@@wairimu9113 Ooh I get your point bro. I even wondered why diamond never involved her in that remix song? That song was supposed to be her major breakthrough, but the guys never acknowledged her contribution in their music industry🙏🙏
@@rap-killersimbijoh346 I'm not a bro. Anyway they still brought her back to the scene but she only did a few songs and disappeared. She's not consistent as well which is not good
Tunahitaji zaidi ya hapa ila kwa hili ulilotupatia Dada Saida tunashukuru sana. Nimesikia unaandaa Album lazima tukupe support. Hii ndio origin flavour ya Tanzania. Asante sana.
Saida Karoli I like all your songs as a Ugandan hailing from the Bakenye ethnic group of Uganda,we as Bakenye we hear and understand them.Bakenye are a water loving and fish eating minority tribe found in Uganda,Kenya and Tanzania along the watered areas of lakes,rivers. Please I dream to visit you in Tanzania in future.I marry a Chagga from Kilimanjaro Tanzania.
Nitafurahi sana mkicopyright nyimbo zote za huyu mama and pay her money. Nilihuzunika sana alivyotumiwa na kupotezwa kwenye game. She deserve to be rich ila watu wamemtumia sana. She is gifted and she deserve the best! COPYRIGHT ALL HER SONGS!
Yh nynnnn'yynnynynb yy h y b y y yny yYyyy hyynhh. Nyjbbyyyjynyjjynyhhhyhjjjnjjhhhyhyyyhyjhjjyhyhyj njhynnyyyynhnyn yy yyhjhhyjy hhhyyhjjyyy hhbyy yhjhhjhjyhhyhhtt j hyj y nnjyhhbjbyjjyy yy yy y y hhnyyjnnjnjh j'y yjyjjhyhhhhyhhyjh jhyynhjy hjjyj nj yy je j'ai byh yyhjnyjjjjh je byyjjjj je hyyyynjhjjyy y nhhhynyjyhynhhyyyjy je byyjhhyyy yynnyyyh jehjjyyhjyhyyyhhjhbyhyyhyyhhhyyhhbhh hh je hjhjnhhjjhjynj yy hnynyyjyh hhhhyyhynhhhyhhj yy hyyhjhhj nyyynyyyjh yyyy bnjjjyjyy y je j je yhy je hh y yyhhhj HT yyy yyhjhhjhhh jjjnyyhhhj hhyyjh hhhyhjjjnjjhhhyh yyhhyyyyyhnjyybyj yyyy hhnyjyjyyjyhyynyy nnyyhhhhj hh je ne hhhhyyny hh je jhhyhy yyyhjyhhy hyy je ynjnyyyyhyyyyyyhhhhhyjnyyynyhhybnyjhynhy j'y je yhnynh yynnye nhny. Yyy y y hhhhjyyhj je jbby un yhnn y h hh jyyyynnyy yynj j'y nyy hbyyynnyy yyy. Je Yny nh. Y. Yyny. Hyny. Y y yjhnnybtu y nhyyy ynnhy nn n hyn j'y yy yh ynynyh hy nnyhy yn nny trouverez toutes yy ynn bhh y y hyhnny yyynhy b nby ynyy j'y y nnb yy yny nnby yy yyynnjy n'y y nh jhhyy trouverez un y y yb jhyy n'y hyhnyynyhhnyy yynnyjy yy y hh h yy y'y yyh y ynynyn nnnyby t nh yyy. Y b y troyyy hny nyye njnbyyny byny y n y yyyy ybynn yy yynnnn y yy ynny y ynh h bt yyh ynhynnhy nyy uv h erez toutesynhnyyy by yyh yy ynyny bienyy y. Nh b j'y. Nhh hynj n h hh h y y. Y n hynynhn y tyh hny y y je nynnnnyyn ynnnn yn nhnnyyyynj yhyy h yyny yy yyyn nyn nhh yy y yyynhny yyyy nnynynn. Nnynnnn'y n'y yy y j ynnnnnynh ynnynnny hnn hyhyh y y nh n'y hy n'y hnyyy ynYb yyh yhyn n yhhny j'yhy n'y y thyyhyh nyny byy ynyn hhnhy y j'bjyhy yn y nh h yhyny. Yny. Y y. Nny yyy y. Ybnnjhhyyyhyn ynny. b. Nyny je jynyhh nyyby. Y j'y n. Nnyyn y n'y en hynbyy. Jjyu je yb yyyn h je yhy yyynn. Un y y yb ny y hyy yynhyjJy yn n yyn ynhh yy nhy ynjynnynnh h nyby y y yyn nnynyn yh