BEHIND THE GRAM DIVA & SHEIKH - EPISODE 2

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 30 вер 2024
  • Usisahau ku"SUBSCRIBE" UA-cam channel yetu kwa videos nyinginezo
    #zamaraditv #mambonimengi

КОМЕНТАРІ • 257

  • @MariaHamis-cl3nu
    @MariaHamis-cl3nu 3 місяці тому +15

    Nimesikiliza mambo ya passpot nacheka hakimungu😂😂😂

  • @EmmyMo
    @EmmyMo 3 місяці тому +19

    Uyo hajawah kuwa na passport bana asitudanganye hapa hkn mtoto wake😂😂😂😂😂😂😂😂
    Pole kaka mganga kazi unayo😂😂

    • @nuryatmussa9966
      @nuryatmussa9966 3 місяці тому

      Eti aliletewa passport bila kwenda uhamiaji

    • @stellahlinusi8215
      @stellahlinusi8215 3 місяці тому

      nikweli lakini ni zile za kijani mm sijawai kwenda uamiaji​@@nuryatmussa9966

    • @MwaminiyusuphRwekaza
      @MwaminiyusuphRwekaza 2 місяці тому

      Akiii nqchekaa km mazurii at kujieleza mtihaniii😂😂😂😂

  • @diannaphabian7440
    @diannaphabian7440 3 місяці тому +5

    Hawa watu waliowanaje jaman hata majina yao hawayajui??😂🙆‍♀️

  • @Bashitetako
    @Bashitetako 3 місяці тому +2

    She's so fake anajikana mzima mzima eti naenda canada hata burundi hujafika 😅

  • @lilianpeter1631
    @lilianpeter1631 3 місяці тому +5

    Sasa ndo nmejua mganga Hana matatizo huyu diva ndo shida hajui kuongea na mumewe

  • @AishaHaji-jn7sg
    @AishaHaji-jn7sg 3 місяці тому +9

    Hajawahi kuwa na passport huyu😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣angesema ukweli tu waendelee kujaza majibu ya passport yake ya kwanza

    • @LeeLian95
      @LeeLian95 3 місяці тому +1

      🤣🤣umewaza kama Mimi

  • @ZaynaAdam
    @ZaynaAdam 2 місяці тому +2

    Huyu diva hayupo hata romantic

  • @sherryx.7897
    @sherryx.7897 3 місяці тому +6

    Ikiwa mume hana uwezo wa kukununulia gari..usimlazimishe...halafu Diva u don't respect ur husband.. talk to him as a husband sio kama takataka..

  • @rehemapeter8621
    @rehemapeter8621 3 місяці тому +7

    Kumbe muhimbili ni hospital ya muda mrefu😂😂😂and u are a journalist? Heey eh

    • @Mb0g0z
      @Mb0g0z 3 місяці тому +1

      Yan anajifanya mgeni TZ

  • @JOCENTE
    @JOCENTE 3 місяці тому +18

    Sheikh apewe crown siyo kila mwanaum ataweza kaa na diva siku2

  • @AmanaHussein
    @AmanaHussein 3 місяці тому +7

    Shida ya huyu diva ni mdomo alafu hajajua nini maan ya mume na ndoa inataka nini

  • @marysaituni4584
    @marysaituni4584 3 місяці тому +3

    Haya maisha yenu ni kama movie 😂😂😂 part 1/2/3/4/5/6/7/8/9/11... Hivi mwisho ni lini.. huyu mume apewe tuzo ya mume Bora.🇰🇪

  • @sund2553
    @sund2553 3 місяці тому +3

    Diva 😂fake sana….. mpaka anamchangany mganga

  • @فاطمهفاطمه-ش2ز9ج
    @فاطمهفاطمه-ش2ز9ج 3 місяці тому +4

    Unavituko Kwel.😂😂😂😂 Sasa km mamako mzigua hatunaga se mkiwa se niuko iringa wazigua tuna mokiwa hatuna semkiwa.

