Nimeshiriki Misa zake nyingi alipokuwa masomoni dsm sana kipindi kile kigango cha bikira Maria Immakulata pande Msakuzi sasa parokia Ilihamasisha sana watu kusali Mungu azidi kumlinda na kumuongoza na kumbariki Pamoja na makleri wote katika wito wao Tumsifu yesu kristo
Amina mtumishi upadre Ni wa Mungu na Padre Ni wa Mungu 🙏🙏 Nami ni wa Mungu na kipaji changu na wito wangu Ni wa Mungu Amina
Well said 👍👍👍
Congratulations Fr Almachius Rwejuna.Keep it up Fr.
Amina kweli Mungu anagawa vipaji
Nimeshiriki Misa zake nyingi alipokuwa masomoni dsm sana kipindi kile kigango cha bikira Maria Immakulata pande Msakuzi sasa parokia
Ilihamasisha sana watu kusali
Mungu azidi kumlinda na kumuongoza na kumbariki
Pamoja na makleri wote katika wito wao
Tumsifu yesu kristo
Yes aliwahi fanya ibada pale Bikira Maria consolata makabe kipindi anasoma ,,,mahubiri yake n mazuri na yakujenga sana kiimani
💯💟
Niseme 2 Amina
Ongera sana Fr ,Rwejuna, somo wangu.
Amina
Moto wa kuotea mbali mwanamahesabu huyu.
A good man, a good priest, a friend indeed