Msondo Ngoma Band Piga Ua Talaka Utatoa Official Video

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 28 сер 2024

КОМЕНТАРІ • 282

  • @ramadhaniramadhani0602
    @ramadhaniramadhani0602 4 місяці тому +5

    Who is still watching 2024🎉 old is gold❤

  • @zulachama1067
    @zulachama1067 Рік тому +3

    2023 wana msondo ngoma band nawasalimu nyote mlohai na walotutangulia mbele za haki mungu hawarehemu mahala pema peponi mzee wetu, nawapenda sana zilipendwa na zika pendeka kupendeza.watching from mombasa kenya

  • @danstanpanga8490
    @danstanpanga8490 8 місяців тому +3

    Ya kale ni dhahabu. Pumzikeni kwa amani wazee wetu watunzi mahiri na waimbaji wazuri kwa mafunzo mengi mliyotupa kwenye nyimbo zenu.

  • @tatuissa1571
    @tatuissa1571 2 роки тому +2

    Mungu awalaze mahari pema peponi amen kwa xababu hawata tokea wazee wet ujumb mzur Kama huu wa hawat tokea kabixa

  • @jacksaid
    @jacksaid 9 місяців тому +2

    Nostalgia, wazee pumzikeni kwa amani. I ❤ your songs sababu ni mafunzo tupu. From Congo

  • @user-sx3id3rv8l
    @user-sx3id3rv8l 7 місяців тому +12

    Any one 2024👁️👁️👁️

  • @mussadominick2930
    @mussadominick2930 5 років тому +6

    Msondoo ngomaaa 100% hakuna kama ninyi mliotangulia MUNGU awapumzishe mahala panapositahili

  • @AbdulAbdul-pr9qe
    @AbdulAbdul-pr9qe 3 роки тому +13

    2021 kwa uwezo wa Mungu natizama hii, gonga LIKE kama tupo pamoja

  • @joelnassari105
    @joelnassari105 7 років тому +21

    Best Band in Tanzania. ..R.I.P Msondo Legendary. ..Tx Moshi. ..Gurumo na wengne waliotangulia Mbele za haki tunawaombea, Mwenyenzi Mungu awape pumziko jema.

  • @zubedasaid5962
    @zubedasaid5962 6 років тому +25

    Hizi ndizo nyimbo haziwezi potea , sio hizo za vijana wasasa, we underrate our old musics

  • @samsondecoman983
    @samsondecoman983 4 роки тому +2

    Msondo wosia wenu kwasasa unatufaa sana sisi vijana Wa 2020 hata baadhi yawazee wasasa wamepoteza ladha.
    Ewe mwenyezi uwape pumziko tulivu.

  • @barikomrisho7842
    @barikomrisho7842 Рік тому +1

    Mungu awape pepo njema huko mbele ya haki mliko

  • @johnjoseph7363
    @johnjoseph7363 7 років тому +19

    kwa kweli mungu awangazie mwanga wa milele hawa ndg zetu wa msondo ngoma music kwa kututangulia mbele ya haki,hakika tunaheshimu sana kazi zao na tunazikumbuka sana

    • @saidali1611
      @saidali1611 6 років тому +1

      John Joseph @

    • @saidali1611
      @saidali1611 6 років тому +1

      kweli walikua juu sana mpaka leo hakuna kama msondo

    • @sadialex9402
      @sadialex9402 3 роки тому +1

      Mungu huyu basi bwana

  • @dottokondo7299
    @dottokondo7299 4 роки тому +4

    Mungu awa rehemu mlio tutangulia jamani ila msondo mlikua kiboko yao

  • @radhiarajabu5183
    @radhiarajabu5183 7 років тому +15

    kwa kweli msondo ngoma kiboko yao hakuna kama msondo

  • @thomaskasura7333
    @thomaskasura7333 4 роки тому +1

    Mabera toka 1972 mpaka leo msondo na roman1982 wapo nakumbuka mbali sana Central bar kibaha bado npo primary RIP mliotangulia

  • @KasibanteTonny-xo3dr
    @KasibanteTonny-xo3dr 7 місяців тому

    Otu jazz.pongezi tele kwa music wenu bora.Asante sana kwa kuburudisha inchi zetu africa mashariki.

