A real defining project. One to change Tanzania's role and position in the African economic. A huge will be on how to manager the infrastructures so that they can reach their expected life span. Kudos Tz
Mungu mkubwa twakuomba uendelee kutubariki bila ya wewe hakuna litalowezeka kikubwa tunasema asnt sn Mungu....pia shuqrani kwa viongozi waliokuwa sababu ya kukamilisha hili jambo M/Mungu awabariki na waliotangulia mbele ya haki M/Mungu awapumzishe kwa Amani.....
Hongera Tanzania lakini msimsahau mh magufuli alianzisha Kwa kishindo na dunia nzima inashangaza lakini alikuwa na utashi hao wamaghalibi hawajawahi itakia mzuri Africa hilo mlijue
mmezungumza sana angekuwepo JPM ingekuwa mmeanza kusafirisha punguzeni maneno.hayo mabehewa ya abiria kutoka ujerumani yako wapi ulisema ni therathini yaliingia sita
Hata kama jpm hayupo Alama alizoweka ni kubwa sana hakuna rais aliyeweka Alama kubwa kama jpm na samia a bit anafanyakazi nzuri, awamu zingine hazikuwa na maono
Walitawala kama wakoloni tu. Kila alichokuwa akikusudia JKN, JPM kakianzisha na SSH kakiendeleza kwa dhamira ya kukikamilisha. JPM amethubutu kuanzisha ujenzi wa Bwawa la Kuzalisha megawatts 2,115 za umeme; reli ya kiwango cha kimataifa ya umeme yenye urefu wa zaidi ya kilometa 2,700 ambayo light train inayosafiri kwa kasi ya kiliometa 160 kwa saa na heavy train ya kasi ya kilometa 120 kwa saa. Kuhamishia ofisi za serikali Dodoma, uwanja wa ndege wa Msalato, Daraja la JPM, n.k.
hakuna rais angethubutu kuanza from scratch huu mradi huyo mwengine amekta kila kita kiko tayari asingeweza Thubutu kujenga mahanaki Madarsja no never rest in peace magufuli
Wabaguzi hao hawajawapa kazi wanawake ina maana Tanzania nzima hamna wanawake wangeweza kujifunza kuendesha treni mbona kuna marubani wanawake ATC ???? Hii ni bogus kabisa lazima ipigiwe kelele Na hata ajira zao Wale wahudumu wanawake inaonekana kama almost ni kabila moja au baadhi ya mikoa tu.
ASANTENI WATANZANIA KWA MWELEKEO UPYA KARNE HII. MUSIBANDUKE HADI WALE WALIOWACHEKELEA MIAKA ZA ZAMANI WAJE WAOMBE MSAHAHA. NATAMANI KUSTAAFU NCHINI KWENU.
Asante sana Magufuli kwa uthubutu huu.
A real defining project. One to change Tanzania's role and position in the African economic. A huge will be on how to manager the infrastructures so that they can reach their expected life span. Kudos Tz
Ahsante MAGUFULI
Asante nini hayo maendeleo jamani sio favor sija skia mtu Ana Sema Asante uhuru kenyatta ama Jacob Zuma tu ache ujinga wa tz...
@@zawadix9574 Kwani lazima tufanane,ndio maana Tanzania ni nchi ya kipekee
Mungu mkubwa twakuomba uendelee kutubariki bila ya wewe hakuna litalowezeka kikubwa tunasema asnt sn Mungu....pia shuqrani kwa viongozi waliokuwa sababu ya kukamilisha hili jambo M/Mungu awabariki na waliotangulia mbele ya haki M/Mungu awapumzishe kwa Amani.....
Hongera Tanzania 🇹🇿
Hongera Tanzania lakini msimsahau mh magufuli alianzisha Kwa kishindo na dunia nzima inashangaza lakini alikuwa na utashi hao wamaghalibi hawajawahi itakia mzuri Africa hilo mlijue
Hii ni project ya magufur aliyo achaa pongez tena kwa samia kuendeleza tunaomba treni iwe na rangi ya bendera ya Tanzania palembele
Hongereni wakuu wa nchi
mmezungumza sana angekuwepo JPM ingekuwa mmeanza kusafirisha punguzeni maneno.hayo mabehewa ya abiria kutoka ujerumani yako wapi ulisema ni therathini yaliingia sita
East Africa's real economic giant
Tanzania, not east Africa
Hilo ni jambo zuri sana
Nice
"Hapa kazi tu, Kazi iendelee.." salaam za pongezi nyingii toka mwanza 🐟.
Hata kama jpm hayupo Alama alizoweka ni kubwa sana hakuna rais aliyeweka Alama kubwa kama jpm na samia a bit anafanyakazi nzuri, awamu zingine hazikuwa na maono
SGR ni maono ya Mkapa, iko kwenye vision 2025 aliyoanzisha Mkapa
Wewe umezaliwa mwaka gani?
Walitawala kama wakoloni tu. Kila alichokuwa akikusudia JKN, JPM kakianzisha na SSH kakiendeleza kwa dhamira ya kukikamilisha.
JPM amethubutu kuanzisha ujenzi wa Bwawa la Kuzalisha megawatts 2,115 za umeme; reli ya kiwango cha kimataifa ya umeme yenye urefu wa zaidi ya kilometa 2,700 ambayo light train inayosafiri kwa kasi ya kiliometa 160 kwa saa na heavy train ya kasi ya kilometa 120 kwa saa. Kuhamishia ofisi za serikali Dodoma, uwanja wa ndege wa Msalato, Daraja la JPM, n.k.
Haya mabehewa kuna mtu alikula?
hakuna rais angethubutu kuanza from scratch huu mradi huyo mwengine amekta kila kita kiko tayari asingeweza Thubutu kujenga mahanaki Madarsja no never rest in peace magufuli
Hata Magufuli alikita mradi ukiwa kwenye manunuzi.
Viva Tanzania 🇹🇿
Wabaguzi hao hawajawapa kazi wanawake ina maana Tanzania nzima hamna wanawake wangeweza kujifunza kuendesha treni mbona kuna marubani wanawake ATC ???? Hii ni bogus kabisa lazima ipigiwe kelele Na hata ajira zao Wale wahudumu wanawake inaonekana kama almost ni kabila moja au baadhi ya mikoa tu.
ASANTENI WATANZANIA KWA MWELEKEO UPYA KARNE HII. MUSIBANDUKE HADI WALE WALIOWACHEKELEA MIAKA ZA ZAMANI WAJE WAOMBE MSAHAHA. NATAMANI KUSTAAFU NCHINI KWENU.
Magufuli pumzika kwa amani kujitowa kwako tumeyaona tusiyo yategemea alama yako atafutka daima
Acheni uwongo hiyo reli bado haija fika 2000km have honest reporting
Huelewi wewe TULIA acha kukurupuka kwa vitu usivovijua
Hivi wewe kwa nini unawashwa kila ukisikia sgr?
Imefika ngapi kama unajua?
@@nicolasaugustino8449 almost 500km dar to Dodoma via Morogoro
@@nicolasaugustino8449 Huo ni mwendelezo Dar~Mwanza,Isaka~kigoma,Mpaka mpanda hizo 2000km hazijafika?
Wafanye kazi sio blabla iwe mfano Africa tunaweza sio kuonekana tuna uzembe wa usimamizi mradi muhimu.
@RAISISAMIAHASSANISURUHU ceo atoke ujerumani