Kama tutashindwa kuumpa credit zake Magufuli bs adhabu kubwa itatushukia Siku za usoni. Tuache unafki Kazi kubwa imefanywa na serikali ya awamu ya 5, chini ya Simba wa Afrika John Pombe Joseph Magufuli. Mungu amrehemu ametutendea mema sana Tz
Mim speed Kali ainihusu Sana mim wahudumu tu ndio wananipa rahaaa Sina hata haraka haraka ya Nini ? Wahudumu wanaswauti nyororo sijui nawaza nin mm huko choon sijui muhudum anaweza kutusindikiza jaman🥀🥀🌹❣️
Muheshimiwa, Rais, Ayati John pombe Magufuli tunamshukuru Sana kwa Haya maono, naamin muh Rais mama Samia anayafuata Haya na ndiyo maana mpaka Sasa kila kitu kinaenda vizuri, naamin mama Samia ni yupo vizuri Sana ila namuombaa Sana hawangalie vizuri watu wake aliowapa majukumu Kwan wengine Kuna uwezekano Mkubwa Uwa wanamuangusha Sana, na raia wakiona hvyo wanabaki kuraumu serikari na mtu wa kwanza wanamlaumu Rais kumbe siyo hvyo, Rais hausike kwa chochote, watu wanaomzunguka tu ndiyo wanamuangusha, NAMPA PONGEZI PIA MAMA SAMIA HOEEEEEE, Asante mama kwa kuvumilia yote, naamin mwakani utapita na utakuja na Sera nzuri za kuinua uchumi wa kila raia au nchi kwa ujumla na kuwa makini na watu WOTE unaowapa majukumu, . UBARIKIWE MAMA.
Tuanze route sasa mtoe mkeka wa bei/nauli. Pia hayo majaribio zisiwe behewa tupu wakati watu wapo next time behewa zijae abiria. Tunataka kazi iendelee sio kumsifia tu Mh Rais hilo tayari tunalijua anaupiga mwingi.Ni mi5 tena🖐️✍️🗣️
Cha maana muweke Matanzagazo treni mpya kiandanza kazi Dar mpaka Moro basi Waluguru wahakikishe wameoga nakuvaa ngoo safi kabla ya kupanda treni la siyo wanawaweza wakaingia kwenye treni na magunia ya viazi, jembe na akiwa peku wakitokea milimaya Uluguru kwenda Dar.
Watanzania pamoja na viongozi kama kuku atukawii kusaau...mambo yote hayo magufuli tutamkumbuka sana magu. Hii nchi sio masikini viongozi awana uzalendo na nchi yao..
@@geraldgogadi7054 Nyerere pia hayupo lakini mawazo yake hutajwa hata miradi zingine aliye anzisha kabla kuondoka uongozini magufuli alikuwa anazitaja.
Acheni unafiki na kujipendekeza hii yote ni kazi ya Marehemu Magufuri mpeni Heshima yake yeye ndiye aliyekuwa na maono hays Raisi Samia ameendeleza maono ya Kaka yake Marehemu Magufuri mpeni Heshima yake.
Hii ilikuwa ni East African Community manifesto kujenga SGR kwenye nchinzao ,hii project ikikuwa Kati ya Musseveni,Uhuru Kenyatta na Jakaya Kikwete ,na ikapitishwq katika bunge la Africa Mashsriki na utekelazaji ukaanza wakati wa Mhe Magufuli,na Miundo.mbinu mingi ilimaliziwa na Mhe Samia Suluh Hassan pamoja na ununuaji wa mabehewa na Vichwa na kuwekeza katika umeme wa kutosha.
Asante Magufuli
Kama tutashindwa kuumpa credit zake Magufuli bs adhabu kubwa itatushukia Siku za usoni. Tuache unafki Kazi kubwa imefanywa na serikali ya awamu ya 5, chini ya Simba wa Afrika John Pombe Joseph Magufuli. Mungu amrehemu ametutendea mema sana Tz
R.I.P UNCLE MAGU
Mim speed Kali ainihusu Sana mim wahudumu tu ndio wananipa rahaaa Sina hata haraka haraka ya Nini ? Wahudumu wanaswauti nyororo sijui nawaza nin mm huko choon sijui muhudum anaweza kutusindikiza jaman🥀🥀🌹❣️
😂😂😂
😂😂
Hahaha..huyo unasafiri naye night kali,halafu huko ndani ya treni kuna club za pombe
Usimsahau mtangulizi. Acheni unafiki
Anasikia?focus kijana
RIP JPM
Kwani wewe, Tatizo lako nini, kwani nani kakwambia kama alioanzisha kasauliwa.
