SAFARI YA DAR - MORO KWA SGR, BEHEWA 14 PROF. MBARAWA ANENA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 100

  • @chuchumeta8374
    @chuchumeta8374 6 місяців тому +8

    Asante Magufuli

  • @salehsimba5306
    @salehsimba5306 6 місяців тому +6

    Kama tutashindwa kuumpa credit zake Magufuli bs adhabu kubwa itatushukia Siku za usoni. Tuache unafki Kazi kubwa imefanywa na serikali ya awamu ya 5, chini ya Simba wa Afrika John Pombe Joseph Magufuli. Mungu amrehemu ametutendea mema sana Tz

  • @batromeombogo297
    @batromeombogo297 6 місяців тому +4

    R.I.P UNCLE MAGU

  • @Ambeniwatano
    @Ambeniwatano 6 місяців тому +3

    Mim speed Kali ainihusu Sana mim wahudumu tu ndio wananipa rahaaa Sina hata haraka haraka ya Nini ? Wahudumu wanaswauti nyororo sijui nawaza nin mm huko choon sijui muhudum anaweza kutusindikiza jaman🥀🥀🌹❣️

    • @JK-uq1tv
      @JK-uq1tv 6 місяців тому

      😂😂😂

    • @JK-uq1tv
      @JK-uq1tv 6 місяців тому

      😂😂

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 6 місяців тому

      Hahaha..huyo unasafiri naye night kali,halafu huko ndani ya treni kuna club za pombe

  • @levissanga8867
    @levissanga8867 6 місяців тому +16

    Usimsahau mtangulizi. Acheni unafiki

  • @Odessaelectricaltechnology
    @Odessaelectricaltechnology 6 місяців тому +4

    Mama yetu Ameupiga mwingi Sana naitangaza najivunia kutangaza nchi yangu nikiwa 🇺🇲

  • @alphaxad7755
    @alphaxad7755 6 місяців тому +1

    vichwa vilivyo chongoka viko wapi maana vilionekana kipindi vinatengenezwa sahivi viko wapi🤷

  • @HalifaSeremani
    @HalifaSeremani 6 місяців тому

    Msimsahau mtangulizi wake mzee Magufuli mama ametekeleza tumpe ❤❤❤🎉🎉🎉 wote na waziri mkuu bigapu ❤❤❤

  • @Kim19onlinetv
    @Kim19onlinetv 6 місяців тому +2

    Aaaaa ❤ Tanzania nchi yetu

  • @mmarandu2417
    @mmarandu2417 6 місяців тому +1

    Thanks to God, thanks to JPM.

  • @omarmohamedmakadali1461
    @omarmohamedmakadali1461 6 місяців тому

    ALLAH Mpumzishe kwa aman anko JPM na umpe uhai na umlinde mama yetu Samia

  • @pendael02
    @pendael02 6 місяців тому +2

    R.I.P Magufuli

  • @DevidMketu
    @DevidMketu 6 місяців тому

    Muheshimiwa, Rais, Ayati John pombe Magufuli tunamshukuru Sana kwa Haya maono, naamin muh Rais mama Samia anayafuata Haya na ndiyo maana mpaka Sasa kila kitu kinaenda vizuri, naamin mama Samia ni yupo vizuri Sana ila namuombaa Sana hawangalie vizuri watu wake aliowapa majukumu Kwan wengine Kuna uwezekano Mkubwa Uwa wanamuangusha Sana, na raia wakiona hvyo wanabaki kuraumu serikari na mtu wa kwanza wanamlaumu Rais kumbe siyo hvyo, Rais hausike kwa chochote, watu wanaomzunguka tu ndiyo wanamuangusha, NAMPA PONGEZI PIA MAMA SAMIA HOEEEEEE, Asante mama kwa kuvumilia yote, naamin mwakani utapita na utakuja na Sera nzuri za kuinua uchumi wa kila raia au nchi kwa ujumla na kuwa makini na watu WOTE unaowapa majukumu, . UBARIKIWE MAMA.

