DR.SULLE AANGUSHA MAJINI LIVE TAZAMA
Вставка
- Опубліковано 10 лют 2025
- #drsulle #tanzania #health
KUPITIA DUA KUBWA INAYO ENDELEA HAPA MBAGALA JIJIN DSM ILIYOPO CHINI YA AL HAJ DR.SULLE WATU WAPANDISHA MAJINI NA KUPIGA MAKELELE MIWASHO NA NDO SIKU YA PILI SASA TAZAMA HAPA MWANZO MWISHO NA WEWE USHIRIKI HII DUA
Wallah hadi raha kusikia Allah anatangazwa katika kila kona ya dunia.
Baarakallahu fiikum,shekhe ninaumwa ni akuataje
Pia wengine dua itufikiye inshallah
Dk...aslm alkm. Nakupenda kwa ajili ya Allah Allah aendelee kukupa afya Ili tuendlee kupata mawaidha mazr
Ya Rabbii nasisi Dua iyo itufikie
INSHALLAH 🙏
AMIN AMIN AMIN
Nmecheka masheikh siku hizi mnawaiga kina diamond kutembea na mabody guard wale wana pesa za kuchezea na umaarufu wao wana maisha mengn tuache kujikweza sanaa inaboa..nawaona hadi sharifu uchwara nao
Acha makasiliko ww tafuta hela uishi vile unataka nasio kuangalia maisha ya watu
@@NoorynMody ufala huo mtume mwenyew hajafnya masifa ya kijinga kama hawa makarumanzira nyie ndo mnaotoga kafara hata wazaz wenu kida tamaa za pesa
Maa shaa ALLAH 💚
Dk Allah umr mref Ili tuendlee kupata daawah
Amin tokea Lubumbashi Wantashi DRC CONGO
Itufikie inshaAllah
Inshallah 🙏
Dua itufikie wote inshallah
Good !!
mashaa allah jamani shehe na sisi duwa jamani
Lini itakuwa Duwa ya Fat-h aljasadi Dodoma 2024
Assalam alykum warahmatullah wabarakatuh,jamani sie watu mbali tunaomba masaa ya dua tujue mutakua live saa ngapi tufwatilie.shukran
Mbona haindelei
part 2 pliz
Shida ya watu wakiona waislam wanafanya maajabu bas wanaanza kusema uchawi huo. Lakn wakiona wachungaji, watu wanasema huyo ndo Mungu. Je kwan Mungu hawez hayo mnayoona ni uchawi?. Jaman tuache fitina
Uje na zanzibar kufanya dua kama hiyoo na ss tuna shida na matatizo mengi sana
Aslm alykm Dr Sulle naomba kuuliza iwapo ninaweza kucheza clip hii ndani ya nyumba yangu na family yangu iweze kunifanyia kazi bi-idhnillahi kama ilivyofanya muhadharani huko. Abdulrahamani Kenya
Assalaamu alaykum vpi hali shekhe sisi wengine tuko mbali tufanyeje
Hey
Mm ndio tulikofikia pigeni suti ila tukumbukeni na siku ya kiama
Kama kana tego umetegewa jiani
Shekhe naomba namba yako pls
Halafu sisi wakuangalia kwenye mitandao tunaruhisiwa kushika chupa na sisi halafu haya maji tunayafanyia nn baadae
Vita yetu nivita yamalazi hahahahaha Allah nimjuzi sana ukipata amani duniani ahela hupati amani ukipata sitalehe duniani ahela hupati amani chunguza mitume yote ya Allah walivyo ishi utapata jibu allah asema unaweza kuchukia jambo kumbe niheli kwako naunaweza kupenda jambo kumbe nishali kwako
Mana yako
Kama wale
Kina nani?
Unafanya kwa nguvu ipi maana Muhammad hakuwahi kufanya hayo na hata allah hajawahi kuponya mtu
Waminnazilu minal qurani mahuwa shifaa
Hii ndo fani yako lakini kweye uwanja wa Elimu so sehemu yako waachie wenye elimu nawe nenda chuoni kasome Qur-an kwanza ili uisome vizur na ipasavyo Qur-an ni maneno ya Allah usisome utakavyo wewe tu tafuta mwalimu akufundishe kwanza
STAKI UNAFKI,,,KILICHOANDIKWA NI TOFAUTI NA KILICHOMO...SIJUI MNAFUNDISHA NINI..IKIWA MMEANZA KWA KUONGOPA
Duuu.
Mwenyezi Mungu anaweza kila kitu. wengine mnazan uchawi
Shekhe wangu nn ivyo umenyoa unajifananisha na nan? Au ndo ao ولي أمرك موجود(your guardians)!!!!..........! But Ostandh also remember that the compound is now a glorious place, And what's more, you've eaten a whole lot of suits!!!!, what's the culture of ?? or Is there a new system!!?????.........😂
Jinga
Tumeruhusiwa kujipamba kwa mapambo mbalimbali. Soma Quran vzr.
Is suit problem? Or
Hamkosagi sababu. Kama shida ni suit,bas utakuwa na shida ww
Amenyoa nini?
Hao wanaosoma hapo ndio masheikh ww doctor sule umtangazaji tu ndo mana ukavaa suti,
Itufikie. Manumbani .dua
Ya Rabbii nasisi Dua iyo itufikie