Msondo Ngoma Music Band - Ajali (Official Video)

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 3 лют 2016
  • Msondo Ngoma Music Band - Ajali (Official Video)
    Subscribe to Music of Africha: bit.ly/AfrichaMusicSubs

КОМЕНТАРІ • 261

  • @bama9271
    @bama9271 2 місяці тому +3

    Mziki wa sasa Ni ngoma na kukata miuno tu, Wala hakuna cha kujifunza zaidi ya ngono na ulevu tu ila zamani yalikuwa Ni madini ya hatari.gonga like hapa kama tuko pamoja 2024

  • @jacquemubembe2133
    @jacquemubembe2133 5 років тому +47

    Oh Mungu sijui kama Africa kuna wengine kama Msondo. Sikiya wimbo utapata elim. Hongereni sana, Mungu aziweke roho zenu mahala pema kwa wale ambao wametangulia amen.

    • @Pedeshee01
      @Pedeshee01 5 років тому +5

      JACQUE Mu BEMBE kweli kabisa usemalo yaani acha tu

  • @philipolucas9026
    @philipolucas9026 5 років тому +47

    Hizi ndio nyimbo message send hizi za sasa sijui nyegezi tupa kule!!

    • @jamesmgani8270
      @jamesmgani8270 4 роки тому +1

      Mumetoka wakuridhi hayupo mxiki vita

    • @jamesmgani8270
      @jamesmgani8270 4 роки тому +1

      hizi mesej sent

    • @happyjohn5882
      @happyjohn5882 3 роки тому +3

      Hahaaaaaa mara Amaboko sijui ndo nini Mungu wangu ila vijana wa karne hiii daah

    • @joyjilien5432
      @joyjilien5432 3 роки тому +1

      😂😂😂😂

  • @nolaskomajaliwa7202
    @nolaskomajaliwa7202 4 роки тому +18

    Diamond, Alikiba na Harmonise na wengine hajifunzi chochote hapa!

    • @ZacMahenge
      @ZacMahenge 2 місяці тому

      hawana muda huo,,, wao wanajua kuimba nyimbo za kitoto hizo

    • @athmanimkangara9290
      @athmanimkangara9290 3 дні тому

      Nyimbo za sasa unaambiwa mikono juu.....daah RIP legends
      14, july 2024

  • @osmond3616
    @osmond3616 2 роки тому +11

    Came here after watching a certain clip of a Rwandese man pushing a wheelbarrow in a busy highway. The song in the background "Ajali" by Msondo Ngoma. The song has a strong message.

  • @Isayaclement
    @Isayaclement 4 роки тому +9

    Jaman msondo ngoma' MUNGU alaze roho zenu mahli pema pepon wale muliotangulia mbele za haki, kwakwel hz ndiyo nyimbo cyo wanazoimba wasanii wa kileo

  • @lodidamisi1285
    @lodidamisi1285 3 роки тому +4

    Wenye mziki wao hao utaishi miaka million hii NI 25jan2021💥🔥

  • @belkoscongas242
    @belkoscongas242 2 місяці тому +1

    Ahh mungu wangu, msondo mna ujumbe kali sana hadi natoa machozi jaman

  • @wangwemrongoti3
    @wangwemrongoti3 5 років тому +44

    Jmn wanaume mateso haya mpk lini wap 2019 twende kazi kwa like zenu jmn💪

  • @aminamwanasali1056
    @aminamwanasali1056 4 роки тому +6

    Pumzika kwa Amani TX Moshi William,Hakika utabaki kuwa Alama kubwa ya Muziki wa Dansi Nchini Tanzania.

  • @emmahkiwelu984
    @emmahkiwelu984 3 роки тому +4

    R I P wote waliotangulia especially mabele alietutoka leo sept 2020

  • @amosyohana5351
    @amosyohana5351 3 роки тому +6

    Mziki wa zaman ni dhahabu.. RIP TX

  • @leanasendeu5215
    @leanasendeu5215 3 роки тому +3

    2021 lakini bado inabamba nakumbuka kipindi imetoka hii nyimbo duuuu kama unawakubali msondo ngoma gonga like

  • @sangomamourice3539
    @sangomamourice3539 2 роки тому +2

    Kila jambo limetutenga kilichobaki kutupa faraja ni aina hii ya music asante msondo

  • @ayoubbenta4955
    @ayoubbenta4955 5 років тому +7

    Huss3in jumbe in jembe sana.momba balaa tx maalim.mwanamume katu katu usikatee tammaa

