MAPENZI YANAUMA | Full Movie
Вставка
- Опубліковано 8 чер 2024
- MAPENZI YANAUMA | Full Movie
Ni filamu inayomuelezea kijana Adam ambaye anayatoa maisha yake kwaajili ya kupambania penzi lake kwa Selina mwanamke aliyempenda sana na kubeba mimba ya mwanaume mwingine.
Fuatilia kisa hiki kizuri na usiache ku subscribe, ni filamu yenye mafunzo mazuri sana.
#film #bongomovie #2024movies #swahilimovies #hubajeusi1 - Фільми й анімація
Tafadhalini, ukimaliza tu kutazama filamu, hebu fanya jambo la ungwana kwa kubonyeza alama ya LIKE...ili tukiwa na VIEWS 3000 kwa mfano, nazo LIKES ziwe 3000, yaani.ziambatane
Asante sana
Sawa
Adamu
Good
Waminifu ni kitu kizuri jamani.
Kazi nzuri sanaa❤❤..Napenda combination ya Adam na nyuki
Asante
Unaona hivyo mnavyokimbilia kuview vivyo hivyo muache like kama mnafurahia kupendezwa na filamu achieni Adam like basi nanyie❤
Shukrani sana
Sinema nzuri, ya huzuni na pia mafunzo...ila tu sisi wanaume tusionyeshe udhaifu wetu wa kupenda kwa kujitoa uhai...kila siku panapo pambauka, maisha huanza mwanzo..na mapenzi pia yaeza kuanza upya
Kabisa kabisaaa
Nilikua Niko BZ Sana na majukum mnisamehe washiriki wote tunaofuatiria filam ya Adam. Na wezie maua yenu🎉🎉🎉🎉❤❤❤
Shukrani
Adam leo unafanya kazi nzur sana hongera mungu azidi kuinua kipaji chako inshallaaah
Amen
Adam napenda sana movie zako sana
Shukrani
Tutanunua papas na maziwa tutaweka ndani😂😂😂nimecheka sana😂
Jamani kwani nimekosea!
Mapenzi bana ni hatari sana😩😩🤣🤣
From zanzbar
Hongera sana kaka Adam sasa hivi unapiga Kazi bandika bandua
Shukrani endelea kuwa hapa kwa pamoja tujenge taifa
Tunachofeli wabongo ndo icho inamana mpaka mimba inakuw kubwa hajafumua nywele😂😂😂
Acha kabisa! Bajeti hatuna ndugu zako! 0766135528 Mpesa ukituchangia kidogo utakuwa umetusogeza.
Hata kama lakn sio vizuri kuambia mtu ivo
Shukrani
Congratulation my young brother Adam!!
Adam kaz nzur sana
Asante sana
Pongezi sana madam sofi kw ushauli nzuli🎉🎉🎉🎉🎉
Shukrani
Daah, noma hii kabisa. Ni nzuri sana, big up kwenu nyiote.
Shukrani
@@AdamLeoStudios haya
Leo nimefika on time team Adam hoyee 😂😂😂😂
Thanks
hoyeee tupo team Adam
Nzuri na Ina mafunzo sana hongera sana Adam kazi nzuri.
Shukrani
Mwanaume unapenda unaingia hadi miguu 😮
Yaani upendo ulizidi
Adam napenda filams zako. Na unanekana kijana mstaarabu sana.