  • @yoctanchandaromediarevolve9483
    @yoctanchandaromediarevolve9483 3 роки тому +14

    2021tunaingia na msondo gonga like kama unakubaliii

  • @jumbeomari3044
    @jumbeomari3044 6 років тому +11

    Kweli kijana wangu mashaka lunyombe hilo ni dongo waziwazi la bichuka maana izi band vijembe vingi wasababishaji ni bichuka na shabani dede ao ndio magwiji wa kuahama hama kidogo na hussein jumbe.

  • @geraldbenjamin9302
    @geraldbenjamin9302 3 роки тому +1

    Kuanzia Dakika ya tano tunaachana na ujumbe tunzaanza kuburudika na vyombo vya mziki. Kidogo tu, Kidogo eeeh, Kidogo tu, msondo ngoma, Kidogo tu heeee!/Anacheeeeeka

  • @nawihadj6674
    @nawihadj6674 6 років тому +4

    wanangu nyieee toka mdogoo nawakubari cz jumbe zenu zinaishi milele ,kazi zenu nzur snaa baba zngu

  • @elivtv.baseafrica3988
    @elivtv.baseafrica3988 6 років тому +3

    Nimeangaria uu wimbo nimekukumbuka bibi ang Upumzike kwa amani bibi ang kipenz nimekukumbuka

  • @mashakalunyombe2087
    @mashakalunyombe2087 6 років тому +5

    msondo kamili iyo na message hii niliambiwa na mtaalam wa mambo aya mhe j mpalasinge kuwa hilo ni dongo alikuwa anapelekewa hsn rehani bichuka nae kupitia ddc akajibu nyimbo inaitwa tende harua harua

  • @sierraminingltd1590
    @sierraminingltd1590 2 роки тому

    Ukisikia nyimbo zenye kufundisha nihizi sasa sio vijana wasasa wanaimba wameshiklia suruali kwachini nyimbo matusi matupu. Well done Msondo Ngoma

  • @samuelbyser5105
    @samuelbyser5105 2 роки тому +1

    Nyimbo zuri san hii ina mafunzo mazuri sana tutakukumbuka sana legendary wetu

  • @shebathutajirishohalisihal2458
    @shebathutajirishohalisihal2458 5 років тому +1

    Well well goon sana kutuletea hizi nyimbo .naomba ule wimbo unaosema .ukiona mtu mzima analia ujue kuna jambo.

  • @prosperhosea7966
    @prosperhosea7966 5 років тому +1

    Zilipendwa miziki sijaona kama inaupinzani kwasasa kwa upigaji mziki na kujipanga
    Ongereni sana wazee wetu maana ni nyimbo zilikua na maana

  • @fatmachambotanzania9379
    @fatmachambotanzania9379 5 років тому +1

    Kwa Tanzania bado hawajatokea kama nyinyu hakika msondo mlikua the best pumziken kwa aman wote mliotangulia TX MOSH WILLIAM &NGURUMO &MAINA &SULEMAIN MBWEMBWE

  • @shabanfungameza
    @shabanfungameza Рік тому

    Hizo ndizo nyimbo za hekima dah mungu awalaze mahara. Pema amin

  • @mahelamnazaletimahela9317
    @mahelamnazaletimahela9317 4 роки тому +1

    Dah baba zangu mungu awalaze mahali pema peponi emen

  • @vickieeddie2230
    @vickieeddie2230 Рік тому

    Daaah kuna mzee ukimuewekea hizi nyimbo analia vibaya jamani OLD IS GOLD 🙌

  • @jamesrobert8890
    @jamesrobert8890 3 роки тому +2

    Ngoma safi sana rest in peace mzee ngurumo na TX moshi William na wengine wote wana msondo ngoma kiukweli mlikua faraja ya watanzania mziki mliuweza sana hongereni sana kwa hilo.

  • @allykassim9826
    @allykassim9826 6 років тому +2

    Sep 2018. Siamini macho yangu. Jopo zima la wanaoimba hapo wamefariki dunia. Mungu wasamehe makosa yao na uwahifadhi. Amin.

