazi imeanza
Asante Kwa Kutufuatilia
MKUU ASANTE SANA
Asante Kwa Kutufuatilia
Kazi kazi
Asante Kwa Kutufuatilia
Akiri nyingi sn sn kuliko mkurupukaji waharusha
Asante Kwa Kutufuatilia
Wewe unajambo lako,kanywe sumu kama haumtaki Makonda