Haki diva hajui kuongea vizuri na mume wake,kasema kupika hajui,harafu kumbe haelewi vitu vingi maana hata pasport tuu mume anafaham kuliko yeye msomi,analazimisha apewe vya thamani wakati bajeti hajui,yaani kumbe anamsema mume nje vibaya wakati yeye ndo tatizo,
Kumbe sheikh anamzidi akili diva na ujuzi wake wote wa social media 😂😂😂😂😂 mpaka amepoteza passport na hajajulisha sheria😂😂😂 Pole hata mm nilipoteza yangu this year I don't know when and where 😢🇬🇧🇰🇪🇾🇪
Diva is so ignorant, mwanamke una mdomo mrefu na madharau, mwanaume gani atakupa unachotaka, learn how to talk to your husband, huyo mwanaume nae ni muongo.
Hata kama mnesemaga mme ooo shehe lakini hata huyo diva hana tabiaya nzuri yakuwa mke wa mtu . Kumbe unatumbo kumbwa hivi wenye wesha zaha ndo wanakuwaga navimatumbo ww imekuwaje 🤔🤔🤔 huyu diva maisha ya ndao hawutaweza ju tabia yako nimbaya
@@marymanoni5536 apana kwahawa wasani wana maisha yakuigiza nilisema vile kwasababu wende utizame instagram nahapa nibitu 2 tofahuti kule iko na flati stomeki apa iko namama lawo
Self respect,self worth and self confidence as a woman is very powerful""treat others the same way you want to be treated""control your temper cause it will cost you badly one day.
Mwanetu shehe anapitia vitu vingi vigumu na huyu demu, sema anaweza kukaza, kipindi cha ukoloni watu kama shehe ndo walikua wanasafirishwa na cheni shingoni huku wanachekelea kuenda mambele😂 😂
Kiongozi wetu ntumee mohamad s(s aw) alidaiwa dhahabu na wake zake wawili na hakuwa na uwezo emu rudi kwenye dini wrwee. Wacha kupoteza muda hakuna jipya kwako amblo alijawahi kutokea enzi za mitume na maswahaba na ndio viongozi wetu tunaotakiwa kuaiga wewe rudi katika imaniii yako wrweeeee vyetu
Wewe umekwenda kuowa mkridto wakati dini yenyewe inatukataza tusiwaowe hao bali mbaka pale pasipokuea na budi kwakuwa kuna hasara nyingi lakini mapenzi mapenzi yalikuchotaa pole sana ila usipotexe mdu hapo una mkee wanawake wa dizaini hiyo uwa awabadiliki kiamaa pole na jipange tuuu kwa maisha mengine mimi simufichi nskueleza kweli pia kumbuka wew ni shekhe fuata dini basii ole inalilah waina...... Kumbuka hadhi za maswahaba moja alipoambiwa na baba eke abadilishe kizingiti cha mlango ndugu huyo sio mke umueexiiii mbaka kiamaaaa alafu wee shekhe. Ndoa yako ya mkataba ndowa ya bomaniii uyo ni mwamke wa kutumiaaa ana fuchaaa ndugu baldili kixingiti na fuata vigezo vya dini wacha matamanio ya duniaaa shekhe gani wewe badilika ili uendane na cheo chake
Kuna mdada alicomment kwenye behind the gram ya paula na kajala kwamba bora niangalie reality show hii kuliko ya diva sizipend sofa zake ikabid nije kuziangalia😂😂😂😂😂 ni kwel km sofa yang mm nnae kaa vingunguti😂😂😂
Nimesikiliza mambo ya passpot nacheka hakimungu😂😂😂
Uyo hajawah kuwa na passport bana asitudanganye hapa hkn mtoto wake😂😂😂😂😂😂😂😂
Pole kaka mganga kazi unayo😂😂
Eti aliletewa passport bila kwenda uhamiaji
nikweli lakini ni zile za kijani mm sijawai kwenda uamiaji@@nuryatmussa9966
Akiii nqchekaa km mazurii at kujieleza mtihaniii😂😂😂😂
Hawa watu waliowanaje jaman hata majina yao hawayajui??😂🙆♀️
She's so fake anajikana mzima mzima eti naenda canada hata burundi hujafika 😅
Sasa ndo nmejua mganga Hana matatizo huyu diva ndo shida hajui kuongea na mumewe
Hajawahi kuwa na passport huyu😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣angesema ukweli tu waendelee kujaza majibu ya passport yake ya kwanza
🤣🤣umewaza kama Mimi
Huyu diva hayupo hata romantic
Ikiwa mume hana uwezo wa kukununulia gari..usimlazimishe...halafu Diva u don't respect ur husband.. talk to him as a husband sio kama takataka..