ynny. N y tuY. Ynnnn nbhynny hy. Yn hnnnynynbbynhnnynyh n'y nnynn jnn y y p yn y j'y ny uyez de manière yby n b.ynyy hnnyny y nn ynn h hy yy nynj n N yyy yhyy. Nyyynyh bn ynnnYny yy by ntynnynnynynyyynhy n hyny. h y yy h yyh yn y yh y y h ny u j'y nhh y ynnnj uny n yy y n ynnn y yynyny y y nybhhy bynyyby n y j'y un ynyynnyy h yy y t y hntnyt ybth. H ynhyny. Hnyy y. Ynynyb Non. Yy h. Nyy yyn ynny yhny y yyyy h nyynyy y yyyy yyyn y yn hnny. Y yyynn yn. yyy yyn hynb hhnnyn yyynnh yyhynyyy yn ynn ynnny y nnYy hh y ybyny yn y yy y yyyyynny y nn Y nynr nyhez y y. Hh. Yy h yyyyhnjyhhyy. Y y yhyyny h yh j yy nyy yy e sur un yyh hh nyjny nyyn jyyhnyny. hhyynyyy yélément pour l'épiyn yyhyny ynnynn y y ynnngler. Les éléments retirés seront supyyny y hnhyhyprimés au bout d'une heure.Appuyez de manière prolongée sur un élément pour l'épingler. Les éléments retirés seront su h y y y y yyyjbh y y y byby nnyyy h y y ynnypprimy n nynyyyy hnés au bout d'ynn une bh bth daH. Btttt tt hbt y yytsubyhyyy yjn yongén n. ns le ybynyhnl'épinglerhyy yy. Ny n nyyby y yyny yh nynbnynbh yyyb yyyn nh y ynyn yy y yy n yy hhhn hhjy yyyy y ynnyynyh ynynjhjhbyny y nyby yhhyh hhyybhh yh hhy jhyn yhnhnnyy yynyh hyyyyyhn y y hh yhy yyyy yynh h ny yy y yyyy yny ty yy jnnynny ynnynnnty yhh yy nnynybb yyy ynynny yy yyhn hybtttbseh ttny tt nt yynyyh y -papiers Gboard. Le textqhyby hnyy nyyytytynytyybnhhybhuthhybyyh bybybybyhyy ybyby hyhhybhyhyhtynntybytyb yhhjththtbyhhyyb ytbyyhbyy hhhhy btus copiez est enrt btbth htbt tthbttbbhbhtbegistré ici.btbt
Huyo mtu alitumia kipaji cha huyu dada tena yatima akajinufaisha mwenyewe wakati akianza kuimba, Mungu amlaani pamoja na kizazi chake chote. Akipata pesa ziwe moto kwake na uzao wake, ziwateketeze kabisa. Mungu akakuinue kwa mara nyingine tena Bi Saida Kaloli.
Karibu sana Malkia wa TZ. Tulikumiss sana Malkia, hatimaye umerudi. Tumia akili zilizochanganyikana na hasira ili kuweza kuonyesha uwezo wako uliokuwa umetekwa Malkia. NAKUKUBALI SANA MALKIA SAIDA KAROLI
Eeeeeh Bwana Eeeeh daaaaah!!!! Mama mwenyewe, Mama Hodari huyu, Madam Saida Karoli to Afrika Mashariki na AFrica Kuu hadi Dunia Nzima. TANZANIA, TANZANIA, KENYA, KENYA, KENYA, AFrica to the World. Great musical content. We approve this message. Lit. Carry on Mama Hodari. Asante kwa kutupa muziki tamu...
Extreamly sweet and original African music. makes me feel good. plus the language sounds like my own kisii/gusii language. congratulations and give us more juice... #Mzito brown.. Kisii kenya
Y'all should remember that I was part of those who live in this world through this comment when I'm no more 😢, but by God's grace I'll live to fulfill my being on earth
Really love my sister saida course namfstilia sana toka alivyoanza nampenda sana dada angu mungu akuweke miaka 150000 nimi shamiru Swalehe wa bulembo kyaka kagera
Nilikuwa nazipenda sauti za wamama wawili tu hapa Tz wewe na Nasma Khamis Kidogo (RIP) umebaki wewe...Mungu akuweke miaka mingi ili niendelee kuinjoi sauti yako.
