MFAHAMU ASKOFU NZIGILWA "WALEI NIMEISHI NAO VIZURI,MPANDA WAJIANDAE NINA MIPANGO MINGI".

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 21 жов 2024
  • Mahojiano maalumu na Askofu Mteule wa Jimbo Katoliki Mpanda,Fahamu historia yake,Alipokeaje Kuteuliwa kuwa Askofu kwa mara ya Kwanza na Mengineyo.

КОМЕНТАРІ • 40

  • @kulwaedgar2683
    @kulwaedgar2683 Рік тому +3

    Hongera sana Baba Askofu Nzigirwa ,Dessatation yako ilikuwa Excellent,,nimewahi kuiona na kuisoma

  • @nestorymhagama2600
    @nestorymhagama2600 4 роки тому +2

    Asante sana Nimefurahi unavojieleza kwa Tabasamu na furaha kubwa BABA ASKOFU NZIGILWA

  • @davidgimanwa484
    @davidgimanwa484 2 роки тому

    aminaa baba askofu we gift from God to be servant of people pia xafari yako inatupa nguvu that mean no xhort cut life in success

  • @nestorymhagama2600
    @nestorymhagama2600 4 роки тому +3

    Hii nzuri sana Kiukweli nawaomba waandishi wa HABARI TEC hakikisheni hili liwe endelevu ili tuwafahamu vizuri Maaskofu wetu Tz hata wengine watu na viongozi maarufu ndani ya kanisa tutafurahi sana jamani. Tuna wanamziki na watunzi wa Mziki Mtakatifu wamiaka mingi n.k

  • @beatricenangale5439
    @beatricenangale5439 5 місяців тому

    Ohhh Baba Mhashamu Hongera sana nakumbuka Dodoma ulikuwa ukitutembelea hadi kwenye Jumuiya, ukituuliza maswali kuwa tangu kumekucha wangapi wamechukua Biblia wakasoma, kwa kweli kwa muda mfupi uliolaa Dodoma, tulishuhudia maendeleo makubwa ya Kanisa, Mashule yakajengwa ya St. Peter Clever, mashamba makubwa ya zabibu, makanisa n.k. Mungu azidi kukupa nguvu za kumtumikia

  • @raphaelchibunda1541
    @raphaelchibunda1541 4 роки тому

    Hongera sana Baba Askofu Mungu akujalie utume mwema

  • @gild1
    @gild1 11 місяців тому +1

    Muda wote umejawa na furaha, utulivu na ujasiri wa KIIMANI. Mungu azidi kukutumia kama chombo chake baba🙏🏿

  • @SamwelaTairo-n5b
    @SamwelaTairo-n5b 4 місяці тому

    Mungu akubariki baba

  • @TelesiaSalamba
    @TelesiaSalamba 6 місяців тому

    Hongela sana bab askof wa jimbo la panda

  • @deuskilunga5264
    @deuskilunga5264 4 роки тому

    Mungu akubariki sana Baba Askofu Nzigilwa.

  • @scholaemanuel7677
    @scholaemanuel7677 Рік тому

    Yaani mm nakupenda Sana hata mwahashamu Luzoka anafahamu hilo

  • @piuskusekwa3128
    @piuskusekwa3128 4 роки тому

    Hongera Sana baba askofu nzigilwa mungu akupe hekima na afya uwaongoze vema waanampanda

  • @georgerogath9055
    @georgerogath9055 4 роки тому

    Hongera sanah baba Askofu Mungu akujalie utume mwema tume zaliwa mwezi mmoja na tarehe moja daaah

  • @happynesslucass8525
    @happynesslucass8525 4 роки тому

    Nakupenda sana baba

  • @kapolesyaelimu3343
    @kapolesyaelimu3343 4 роки тому

    HONGERA SANA BABA ASKOFU. MUNGU AZIDI KUKUINUA

  • @patrickmkambilwa9932
    @patrickmkambilwa9932 4 роки тому

    Utume mwema katika Bwana wetu yesu christu

  • @mungholomakalanga8958
    @mungholomakalanga8958 4 роки тому

    Nitamshukuru Mungu Kila Wakati,amenitendea mambo makuu,siku zote aniongoza

  • @marshal6903
    @marshal6903 4 роки тому

    Good

  • @patrickmkambilwa9932
    @patrickmkambilwa9932 4 роки тому

    Amina

  • @piuspascal7833
    @piuspascal7833 4 роки тому

    Nice conversation

    • @linajoseph7721
      @linajoseph7721 3 роки тому

      Hongera sana Babaa Mungu akuongoze katita utume wako

  • @tajpitanzania1657
    @tajpitanzania1657 4 роки тому +1

    Stop wondering why people don’t treat you the same way you treat them. Not everyone has a heart as big as yours.

  • @wilonjabikey8274
    @wilonjabikey8274 2 роки тому +1

    Najivunia kuwa mkatoliki

  • @bertojr2130
    @bertojr2130 4 роки тому

    Mahojiano mazuri sana. Ningeomba mfanye mahojiano na Baba Askofu Filbert Mhasi wa Jimbo la Tunduru-Masasi

  • @manyakuulaompondelo4419
    @manyakuulaompondelo4419 4 роки тому +1

    Utume mwema Baba

  • @daudimaembe3360
    @daudimaembe3360 6 місяців тому

    Mungu mkubwa

  • @emmanuelcharles1442
    @emmanuelcharles1442 4 роки тому +1

    Kila lakheri baba nzigilwa hko jimbo la mpanda

  • @xerxespersian1384
    @xerxespersian1384 4 роки тому

    Miongoni mwa watu HADHIMU sana
    MAY ALLAH GRANT U LONG LIFE INSHAALLAH🤲🙏

  • @piusngow5677
    @piusngow5677 4 роки тому +1

    Utume mesma Baba

  • @orastomapunda8559
    @orastomapunda8559 4 роки тому

    Karbu sana baba etu mpanda

  • @johnmgalatia5375
    @johnmgalatia5375 3 місяці тому

    KUMBUKUMBU YANGU NAKUMBUKA MLIPATIA UPADRI MSIMBAZI NA KINA APOLINARY NGIRWA

  • @numbeshabani9981
    @numbeshabani9981 4 роки тому

    Ping-pong

  • @deuskilunga5264
    @deuskilunga5264 4 роки тому

    Mungu akubariki sana Baba Askofu Nzigilwa.

  • @nestorymhagama2600
    @nestorymhagama2600 4 роки тому

    Hii nzuri sana Kiukweli nawaomba waandishi wa HABARI TEC hakikisheni hili liwe endelevu ili tuwafahamu vizuri Maaskofu wetu Tz hata wengine watu na viongozi maarufu ndani ya kanisa tutafurahi sana jamani. Tuna wanamziki na watunzi wa Mziki Mtakatifu wamiaka mingi n.k

    • @cyrillaurian1584
      @cyrillaurian1584 4 роки тому

      Mungu ni mwema na muweza wa yote. Nimejifunza kitu toka kwa Askofu Nzigilwa. Mungu awe nawe.

  • @emmanuelcharles1442
    @emmanuelcharles1442 4 роки тому

    Kila lakheri baba nzigilwa hko jimbo la mpanda