  • @sanjeshsolanki5456
    @sanjeshsolanki5456 6 місяців тому

    Is it open for public viewing/visit while in test runs? When do we know the start of official operation? Nothing stated on your TRC website

  • @josephmturi6936
    @josephmturi6936 6 місяців тому +1

    Ahsante Jpm

  • @ThabitiMwinyi
    @ThabitiMwinyi 6 місяців тому +4

    mbona mnatest wenyew tu tuiten na raia hatutak kusmuliwa

    • @frankngoloka5416
      @frankngoloka5416 6 місяців тому

      Ukiwa jirani mnapanda tu

    • @ThabitiMwinyi
      @ThabitiMwinyi 6 місяців тому

      lini tena iyo safar m nipo pugu apa nije nione mwenyew alaf kam behew 14 zijazen zote tuone sio kutest tupu bila abilia

  • @KiongoziMwandamizi
    @KiongoziMwandamizi 6 місяців тому

    Tuanze route sasa mtoe mkeka wa bei/nauli. Pia hayo majaribio zisiwe behewa tupu wakati watu wapo next time behewa zijae abiria. Tunataka kazi iendelee sio kumsifia tu Mh Rais hilo tayari tunalijua anaupiga mwingi.Ni mi5 tena🖐️✍️🗣️

  • @Robert-p7c1k
    @Robert-p7c1k 6 місяців тому +3

    Huhitaji kumtaja Samia,woga tu wa kutumbuliwa 😂😂

    • @hassan0256
      @hassan0256 6 місяців тому

      Nilishangaa Rais wa Yanga Anampongeza Rais wa Nchi Kwa Timu yake kufuzu Robo Fainali

    • @Robert-p7c1k
      @Robert-p7c1k 6 місяців тому

      @@hassan0256 labda Kwa zawadi ya goli la mama 🤣

  • @selemanshidda9688
    @selemanshidda9688 6 місяців тому

    Speed===Kasi.
    Watanzania bwana! Kiswahili ni chao lakin wanakiharibu

  • @eyezarc1239
    @eyezarc1239 6 місяців тому

    🇰🇪🇰🇪jirani ataficha wapi sura yake na treni lake la gari moshi la mwaka 1889😂😂😂😂

  • @mkude
    @mkude 6 місяців тому +2

    Hongera mama Samia Hongera TRC

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 6 місяців тому +1

    Siku mtafanya test nyingine itangazwe ili wale wanaosafiri njia hiyo wapate hiyo ofa...

    • @AllyGibu-cz2vo
      @AllyGibu-cz2vo 6 місяців тому

      Una mawazo kama yangu

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 6 місяців тому

      @@AllyGibu-cz2vo wanaogopa ajali kubwa,hao viongozi wamejitolea kuwa sample

  • @HJ-wf2vi
    @HJ-wf2vi 6 місяців тому +1

    Kwa nini UONGO TU Ndg yangu Kadogosa?? Kipande Mwz _ Isaka ilishaanza ujenzi why Why?? Hii Nchi ni mhm sana sio UONGO TU

  • @prudence_muta
    @prudence_muta 6 місяців тому

    Magufuli 🎉🔥

  • @tanzanite9944
    @tanzanite9944 6 місяців тому

    Cha maana muweke Matanzagazo treni mpya kiandanza kazi Dar mpaka Moro basi Waluguru wahakikishe wameoga nakuvaa ngoo safi kabla ya kupanda treni la siyo wanawaweza wakaingia kwenye treni na magunia ya viazi, jembe na akiwa peku wakitokea milimaya Uluguru kwenda Dar.

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat6352 6 місяців тому +1

    Speed ndogo sana. Zipo south ni nouma.

    • @samwelimoshi5614
      @samwelimoshi5614 6 місяців тому

      Nmeshangaaaa sana mwendo wa kobe

    • @Sean1877
      @Sean1877 6 місяців тому

      Majaribio hayafanyikagi na spidi 160 hata siku moja

  • @josephmturi6936
    @josephmturi6936 6 місяців тому +1

    Nani kama Magufuli?????

  • @GabrielkindoleGodfrry
    @GabrielkindoleGodfrry 6 місяців тому

    Hizo testi zenu angekuwepo mwenyewe muazilishi leo tusingekua tunatesti ungekua nj usafili na watu wameshaizoea lkn kwa Sasa mmmmh hakuna kitu

  • @Jamesmwakisambwe-z3x
    @Jamesmwakisambwe-z3x 6 місяців тому

    Kinacho mponza huyu kanga ni mdomo acheni ujinga alah ! Unamwacha wapo mwamba JPM

  • @ShabaniAthumani-e5w
    @ShabaniAthumani-e5w 6 місяців тому

    Magu njoo ukuuu

  • @johnv6916
    @johnv6916 6 місяців тому +1

    Ao mnaandika abiria ni maccm tu, mnachukua wapambe mnasema ni abiria.