Nyimbo nzuri sana kwakweli. Nampenda sana Saida. Anajua sana kuentertain. Ni kipaji kikubwa sana kuchanganya lugha tatu kwenye nyimbo moja na ikatoka nzuri kiasi hiki.
Nice Song Saida Karol, I like your voice..well done!! Kagenda Dar es salaama X 2, nikawaona wazungu wakiongea kizungu na mimi nikaimba kizunguu.. nagenda Dar es salaaama nashangaa majunguu..
Zambia 🇿🇲 approves 🎶 🔊
Og tilipo che
With much love from Kenya, ndugu zetu wa TZ nawapenda tu bureee, nipeeeni likes
🎉😅
wow nakupenda sana mama Tz .wapi likes toka APA kenya
Poncy sulu shikamoo saida
HUYU MAMA ANA WEZA MAMA YAO MANZE
Poncy sulu poa mama wa kihaya
simela
safi mamasaida
We love you Saida Kalooli and really appreciate your music. From Uganda-Kampala
Tanzanians should protect and support this legend at all cost....👌
True Tanzania will never get musian like her me am ugandan but i enjoy her music since 2000 when i was young
I guess she's Ugandan but she loves TZ more her own country👔
@@rap-killersimbijoh346 she's Tanzanian. Super talented but they don't support her as they should
@@wairimu9113 Ooh I get your point bro. I even wondered why diamond never involved her in that remix song? That song was supposed to be her major breakthrough, but the guys never acknowledged her contribution in their music industry🙏🙏
@@rap-killersimbijoh346 I'm not a bro. Anyway they still brought her back to the scene but she only did a few songs and disappeared. She's not consistent as well which is not good
Hii sauti tangu ototoni ni hii tu, Tanzania msimwache huyu mwimbaji❤❤❤❤
mama Africa saida Mwana karori hongela tumekumus kitambo sana kalibu tena mama yetu kama umeipenda gonga like
nc mama saida karol
penda sana
good
Juma raule ongera
AbdallazaTube Hhhhhhhhh
Toka Kenya....Saida is always on Point....wapi likes za Saida....👍👍👍👍👍👍👍👍👍
Ety dada saida haunag watot nkaoa walau mmoja
Maaan unankoshaga
Wale wazee wa kusikiliza uku wana soma comment
The Legend Is Back!
Hongera Sana Bi Saida Kwa Kunirudisha Enzi Zile Tena!
Kazi Safi Mamaangu, Kaza Kamba Kabisa!
Much Fan Love From Kenya!
Indeed she is watching from Zambia
Kutoka Nairobi KENYA...Naupenda huu wimbo wa Dada Saida japo suelewi hii lugha ya kitanzania
Tunahitaji zaidi ya hapa ila kwa hili ulilotupatia Dada Saida tunashukuru sana. Nimesikia unaandaa Album lazima tukupe support. Hii ndio origin flavour ya Tanzania. Asante sana.
1 008 1994 views mllklll
1 008 1994 views uko poa
nilisema huyu mama ni potential... nafikili clouds walinisia asante sana
Yupo vizur
She is a Legend! Saida ni maana halisi ya mziki wa Tanzania!
This what we call the return of the forgotten. The legend is back
Albert Rukeisa
Exactly
Albert Rukeisa kabisa
Albert Rukeisa The best are yet to come
Albert Rukeisa she is back big up saida!!!
Omary Mashauri
No one like you in Africa.
wimbo ni sawa
I miss Saida Karoli, if you feel the same let see your like.
Saida upo vizuri, piga kazi, yote maisha Kwanza tulio wengi tulikumiss.
I love you saida,you wear decent madam you are special, keep respect your self ,baby give to me ,good song.I am from Kenya wakenya mpo wapi
Kwa hiyo Saida ni Mkenye
Kwa hiyo Saida ni Mkenya??