Kumbe muhimbili ni hospital ya muda mrefu😂😂😂and u are a journalist? Heey eh
Yan anajifanya mgeni TZ
Sheikh apewe crown siyo kila mwanaum ataweza kaa na diva siku2
Abdul apewe 👑 👑
😂😂
Nikweli😂😂😂
Kabisa
Saiv ndo naelewa kumbe kingereza sio akilii😅😅😅😅😅
Shida ya huyu diva ni mdomo alafu hajajua nini maan ya mume na ndoa inataka nini
Haya maisha yenu ni kama movie 😂😂😂 part 1/2/3/4/5/6/7/8/9/11... Hivi mwisho ni lini.. huyu mume apewe tuzo ya mume Bora.🇰🇪
Diva 😂fake sana….. mpaka anamchangany mganga
Unavituko Kwel.😂😂😂😂 Sasa km mamako mzigua hatunaga se mkiwa se niuko iringa wazigua tuna mokiwa hatuna semkiwa.
Ujue Huyu dada anajifanya mtoto mdogo asiyejielewa hata kidogo wakati yeye muda wote ni mtoto mchanga
DIVA as Diva but doesn't have a passport 😂😂😂😂 LOL ohhh my...Tanzanian celebrity
Siwezi kugawa kitu mume wangu kaniletea hata kama kiwe kibaya kiasi gani huwa nakipenda na kukitunza
Hehehe Abdul ulipatikana kwenye hii ndoa aisee!😂😂 Diva 🙌🏽🙌🏽
Eti how are you 😂 huku hujui hata Wazazi wako wamezaliwa wapi 😅
Aiseee ila diva kwa mashauziii
Diva mashauzi yote Hana pasport duuuuuu
Yaani. Hata mimi nime mshangaa sana
😂😂 yaan duh
😂😂😂😂
is this a bad joke? 😂
Baada ya hii show ,Abdul shikamoooooooooooooooo ndo maana ana cheat this is too much for him,anatafuta wakumliwaza
Haki diva hajui kuongea vizuri na mume wake,kasema kupika hajui,harafu kumbe haelewi vitu vingi maana hata pasport tuu mume anafaham kuliko yeye msomi,analazimisha apewe vya thamani wakati bajeti hajui,yaani kumbe anamsema mume nje vibaya wakati yeye ndo tatizo,
Exactly 💯
Watu mnanaisha jamani. Yaani milioni tatu mnatumia mwezi???? Hamko serious😂😂😂😂😂😂
Kumbe muhimbili ni hospital ya muda mrefu!! Hahaha mshamba huyu
Analazimisha apewe vya thamani wakati hajui bajeti,hajui thamani ya shilingi aiseeee atabaki hapoooo
Yani mwanamke lazima uwe na kitu cha Ziada cha kumfanya mwanaume ajue mkewe nyumbani kichwa sasa Huyu binti namsikitikia sana hakuna Mke hapo
Mtu uliletewaje passport bila ww mwenyew kufika kule anatuchukuliaje huyu divaaa😂😂😂😂😂
Abdul ni mwanaume na Robo 3..
Kuishi na kiumbe kama Diva inabidi utumie akili hekima, busara kubwa sana.
Huyu passport hajawah miliki bhana,,,,,huyu mwenzetu wa humuhumu tu
😂😂😂😂
Sio wa humu humu tu,sema wa "Bukoba"😂
Zamaradi tupe mambo mengi,tunapenda sana mashabiki zako,na full za shoo za gigy
Diva mbona fek mpka majina😅😅😅
Huyu ndiva mshamba na mjinga unaleta majina ya 😂😂😂
Kumbe sheikh anamzidi akili diva na ujuzi wake wote wa social media 😂😂😂😂😂 mpaka amepoteza passport na hajajulisha sheria😂😂😂 Pole hata mm nilipoteza yangu this year I don't know when and where 😢🇬🇧🇰🇪🇾🇪
Yaani kumbe yote haya! Sasa anakua diva na hajasafiri! Huyu ni mjinga Sana
@@BarbaraPatience-qt9cc😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kwa hiyo huyu Director hakujua kua kuonesha kuwa diva hapa pass ni brand Damage?????
