Mziki wa sasa Ni ngoma na kukata miuno tu, Wala hakuna cha kujifunza zaidi ya ngono na ulevu tu ila zamani yalikuwa Ni madini ya hatari.gonga like hapa kama tuko pamoja 2024
Oh Mungu sijui kama Africa kuna wengine kama Msondo. Sikiya wimbo utapata elim. Hongereni sana, Mungu aziweke roho zenu mahala pema kwa wale ambao wametangulia amen.
Came here after watching a certain clip of a Rwandese man pushing a wheelbarrow in a busy highway. The song in the background "Ajali" by Msondo Ngoma. The song has a strong message.
jamani kwa nyimbo iziiiiii life xanaaaaa 2020 tunaomba like kama mnamukubliiii mzeeeee wetu apaaaaa,,,,,, mama angu nakukumbuka xanaaaaa kwa nyimbo hiziiiii,,,,mafankioooo mema kwenu ....... by mnyaq tz yoel
Daa namkumbuka mzee wangu libana alikua ananipeleka msondo miaka hiyo ya nyuma sasa kapatwa na malazi ya macho haoni daa masikini kweli hujafa hujaumbika
hii nyimbo aliitunga tx William moshi baada yakupata ajali akavunjika mguu ulimsumbua mpk kupelekea kifo chake rip moshi mbwembwe momba maina gurumo nk
Hii nyimbo ilipotoka kulikuwa na rafiki yangu napenda kumuambia utajuta kuzaliwa mwanaume alikuwa anaipenda mwenyewe anakuambia marehemu anasema ukizaliwa mwanaume ni mateso,basi huyo rafiki na yeye alikuwa dereva wa lori akawaambia napumzika kidogo kwenye mti watu wanashusha mzigo wakamkuta kafa hapo hapo dah
Ukisikia mziki unaogusa hisia hapa ndiyo penyewe. Siyo hawa wahuni wa sasa wanaropoka hovyo na muziki ukipigwa wiki moja chali. Hapo hadi mwisho wa dahari ni burudani.
Mziki wa sasa Ni ngoma na kukata miuno tu, Wala hakuna cha kujifunza zaidi ya ngono na ulevu tu ila zamani yalikuwa Ni madini ya hatari.gonga like hapa kama tuko pamoja 2024
Oh Mungu sijui kama Africa kuna wengine kama Msondo. Sikiya wimbo utapata elim. Hongereni sana, Mungu aziweke roho zenu mahala pema kwa wale ambao wametangulia amen.
JACQUE Mu BEMBE kweli kabisa usemalo yaani acha tu
Hizi ndio nyimbo message send hizi za sasa sijui nyegezi tupa kule!!
Mumetoka wakuridhi hayupo mxiki vita
hizi mesej sent
Hahaaaaaa mara Amaboko sijui ndo nini Mungu wangu ila vijana wa karne hiii daah
😂😂😂😂
Diamond, Alikiba na Harmonise na wengine hajifunzi chochote hapa!
hawana muda huo,,, wao wanajua kuimba nyimbo za kitoto hizo
Nyimbo za sasa unaambiwa mikono juu.....daah RIP legends
14, july 2024
Came here after watching a certain clip of a Rwandese man pushing a wheelbarrow in a busy highway. The song in the background "Ajali" by Msondo Ngoma. The song has a strong message.
We are on the same boat.
hahaha ilibidi pia mimi nikuje
I’m here too
@@bonifacekasoka4048 Q
Jaman msondo ngoma' MUNGU alaze roho zenu mahli pema pepon wale muliotangulia mbele za haki, kwakwel hz ndiyo nyimbo cyo wanazoimba wasanii wa kileo
Wenye mziki wao hao utaishi miaka million hii NI 25jan2021💥🔥
Ahh mungu wangu, msondo mna ujumbe kali sana hadi natoa machozi jaman
Jmn wanaume mateso haya mpk lini wap 2019 twende kazi kwa like zenu jmn💪
Pumzika kwa Amani TX Moshi William,Hakika utabaki kuwa Alama kubwa ya Muziki wa Dansi Nchini Tanzania.