Ana Kuiz tupo kibiti😢😢😢
Ana Kuiz tupo kibiti😢😢😢
+Sharifa Juma hahhhahhhahhah
OMG 💞! this lady voice is amazing what a talented woman.🇰🇪🇰🇪👏🇹🇿
That she is
mama Tz nakumbia iyo ngoma inabisha kwa mpigo endelea hivo twakupenda sana hapa Kenya
Saida Karoli I like all your songs as a Ugandan hailing from the Bakenye ethnic group of Uganda,we as Bakenye we hear and understand them.Bakenye are a water loving and fish eating minority tribe found in Uganda,Kenya and Tanzania along the watered areas of lakes,rivers. Please I dream to visit you in Tanzania in future.I marry a Chagga from Kilimanjaro Tanzania.
She never went anywhere,she has been around.The legend is here
Avec beaucoup d'amour 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩, nos frères de Nouvelle-Zélande, je les aime ❤❤❤
Nitafurahi sana mkicopyright nyimbo zote za huyu mama and pay her money. Nilihuzunika sana alivyotumiwa na kupotezwa kwenye game. She deserve to be rich ila watu wamemtumia sana. She is gifted and she deserve the best! COPYRIGHT ALL HER SONGS!
Yh nynnnn'yynnynynb yy h y b y y yny yYyyy hyynhh. Nyjbbyyyjynyjjynyhhhyhjjjnjjhhhyhyyyhyjhjjyhyhyj njhynnyyyynhnyn yy yyhjhhyjy hhhyyhjjyyy hhbyy yhjhhjhjyhhyhhtt j hyj y nnjyhhbjbyjjyy yy yy y y hhnyyjnnjnjh j'y yjyjjhyhhhhyhhyjh jhyynhjy hjjyj nj yy je j'ai byh yyhjnyjjjjh je byyjjjj je hyyyynjhjjyy y nhhhynyjyhynhhyyyjy je byyjhhyyy yynnyyyh jehjjyyhjyhyyyhhjhbyhyyhyyhhhyyhhbhh hh je hjhjnhhjjhjynj yy hnynyyjyh hhhhyyhynhhhyhhj yy hyyhjhhj nyyynyyyjh yyyy bnjjjyjyy y je j je yhy je hh y yyhhhj HT yyy yyhjhhjhhh jjjnyyhhhj hhyyjh hhhyhjjjnjjhhhyh yyhhyyyyyhnjyybyj yyyy hhnyjyjyyjyhyynyy nnyyhhhhj hh je ne hhhhyyny hh je jhhyhy yyyhjyhhy hyy je ynjnyyyyhyyyyyyhhhhhyjnyyynyhhybnyjhynhy j'y je yhnynh yynnye nhny. Yyy y y hhhhjyyhj je jbby un yhnn y h hh jyyyynnyy yynj j'y nyy hbyyynnyy yyy. Je Yny nh. Y. Yyny. Hyny. Y y yjhnnybtu y nhyyy ynnhy nn n hyn j'y yy yh ynynyh hy nnyhy yn nny trouverez toutes yy ynn bhh y y hyhnny yyynhy b nby ynyy j'y y nnb yy yny nnby yy yyynnjy n'y y nh jhhyy trouverez un y y yb jhyy n'y hyhnyynyhhnyy yynnyjy yy y hh h yy y'y yyh y ynynyn nnnyby t nh yyy. Y b y troyyy hny nyye njnbyyny byny y n y yyyy ybynn yy yynnnn y yy ynny y ynh h bt yyh ynhynnhy nyy uv h erez toutesynhnyyy by yyh yy ynyny bienyy y. Nh b j'y. Nhh hynj n h hh h y y. Y n hynynhn y tyh hny y y je nynnnnyyn ynnnn yn nhnnyyyynj yhyy h yyny yy yyyn nyn nhh yy y yyynhny yyyy nnynynn. Nnynnnn'y n'y yy y j ynnnnnynh ynnynnny hnn hyhyh y y nh n'y hy n'y hnyyy ynYb yyh yhyn n yhhny j'yhy n'y y thyyhyh nyny byy ynyn hhnhy y j'bjyhy yn y nh h yhyny. Yny. Y y. Nny yyy y. Ybnnjhhyyyhyn ynny. b. Nyny je jynyhh nyyby. Y j'y n. Nnyyn y n'y en hynbyy. Jjyu je yb yyyn h je yhy yyynn. Un y y yb ny y hyy yynhyjJy yn n yyn ynhh yy nhy ynjynnynnh h nyby y y yyn nnynyn yh ynny. N y tuY. Ynnnn nbhynny hy. Yn hnnnynynbbynhnnynyh n'y nnynn jnn y y p yn y j'y ny uyez de manière yby n b.ynyy hnnyny y nn ynn h hy yy nynj n N yyy yhyy. Nyyynyh bn ynnnYny yy by ntynnynnynynyyynhy n hyny. h y yy h yyh yn y yh y y h ny u j'y nhh