  • @winifridandale8239
    @winifridandale8239 4 роки тому +21

    2020 hoyeeeeeeeeeeeeeee Jumbe wapiiiiiiiii

    • @deongowi3469
      @deongowi3469 3 роки тому

      Watu wenyekujua wanachoimba hawapo tena rp

    • @jameslukas953
      @jameslukas953 3 роки тому

      Jamani wanaume wapiiiiiii 2020 nateseka Sana

  • @yoelmwalwebe9354
    @yoelmwalwebe9354 4 роки тому +50

    jamani kwa nyimbo iziiiiii life xanaaaaa 2020 tunaomba like kama mnamukubliiii mzeeeee wetu apaaaaa,,,,,, mama angu nakukumbuka xanaaaaa kwa nyimbo hiziiiii,,,,mafankioooo mema kwenu ....... by mnyaq tz yoel

  • @robertmabu9289
    @robertmabu9289 4 роки тому +4

    noma sanaaa, nyimbo ina ujumbe full life

  • @RioIpo
    @RioIpo 2 роки тому +1

    Dah asanteni sana wazee wetu saivi ndio nayaona asee kuzaliwa mwanamme shida tupu Wallah tunaishi kwa uwezo wake Rahimu

  • @josephnyahende5955
    @josephnyahende5955 5 років тому +23

    Huu wimbo ni kwa ajili ya wote wanakutana na changamoto za ajali. R.I.P TX Moshi

  • @williamkirway5074
    @williamkirway5074 3 роки тому +2

    Mwanaume,malezi,uchumi,elimu,afya,na imani zakuabudi ni baba nikiongozi wa familia.

  • @frankmachumu3456
    @frankmachumu3456 3 роки тому +1

    Hawa jamaa walikuwa baba ya muziki Tanzania kwa kweli Mungu awarehemu waliko

  • @asharidhiwani5640
    @asharidhiwani5640 4 роки тому +27

    Daa namkumbuka mzee wangu libana alikua ananipeleka msondo miaka hiyo ya nyuma sasa kapatwa na malazi ya macho haoni daa masikini kweli hujafa hujaumbika

  • @butalaetv2208
    @butalaetv2208 2 роки тому +1

    mliimba kwa hisia nakujitolea sna hongeren wazee wetu mpumzike kwa aman

  • @chinatenga5775
    @chinatenga5775 4 роки тому +15

    hii nyimbo aliitunga tx William moshi baada yakupata ajali akavunjika mguu ulimsumbua mpk kupelekea kifo chake rip moshi mbwembwe momba maina gurumo nk

  • @mbarakachanduko4544
    @mbarakachanduko4544 2 роки тому +1

    Msondo ngoma duuuuh, zimbo zao zilikua na ujumbe mzito sanaa

  • @hajiabduly1396
    @hajiabduly1396 3 роки тому +5

    2021 still watching this song

  • @emmaculatajohn399
    @emmaculatajohn399 3 роки тому +4

    The beat mwaaa 😍😘

  • @LukakuBoy-ie5dd
    @LukakuBoy-ie5dd 4 місяці тому

    Daaa hizi ndo ngoma sasa mungu awasamehe makosa yao

  • @chapasukari8726
    @chapasukari8726 7 років тому +12

    your song will live forever

  • @josephboniface6209
    @josephboniface6209 4 роки тому +5

    Wapi Ngurumo.#

  • @saidfhamad
    @saidfhamad 2 роки тому +1

    I'm 24 lakini naipenda hii!!

  • @annaassenga6829
    @annaassenga6829 4 роки тому +4

    Yan nikisikiliza hii nyimbo nakumbuka mbali sana...

  • @simonselestin7554
    @simonselestin7554 4 роки тому +1

    Hapa kazi ilifanyika wazee walikuwa hawataki porojo kama za ndgu zetu wa leo nyimbo cku tatu imepita

  • @danielnyantory5132
    @danielnyantory5132 5 років тому +9

    Ina nikonga moyo naumia sana kila nisikiapo hizo nyimbo daaaa

  • @mudytandiko4698
    @mudytandiko4698 2 роки тому +1

    Mungu awalehem 🙏🙏🙏❤️ ❤️

  • @user-hs2wu7ex9z
    @user-hs2wu7ex9z 2 роки тому +6

    TX Moshi will certainly be missed. In any event, his music will live on. May his soul rest in peace and light perpetual shine upon him. Amen!

  • @ummyibrahim2119
    @ummyibrahim2119 4 роки тому +3

    Msondo ngoma baba lao

  • @user-uv1kh5eb1x
    @user-uv1kh5eb1x 4 місяці тому

    Old is gold

  • @morisisimbaza6041
    @morisisimbaza6041 2 роки тому

    Nyimbo zenu zitaishi mirere amina sio nyimbo za kisasa hazina mafundisho yoyote bari kuharibu jamii

  • @cabayekobelo4600
    @cabayekobelo4600 2 роки тому

    Daz nunda

  • @JosephineFabian-kb3fn
    @JosephineFabian-kb3fn 2 місяці тому

    Mungu awasamehe dhambi zenu huko mliko hakika ninyi ndio mlikuwa wasanii

  • @magesamatiku7919
    @magesamatiku7919 5 років тому +10

    Kuzaliwa mwanaume kazi kweli majukumu yote ni yako hadi siku ya kuiaga dunia.Respect kwa wanaume wote

  • @happyndyareba2129
    @happyndyareba2129 2 роки тому +1

    Nyimbo za aina hii ni za ajabu kweli!