  • @othumanally4529
    @othumanally4529 Рік тому

    Hiijawahi kutokea walllah! Na haitatokea kwa kuwa na wataalamu kama hao wa Kitanzania. Walitisha na walilitikisa jiji.

  • @obillaezra6205
    @obillaezra6205 3 роки тому +2

    Ni Nyimbo za Mwisho mwisho kupigwa wakiwa wote” Duh Mabera Mwana Kigoma, Momba, TX Moshi, Mahina’ Gurumo, Hakika Watanzania bado Wanawakumbuka”

  • @omarkhamis3909
    @omarkhamis3909 2 роки тому +1

    Hizi ndio ngoma zakusikiliza ambazo Zina mafundisho sio zasasa nyimbo matusi matupu

  • @priscafidelic9074
    @priscafidelic9074 4 роки тому +1

    Kwan hii nyimbo ya mwaka gan mana naisi cjui ckuzaliwa au nilizaliwa Nilikua mdogo sana nimeipenda

  • @mariamfritsi4943
    @mariamfritsi4943 7 місяців тому +1

    Kuanzia mashairi, upigaji,uimbaji,uchezaji,vyote ni burudani ,bado tunawakumbuka mlituburudisha sana enzi zenu ,ila jamani huyu mpiga guitar, analicharaza kwelikweli,nimempenda sana,hivi bado yupo hai?06.01.24.bado nasikiliza.

  • @zakariajoseph9435
    @zakariajoseph9435 8 років тому +14

    Nawakubal sana waliobaki mjitahid Sana

  • @yusufukazamba2391
    @yusufukazamba2391 4 роки тому +1

    Seleman mbwembwe; Tx moshi na Kamanda Gurumo tutawakumbuka daima

  • @abdallahmtosa6979
    @abdallahmtosa6979 Рік тому +1

    Inshaallah Mola awape kauli thabiti.

  • @matumbifaustine244
    @matumbifaustine244 5 років тому +10

    jaman nani ako namimi..2019^hapa machozi yananitoka

  • @freddykulwa8190
    @freddykulwa8190 Рік тому +1

    Nipo Senegal 🇸🇳 nasikilinza music 🎶 wanyumbani siku ya uhuru Tanzania 🇹🇿 mungu ibariki Tanzania 🇹🇿 9mwenzi 12 2022 .Africa

  • @robertrobert725
    @robertrobert725 4 роки тому

    Zakale nidhabu kwakweli kwenye bandi hiii sinaga swali na waliotangulia mungu awaweke mahali pema

  • @katibatanzania3089
    @katibatanzania3089 3 роки тому

    Izi ndiyo nyimbo za kuelimisha mana azina natusi wala azichakayi kuliko za vijana wetu wa ss azielimishi ni kupotosha tu bado mko vizuri

  • @ahmedyissa4777
    @ahmedyissa4777 9 місяців тому +1

    😢😢 nyimbo nzuri mno

  • @jumakitwikj5586
    @jumakitwikj5586 3 роки тому +1

    Nngurumo na moshi nawakumbuka sana awa waze

  • @mbiyugobo1031
    @mbiyugobo1031 8 років тому +14

    zakaria hawaliobaki hawezi kufikia hii musondo kama hii

  • @chandeyusufu9570
    @chandeyusufu9570 Рік тому +1

    Safi sana ujumbe mzuri

  • @hamisikaisi461
    @hamisikaisi461 5 років тому +3

    Ilikua kama team ya france ya 98 ya zidane...hatareeeeeee

  • @emmanuelmwanza6963
    @emmanuelmwanza6963 Рік тому

    sema dunian tunapita yan huu wimbo nikiusikiaga tu sehemu unapgwa machozi.huwa yananitoka,,huyu mtot mnenguaji cjui saiv anaisha gani nw2023

