MKURUGENZI APEWA KIBANO KIZITO NA MAKONDA, WANANCHI WAMKATAA "TUAMBIE HELA NYINGINE ZIKO WAPI?

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 28 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 68

  • @jopriii-bl7hu
    @jopriii-bl7hu 8 місяців тому +7

    Namuona magufuri kabisa😢😢😢 mungu akupe maish marefuuu

  • @mako331
    @mako331 8 місяців тому +5

    Kwa kweli naipenda hii style ya uongozi, tukiwa na watu kama Makonda watamsaidia sana Mama

  • @ROBERTDavid-o5l
    @ROBERTDavid-o5l 8 місяців тому +2

    Mungu akutuze mwenezi.mm nikama namuona nusu Mgufuli

  • @francismuriki7851
    @francismuriki7851 8 місяців тому +2

    Nahuona uongozi wa makufuli hapa kazi safi

  • @MwanneHussen
    @MwanneHussen 8 місяців тому +1

    Komesha komesha Makonda na mungu akutunze tunakuombea Comred🙏

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 9 місяців тому +9

    HONGELA SANA YANI MWAKAN SAMIA AKUPE UWAZIR MKUU HII NCHI ITANYOOKA

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 9 місяців тому +10

    Kuondoa 'stress' fuatilia ziara za makonda..huyu mtu yuko na kanuni zake,hazijaandikwa popote

  • @robertyohana-pg5bm
    @robertyohana-pg5bm 8 місяців тому +3

    Hongera sana mh Makonda Kwa Kazi nzuri ya kutatua Kero Za watu

  • @IzackRashid
    @IzackRashid 9 місяців тому +6

    Nakupenda makonda

  • @Masallah_kulangwa44
    @Masallah_kulangwa44 8 місяців тому +2

    Oyoooooooooooo Safi Makondaaa

  • @LaehKaduma
    @LaehKaduma 8 місяців тому +1

    Hongela kwa kazi nzuli

  • @NicholasOdiraOlogi-xq3pl
    @NicholasOdiraOlogi-xq3pl 8 місяців тому +6

    Maghufulu part 2

  • @Zubaiba
    @Zubaiba 8 місяців тому +1

    Hongera sana makonda

  • @britonkanumba6828
    @britonkanumba6828 8 місяців тому +6

    Mkumbuke makonda hatembei na wasanii lakini anajaza

  • @rashidimwassi3297
    @rashidimwassi3297 9 місяців тому +11

    Magufuli mtupu😢😢😢😢

  • @rahmahasan32
    @rahmahasan32 8 місяців тому +1

    Weee balaa mnyonge kweli hana haki kweli tumuogope mungu jamani 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @EdwardNjenga-yd4oc
    @EdwardNjenga-yd4oc 8 місяців тому

    Big up Makakonda
    👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍

  • @Zubaiba
    @Zubaiba 8 місяців тому +1

    Mama samia fatilia mwenezi kisha uone viongozi wako sijui walipataje nafasi za ukurugenzi wakati elimu yao ni ndogo,mbona kuna vijana wana elimu ya juu na wapo nyumbani wanahagaika kutafuta ajira

  • @nicholaskavuwa6780
    @nicholaskavuwa6780 7 місяців тому

    Naomba sana makonda awe rais wa tanzania siku sijazo

  • @kassimmuktarymurji4242
    @kassimmuktarymurji4242 8 місяців тому +2

    One man show,hamnau diamond wala wanamuziki,anatuma mawe gizani anapambana matatizo ya kiroho ya watanzania,

  • @AleiHadji-js3ed
    @AleiHadji-js3ed 9 місяців тому +3

    Sina Imani na Mwanasheria Mkuu Tanzania

  • @chidomobile9546
    @chidomobile9546 8 місяців тому +1

    Wewe ni kiongozi banaaa unatufaaa

  • @JosephDesideri
    @JosephDesideri 8 місяців тому +1

    Halmashauri ina majukumu mengi yakutumia mapato yake ya ndani na siyo kila income inapaswa kwenda kwenye development kuna re-current cost

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg 9 місяців тому +4

    Huyu anaakili sana anafaa kuwa mwenezi au zaidi

  • @evaemil856
    @evaemil856 8 місяців тому +1

    Maswali mazuri

  • @AlphaxardJiranga
    @AlphaxardJiranga 8 місяців тому

    Hongera zako Paul Makonda, Siasa zako zinapendwa na kila Mpenda haki, Kupitia ziara zako Umetuheshimisha CCM Ndani na Nje ya Chama chetu, kwa kuonyesha njia kwa Mwenezi Ajaye. Kwamba hivi ndivyo mwenezi(Msemaji wa Chama) Anatakiwa kuwajibika na kupata Majibu ya Utekelezaji wa ilani ccm 2020-2024, itoshe kusema Dr Samia baada ya Uchaguzi 2025 Pls Mwenezi huyu Paul Makonda Apewe(🎉)Maua yake

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 9 місяців тому +2

    Utaratibu unaotumika kupata wakuu wa idara sio mzuri.. hapo mkurugenzi anajikanyaga

  • @VicentRupia
    @VicentRupia 5 місяців тому

    Mh: Makonda nakuomba uje nasi kwetu mkoa wa Singida wilaya manyoni,utatuwe migogoro ya ardhi Mimi ninaeneo langu kama heka 2 nikawa nimeelipunguza Kwa kuuza viwanja kama mashamba wakati huo Bado hawajapima baada yakuja kupima watu wa ardhi ,Mimi wakaniambia hili eneo haliwezi kugawanyika na hakuna kujenga hata nyumba :Sasa je kwanini Hawa niliowauzia wamenizunguka waliwapimia nakugawa viwanja Mimi kwangu wakasema haliwezekani kugawanyika na utafute sehemu nyingine ya kujenga hapa uhame,Je kama siyo wizi nini?