Mama yetu Ameupiga mwingi Sana naitangaza najivunia kutangaza nchi yangu nikiwa 🇺🇲
vichwa vilivyo chongoka viko wapi maana vilionekana kipindi vinatengenezwa sahivi viko wapi🤷
Msimsahau mtangulizi wake mzee Magufuli mama ametekeleza tumpe ❤❤❤🎉🎉🎉 wote na waziri mkuu bigapu ❤❤❤
Aaaaa ❤ Tanzania nchi yetu
Thanks to God, thanks to JPM.
ALLAH Mpumzishe kwa aman anko JPM na umpe uhai na umlinde mama yetu Samia
R.I.P Magufuli
Muheshimiwa, Rais, Ayati John pombe Magufuli tunamshukuru Sana kwa Haya maono, naamin muh Rais mama Samia anayafuata Haya na ndiyo maana mpaka Sasa kila kitu kinaenda vizuri, naamin mama Samia ni yupo vizuri Sana ila namuombaa Sana hawangalie vizuri watu wake aliowapa majukumu Kwan wengine Kuna uwezekano Mkubwa Uwa wanamuangusha Sana, na raia wakiona hvyo wanabaki kuraumu serikari na mtu wa kwanza wanamlaumu Rais kumbe siyo hvyo, Rais hausike kwa chochote, watu wanaomzunguka tu ndiyo wanamuangusha, NAMPA PONGEZI PIA MAMA SAMIA HOEEEEEE, Asante mama kwa kuvumilia yote, naamin mwakani utapita na utakuja na Sera nzuri za kuinua uchumi wa kila raia au nchi kwa ujumla na kuwa makini na watu WOTE unaowapa majukumu, . UBARIKIWE MAMA.
Is it open for public viewing/visit while in test runs? When do we know the start of official operation? Nothing stated on your TRC website
Ahsante Jpm
mbona mnatest wenyew tu tuiten na raia hatutak kusmuliwa
Ukiwa jirani mnapanda tu
lini tena iyo safar m nipo pugu apa nije nione mwenyew alaf kam behew 14 zijazen zote tuone sio kutest tupu bila abilia
Tuanze route sasa mtoe mkeka wa bei/nauli. Pia hayo majaribio zisiwe behewa tupu wakati watu wapo next time behewa zijae abiria. Tunataka kazi iendelee sio kumsifia tu Mh Rais hilo tayari tunalijua anaupiga mwingi.Ni mi5 tena🖐️✍️🗣️
Huhitaji kumtaja Samia,woga tu wa kutumbuliwa 😂😂
Nilishangaa Rais wa Yanga Anampongeza Rais wa Nchi Kwa Timu yake kufuzu Robo Fainali
@@hassan0256 labda Kwa zawadi ya goli la mama 🤣
Speed===Kasi.
Watanzania bwana! Kiswahili ni chao lakin wanakiharibu
🇰🇪🇰🇪jirani ataficha wapi sura yake na treni lake la gari moshi la mwaka 1889😂😂😂😂
Hongera mama Samia Hongera TRC
Siku mtafanya test nyingine itangazwe ili wale wanaosafiri njia hiyo wapate hiyo ofa...
Una mawazo kama yangu
@@AllyGibu-cz2vo wanaogopa ajali kubwa,hao viongozi wamejitolea kuwa sample
Kwa nini UONGO TU Ndg yangu Kadogosa?? Kipande Mwz _ Isaka ilishaanza ujenzi why Why?? Hii Nchi ni mhm sana sio UONGO TU
Magufuli 🎉🔥
Cha maana muweke Matanzagazo treni mpya kiandanza kazi Dar mpaka Moro basi Waluguru wahakikishe wameoga nakuvaa ngoo safi kabla ya kupanda treni la siyo wanawaweza wakaingia kwenye treni na magunia ya viazi, jembe na akiwa peku wakitokea milimaya Uluguru kwenda Dar.
Speed ndogo sana. Zipo south ni nouma.
Nmeshangaaaa sana mwendo wa kobe
Majaribio hayafanyikagi na spidi 160 hata siku moja
Nani kama Magufuli?????
Hizo testi zenu angekuwepo mwenyewe muazilishi leo tusingekua tunatesti ungekua nj usafili na watu wameshaizoea lkn kwa Sasa mmmmh hakuna kitu
Kinacho mponza huyu kanga ni mdomo acheni ujinga alah ! Unamwacha wapo mwamba JPM
Magu njoo ukuuu
Ao mnaandika abiria ni maccm tu, mnachukua wapambe mnasema ni abiria.
Yaani waandishi wanajibu hii hatari sana
Watanzania pamoja na viongozi kama kuku atukawii kusaau...mambo yote hayo magufuli tutamkumbuka sana magu. Hii nchi sio masikini viongozi awana uzalendo na nchi yao..