y ynnnj uny n yy y n ynnn y yynyny y y nybhhy bynyyby n y j'y un ynyynnyy h yy y t y hntnyt ybth. H ynhyny. Hnyy y. Ynynyb Non. Yy h. Nyy yyn ynny yhny y yyyy h nyynyy y yyyy yyyn y yn hnny. Y yyynn yn. yyy yyn hynb hhnnyn yyynnh yyhynyyy yn ynn ynnny y nnYy hh y ybyny yn y yy y yyyyynny y nn Y nynr nyhez y y. Hh. Yy h yyyyhnjyhhyy. Y y yhyyny h yh j yy nyy yy e sur un yyh hh nyjny nyyn jyyhnyny. hhyynyyy yélément pour l'épiyn yyhyny ynnynn y y ynnngler. Les éléments retirés seront supyyny y hnhyhyprimés au bout d'une heure.Appuyez de manière prolongée sur un élément pour l'épingler. Les éléments retirés seront su h y y y y yyyjbh y y y byby nnyyy h y y ynnypprimy n nynyyyy hnés au bout d'ynn une bh bth daH. Btttt tt hbt y yytsubyhyyy yjn yongén n. ns le ybynyhnl'épinglerhyy yy. Ny n nyyby y yyny yh nynbnynbh yyyb yyyn nh y ynyn yy y yy n yy hhhn hhjy yyyy y ynnyynyh ynynjhjhbyny y nyby yhhyh hhyybhh yh hhy jhyn yhnhnnyy yynyh hyyyyyhn y y hh yhy yyyy yynh h ny yy y yyyy yny ty yy jnnynny ynnynnnty yhh yy nnynybb yyy ynynny yy yyhn hybtttbseh ttny tt nt yynyyh y -papiers Gboard. Le textqhyby hnyy nyyytytynytyybnhhybhuthhybyyh bybybybyhyy ybyby hyhhybhyhyhtynntybytyb yhhjththtbyhhyyb ytbyyhbyy hhhhy btus copiez est enrt btbth htbt tthbttbbhbhtbegistré ici.btbt
Tunza tamaduni popote uendapi na pia kwa mafanikio yako kama mfano wa Saida 🎉🎉🎉
Huyo mtu alitumia kipaji cha huyu dada tena yatima akajinufaisha mwenyewe wakati akianza kuimba, Mungu amlaani pamoja na kizazi chake chote. Akipata pesa ziwe moto kwake na uzao wake, ziwateketeze kabisa. Mungu akakuinue kwa mara nyingine tena Bi Saida Kaloli.
Kipenzi cha taraab. Kazi safi mama SAIDA
Karibu sana Malkia wa TZ. Tulikumiss sana Malkia, hatimaye umerudi. Tumia akili zilizochanganyikana na hasira ili kuweza kuonyesha uwezo wako uliokuwa umetekwa Malkia. NAKUKUBALI SANA MALKIA SAIDA KAROLI
Safi
❤
She ain't getting old anytime soon 🔥
I'm here from tiktok
mama yetu dada yetu ,anakila sifa yakupongezwa kavumilia sana,mungu atazid kukuongezea na mafanikio makubwa much respect saida
Such a great comeback... Keep going queen!You still got it Mama Africa! 💕
upo kila sehemu aisee
K
welcome back saida carol the sweet voice from swiden hatuchoki kuuskiliza wimbo wako mama Africa akii still hauchuji cz ya sauti ya kipekee
wanasema tembo hata akonde vp hafanani na paka, kipaji hakipotei daima stay strong dada #Saida
ila tu amekua kibonge anashindwa kucheza vile alikua anacheza ila nyimbo ipo mzuka sanaaaaa hapo ndo utajua kwann waenga wanasema ngombe hazeeki maini
Ali kiba
Haqhahwbs Bawburgh Haqhahwbs Hawnby Bawn Bawn haha namzensnndnzbebzb ne3hxhne3u jxej jdj new need jersey dress
Sanaaaa
Me am still interested to this song.nice job saida keep it up.watching from Kenya 😉😉😉🙄😉🙄
Eeeeeh Bwana Eeeeh daaaaah!!!! Mama mwenyewe, Mama Hodari huyu, Madam Saida Karoli to Afrika Mashariki na AFrica Kuu hadi Dunia Nzima. TANZANIA, TANZANIA, KENYA, KENYA, KENYA, AFrica to the World. Great musical content. We approve this message. Lit. Carry on Mama Hodari. Asante kwa kutupa muziki tamu...