  • @sechemaguha7262
    @sechemaguha7262 2 місяці тому +1

    Ujue Huyu dada anajifanya mtoto mdogo asiyejielewa hata kidogo wakati yeye muda wote ni mtoto mchanga

  • @queentanitah1346
    @queentanitah1346 3 місяці тому +5

    DIVA as Diva but doesn't have a passport 😂😂😂😂 LOL ohhh my...Tanzanian celebrity

  • @AishaHaji-jn7sg
    @AishaHaji-jn7sg 3 місяці тому +5

    Siwezi kugawa kitu mume wangu kaniletea hata kama kiwe kibaya kiasi gani huwa nakipenda na kukitunza

  • @witnessmlay7415
    @witnessmlay7415 3 місяці тому +6

    Hehehe Abdul ulipatikana kwenye hii ndoa aisee!😂😂 Diva 🙌🏽🙌🏽

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 3 місяці тому +5

    Eti how are you 😂 huku hujui hata Wazazi wako wamezaliwa wapi 😅

  • @lilianestephanie7881
    @lilianestephanie7881 3 місяці тому +3

    Aiseee ila diva kwa mashauziii

  • @MariamIbrahim-h7p
    @MariamIbrahim-h7p 3 місяці тому +13

    Diva mashauzi yote Hana pasport duuuuuu

  • @Babygirl758
    @Babygirl758 2 місяці тому +1

    is this a bad joke? 😂

  • @Mb0g0z
    @Mb0g0z 3 місяці тому +2

    Baada ya hii show ,Abdul shikamoooooooooooooooo ndo maana ana cheat this is too much for him,anatafuta wakumliwaza

  • @NnajMimi
    @NnajMimi 3 місяці тому +4

    Haki diva hajui kuongea vizuri na mume wake,kasema kupika hajui,harafu kumbe haelewi vitu vingi maana hata pasport tuu mume anafaham kuliko yeye msomi,analazimisha apewe vya thamani wakati bajeti hajui,yaani kumbe anamsema mume nje vibaya wakati yeye ndo tatizo,

    • @EmmyMo
      @EmmyMo 3 місяці тому +1

      Exactly 💯

  • @lilianestephanie7881
    @lilianestephanie7881 3 місяці тому +2

    Watu mnanaisha jamani. Yaani milioni tatu mnatumia mwezi???? Hamko serious😂😂😂😂😂😂

  • @hollymore4904
    @hollymore4904 3 місяці тому +1

    Kumbe muhimbili ni hospital ya muda mrefu!! Hahaha mshamba huyu

  • @NnajMimi
    @NnajMimi 3 місяці тому +4

    Analazimisha apewe vya thamani wakati hajui bajeti,hajui thamani ya shilingi aiseeee atabaki hapoooo

  • @sechemaguha7262
    @sechemaguha7262 2 місяці тому +1

    Yani mwanamke lazima uwe na kitu cha Ziada cha kumfanya mwanaume ajue mkewe nyumbani kichwa sasa Huyu binti namsikitikia sana hakuna Mke hapo

  • @fettymilly7664
    @fettymilly7664 3 місяці тому +2

    Mtu uliletewaje passport bila ww mwenyew kufika kule anatuchukuliaje huyu divaaa😂😂😂😂😂

  • @WinWilly4162
    @WinWilly4162 3 місяці тому +2

    Abdul ni mwanaume na Robo 3..
    Kuishi na kiumbe kama Diva inabidi utumie akili hekima, busara kubwa sana.

  • @annajoseph9955
    @annajoseph9955 3 місяці тому +6

    Huyu passport hajawah miliki bhana,,,,,huyu mwenzetu wa humuhumu tu

    • @EmmyMo
      @EmmyMo 3 місяці тому

      😂😂😂😂

    • @aminanyembo8471
      @aminanyembo8471 3 місяці тому

      Sio wa humu humu tu,sema wa "Bukoba"😂

  • @esthermakelemo2864
    @esthermakelemo2864 3 місяці тому +6

    Zamaradi tupe mambo mengi,tunapenda sana mashabiki zako,na full za shoo za gigy

  • @MariaThomas-wm9iq
    @MariaThomas-wm9iq 3 місяці тому +2

    Diva mbona fek mpka majina😅😅😅

  • @mapishiyetumazuri2312
    @mapishiyetumazuri2312 3 місяці тому +6

    Huyu ndiva mshamba na mjinga unaleta majina ya 😂😂😂

  • @firdaussheikh4817
    @firdaussheikh4817 3 місяці тому +7

    Kumbe sheikh anamzidi akili diva na ujuzi wake wote wa social media 😂😂😂😂😂 mpaka amepoteza passport na hajajulisha sheria😂😂😂 Pole hata mm nilipoteza yangu this year I don't know when and where 😢🇬🇧🇰🇪🇾🇪