  • @VicentRupia
    @VicentRupia 5 місяців тому

    Naomba Makonda na sisi uje ututete ardhi wananitapeli eneo langu

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 9 місяців тому +5

    Siku hizi siangalii jua kali natazama tu hii ziara ya MAKONDA adi raha😂 Yan wananchi wanaumia sana

  • @omaraliy8207
    @omaraliy8207 8 місяців тому +1

    makonda unajitahid san

  • @kassimmuktarymurji4242
    @kassimmuktarymurji4242 8 місяців тому +1

    Makonda awe mkaguzi mkuu wa serikali anahoji kwa kina na kila kona,Makonda pambana watanzania wako nyuma yako

  • @Husein.Kacheka
    @Husein.Kacheka 6 місяців тому

    Kama ilivyo maji hufuata mkondo, mwamba huyuapa kaja kutufuta machozi wananchi wanyonge.

  • @JacksonJoram-o5k
    @JacksonJoram-o5k 8 місяців тому

    Makonda unafanya good work Kwa public

  • @EmmanuelMwanza-ef9bf
    @EmmanuelMwanza-ef9bf 8 місяців тому +1

    Yani magufuri kama anayakia haya nahisi anahuzunika sana hiiii

  • @adammatili4797
    @adammatili4797 8 місяців тому

    Haya yote nisawa lakini yataishia kwenye mikutano ya huyu kiongozi akiondoka imeishàhiyo

  • @IzackRashid
    @IzackRashid 9 місяців тому +3

    Napenda makonda sana

  • @maikonyondo-gr7gd
    @maikonyondo-gr7gd 8 місяців тому

    Malinda akiwa raise inchi hii uzembe hautakuwepo kwa watendaji

  • @vincentmhoro1952
    @vincentmhoro1952 8 місяців тому

    Mh. Makonda, kama aina ya wakurugenzi ndo hao, wanahalalishwaje kuwa ndo wawe wasimamizi wa uchaguzi nchini!?

  • @JaphalyMbena
    @JaphalyMbena 6 місяців тому

    Makonda chapa kazi.

  • @ellydaniely-qw8bf
    @ellydaniely-qw8bf 8 місяців тому

    Naomba uwatumbue nao matapeli wananyanyasa watu yanasubir Kufa vibaya!!

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 8 місяців тому

    ivi vyeo huwa wanavipata kialali hau wanagaiana mtoto wa dada wanjomba wakae kwenye viti kuongoza watu helimu zao ndogo 😂😂😂

  • @matridamwalyoyo1735
    @matridamwalyoyo1735 8 місяців тому

    Anachofny makonda ni kizuribila muda haitoshi at least andekuwa anamtumia ht siku mbili per each district

  • @JaphalyMbena
    @JaphalyMbena 6 місяців тому

    Wamekutoaje kwenye uenezi

  • @HassanKindururu
    @HassanKindururu 8 місяців тому

    Mh rais asioneshida kutengua nchiyetu ina wasomiwengi itafika mahala tutakaa sawa na kutaeshimu haki za wanyonge

  • @meshackaggrey7248
    @meshackaggrey7248 8 місяців тому +1

    Makonda ni kiongozi

  • @jumambarale699
    @jumambarale699 8 місяців тому

    Stresss zinaisha ukimwangalia makonda

  • @deusobadia8974
    @deusobadia8974 8 місяців тому

    AHADI kibondo tuliahidiwa uwanja kama WA Namungo ni ........ Mkubwa

  • @davidKayombo-dy6ln
    @davidKayombo-dy6ln 7 місяців тому

    Mbona me makonda kasitisha ziara zake na kwanini hakupitia ludewa njombe

  • @Zubaiba
    @Zubaiba 8 місяців тому

    Uongozi walipata kwa kujuana

  • @godfredkimaro3292
    @godfredkimaro3292 8 місяців тому

    Wasukuma wanaujua uongoz

  • @AleiHadji-js3ed
    @AleiHadji-js3ed 9 місяців тому +1

    Huwezi mtukana Raisi mbele ya Chama chake mfate pembeni

  • @evaemil856
    @evaemil856 8 місяців тому

    Dokomenti = Document

  • @AleiHadji-js3ed
    @AleiHadji-js3ed 9 місяців тому +1

    Etty mwenezi wako sijuiii sijuij

  • @oscarcharles9624
    @oscarcharles9624 8 місяців тому

    namuoma makifuli mwingine jmn

  • @DanielKarume-n2i
    @DanielKarume-n2i 6 місяців тому

    Sema una Maswali matamu matamuuuuu hadi stress zinaondoka

  • @levinalyimo6240
    @levinalyimo6240 8 місяців тому

    Malindawewe shujaaa

  • @kassimmuktarymurji4242
    @kassimmuktarymurji4242 8 місяців тому

    😅

  • @davidKayombo-dy6ln
    @davidKayombo-dy6ln 7 місяців тому

    Mbona me makonda kasitisha ziara zake na kwanini hakupitia ludewa njombe