R I P wote waliotangulia especially mabele alietutoka leo sept 2020
Mziki wa zaman ni dhahabu.. RIP TX
2021 lakini bado inabamba nakumbuka kipindi imetoka hii nyimbo duuuu kama unawakubali msondo ngoma gonga like
Kila jambo limetutenga kilichobaki kutupa faraja ni aina hii ya music asante msondo
Huss3in jumbe in jembe sana.momba balaa tx maalim.mwanamume katu katu usikatee tammaa
2020 hoyeeeeeeeeeeeeeee Jumbe wapiiiiiiiii
Watu wenyekujua wanachoimba hawapo tena rp
Jamani wanaume wapiiiiiii 2020 nateseka Sana
jamani kwa nyimbo iziiiiii life xanaaaaa 2020 tunaomba like kama mnamukubliiii mzeeeee wetu apaaaaa,,,,,, mama angu nakukumbuka xanaaaaa kwa nyimbo hiziiiii,,,,mafankioooo mema kwenu ....... by mnyaq tz yoel
Pamoja sana
Nyimbo zenye ujumbe mzito kwa jamii sio jeje
Waliokuwa kampani yangu wengi wametangulia inaniumiza sana
@@ramadhaninyambiza3707 qqqqqqq++q+
@@kimichamuya262 pole ndgu yangu
noma sanaaa, nyimbo ina ujumbe full life
Dah asanteni sana wazee wetu saivi ndio nayaona asee kuzaliwa mwanamme shida tupu Wallah tunaishi kwa uwezo wake Rahimu
Huu wimbo ni kwa ajili ya wote wanakutana na changamoto za ajali. R.I.P TX Moshi
Mwanaume,malezi,uchumi,elimu,afya,na imani zakuabudi ni baba nikiongozi wa familia.
Hawa jamaa walikuwa baba ya muziki Tanzania kwa kweli Mungu awarehemu waliko
Daa namkumbuka mzee wangu libana alikua ananipeleka msondo miaka hiyo ya nyuma sasa kapatwa na malazi ya macho haoni daa masikini kweli hujafa hujaumbika
Pole sana
mliimba kwa hisia nakujitolea sna hongeren wazee wetu mpumzike kwa aman
hii nyimbo aliitunga tx William moshi baada yakupata ajali akavunjika mguu ulimsumbua mpk kupelekea kifo chake rip moshi mbwembwe momba maina gurumo nk
Mh
Msondo ngoma duuuuh, zimbo zao zilikua na ujumbe mzito sanaa
2021 still watching this song
The beat mwaaa 😍😘
Daaa hizi ndo ngoma sasa mungu awasamehe makosa yao
your song will live forever
Wapi Ngurumo.#
I'm 24 lakini naipenda hii!!
Yan nikisikiliza hii nyimbo nakumbuka mbali sana...
Kweli ehhh
Hapa kazi ilifanyika wazee walikuwa hawataki porojo kama za ndgu zetu wa leo nyimbo cku tatu imepita
Ina nikonga moyo naumia sana kila nisikiapo hizo nyimbo daaaa
Mungu awalehem 🙏🙏🙏❤️ ❤️
TX Moshi will certainly be missed. In any event, his music will live on. May his soul rest in peace and light perpetual shine upon him. Amen!
Msondo ngoma baba lao
Old is gold
Nyimbo zenu zitaishi mirere amina sio nyimbo za kisasa hazina mafundisho yoyote bari kuharibu jamii
Daz nunda
Mungu awasamehe dhambi zenu huko mliko hakika ninyi ndio mlikuwa wasanii
Kuzaliwa mwanaume kazi kweli majukumu yote ni yako hadi siku ya kuiaga dunia.Respect kwa wanaume wote
Ni ukweli kabisa mkuu ila tusiogope tupo na Mungu asieshindwa kitu
Mungu awe nanyi
Amen
Nyimbo za aina hii ni za ajabu kweli!
Daah hakika sichokagi kuusikiliza huu ujumbe
Its 6th Dec, 2023 still listening this amazing song😍😍
RIP ndugu zetu kwa wale walio tangulia
Nyimbo zenu maudhui, Mambo ya kwangwaruu hatuyawezi.