wow I'm real happy to hear her song again. keep up mama . welcome back
Mama nakuomba usiache kuimba.. mimbo yako imekuwa ikinigusa sana.. hongera mama..
Extreamly sweet and original African music. makes me feel good. plus the language sounds like my own kisii/gusii language. congratulations and give us more juice... #Mzito brown.. Kisii kenya
Y'all should remember that I was part of those who live in this world through this comment when I'm no more 😢, but by God's grace I'll live to fulfill my being on earth
I love saida karoli's songs so much....... Kenya nipeni likes
Ubunifu wa hali ya juu Sana,mama hongera Sana hujawah toa kibovu heko pia kwa tuddy Thomas aliitendea haki Sana hii ngoma
when legends get into the studio y'all better stand up and recognize..SAIDA KAROLI!!!!!!uko sawa mama!!!
waaaaaaaah! wapi nduruuuuuuuuuuuu...finally the queen is back! what! 254 show me the love
wow lov this mama kwa Sana can't imagine she been quiet for all that long n here again she spits a stuff of her own style as usual
Saida karoli SHE'S pretty snd unique..❤❤ nyimbo zake zinamafunzo
Whenever i hear Saida' songs i feel like crying i don't know why?? love you so much
Does things to a lot of people
Memories
Am right there with you Dear ❤❤❤ this is what even me I feel like I can crying 😭😭😭😭🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
umenikumbusha mbali sana Dada saida namkumbuka. mama kilasiku lazima ngoma zako zitapingwatu kwani anakupenda sana bakunyime nyeite bakusheleke nikwiba .utanitowa roho Mama wewe sikwa ngoma izo
Finally she's back with new song let me see LIKES if you like the song.
Mama Africa
Really love my sister saida course namfstilia sana toka alivyoanza nampenda sana dada angu mungu akuweke miaka 150000 nimi shamiru Swalehe wa bulembo kyaka kagera
That's nice and vibrant song Saida missing you so much, last time we met Shinyanga Ussanda centre. Be blessed
Still kicking in 2024. Magical melodies from my all time favourite Saida
what a comeback. let's the Queen reign again...luvvvv from mwanza tz
yaan weekend ya leo nasikiliza wimbo huu wa saida toka asubuhi mpaka usiku huuu....big up saida
This legend unites east africa more than the EAC,she unites africa more than the AU.tanzania protect this icon at all cost
Asante mama yangu kwa kutuachia nyimbo nzuri.
nyie mnaodislike cjawasoma😅😅wimbo unakasoro gn sasa wivu tu umewajaa..saida 😚nice song
Wenye roho mbaya hawoo
Haters awo!!! Mungu anawaona🤣🤣🤣
Si unajua mahaterz wako kila place wewe😂😂😂😂😂😂wajinyonge wenye wivu😅
nakupenda sana saida kutoka enzi zile nikiwa mdogo kwanza ile ngoma ya wenye wivu wajinyonge hatarii
Her voice is so unique and she is a real representation of a legend we love her in Kenya 🇰🇪
huyu ndio bi kidunde wapili mungu ampe maisha marfu
Mama upo vizuli ase yan wew unaujua mziki haswa......... #Mama_Africa_is_Back
ibrah playboy umeona eeh anabembeleza vizuri am already folln in love with her
Abbas Boniphace Nhahahahahaha😂😂😂😂😂
safi sana mtani wangu saruti kwako
mama karudi tena.... ananikumba kipindi ..miaka ya 90 mpaka 2000 hivi..bonge la ngoma lakini orugamba...safi sanaaa
I love you Mama Saida kalooli could listen to this the whole day.. The Big Return
Nilikuwa nazipenda sauti za wamama wawili tu hapa Tz wewe na Nasma Khamis Kidogo (RIP)
umebaki wewe...Mungu akuweke miaka mingi ili niendelee kuinjoi sauti yako.