  • @tezzoelias2513
    @tezzoelias2513 2 роки тому

    Daah hakika sichokagi kuusikiliza huu ujumbe

  • @kiwelamicky2763
    @kiwelamicky2763 7 місяців тому +1

    Its 6th Dec, 2023 still listening this amazing song😍😍

  • @jasmineshemweta1683
    @jasmineshemweta1683 4 роки тому +3

    RIP ndugu zetu kwa wale walio tangulia

  • @samweliatanisio7005
    @samweliatanisio7005 4 роки тому +1

    Nyimbo zenu maudhui, Mambo ya kwangwaruu hatuyawezi.

  • @_loseyi
    @_loseyi 3 роки тому +1

    Mwanaume anapopatwa na matatizo macho uwa mekundu

  • @mustaphawaziri5446
    @mustaphawaziri5446 5 років тому +4

    Nimeuludia zaidi ya 5×

  • @ombasaabuya9137
    @ombasaabuya9137 Рік тому +1

    Awesome 🎉😊

  • @simonkabuka9170
    @simonkabuka9170 3 роки тому +4

    Msondo in flying colors by then. Big up guys!

  • @benedictoryona6871
    @benedictoryona6871 4 роки тому +10

    Najisikiaa raahaa nikipigaaa hiziii nyimboo Leo 31 December 2019

  • @ndoanirahaonlinetv5031
    @ndoanirahaonlinetv5031 5 років тому +6

    kifo kinahitaji maandalizi

  • @norascombedule1057
    @norascombedule1057 5 років тому +9

    Asantee sana 03.01.2019 nikisindikizwa na Chelsea 5-0 Huddersfield

  • @user-cf7xd3ue1u
    @user-cf7xd3ue1u 4 місяці тому

    Wapo juu mungu awaweke panapo stahili👋

  • @edgarbakuza1838
    @edgarbakuza1838 5 років тому +7

    Who is still watching June,2019

  • @charleskinyeli5043
    @charleskinyeli5043 2 роки тому

    Daaah

  • @castoljmwalyego3778
    @castoljmwalyego3778 5 років тому +9

    Tsup,who still watching 2019
    Show love..
    Swahili to the world....

  • @jamalmainde4135
    @jamalmainde4135 2 роки тому

    Daàh acha tu

  • @benardgibet1434
    @benardgibet1434 3 роки тому +3

    Sweet song
    Long live good music

  • @fredymendessinkara760
    @fredymendessinkara760 4 роки тому +8

    I remember my father Kabwele mrefu was like this song Rest in peace my Dady

  • @suzanfelix8065
    @suzanfelix8065 3 роки тому

    Huyu bad boy nnae wa kitambo

  • @user-fm6ft8qm9w
    @user-fm6ft8qm9w Місяць тому

    Wanaume 😢😢

  • @mpapyreez1567
    @mpapyreez1567 4 роки тому +5

    2020 naisikilza hii kali San gonga like zakutosha

  • @rajabusaidikasimu2420
    @rajabusaidikasimu2420 Рік тому

    Nakubarisana

  • @FerdinandMwenda-pt9ef
    @FerdinandMwenda-pt9ef Рік тому

    Ndiowimbo

  • @officialbetterboy8130
    @officialbetterboy8130 2 роки тому +1

    Nyimbo inagusa sana

  • @amosiyohana8779
    @amosiyohana8779 5 років тому +5

    Mie naemtambua hapo ni huyu mweupe tx moshi wengne siwajui

    • @eliezakalaita7433
      @eliezakalaita7433 4 роки тому

      Hata Ngurumo hujamtambua?

    • @RioIpo
      @RioIpo 4 роки тому

      @@eliezakalaita7433 Sio muhenga uyo hamjui Jumbe ngurumo...sijui kama kina Suleiman Mbwembwe angewajua na Mabele