    • @BarbaraPatience-qt9cc
      @BarbaraPatience-qt9cc 3 місяці тому +1

      Yaani kumbe yote haya! Sasa anakua diva na hajasafiri! Huyu ni mjinga Sana

    • @JOCENTE
      @JOCENTE 3 місяці тому +1

      ​@@BarbaraPatience-qt9cc😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @Mwanamkesahihi01
    @Mwanamkesahihi01 3 місяці тому +4

    Kwa hiyo huyu Director hakujua kua kuonesha kuwa diva hapa pass ni brand Damage?????

  • @verbalverbal2019
    @verbalverbal2019 3 місяці тому +6

    Diva anaweza akakwambia babake ni mhaya, lakini yeye siyo mhaya, yeye ni black america, alienda mahakamani kubadili kabila... (Giselle)😂😂😂😂😂

  • @SADABEJA
    @SADABEJA 29 днів тому

    Kifup,uyo hawez kubadilka.nauyo uliomuoa ukiendelea kumuweka mitandaon atahalbika zaid yahuyo.simama ktk maadl yko.uzur hujaacha ibada

  • @peaceisrael8158
    @peaceisrael8158 3 місяці тому +2

    Jamani hadi leo huna passport jamani😢

  • @gracekaboigora189
    @gracekaboigora189 3 місяці тому +3

    Ujinga mtupu

  • @EuniceOdegea
    @EuniceOdegea 3 місяці тому +1

    Abdul.razak...find.another woman...she's not of your kind..you living different cultures

  • @aboudijaaboudija
    @aboudijaaboudija 3 місяці тому +3

    Anaomba msamaha huku anacheka yaan hajui jns yakuishi na mume waaa japo sijaolewa bado but diva bana

  • @zeinababdi4757
    @zeinababdi4757 2 місяці тому

    Diva is so ignorant, mwanamke una mdomo mrefu na madharau, mwanaume gani atakupa unachotaka, learn how to talk to your husband, huyo mwanaume nae ni muongo.

  • @reynaaalrawahi4137
    @reynaaalrawahi4137 3 місяці тому +4

    Diva umeolewa na mzungu 😅

  • @lilianestephanie7881
    @lilianestephanie7881 3 місяці тому +3

    😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌eti nililetewa nmechekaaa

    • @fettymilly7664
      @fettymilly7664 3 місяці тому

      😂😂😂😂😂😂 anatuona ss machiziii

  • @nancyg8664
    @nancyg8664 3 місяці тому +1

    we mshenzi hujui baba ako kazaliwa wapi hv mbona unautoto mwingi duh yan kila kitu fake fake duh never seen before

  • @RandB_Channel
    @RandB_Channel 3 місяці тому +12

    Hata kama mnesemaga mme ooo shehe lakini hata huyo diva hana tabiaya nzuri yakuwa mke wa mtu . Kumbe unatumbo kumbwa hivi wenye wesha zaha ndo wanakuwaga navimatumbo ww imekuwaje 🤔🤔🤔 huyu diva maisha ya ndao hawutaweza ju tabia yako nimbaya

    • @marymanoni5536
      @marymanoni5536 3 місяці тому +1

      Mbona kawaida

    • @Hajer-be2kh
      @Hajer-be2kh 3 місяці тому +1

      Hilo liko wazi

    • @mapishiyetumazuri2312
      @mapishiyetumazuri2312 3 місяці тому

      Yani hatari kwa kweye ndo ukivuvuna hiyo huishi na mwanaume kampata huyo mume naye wataka usataa tu

    • @RandB_Channel
      @RandB_Channel 3 місяці тому

      @@marymanoni5536 apana kwahawa wasani wana maisha yakuigiza nilisema vile kwasababu wende utizame instagram nahapa nibitu 2 tofahuti kule iko na flati stomeki apa iko namama lawo

    • @gracekenan4665
      @gracekenan4665 3 місяці тому

      Tumbo kama langu mama kachanga ila soon nalitoa

  • @blandinamyinga9489
    @blandinamyinga9489 3 місяці тому +1

    Self respect,self worth and self confidence as a woman is very powerful""treat others the same way you want to be treated""control your temper cause it will cost you badly one day.