  • @Isaac-vm5mi
    @Isaac-vm5mi Рік тому +1

    Inanikumbusha kitambo kweli

  • @tobiasimussamuna1510
    @tobiasimussamuna1510 2 роки тому +1

    ama kweli ya kale ni dhahabu ina mafundisha kwenye maisha kuna wengine imewakuta

  • @mecksonlongole6034
    @mecksonlongole6034 7 місяців тому

    Huu ndiyo Muziki unaokupa full package yaani unaelimika na kuburudika

  • @allykindamba9800
    @allykindamba9800 2 роки тому +1

    Gitaa la mzee Mabela🙌🙌

  • @bakarisechala4951
    @bakarisechala4951 5 років тому +3

    Hivi vyuma vingekuwepo mziki wa dans ungebaki kwenye nafasi yake

  • @kassimulait7919
    @kassimulait7919 4 роки тому

    Kiukwel zamani kulikua na jumbe nzr sana kiukwel

  • @shambaiddi4984
    @shambaiddi4984 3 роки тому

    Tunajikumbusha maisha kitu huna badhi wala vazi lakini mtu unakuwa na furaha kwani kulikuwa hakuna malumbano watu walikuwa wanajuwa maisha hivi sasa ni ubinafsi tu kila mtu ana lake

  • @tonnykasibante8823
    @tonnykasibante8823 2 роки тому

    Asante sana otu jazz.Mmenikumbusha maneno mengi kwa wimbo wenyu.

  • @amanothmanhamimu1174
    @amanothmanhamimu1174 2 роки тому +1

    Best of msondo ngoma

  • @sadickndembo6642
    @sadickndembo6642 6 років тому +2

    Kumbuka baba angu alikua anawapenda

  • @machanoalawi9833
    @machanoalawi9833 4 роки тому +1

    Nikisiliza moyo wangu unatulia nyimbo kama wanayaona yanayo tokea mtaani

  • @aishamzonge457
    @aishamzonge457 2 роки тому +1

    walale mahala pema peponi hawa watu hakika waliifanya kazi yao vizuri sana May, 2022 gonga like

  • @ambroselugezi2187
    @ambroselugezi2187 2 місяці тому

    Mziki wa kweli. Safi sana

  • @brunoamir355
    @brunoamir355 2 роки тому

    Duh huyu ndo mungu anachukua chake kwa muda alopanga

  • @mitchy408
    @mitchy408 9 років тому +18

    Nimekua sina raha hapa nyumbani., kila siku maneno yako mama hayaishi..

  • @sezarialfred6240
    @sezarialfred6240 5 років тому +7

    Moshi pumzika sulema pumzika, ngurumo,pumzika,

  • @brunoamir355
    @brunoamir355 2 роки тому

    Mwendo mmemaliza wengine wapo good old is gold

  • @freddykulwa8190
    @freddykulwa8190 Рік тому

    Mziki ndio ingekuwa kufundisha maisha vijana

  • @sifaeljoseph7473
    @sifaeljoseph7473 9 років тому +18

    The best Tanzanian old skull forever. R.I.P Gurumo.

  • @jumammbaga9974
    @jumammbaga9974 3 місяці тому

    Nyimbo zote za wasafi na kile kituo chao cha kurushia matangazo yao na watangazi wote ni nyimbo moja ya walimwengu

  • @samwelinguru2837
    @samwelinguru2837 5 років тому +2

    Heshima kwenu wapendwa msondo ngoma!!!?, MUNGU awapunguzie adhabu ya kabur!!!!!!!!!!.

  • @babuchaya1410
    @babuchaya1410 3 роки тому +8

    2021 nipeni like zangu wajameni

  • @samsondecoman983
    @samsondecoman983 4 роки тому +2

    Mabela mbaka Leo unapeta, mungu akulinde.

  • @yusufukazamba2391
    @yusufukazamba2391 4 роки тому +1

    Ukweli utabaki ukweli hakika msondo ni baba lao

  • @aliissa6632
    @aliissa6632 5 років тому +3

    Itabaki store tu ila mziki ndio unapotea tamaduni zetu vijana wa leo wanaiga asili za wazungu tulindeni hadhina ya kitanzania jamani 2019 bado naikubali dhahabu yetu

  • @benlidigu5161
    @benlidigu5161 2 роки тому +2

    Msondo Ngoma Band has real talented musicians.