Shukrani sana
Umetisha sana Adam hadi pampas ulitaka uanze kununua😅😂😂😂😅
Acha kabisa na bado nikaachwa
Kazi nzuri ❤❤❤
Asante
Filam iko vizur Sana nawapenda wote❤❤❤❤
Shukrani
Move kali sana kaka Adam ila ndevu kaziweke saw kama unavyo wekaga unakua poa sana ❤
Movie ilitaka hvyo
Jamani Adam napenda sana Movie zako wlh Yani We mwamba kbx Congratulation for u my brother ❤❤❤
Thanks
Hapo kwenyekuanza kununua pampas imebidi nicheke😂but hongera sana Adam kaz nzur🎉
Asante sana
Wa 8 kazi nzuri sana
Au sio
Kabisaa adam njoo kwangu mimi ni slay pia
Wow❤kaka nyuki .naona hivi soon ukifikia adam kwa upande waushauri 😋😋😋mbele yangu naona niko na makaka wawili shupavu💪 wa kuzidi kunielemisha na kunifunza njinzi nitakavyo ishi na wenzangu hapa duniani.ndomana muliitwa kaka nyuki mwenzio kaka adamu.pokeeni maua yenu kwa kazi nzuri mnayo ifanya❤❤❤much love from kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
🙏🙏
Dah kuna mchongo nausikilizia mwamba pole bhana ndio mapenzi ayo ... Congraturation adam leo
Thanks
Hakika ni nzuri sana na inamafunzo mazur ,hongera sn Adam kwa katuelimisha
Amen
Nimejifunza..ukipendwa pendeka😢😢
Umeona eh
Nakushauri Adam wajana na huyu Selina juu amekuzarau vibaya
Kabisa
One love ❤
Thanks
Nakupenda bure🇲🇿🇲🇿
Thanks
Movie tamu 🎉🎉🎉
Thanks
Kwakweli inauna sana Adam pole sana kakaangu 😢😢😢😢
Shukrani
big up brother Adam🎉🎉🎉🎉❤
Thanks
Karibu kulenga story nyengne ukitowa mapenz ila kaz nzuri brooo
Great lesson to intended people (youths) from Zagreb
Adam unafanya Kazi nzuri san ❤❤ from Burundi 🇧🇮
Thanks
Nampendaga uyu Sophia anajua sana afu mzuri na rangi yake so mwaaa 😍😍❤️❤️❤
Shukrani
Move kali sana
Asante
Nyuki na adamu nakubari kazi nyuri sana
Shukrani
Wow nice 😊😊
Thanks
Upo juu Adam hongera hawakuwezi kila la kheri katika kazi zako❤
Asante
Adam naww hizo ndevu hazikupendezi😢
Fanya mpango basi ka hela kidogo nikanyoeee
acha husda
Nampenda huyo dada
Anajua sana kuigiza kwa kweli🙏🙏
big up adam muvie zako ni kali sana piga kzi kaka
Shukrani
Alaaaaa leo nimemuona Sofi uliteact nae Moyo wow ni muda sijamuona kwenye movie nyengine ❤
Anakusalimia
@@AdamLeoStudios nimezipokea nampenda huyo mdada from Kenya
Pole sana adam baba selina hakufanya vizur lkn pole salimia wote. Kwa bwana yesu
Amen😂😂
Adamu please ungeweka hii sound truck nmeielewa sanaaaa
Comment na like before nione ❤❤❤
Asante baba
WA 9 kutoka DRC 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Shukrani
Nampenda huyu Selina na yule mwenzake Salma ni warembo Ma Sha Allah. Wanajua kuact
🙏
kaz nzuri sana🎉❤
Shukrani
Kwli tujifuze
@AyubIyow ni kweli
Kabisa kazi nzuru kwa adam
Shukrani
Ndio mkubwa
Sio mambo izi Siku mbili mbona
Mmi ndomana nimeamuwa kuacha mapenzi nikachaguwa kutafuta pesa kisa sitaki stress za mapenzi
Acha kabisa😢😢
Pesa sio kila kitu kuna muda lazima mwili utahitaji haki yake
Nkweli
😅😅😅😅umeona eee
@@Nailaty564utapata tu wakukunyoosha viungo
Wow! Nimeshafika jamani
Shukrani
Pole sana yalikukuta na hongera kwa mafunzo❤❤❤❤❤❤❤
Shukrani
Kazi nzuri sana Adam 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
Shukrani
Very nice u should respect true love❤
True😢
Adam🎉🎉🎉🎉🎉nyuki🎉🎉🎉🎉❤ good job my brothers and sisters ❤❤❤❤
Thanks
Congra movie kali Adamsleo..🎉🎉
Thanks
Jaman mnaferi wapi kulike ki chapu Kwa haraka wakuuh❤
Shukrani kwa kuona hilo🙏🙏
@@AdamLeoStudios kaka MUNGU ni mwema pole pole ndo mwendo Dua tyu kakangu
Wapili jamani nimefurahi
Asante
From kenya
Thansk
Kenya Watching, twapenda
Shukrani
Selina mwali wangu mwanamke nangai abebi mimba y Mume wa mtu..bora ungebaki na adamu kwanza yupo na sauti ya mahaba mashallah...pesa tu ndo hana
Kweli
Wooooi adam😢😢😢😢 jipe moyo bro yote yawezekana❤❤❤bilahuyo selina
Pesa nitapata tu😂😂
Nimependa sana kazinzul
Asante
Mambo ni moto 🎉🎉🎉 mm kaz yang kuwapelekea stust2😂😂
Shukrani
Wow so nice 😊
Thank you! Cheers!