Nani kama Magufuli
Hayupo
@@geraldgogadi7054 Nyerere pia hayupo lakini mawazo yake hutajwa hata miradi zingine aliye anzisha kabla kuondoka uongozini magufuli alikuwa anazitaja.
Hayupo na hatotokea
Ukitaka kujua Magufuli alikuwa mtu utaona jinsi wanakwepa hata kumtaja jina lake😅
Mangufuli😢😢
Acheni unafiki na kujipendekeza hii yote ni kazi ya Marehemu Magufuri mpeni Heshima yake yeye ndiye aliyekuwa na maono hays Raisi Samia ameendeleza maono ya Kaka yake Marehemu Magufuri mpeni Heshima yake.
Endelea kulala JPM
Kwani za mchongoko ziko wapi nyinyi vipi jamani
Ile ya kuchongoka IPO wapi
Tutakukumbuka Rip magu
Serikali ya hawamu ya 6 ztachakaa sasa hivi na hakuna matengenezo, nasubria hadhi ya leo umeme mdgo haiwez kusafiri mpka kesho
Nauli shngap jamaniiiii????
Jamani acheni kampeni za kipuuzi sisi ndo tuna lipa kodi na tozo kila kona
Mbona sioni wahudumu wa kiume? Acheni ubaguzi.
Umekosa hoja
Behewa sio za kisasa pamoja na kichwa,Tunfanana nakenya ambao walianza.
Kwenda huko Kenya... usitupigie kelele
Wapen na lift sasa watu wa moro na dar kila mkifanya majaribio...
Yaan ktk Tren nzima ni wanawake tu?!
Mradi unapokawia kuanza kuzalisha faida, Costa hupanda na unapoteza maana!!!
Inavutia sana
Mmepiga ngapi, maana mmeleta mabehewa ya mtumba na vichwa
Tuache mambo ya kinafik huo mrad pongez zote ziende kwa jpm mzee wetu magu yy ndio chuma na hakij tokea chuma kama hicho kamweeeeee
Bila uongozi kama MAGU KAMWE Baba tutakukumbuka
Hii ilikuwa ni East African Community manifesto kujenga SGR kwenye nchinzao ,hii project ikikuwa Kati ya Musseveni,Uhuru Kenyatta na Jakaya Kikwete ,na ikapitishwq katika bunge la Africa Mashsriki na utekelazaji ukaanza wakati wa Mhe Magufuli,na Miundo.mbinu mingi ilimaliziwa na Mhe Samia Suluh Hassan pamoja na ununuaji wa mabehewa na Vichwa na kuwekeza katika umeme wa kutosha.
Hizo Kodi zetu sasa Samia anakujaje Acheni kujipendekezaza
Mama Samia hoyee
Acheni kumpa kiki ambae kaikuta mpeni sifa zake mwanzirishi
hawa jamaa wanaoimba wananikera sana kwakweli hawaezi nyamaza hawa?😢😢
Natumaini Magufuli angekua hai wewe usingekuwepo ofisini magoigoi sana
Na huu umeme wa mgao itakuwaje
Tuambieni mmetumia muda gani?
Saa mbili,wametaja muda
Mbarawa imechoka wapishe wengine
Nani kama Magufuli?
Sasa apo nan kama mama samia kaingiaje tena
Najiuliza hii ni ya mwendo kasi au mwendo wa pole
Mwendo kasi
Magu tuna kukumbuka sana hii serikali ya mama Samia ni ya mchongo tu na propaganda hakuna lolote
Mwamba kaondoka endeleeni kupeleka mchanga ulaya
Hapo mgeweka wanchi wa kawaida na si ninyi wenye nyasifa mbalimbali
Waambie, maana wanajitekenya na kucheka wenyewe
Agizane vichwa vya spidi kubwa kama 360km/h, mwendo Kasi hupunguzwa na dereva pekee
Hio speed kubwa sana walete vya 250km/h tu vinatufaa kwa kuanzia
@@crershawmafia1009 hata hiyo ya 250km/h nzuri
Majitu bwana hebu muwe waungwana mngepewe nyie ndio mngekuwa waaminifu saana? Acheni hasadi woote sie wizi hatujapata tu hizo nafasi
Ni kweli hawakupata nafasi wamepata unafiki
NANI KAMA MAGUFULI ???
Bado speed ni ndogo sana viongozi
Magufuli
Huyo mzee ndio aliyegusa Bandari muda si mrefu nasikia na treni yenyewe imeuzwa
vichwa vilivyo chongoka viko wapi maana vilionekana kipindi vinatengenezwa sahivi viko wapi🤷