Nyimbo nzuri sana kwakweli. Nampenda sana Saida. Anajua sana kuentertain. Ni kipaji kikubwa sana kuchanganya lugha tatu kwenye nyimbo moja na ikatoka nzuri kiasi hiki.
Niko bukoba. Kweli wimbo huu nimeukubali sana. Very very good my sister saida.
Kalibu. Mamy.... Jamn.. Tulikumiss san... Mwanamke jasili.... InshaAllah M/mungu akupe wepes.. Nakupenda
She spinged back lioness and did it again. Lots of love mama. You give me memories good memories . We missed you sana
Twaipenda sauti yako sana saida...you are loved in Kenya mamii
She has such a beautiful voice! Love from hapa Kenya, jirani
Nice Song Saida Karol, I like your voice..well done!! Kagenda Dar es salaama X 2, nikawaona wazungu wakiongea kizungu na mimi nikaimba kizunguu.. nagenda Dar es salaaama nashangaa majunguu..
Big love from Uganda wow I like this song soooooooooooo much and I play million I time please saida come back and perform in Uganda Nakupenda sana
Saida nimekusoma dada yangu,umerudi vzuri sanaaa,tunakupenda sanaaaa
safi sana dada saida. your back sister! proid of i, nyimbo kaliiii mno
Asante saida uko vizuri
baba.na.mali
sauti yako mama iko vizuri kwanini usimwimbie mungu utafaa Sana kalibu Kyela mbeya
Ulipotealea wapi, that's the question many are asking...we love u Saida huku 254
Hongera, mama saida mavaz yako yanatanabaisha kuwa kweli msanii ni kioo cha jamii
2024/1/11 ❤ still my number one sonh
I'm here today
yaani sio kwa sauti tuu ,anajielewa Sana ,macho kodo🎤🎤aaaa acha Maneno weka muziki🎵🎵haka kanyimbo katam buana
saida ☝☝☝☝☝👊👏👏👏👏 makof kwake big up sanaa
safi sana mama kwangu saruti kwako........Saida wewe upo juu
waooo!! nimeupnd xna huo wimbo wa said kalori!!, honger xna dada y2 mpndw ulipotea kma miaka 15 na TNA umerundi
Kuna watu hata kitu kiwe kizur vp lazma wadislike...kazi nzur sana mama
I am from Zambia and even if I can't understand a word your music is Soo rich in African authenticity. Lots of love from Zambia
Kigari Rwanda nakupenda sana kwanyimbo zako Chang's mwo to kuto ka dhamani wewe ni Muke shu ja kabisa wa nyarwanda tinakupenda ❤❤❤❤🎉🎉🎉
welcome back Mummy we had missed you so much... fresh since day one 😍😍😍😍
From West Africa baby...... But this baby is so special in producing African music
Golden voice ...mob love kutoka Nairobi Kenya
True Queen of African tunes hongera....baby give it me aaahaa
Mama the legend..I can't get enough of this song..kudos mama
Heshima kwako mama Saida unajiweza kwa kweli unakipaji endelea kutukonga namna hii aisee
Karibu sana. Kweli kazi nzuri sana. Nyegera Muno. Umewakilisha vizuri. Dhahabu iliyojificha. Kazana Kasharu yona nibakuiga muno.
Deus Clavery lulungi ebyensika omukazi yaijage
luge Donation: Yanyengera Muno.
Mwakasege
swaf sana. Tz, Saida belongs to us, Kenya wanaku,,,,sudwakta
Saida karoli nimsanii pekee ninaemkubali Tanzania kama nawe unaunga mkono juhudi zake like
namkubali pia saida karoli..... salute kwake
hongera wajna wamieee
Hizi ndio nyimbo sasa kwa watu wanaojielewa hongera dada
Hermosa música, saludos desde Bolivia
Greetings
Sauti tamuuuu ,mavazi ya mwamkee🥰🥰🥰🥰🥰nakupenda
I have no idea of what she is saying, but I LOVE IT! much love Mama!
Huu ndio mziki ,saida umeonyesha uafrika na utanzania halisi yaani am proud of you saida na hongera sana
True legend jasiri haachi Asili krbu tena saida karoli the pride of Tanzania