DR SULLE | TUMIA DUA HII NYUMBANI KUVUNJA UADUI | KUTEKETEZA UCHAWI, NUKSI, MIKOSI, NA MASHEITWANI
Вставка
- Опубліковано 10 лют 2025
- DR SULLE | TUMIA DUA HII NYUMBANI KUVUNJA UADUI | KUTEKETEZA UCHAWI, NUKSI, MIKOSI, NA MASHEITWANI
#Masjid_Mtoro_Online_Tv
Masha ALLAH Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi Insha ALLAH
Mashallah mashallah Allah awalipe kila la kheri inshallah
MA SHA ALLAH
Mashallah Dua mzuri mashallah
Assalamu alaykum mSheykh tunashukuru kwa duaa allah awahifadhi mzidi kutuongoza katika njia yahaki na tuachane na kwenda kwawashirina amiin
pro trick : watch series at flixzone. I've been using it for watching all kinds of movies during the lockdown.
@Mohamed Anthony yup, I have been watching on flixzone for months myself :)
A,a,w,wabarakatuh shekh nauliza maji hayonikiwa mbali yatanifikiaje mimi niko mwza na yanauzwa bei gani
Jazakallah kheyr
Mashallah Allah bariki
mashallah Tabarakalah
Masha Allah.
Masha Allah
Marajani wngeni hayo.
MashaAllah
Maashaallah
Machala senegal
Amiin yarbi Amiin 🤲🤲🤲🤲
Mashaallah
ماشاء الله تبارك الرحمن جزاك الله خير
JaAllah jala jalalu
Dr. Sule Asalam alaikum warahamatullahi wabarakatu. Kuna Binti mmoja anamatatizo kila anapolala usiku kuna mtu huja na kumuingilia pasi na yeye mwenyewe kumuona. Kakake nae anafanya kazi lakini pesa zake hupotea bila ata kujua zinakoelekea. Tafadhali naomba kuwaunganisha kwako Insha Allah uwasaidie. Shukrun.
Muelekeeni mwenyezi mungu ndo mwenye kuondoa shida kama ni dua fanyeni kwa ihlasi mnapona wala msisubiri kufanyiwa
Amiin Amiin 😢😢😢
❤Amiiin
Aiseee mola akujalie umri mrefu
Ameen Allahuma Ameen
Amiin Amiin😢
Jala jalalu
Maishaallh
Amiiin Amiiin
AmeenAmeenAmeen
Assalam aleykum warahmatullahi
Amiin Amiin
Allahumma Aamiin Thumma Aamiin 🤲🤲🤲
Mbona imeishia njiani naomba maelezo ya kutumia haya maji na chumvi
Shekh Acha utapeli
rıdisha pesa za watu milion 1 na lak 7 ......
Je inajuzu kuvaa Pete ya ndoa kwa waislam
Jamani mmepata vdio ya jinsi ya kutumia hayo maji na chumvi??ata mm naisubiria nipate mwelekeo kama mmepata plz nitumieni link thank you!
Asalamualeikum ndugu zangu ktk imani naomba namba ya whatsapp ya Dr.Sule
Mbona mmeikatisha mwisho hatujasikia maelekezo ya kufanyia chumvi na maji
ua-cam.com/video/Y1PQzdsFCpQ/v-deo.html
Aamiin yaraab Aamiin
A.alykum hata sisi huko kenya tulikua tunafuatilia basi twaomba hayo maelezo tafadhali ili nasi tupate tiba kwa uwezo wa Allah Subhannah Wa Taala.
Jamani mie nina jini mwilini sipati sema
Dr sule mbona mmekatisha maelezo majii na chumvi tunatumia je au imeingia tamaa ya pesa mbona mashehe wetu mmekuwa na tamaa sana na ulimwengu mmesahau ahea
Mohammed slim, kua mhekima, kwa kuongea, number sule iko hapo mpigie. Tusiwakasifu wahadhiri wetu.
Maana ya Nuksi ? Sijaelewa
Nuksi nsawa n mikosi,kila unalo lifanya auna bahat nalo mfano upate mchumba ikifika krb n doa mipango inavurugika,upati kzi n ukipata ulipwi nukilipwa pesa ujui unatumia vp kuchukiwa n watu kusingixiwa mabalaa
Ni chumvi ipi ya mawe au yakawaida
Ya mawe ww husikii mpka uchapwe
na mke aliritadi
Q1
Mashaallah
MashaAllah
Amiin Amiin