  • @suleimanikirassahassan9711
    @suleimanikirassahassan9711 6 місяців тому

    Yaani waandishi wanajibu hii hatari sana

  • @MajaliwaMajaliwa80
    @MajaliwaMajaliwa80 6 місяців тому

    Watanzania pamoja na viongozi kama kuku atukawii kusaau...mambo yote hayo magufuli tutamkumbuka sana magu. Hii nchi sio masikini viongozi awana uzalendo na nchi yao..

  • @waluohopaulo2116
    @waluohopaulo2116 6 місяців тому +2

    Nani kama Magufuli

    • @geraldgogadi7054
      @geraldgogadi7054 6 місяців тому

      Hayupo

    • @waluohopaulo2116
      @waluohopaulo2116 6 місяців тому

      @@geraldgogadi7054 Nyerere pia hayupo lakini mawazo yake hutajwa hata miradi zingine aliye anzisha kabla kuondoka uongozini magufuli alikuwa anazitaja.

    • @salehsimba5306
      @salehsimba5306 6 місяців тому

      Hayupo na hatotokea

    • @crershawmafia1009
      @crershawmafia1009 6 місяців тому +1

      Ukitaka kujua Magufuli alikuwa mtu utaona jinsi wanakwepa hata kumtaja jina lake😅

  • @JumaMario-px8tt
    @JumaMario-px8tt 6 місяців тому

    Mangufuli😢😢

  • @bigdad1816
    @bigdad1816 6 місяців тому

    Acheni unafiki na kujipendekeza hii yote ni kazi ya Marehemu Magufuri mpeni Heshima yake yeye ndiye aliyekuwa na maono hays Raisi Samia ameendeleza maono ya Kaka yake Marehemu Magufuri mpeni Heshima yake.

  • @geraldgogadi7054
    @geraldgogadi7054 6 місяців тому +1

    Endelea kulala JPM

  • @worldtechlab
    @worldtechlab 6 місяців тому

    Kwani za mchongoko ziko wapi nyinyi vipi jamani

  • @mastersuite2662
    @mastersuite2662 6 місяців тому

    Ile ya kuchongoka IPO wapi

  • @sophiamaiga5623
    @sophiamaiga5623 6 місяців тому

    Tutakukumbuka Rip magu

  • @SilaMinanda
    @SilaMinanda 6 місяців тому

    Serikali ya hawamu ya 6 ztachakaa sasa hivi na hakuna matengenezo, nasubria hadhi ya leo umeme mdgo haiwez kusafiri mpka kesho

  • @Happy-fk1ek
    @Happy-fk1ek 6 місяців тому

    Nauli shngap jamaniiiii????

  • @lilhydon452
    @lilhydon452 6 місяців тому

    Jamani acheni kampeni za kipuuzi sisi ndo tuna lipa kodi na tozo kila kona

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 6 місяців тому +1

    Mbona sioni wahudumu wa kiume? Acheni ubaguzi.

  • @AllyChalamila-v6p
    @AllyChalamila-v6p 6 місяців тому

    Behewa sio za kisasa pamoja na kichwa,Tunfanana nakenya ambao walianza.

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 6 місяців тому

      Kwenda huko Kenya... usitupigie kelele

  • @mussamussa8181
    @mussamussa8181 6 місяців тому

    Wapen na lift sasa watu wa moro na dar kila mkifanya majaribio...

  • @shabanihugo8332
    @shabanihugo8332 6 місяців тому

    Yaan ktk Tren nzima ni wanawake tu?!

  • @beaugosseadam6831
    @beaugosseadam6831 6 місяців тому +1

    Mradi unapokawia kuanza kuzalisha faida, Costa hupanda na unapoteza maana!!!

  • @danielandrew9892
    @danielandrew9892 6 місяців тому

    Inavutia sana

  • @abdallahkihanza482
    @abdallahkihanza482 6 місяців тому

    Mmepiga ngapi, maana mmeleta mabehewa ya mtumba na vichwa

  • @GabrielkindoleGodfrry
    @GabrielkindoleGodfrry 6 місяців тому

    Tuache mambo ya kinafik huo mrad pongez zote ziende kwa jpm mzee wetu magu yy ndio chuma na hakij tokea chuma kama hicho kamweeeeee

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si 6 місяців тому

    Bila uongozi kama MAGU KAMWE Baba tutakukumbuka

    • @khamissaleh921
      @khamissaleh921 3 місяці тому

      Hii ilikuwa ni East African Community manifesto kujenga SGR kwenye nchinzao ,hii project ikikuwa Kati ya Musseveni,Uhuru Kenyatta na Jakaya Kikwete ,na ikapitishwq katika bunge la Africa Mashsriki na utekelazaji ukaanza wakati wa Mhe Magufuli,na Miundo.mbinu mingi ilimaliziwa na Mhe Samia Suluh Hassan pamoja na ununuaji wa mabehewa na Vichwa na kuwekeza katika umeme wa kutosha.