  • @Mb0g0z
    @Mb0g0z 3 місяці тому +2

    Hata mume hajui majina ya mkewe

  • @walizanasiri4963
    @walizanasiri4963 2 місяці тому

    Kwani uyu muislam au mklisto?mbona simuelewi😂😂😂😂😂ila diva

  • @aminaomary5150
    @aminaomary5150 Місяць тому

    Duh natumbua mijicho nashangaa majibu ya diva dah kapinda xana

  • @josephinejames4590
    @josephinejames4590 Місяць тому

    Kwa hapa nimemaliza huyu kaka,ela yake ya kimaskini kuishi na mtu kama diva alijaribu ni sawa tu walivyoachana

  • @zuwenaally2734
    @zuwenaally2734 Місяць тому

    beyonce huna pasport

  • @zuwenaally2734
    @zuwenaally2734 Місяць тому

    beyonce huna paspot kenge wewe

  • @mariamhussein7620
    @mariamhussein7620 3 місяці тому +1

    Kwenye ndoa zenu kuna kazi na hamtuambii😂😂😂😂

  • @khairyaalamri4002
    @khairyaalamri4002 2 місяці тому +1

    Me na diva nimeanza kumiliki passport me😂😂😂😂😂diva bwabwa

  • @فاطمهفاطمه-ش2ز9ج
    @فاطمهفاطمه-ش2ز9ج 3 місяці тому +7

    😂😂😂diva yaan unavitu ww af abdul yuko makin atak ujinga😅😅😅😅mara malinz mara mpare mara muhimbil

  • @MagretSalheart
    @MagretSalheart 2 місяці тому

    Nyie mnaomsema diva angalien inteview yaa salma mwanamke wa huyu kaka aloachana nae ata ela ya chakula anasema alikua aachi uyu kaka

  • @monicakimati4619
    @monicakimati4619 3 місяці тому +2

    Daah nilikua na muwaza yule Roboti wa kizungu sijui hata kwanin nimewaza hivyo😂😂😂😂

  • @saraheunice8661
    @saraheunice8661 3 місяці тому +2

    na huyu mwanamume kwa kueli n mzuri sana

  • @zuwenaally2734
    @zuwenaally2734 Місяць тому

    😂😂😂mamdogo ata ajui alipozaliwa

  • @elizabethadabu4670
    @elizabethadabu4670 3 місяці тому +1

    Nahapo mwanaume kanyweshwa maziwa tu no food afu anaongea utumbo hapo

  • @rukaya-jg7hj
    @rukaya-jg7hj 3 місяці тому +3

    Muongo huyu aitwi diva 😂😂kadi lake la clinic 😂😂😂

  • @reynaaalrawahi4137
    @reynaaalrawahi4137 3 місяці тому +5

    Puwagu na pwaguzi 😀😀😀

  • @HabibaIslam-rf4ev
    @HabibaIslam-rf4ev 2 місяці тому

    Sheh amepoteyaga njiya😮😮😮

  • @Mb0g0z
    @Mb0g0z 3 місяці тому +1

    Mental health is real

  • @salama1113
    @salama1113 3 місяці тому +1

    Nilichogunguwa kweli huyu dada maishayake ni feki we hada ditel ya mzazi wako huzijui au ww sio mtz

  • @AminaAfrica-pr3gi
    @AminaAfrica-pr3gi 2 місяці тому

    Huyo ni mwanake wa kutumiaaa tuuu si unamuona

  • @HabibaIslam-rf4ev
    @HabibaIslam-rf4ev 2 місяці тому

    Uyo mwanamuke hafayi

  • @MagretSalheart
    @MagretSalheart 2 місяці тому

    Mmaosema uyu kaka hana shida taften interview yayule mke wake salma kabla yakumuowa diva