😂
Diva anaweza akakwambia babake ni mhaya, lakini yeye siyo mhaya, yeye ni black america, alienda mahakamani kubadili kabila... (Giselle)😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😅
Kifup,uyo hawez kubadilka.nauyo uliomuoa ukiendelea kumuweka mitandaon atahalbika zaid yahuyo.simama ktk maadl yko.uzur hujaacha ibada
Jamani hadi leo huna passport jamani😢
Ujinga mtupu
Abdul.razak...find.another woman...she's not of your kind..you living different cultures
Anaomba msamaha huku anacheka yaan hajui jns yakuishi na mume waaa japo sijaolewa bado but diva bana
Diva is so ignorant, mwanamke una mdomo mrefu na madharau, mwanaume gani atakupa unachotaka, learn how to talk to your husband, huyo mwanaume nae ni muongo.
Diva umeolewa na mzungu 😅
😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌eti nililetewa nmechekaaa
😂😂😂😂😂😂 anatuona ss machiziii
we mshenzi hujui baba ako kazaliwa wapi hv mbona unautoto mwingi duh yan kila kitu fake fake duh never seen before
Hata kama mnesemaga mme ooo shehe lakini hata huyo diva hana tabiaya nzuri yakuwa mke wa mtu . Kumbe unatumbo kumbwa hivi wenye wesha zaha ndo wanakuwaga navimatumbo ww imekuwaje 🤔🤔🤔 huyu diva maisha ya ndao hawutaweza ju tabia yako nimbaya
Mbona kawaida
Hilo liko wazi
Yani hatari kwa kweye ndo ukivuvuna hiyo huishi na mwanaume kampata huyo mume naye wataka usataa tu
@@marymanoni5536 apana kwahawa wasani wana maisha yakuigiza nilisema vile kwasababu wende utizame instagram nahapa nibitu 2 tofahuti kule iko na flati stomeki apa iko namama lawo
Tumbo kama langu mama kachanga ila soon nalitoa
Self respect,self worth and self confidence as a woman is very powerful""treat others the same way you want to be treated""control your temper cause it will cost you badly one day.
Hata mume hajui majina ya mkewe
😂😂😂😂😂😂
Kwani uyu muislam au mklisto?mbona simuelewi😂😂😂😂😂ila diva
Duh natumbua mijicho nashangaa majibu ya diva dah kapinda xana
Kwa hapa nimemaliza huyu kaka,ela yake ya kimaskini kuishi na mtu kama diva alijaribu ni sawa tu walivyoachana
beyonce huna pasport
beyonce huna paspot kenge wewe
Kwenye ndoa zenu kuna kazi na hamtuambii😂😂😂😂
Me na diva nimeanza kumiliki passport me😂😂😂😂😂diva bwabwa
😂😂😂diva yaan unavitu ww af abdul yuko makin atak ujinga😅😅😅😅mara malinz mara mpare mara muhimbil
Nyie mnaomsema diva angalien inteview yaa salma mwanamke wa huyu kaka aloachana nae ata ela ya chakula anasema alikua aachi uyu kaka
Daah nilikua na muwaza yule Roboti wa kizungu sijui hata kwanin nimewaza hivyo😂😂😂😂
na huyu mwanamume kwa kueli n mzuri sana
😂😂😂mamdogo ata ajui alipozaliwa
Nahapo mwanaume kanyweshwa maziwa tu no food afu anaongea utumbo hapo
Muongo huyu aitwi diva 😂😂kadi lake la clinic 😂😂😂
Puwagu na pwaguzi 😀😀😀
Pipa namfuniko 😂😂😂
Sheh amepoteyaga njiya😮😮😮
Mental health is real
Nilichogunguwa kweli huyu dada maishayake ni feki we hada ditel ya mzazi wako huzijui au ww sio mtz
Huyo ni mwanake wa kutumiaaa tuuu si unamuona
Uyo mwanamuke hafayi
Mmaosema uyu kaka hana shida taften interview yayule mke wake salma kabla yakumuowa diva
Tukalime jamani 😂❤😂❤😂❤
😂😂😂
Kwakweli tushike jembe😅😂
Realty yenu mbaya hainogi
Yaan ndiy nimeamin kumbe huyu dada uzungu t mwing kichwan hana kitu mana anasem ety tutasem sina passport khaa sasa hajui km tarifa zipo kule nimexhek
Canada 🇨🇦 unaenda kufanya nini? Acha zako diva
Mwanetu shehe anapitia vitu vingi vigumu na huyu demu, sema anaweza kukaza, kipindi cha ukoloni watu kama shehe ndo walikua wanasafirishwa na cheni shingoni huku wanachekelea kuenda mambele😂 😂
Hii inanionyesha kwa jinsi gani upeo ni shida katika watu wengi ambao huwezi hata kuamini
Nimecheka hapo uliponunuliwa vitenge😅😅😂😂😂
Si angemwambia diamond amtafutie passport😂
Kama kikwete😅😅
Yaani nimemsikiza huyu Diva! No way! Hata hana knowledge fupi sana!! Bwana naye mrongo sana! Pwagu na pwaguzi
Ati mama angu alionizaa sindio Rosemary? Reall! Is it possiple your not sure about ur mama name?
