Simanzi na Majonzi, Askofu Musomba Asimulia Alivyovamiwa na Majambazi na Kutaka Kumuua, Akiwa Padre
Вставка
- Опубліковано 30 січ 2022
- 𝐖𝐄𝐙𝐄𝐒𝐇𝐀 𝐔𝐓𝐔𝐌𝐄 𝐖𝐀 𝐉𝐔𝐆𝐎 𝐌𝐄𝐃𝐈𝐀 𝐊𝐔𝐏𝐈𝐓𝐈𝐀 𝐌-𝐏𝐄𝐒𝐀 𝐋𝐈𝐏𝐀 𝐍𝐀𝐌𝐁𝐀 𝟓𝟎𝟓𝟒𝟔𝟑𝟓 𝐉𝐈𝐍𝐀 𝐉𝐔𝐆𝐎 𝐌𝐄𝐃𝐈𝐀 𝐍𝐄𝐓𝐖𝐎𝐑𝐊
Tafadhali Subscribe, Like, Comment na Share tone hili la upendo kwa ndugu jamaa na marafiki.
𝐉𝐮𝐦𝐮𝐢𝐤𝐚 𝐧𝐚𝐬𝐢 𝐤𝐚𝐭𝐢𝐤𝐚 𝐦𝐢𝐭𝐚𝐧𝐝𝐚𝐨 𝐦𝐢𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞 𝐲𝐚 𝐊𝐢𝐣𝐚𝐦𝐢𝐢:
Instagram: / jugo_media
Facebook: / jugomedia2019
𝕄𝕒𝕨𝕒𝕤𝕚𝕝𝕚𝕒𝕟𝕠:
JUGO MEDIA,
Sokoine Drive, Posta
P. O. BOX 34014,
Dar es Salaam.
For Bookings and other Enquiries
Phone Number +255757560764/657790405
#jugomedia #kanisakatoliki #familiatakatifu #wawata #uwaka #viwawa #australia #unitedstates #canada #america
Pole sana Baba Askofu kwa kuumizwa na majambazi.Wengine tunajifunza kitu kwako Hatukati tamaa.Kumbe kwa mateso hayo pia ni sehemu iliyokutia moyo katika kuuishi wito wako.Hata watakatifu wengi kwenye historia tunasoma kwamba walipitia mateso mengi sana na manyanyaso pia.Pole sana Muhashamu baba Askofu.
Pole sana baba Askofu, mpole sana na mnyenyekevu, Hata mahubiri yako yanatuvuta kukusikiliza na kupata tafakari ya siku.
Hongera sana baba askofu mpole ,, mnyenyeku,,unastahili kuwa askofu uko tayari kufa kwa ajili ya mwingine
Pole sana baba mungu wa yesu kristo alikupigania endelea kumtumikia mungu
Jaman baba askofu pole sana. Wasamehe watu hao
Pole Sana baba yetu, Mungu ana kusudi na wewe. Kaza mwendo baba
Pole sana Baba kwa mateso uliyoyapata
Pole sana Askofu kwa hayo yaliyokupata
Pole sana Baba Askofu!
Hata kwa muonekano wako hakika wewe ni Asikofu Mungu akubariki
Pole Sana baba askofu
duu pole sana yani majambazi hawachagui wakuwavamia