  • @josephgatunzi1670
    @josephgatunzi1670 3 місяці тому +5

    Tukalime jamani 😂❤😂❤😂❤

  • @elizabethsamwel8628
    @elizabethsamwel8628 3 місяці тому +2

    Realty yenu mbaya hainogi

  • @awaynaaaa3490
    @awaynaaaa3490 3 місяці тому +1

    Yaan ndiy nimeamin kumbe huyu dada uzungu t mwing kichwan hana kitu mana anasem ety tutasem sina passport khaa sasa hajui km tarifa zipo kule nimexhek

  • @lilianestephanie7881
    @lilianestephanie7881 3 місяці тому +1

    Canada 🇨🇦 unaenda kufanya nini? Acha zako diva

  • @temeketv
    @temeketv 3 місяці тому +1

    Mwanetu shehe anapitia vitu vingi vigumu na huyu demu, sema anaweza kukaza, kipindi cha ukoloni watu kama shehe ndo walikua wanasafirishwa na cheni shingoni huku wanachekelea kuenda mambele😂 😂

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 3 місяці тому +2

    Hii inanionyesha kwa jinsi gani upeo ni shida katika watu wengi ambao huwezi hata kuamini

  • @lilianestephanie7881
    @lilianestephanie7881 3 місяці тому +1

    Nimecheka hapo uliponunuliwa vitenge😅😅😂😂😂

  • @rajabdibwa6415
    @rajabdibwa6415 3 місяці тому +3

    Si angemwambia diamond amtafutie passport😂

  • @WardaSalehe
    @WardaSalehe Місяць тому

    Kama kikwete😅😅

  • @BarbaraPatience-qt9cc
    @BarbaraPatience-qt9cc 3 місяці тому +1

    Yaani nimemsikiza huyu Diva! No way! Hata hana knowledge fupi sana!! Bwana naye mrongo sana! Pwagu na pwaguzi

  • @maidimples8236
    @maidimples8236 3 місяці тому +2

    Ati mama angu alionizaa sindio Rosemary? Reall! Is it possiple your not sure about ur mama name?

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 3 місяці тому

      Ndio maana kichwa kibovu huyu

    • @ms_teeonly
      @ms_teeonly 3 місяці тому +1

      Hakuwahi kuwa na mama yake..alifariki akiwa mdogo hata mwaka hana

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 3 місяці тому

      @@ms_teeonly Ooh pole sana kwake

  • @SalmaMsangi-n2m
    @SalmaMsangi-n2m 3 місяці тому +2

    Diva jaman

  • @LubnaAli-y2f
    @LubnaAli-y2f 3 місяці тому +2

    Wew diva mulize giving mawigi and nunua wapi akielekezee😂😂😂

  • @aishaabrahaman9957
    @aishaabrahaman9957 3 місяці тому +4

    😂😂😂khaaaa jingaaa sanaa halijui kitu upuuzi 😂😂😂 mwingi kwenye kitambulisho cha nidaa lilijaza nini sengeee sanaa😂😂

    • @activestudios.
      @activestudios. 3 місяці тому

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂dah

    • @jemalulenga4981
      @jemalulenga4981 Місяць тому

      Yaani dada wa ajabu hahahha afu anajikuta mzungu flan

  • @nayarichard5318
    @nayarichard5318 3 місяці тому +9

    Ila huyu kaka anajitahidi jaman khaaaa!!

    • @nayarichard5318
      @nayarichard5318 3 місяці тому +2

      Yaani hapa Abdul kajikanyaga naatakonda sana😂😂😂😂

    • @JOCENTE
      @JOCENTE 3 місяці тому +1

      Kweli atamimi nahisi ivo,jama anapambana sana sikazi ndogo kukuwa karibu na Diva

    • @LeeLian95
      @LeeLian95 3 місяці тому

      @@nayarichard5318mbona washaachana kitambo show yenyewe marudio hii

    • @LeeLian95
      @LeeLian95 3 місяці тому

      @@JOCENTEwashaachana

  • @HabibaIslam-rf4ev
    @HabibaIslam-rf4ev 2 місяці тому

    Uyo siyimwanamuke

  • @happybryce1269
    @happybryce1269 3 місяці тому +1

    Kochi chafu

  • @TabithaAlfred
    @TabithaAlfred 3 місяці тому +1

    Mmeweza😊😊

  • @JokhaSaid-e1c
    @JokhaSaid-e1c 3 місяці тому +3

    Na u diva wote Hugo hata passport hakuwa nayo ajabu

  • @ZurehaMiraji
    @ZurehaMiraji 3 місяці тому +8

    Diva anaongelea maisha ya kina biyonce walioshajipataga anayaleta kwa mganga wetu wa kienyeji