Ndio maana kichwa kibovu huyu
Hakuwahi kuwa na mama yake..alifariki akiwa mdogo hata mwaka hana
@@ms_teeonly Ooh pole sana kwake
Diva jaman
Wew diva mulize giving mawigi and nunua wapi akielekezee😂😂😂
😂😂😂khaaaa jingaaa sanaa halijui kitu upuuzi 😂😂😂 mwingi kwenye kitambulisho cha nidaa lilijaza nini sengeee sanaa😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂dah
Yaani dada wa ajabu hahahha afu anajikuta mzungu flan
Ila huyu kaka anajitahidi jaman khaaaa!!
Yaani hapa Abdul kajikanyaga naatakonda sana😂😂😂😂
Kweli atamimi nahisi ivo,jama anapambana sana sikazi ndogo kukuwa karibu na Diva
@@nayarichard5318mbona washaachana kitambo show yenyewe marudio hii
@@JOCENTEwashaachana
Uyo siyimwanamuke
Kochi chafu
Mmeweza😊😊
Na u diva wote Hugo hata passport hakuwa nayo ajabu
Yaani mm nimemshangaa kwa kweli
Shikamoo kurogwa!!! 😢
Hahaaa😂 Hadi Mimi nimemshinda
Diva anaongelea maisha ya kina biyonce walioshajipataga anayaleta kwa mganga wetu wa kienyeji
😂😂😂
😂😂😂😂daaah
😂 we mshenzii😂😂😂
😂😂😂 kwanini mganga wenu wa kienyeji jamani
@zamaradi tuwekeen na ya kajała na mwanae wengine hatukuiona kwa tv plz
Kiongozi wetu ntumee mohamad s(s aw) alidaiwa dhahabu na wake zake wawili na hakuwa na uwezo emu rudi kwenye dini wrwee. Wacha kupoteza muda hakuna jipya kwako amblo alijawahi kutokea enzi za mitume na maswahaba na ndio viongozi wetu tunaotakiwa kuaiga wewe rudi katika imaniii yako wrweeeee
vyetu
Diva nimejua kweli ww muongo, pp huna na wala hujui maana ya pp,
Wewe umekwenda kuowa mkridto wakati dini yenyewe inatukataza tusiwaowe hao bali mbaka pale pasipokuea na budi kwakuwa kuna hasara nyingi lakini mapenzi mapenzi yalikuchotaa pole sana ila usipotexe mdu hapo una mkee wanawake wa dizaini hiyo uwa awabadiliki kiamaa pole na jipange tuuu kwa maisha mengine mimi simufichi nskueleza kweli pia kumbuka wew ni shekhe fuata dini basii ole inalilah waina...... Kumbuka hadhi za maswahaba moja alipoambiwa na baba eke abadilishe kizingiti cha mlango ndugu huyo sio mke umueexiiii mbaka kiamaaaa alafu wee shekhe. Ndoa yako ya mkataba ndowa ya bomaniii uyo ni mwamke wa kutumiaaa ana fuchaaa ndugu baldili kixingiti na fuata vigezo vya dini wacha matamanio ya duniaaa shekhe gani wewe badilika ili uendane na cheo chake
Tatizo diva inajiona beyonce kumbe hamna kitu akarekebishe MENO mdomoni yapo zig zag
Ni gisela sema tu anaiandika kingleza
Well said gal, Gisela/Gissele
Yamekwisha ni upendoo tuuuu
Kuna mdada alicomment kwenye behind the gram ya paula na kajala kwamba bora niangalie reality show hii kuliko ya diva sizipend sofa zake ikabid nije kuziangalia😂😂😂😂😂 ni kwel km sofa yang mm nnae kaa vingunguti😂😂😂
Vituko jaman huyu chizi diva ataniua mm.lkn huyu shekhe jmn anaweza je kuwa na huyu ? Ha,ha,ha,ha,😂😂😂😂😂
sasa kwani hamuwezi kuongea saiti zenu tu zakawaida mana mnabadilisha badilisha sauti