  • @SaidiSheria
    @SaidiSheria 6 місяців тому

    Hizo Kodi zetu sasa Samia anakujaje Acheni kujipendekezaza

  • @drnow1528
    @drnow1528 6 місяців тому

    Mama Samia hoyee

  • @SUDIMDUGUNDWA
    @SUDIMDUGUNDWA 6 місяців тому

    Acheni kumpa kiki ambae kaikuta mpeni sifa zake mwanzirishi

  • @martinmhando2079
    @martinmhando2079 6 місяців тому

    hawa jamaa wanaoimba wananikera sana kwakweli hawaezi nyamaza hawa?😢😢

  • @suleimanikirassahassan9711
    @suleimanikirassahassan9711 6 місяців тому

    Natumaini Magufuli angekua hai wewe usingekuwepo ofisini magoigoi sana

  • @MOHAMMEDABDI-lb7yp
    @MOHAMMEDABDI-lb7yp 6 місяців тому

    Na huu umeme wa mgao itakuwaje

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat6352 6 місяців тому +1

    Tuambieni mmetumia muda gani?

  • @abdallahkihanza482
    @abdallahkihanza482 6 місяців тому

    Mbarawa imechoka wapishe wengine

  • @Veni584
    @Veni584 6 місяців тому

    Nani kama Magufuli?

  • @mussamussa8181
    @mussamussa8181 6 місяців тому

    Sasa apo nan kama mama samia kaingiaje tena

  • @kakawataifa6752
    @kakawataifa6752 6 місяців тому

    Najiuliza hii ni ya mwendo kasi au mwendo wa pole

  • @lekishonmolele1859
    @lekishonmolele1859 6 місяців тому

    Magu tuna kukumbuka sana hii serikali ya mama Samia ni ya mchongo tu na propaganda hakuna lolote

  • @MajaliwaMajaliwa80
    @MajaliwaMajaliwa80 6 місяців тому

    Mwamba kaondoka endeleeni kupeleka mchanga ulaya

  • @renatusblandes1131
    @renatusblandes1131 6 місяців тому

    Hapo mgeweka wanchi wa kawaida na si ninyi wenye nyasifa mbalimbali

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 6 місяців тому

      Waambie, maana wanajitekenya na kucheka wenyewe

  • @m.e.ssofttech2806
    @m.e.ssofttech2806 6 місяців тому

    Agizane vichwa vya spidi kubwa kama 360km/h, mwendo Kasi hupunguzwa na dereva pekee

    • @crershawmafia1009
      @crershawmafia1009 6 місяців тому

      Hio speed kubwa sana walete vya 250km/h tu vinatufaa kwa kuanzia

    • @m.e.ssofttech2806
      @m.e.ssofttech2806 6 місяців тому

      @@crershawmafia1009 hata hiyo ya 250km/h nzuri

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 6 місяців тому +3

    Majitu bwana hebu muwe waungwana mngepewe nyie ndio mngekuwa waaminifu saana? Acheni hasadi woote sie wizi hatujapata tu hizo nafasi

    • @bajagihaji8923
      @bajagihaji8923 6 місяців тому +1

      Ni kweli hawakupata nafasi wamepata unafiki

  • @mopalmo5818
    @mopalmo5818 6 місяців тому

    NANI KAMA MAGUFULI ???

  • @MkayulaDavid
    @MkayulaDavid 6 місяців тому

    Bado speed ni ndogo sana viongozi

  • @mopalmo5818
    @mopalmo5818 6 місяців тому

    Magufuli

  • @cidewashington670
    @cidewashington670 6 місяців тому

    Huyo mzee ndio aliyegusa Bandari muda si mrefu nasikia na treni yenyewe imeuzwa

  • @alphaxad7755
    @alphaxad7755 6 місяців тому

    vichwa vilivyo chongoka viko wapi maana vilionekana kipindi vinatengenezwa sahivi viko wapi🤷