    • @ZulekhaAmar-fy4pm
      @ZulekhaAmar-fy4pm 3 місяці тому

      😂😂😂

    • @EmmyMo
      @EmmyMo 3 місяці тому

      😂😂😂😂daaah

    • @lucymtui8680
      @lucymtui8680 3 місяці тому

      😂 we mshenzii😂😂😂

    • @agnesjohn9382
      @agnesjohn9382 3 місяці тому

      😂😂😂 kwanini mganga wenu wa kienyeji jamani

  • @beatriceevan3074
    @beatriceevan3074 3 місяці тому +1

    @zamaradi tuwekeen na ya kajała na mwanae wengine hatukuiona kwa tv plz

  • @AminaAfrica-pr3gi
    @AminaAfrica-pr3gi 2 місяці тому

    Kiongozi wetu ntumee mohamad s(s aw) alidaiwa dhahabu na wake zake wawili na hakuwa na uwezo emu rudi kwenye dini wrwee. Wacha kupoteza muda hakuna jipya kwako amblo alijawahi kutokea enzi za mitume na maswahaba na ndio viongozi wetu tunaotakiwa kuaiga wewe rudi katika imaniii yako wrweeeee
    vyetu

  • @floraflora9490
    @floraflora9490 3 місяці тому +1

    Diva nimejua kweli ww muongo, pp huna na wala hujui maana ya pp,

  • @AminaAfrica-pr3gi
    @AminaAfrica-pr3gi 2 місяці тому

    Wewe umekwenda kuowa mkridto wakati dini yenyewe inatukataza tusiwaowe hao bali mbaka pale pasipokuea na budi kwakuwa kuna hasara nyingi lakini mapenzi mapenzi yalikuchotaa pole sana ila usipotexe mdu hapo una mkee wanawake wa dizaini hiyo uwa awabadiliki kiamaa pole na jipange tuuu kwa maisha mengine mimi simufichi nskueleza kweli pia kumbuka wew ni shekhe fuata dini basii ole inalilah waina...... Kumbuka hadhi za maswahaba moja alipoambiwa na baba eke abadilishe kizingiti cha mlango ndugu huyo sio mke umueexiiii mbaka kiamaaaa alafu wee shekhe. Ndoa yako ya mkataba ndowa ya bomaniii uyo ni mwamke wa kutumiaaa ana fuchaaa ndugu baldili kixingiti na fuata vigezo vya dini wacha matamanio ya duniaaa shekhe gani wewe badilika ili uendane na cheo chake

  • @Mb0g0z
    @Mb0g0z 3 місяці тому

    Tatizo diva inajiona beyonce kumbe hamna kitu akarekebishe MENO mdomoni yapo zig zag

  • @lilianestephanie7881
    @lilianestephanie7881 3 місяці тому +1

    Ni gisela sema tu anaiandika kingleza

  • @AminKanefu
    @AminKanefu 3 місяці тому +1

    Yamekwisha ni upendoo tuuuu

  • @fettymilly7664
    @fettymilly7664 3 місяці тому

    Kuna mdada alicomment kwenye behind the gram ya paula na kajala kwamba bora niangalie reality show hii kuliko ya diva sizipend sofa zake ikabid nije kuziangalia😂😂😂😂😂 ni kwel km sofa yang mm nnae kaa vingunguti😂😂😂

  • @righitkileo
    @righitkileo 3 місяці тому

    Vituko jaman huyu chizi diva ataniua mm.lkn huyu shekhe jmn anaweza je kuwa na huyu ? Ha,ha,ha,ha,😂😂😂😂😂

  • @Maas-d5d
    @Maas-d5d 3 місяці тому

    sasa kwani hamuwezi kuongea saiti zenu tu zakawaida mana mnabadilisha badilisha sauti