Unajua kk
Asante
Movie nzur na inamafunzo mazur❤❤❤❤
Asante
Love nyingi toka kwa @Juma Saada
I see u bro🫡
Unafanya vizuri kukata iyo mimba🎉🎉
Eti eh
Kazi nzuri ndugu yangu❤❤
Asante
Aaah Adam,una lia bro
Nimeumia😭
Wa mwisho ila kali sana ❤❤🎉🎉
Thanks
Jaman adam leo ulisema leo kuna movie unatoa sijaiona mpaka sasa inatoka saa ngap
Umeme kesho saa 4 tunaiweka
❤❤Apo sawa Adam napenda kazi zako ubarikiwe bro
Shukrani endelea kuenjoy
Kaz nzur maashallah ❤️🥰
Shukrani
Ndaaani kaa kawa❤❤
Ume like?
Nakosaje? Nakwan ushafufuka? 😅
Si ndiyo mwenyewe najishangaa nililala tu pale
@@AdamLeoStudios 😂😂😂♥️
Adam usilie mwaya njoo kwangu😂😂 utn tu but mov nzur sanaa❤❤
Asante
Good job ❤❤
Thank you so much
Adam pongezi kwako
Shukrani
dagaa umeeka chumvi nyingi kisa umeahidiwa nyama sasa utakula dagaa ama?
Kiukweli mimi mwenyewe sielewi😂
Tamaa mbaya tujifunze kitu hapa Selina kimewaka 😢
Kabisa
Napenda sana kuanglia move za adam leo lkn sasa apo jamn miez kadhaaa lkn nywele hazjawai badilka kichwan kweli!!!😢😢
Sawa
Sitajali ni wakike sitajali ni wakiume nitampa jina la mama angu 😂😂😂 Ila Adam 🙌🏾
Naam😂😂
😂😂😂
Hongera Adam na timu yako😊
Asante
Hahahaahh hapo ndio wanawake tunajichanganya unapishana na mtu anayekupenda unahangaik na anayekulipia kodi eti na chakula hata huyo uliyemkataa na hana kitu ndiye kusudi lako ulilopangiw na Mungu huyo anayekulipia kodi tu aliyempa nae ni Mungu maish na mafanikio ya mtu ameyaficha Mugnu mwenyew hata unayeona hana leo kesho atapew tu naye na Mung
Kabisa umeona eh
Anayelp kod ndo jembe aeshimiwe
Nimeipenda kwa kweli ❤
Shukrani
Wata3😊
Shukrani
Anjelo anajua kuvaa uhusika, toka enzi za Teso la Wifi naelewa sana huyu jamaa
Shukrani sana
Assnte sana
Rafiki nimempenda ni wachache wanaokushauli ushauli mnzuri
Asante
nimetamani kulia wallah,inaumizaa sanaa😢😢😢
Polee
Good job bro, am frm kenya and i love watching your contents they have great inspiration to the society keep it up..
I appreciate that!
Nampenda huyu bint❤️
❤️❤️
Unajua san🎉
Shukrani
Adam ataeka maziwa ndani
Hahah ndiyo jamanii😂