    • @hamisikinyari1293
      @hamisikinyari1293 2 роки тому

      2858

    • @RamadhanMagulu
      @RamadhanMagulu 11 місяців тому

      Tutawakumbuka. DAIMA......Walio hai na. Waliota gulia. Mbele ya. Haki. Msondo ilikuwa. Baba. Yao

  • @robertmussa4542
    @robertmussa4542 6 років тому +6

    Kwamungu kila got ripigwa mupumuzike kwa amani.

  • @maimunakassim2840
    @maimunakassim2840 3 роки тому +1

    Hii ndio miziki bhana 2021 twende sawa hapa

  • @user-yc1ih3sl6r
    @user-yc1ih3sl6r 6 місяців тому

    Nakumbuka mbali jamani dar

  • @user-on3lu7tj3f
    @user-on3lu7tj3f 10 місяців тому

    Baba la muziki❤

  • @olsvardonegredo5650
    @olsvardonegredo5650 3 роки тому +1

    Old Is Gold
    Pumzken Kwa Aman

  • @jddwanzalughendo2287
    @jddwanzalughendo2287 3 місяці тому +1

    Best songs

  • @abdallaabdulrahman8319
    @abdallaabdulrahman8319 6 років тому +8

    Hicho ni kijembe alichopigwa Hassan Bichuka baada ya kulazimisha kudai kuondoka kurudi Sikinde

    • @ferdinandmakore5002
      @ferdinandmakore5002 6 років тому

      abdalla abdulrahman hahaha ni kweli upo sahihi.

    • @shaabannyuge6857
      @shaabannyuge6857 5 років тому

      Kweli kabisa kaka ujumbe huo kwa njia ya muzki

    • @yusufukazamba2391
      @yusufukazamba2391 4 роки тому

      Ni kweli Bichuka alirudi sikinde

    • @yusufukazamba2391
      @yusufukazamba2391 4 роки тому +1

      Romario kaka endeleza jahazi LA msondo nawapenda sana nyimbo zenu ni darasa tosha

  • @RojaMtembez
    @RojaMtembez 3 місяці тому +2

    Mbilia beli wende

  • @samuelaleixo5247
    @samuelaleixo5247 Рік тому

    Nikisikiliza music huu nakumbuka malemu baba

  • @kumbukababu9454
    @kumbukababu9454 7 років тому +9

    hataree sana hii kitu

  • @musawaziri860
    @musawaziri860 7 місяців тому

    Kazi mzuri sana

  • @nyerere1259
    @nyerere1259 4 роки тому +14

    2020 like apa

    • @happyjohn5882
      @happyjohn5882 3 роки тому

      Tupo hapa rahaa sana,vijana wa sasa hivi wanaimba matope tuu Mara iokote sijui mara Amabokoo daah

  • @KasibanteTonny-xo3dr
    @KasibanteTonny-xo3dr 7 місяців тому

    Kutengana kwenu kusiwe chanzo cha uhasama.....

  • @abubakarlipululu3311
    @abubakarlipululu3311 5 років тому +1

    Nakumbuka mbali sana

  • @dr.willyshearonlinetv8396
    @dr.willyshearonlinetv8396 6 років тому

    napenda sana miziki aina hii maana inafundisha na haichuji milele

  • @peterkallenga5459
    @peterkallenga5459 8 років тому +18

    ni dhahabu

  • @jumannehamis8699
    @jumannehamis8699 3 роки тому

    Tam tam band kilio cha mtu mzima

  • @jovinjoseph4887
    @jovinjoseph4887 Рік тому

    Kutengana kwenu kusiwe chanzo cha uhasama.

  • @bakarishaban9311
    @bakarishaban9311 4 місяці тому

    Nyimbo za kizaz cha leo ni uchafi tu

  • @reface6780
    @reface6780 2 роки тому

    Dunia ni kweli tunapita, kizazi nenda kizazi rudi kumbe duh.

  • @carolynemkutano8086
    @carolynemkutano8086 7 місяців тому

    Zama zetu aki hadi raha

  • @tyronsweya4751
    @tyronsweya4751 3 роки тому

    Wakenya tuko hapa kweli

  • @simiyudennis88
    @simiyudennis88 6 років тому +2

    Musondo hooooyee.