Mwanaume anapopatwa na matatizo macho uwa mekundu
Nimeuludia zaidi ya 5×
Awesome 🎉😊
Msondo in flying colors by then. Big up guys!
Mosh William ajali
Najisikiaa raahaa nikipigaaa hiziii nyimboo Leo 31 December 2019
kifo kinahitaji maandalizi
Asantee sana 03.01.2019 nikisindikizwa na Chelsea 5-0 Huddersfield
😁😁😁
Wapo juu mungu awaweke panapo stahili👋
Who is still watching June,2019
Me
I am watching we kama unaangalia uno au nyegeze au sijui nn tell me what you get from nyegeze or uno!!!!hizi ngoma kali sana
Daaah
Tsup,who still watching 2019
Show love..
Swahili to the world....
Daàh acha tu
Sweet song
Long live good music
I remember my father Kabwele mrefu was like this song Rest in peace my Dady
Huyu bad boy nnae wa kitambo
Wanaume 😢😢
2020 naisikilza hii kali San gonga like zakutosha
Nakubarisana
Ndiowimbo
Nyimbo inagusa sana
Mie naemtambua hapo ni huyu mweupe tx moshi wengne siwajui
Hata Ngurumo hujamtambua?
@@eliezakalaita7433 Sio muhenga uyo hamjui Jumbe ngurumo...sijui kama kina Suleiman Mbwembwe angewajua na Mabele
Hapo kuna Hussein jumbe jose mahina Athumani Athumani momba mzee gurumo
2021 still in msondo bira kuchuja maberaaaaaaa
2021 nililia Sana kwa matatizo wallahi 😭😭
Pole usikate tamaa hemedy
Good vibes🎉🎉🎉 nimemiss sana hii ngoma
SUPERB
OLD IS GOLD
Maisha ndi vyo yalivyo ahsante xana msomdo music
Kali on memory
Kama bado unaitazama mwaka 2021 like yako muimu pia mshukulu mungu kwa kukuweka
MABELA AKIZIMA GITAA LAKE UHONDO KWA HERI!
Hii nyimbo ilipotoka kulikuwa na rafiki yangu napenda kumuambia utajuta kuzaliwa mwanaume alikuwa anaipenda mwenyewe anakuambia marehemu anasema ukizaliwa mwanaume ni mateso,basi huyo rafiki na yeye alikuwa dereva wa lori akawaambia napumzika kidogo kwenye mti watu wanashusha mzigo wakamkuta kafa hapo hapo dah
Daah😢
Nice song
Wahenga hao
Ni noma wazee wa kazi hao
Huu wimbo unatuumiza sana wanaume wengi,hasa,Jumbe,karama,mabera,Bangwa,ally,mnyupe,romalio,wakimukumbuka moshi.
Mmmh ayaa
kweli mateso ndo maana tunakomaa na wazulu uhaibuni ila ipo siku kitaeleweka tu inshallah
Old skuli wanaume tujuane kwa like na comments sio boys nimesema wanaume
Old is good#2020
Alwayssss
The song remind me too far,most I remember those days when i was young that was 1991.
R,I,P,tax mosh pumzka kwa aman
Hapo kuna Muhidii Gulumo,Husseni Jumbe,Joseph Maina
wap tx moshi punzika kwa aman katu katu tusikate tamaaa
2024 still listening
Ukisikia mziki unaogusa hisia hapa ndiyo penyewe. Siyo hawa wahuni wa sasa wanaropoka hovyo na muziki ukipigwa wiki moja chali. Hapo hadi mwisho wa dahari ni burudani.
2020....huu wimbo uliimbwa jamanii
Natazama now 2024
Poa❤😅😅😅
Asante mnatupa faraja ingawa mmetangulia mbele ya haki
Nakumbukambali hakunameseg sasahivi kunamatusi
Asante I msondo ngoma waume
Msondo
Mateso kuhangaika....Omba Mungu Usikate Tamaa 2021 March
Bado kalii 2021gonga like hapa
Diamondi
Safii