    • @hassanmsabahq7456
      @hassanmsabahq7456 4 роки тому

      Hapo kuna Hussein jumbe jose mahina Athumani Athumani momba mzee gurumo

  • @samsonkaboko5137
    @samsonkaboko5137 2 роки тому +1

    2021 still in msondo bira kuchuja maberaaaaaaa

  • @hemedytengu5718
    @hemedytengu5718 3 роки тому +3

    2021 nililia Sana kwa matatizo wallahi 😭😭

  • @young_brother27
    @young_brother27 6 місяців тому

    Good vibes🎉🎉🎉 nimemiss sana hii ngoma

  • @ramadhanijuma8896
    @ramadhanijuma8896 3 роки тому +1

    SUPERB
    OLD IS GOLD

  • @user-dm8cm8vh7j
    @user-dm8cm8vh7j 9 місяців тому

    Maisha ndi vyo yalivyo ahsante xana msomdo music

  • @jilesjames7830
    @jilesjames7830 2 роки тому

    Kali on memory

  • @allymadevu3068
    @allymadevu3068 3 роки тому +14

    Kama bado unaitazama mwaka 2021 like yako muimu pia mshukulu mungu kwa kukuweka

  • @ashuramlapagali6492
    @ashuramlapagali6492 4 роки тому +5

    MABELA AKIZIMA GITAA LAKE UHONDO KWA HERI!

    • @Pedeshee01
      @Pedeshee01 2 роки тому

      Hii nyimbo ilipotoka kulikuwa na rafiki yangu napenda kumuambia utajuta kuzaliwa mwanaume alikuwa anaipenda mwenyewe anakuambia marehemu anasema ukizaliwa mwanaume ni mateso,basi huyo rafiki na yeye alikuwa dereva wa lori akawaambia napumzika kidogo kwenye mti watu wanashusha mzigo wakamkuta kafa hapo hapo dah

    • @billymaluli9412
      @billymaluli9412 24 дні тому

      Daah😢

  • @MbeyaHotelLimited
    @MbeyaHotelLimited 3 місяці тому

    Nice song

  • @mohameddaniel1776
    @mohameddaniel1776 11 місяців тому

    Wahenga hao

  • @jacobjoel1533
    @jacobjoel1533 2 роки тому

    Ni noma wazee wa kazi hao

  • @macherathomas6474
    @macherathomas6474 5 років тому +1

    Huu wimbo unatuumiza sana wanaume wengi,hasa,Jumbe,karama,mabera,Bangwa,ally,mnyupe,romalio,wakimukumbuka moshi.

  • @ishaqanahodah664
    @ishaqanahodah664 5 років тому +3

    kweli mateso ndo maana tunakomaa na wazulu uhaibuni ila ipo siku kitaeleweka tu inshallah

  • @mek9495
    @mek9495 2 роки тому

    Old skuli wanaume tujuane kwa like na comments sio boys nimesema wanaume

  • @teddynjalila5984
    @teddynjalila5984 4 роки тому +16

    Old is good#2020

  • @shaabansoma7661
    @shaabansoma7661 4 роки тому +2

    The song remind me too far,most I remember those days when i was young that was 1991.

  • @aishaabdj8913
    @aishaabdj8913 5 років тому +8

    R,I,P,tax mosh pumzka kwa aman

    • @georgekinimba5091
      @georgekinimba5091 4 роки тому

      Hapo kuna Muhidii Gulumo,Husseni Jumbe,Joseph Maina

  • @robertshemaonge6000
    @robertshemaonge6000 5 років тому +3

    wap tx moshi punzika kwa aman katu katu tusikate tamaaa

  • @emmanuelbaraka2217
    @emmanuelbaraka2217 5 місяців тому +5

    2024 still listening

  • @agreykayombo2782
    @agreykayombo2782 4 роки тому

    Ukisikia mziki unaogusa hisia hapa ndiyo penyewe. Siyo hawa wahuni wa sasa wanaropoka hovyo na muziki ukipigwa wiki moja chali. Hapo hadi mwisho wa dahari ni burudani.

  • @FreshFizzo
    @FreshFizzo 4 роки тому +1

    2020....huu wimbo uliimbwa jamanii

  • @RozinaMassawe
    @RozinaMassawe Місяць тому

    Natazama now 2024

  • @LaurentMassawe-mf9ji
    @LaurentMassawe-mf9ji 2 місяці тому

    Poa❤😅😅😅

  • @jothamkibona2919
    @jothamkibona2919 2 роки тому

    Asante mnatupa faraja ingawa mmetangulia mbele ya haki

  • @simonmgaya2644
    @simonmgaya2644 4 роки тому +1

    Nakumbukambali hakunameseg sasahivi kunamatusi

  • @user-bk2uq1my8v
    @user-bk2uq1my8v 8 місяців тому

    Asante I msondo ngoma waume

  • @GillionMbano
    @GillionMbano 2 місяці тому

    Msondo

  • @dianacharles5852
    @dianacharles5852 3 роки тому

    Mateso kuhangaika....Omba Mungu Usikate Tamaa 2021 March

  • @majangamajanga2049
    @majangamajanga2049 3 роки тому +1

    Bado kalii 2021gonga like hapa

  • @paulomishamo8698
    @paulomishamo8698 2 роки тому

    Diamondi

  • @salimhassan9980
    @salimhassan9980 5 років тому +2

    Safii