EXCLUSIVE INTERVIEW-YALIYO MKUTA MCH. KATEKELA BAADA YA KUMPOKEA YESU KUWA BWANA NA MWOKOZI WAKE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 15 вер 2024
  • Akutwa na Mazito baada ya kumpokea Yesu kuwa Bwana na Mwokozi wake

КОМЕНТАРІ • 78

  • @rerisamba
    @rerisamba 5 місяців тому +23

    Tunao tokea promover TV hey👋👋👋

  • @issujar.j.francis3220
    @issujar.j.francis3220 Місяць тому +3

    Jesus, be exalted!! Mtumishi Amiel Mungu akulinde, akubarki sana

  • @borntochange5333
    @borntochange5333 5 місяців тому +16

    Dada huyu mtangazaji nimempenda na kumkubali, anajua kuhoji maswali na kumwongoza msemaji. Kwanza yeye ana ramani ya anachotaka msemaji aseme, anahoji maswali key. Mch Katekela ameongea sana mambo haya hasa PROMOVER TV si rahisi kusimulia story ndefu kama kwa kurudiarudia, anajitahidi sana. Mungu awabariki sana, mnawasaidia sana watu kutafakari ukweli kuhusu Mungu na shetani. Jina la Bwana Yesu lizidi kuinuliwa

  • @salahsadi3908
    @salahsadi3908 7 днів тому

    Utukufu mpe Bwana YESU, BARIKIWA MTUMISHI KATEKELA

  • @EvaDaniel-y2u
    @EvaDaniel-y2u 5 місяців тому +8

    Mungu akutunze jmn mtumishi wa mungu Amieli katekela tunajivunia wew mm nakufatilia sanaa na mambo mengi navuka na kujipa guvu kupitia mahubiri yako binafs Nakupenda sanaa sanaa na ninakuombea sanaa maan nabarikiwa sanaa na huduma yako❤❤

    • @plujoncylugano4611
      @plujoncylugano4611 Місяць тому

      Hakika mafundisho yake yana nguvu yanaponya na yanafanya mabadiliko halisi,hakika MUNGU ni mkuu kwa kupitia Mtumishi wake Katekela kwani tunapata ujasiri wa kujua siri zote za Nuru na Giza.
      Sasa kusikia tumesikia chagua Giza ama Nuru....

  • @maicofidelix3549
    @maicofidelix3549 26 днів тому

    Asante mtumishi wa mungu kwa ushuda uu nimepona

  • @JeannineNzabanita
    @JeannineNzabanita 2 місяці тому +1

    Mungu akubariki mchungaji, umenipa furaha tena ya wokovu, endeleya mbele mpaka mwisho

  • @desderykarugaba1826
    @desderykarugaba1826 5 місяців тому +2

    Mungu amekutoa mbali sana Mchungaji endelea kumtumika bila kuchoka, kuwa tayari wakati wote unaofaa na usiofaa.

  • @tabithajeremiah4589
    @tabithajeremiah4589 5 місяців тому +3

    Amen mtumishi,umekuwa wa Baraka kwangu na Huwa sichoki kukusikiliza Ubarikiwe na MUNGU akutunze ulitimize kusudi la Bwana kwenye kizazi hiki

  • @charleskuyeko1660
    @charleskuyeko1660 5 місяців тому +2

    Hongera sana Mchungaji kwa kazi nzuri ya Mungu. Ushuhuda wako umenibariki sana. Namtukuza Mungu kwa ajili yako.

  • @user-pe5qf1uo9i
    @user-pe5qf1uo9i Місяць тому

    Amina balikiwa kalibu mbeya

  • @catherinekitonde2745
    @catherinekitonde2745 2 місяці тому

    Wewe mtumishi, haukua mbaya, mbali ni roho chafu walikuweka. Nashukuru Yesu Christo Mnasareti alikuona kama mtoto wake na mtumishi wake na akakuokoa kupitia maombi na mafunzo ya neno la Mungu.
    Mungu akulinde Kwa kiwango ambacho sisi binadamu hatuwezi kuelewa. Bwana Yesu Christo atembee na wewe siku zote na akirudi kuchukuwa kanisa lake asikuwache.
    Nina kuombea Kila siku Kwa maombi yangu. Much love in Jesus Christ.
    Watching from Nairobi, Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @mazulacelestine3038
    @mazulacelestine3038 5 місяців тому +6

    Mungu ana michoro mingi sana,hata hiyo huyo mchungaji kukukataa ilikuwa ni mipango ya Mungu ili watu wengi waokolewe,ndio maana mtoto akafufuka

  • @VeronicaNyambu
    @VeronicaNyambu 5 місяців тому +3

    Hongera kwa ushindi karibu Kenya ,ueneze neno la Mungu

  • @USHINDIMANENO
    @USHINDIMANENO 4 місяці тому +1

    Amen baba namshukuru YESU Kwaajili yako sasa vita kwaasilimia kubwa kupitia wewe naifahamu

  • @yalalaambobe9528
    @yalalaambobe9528 5 місяців тому +1

    Amen amen Mtumishi wa Mungu mimi mwenyewe napendelee sana maombi na neno la Mungu lidumu milele

  • @rosajacquessimbenga
    @rosajacquessimbenga Місяць тому

    Bwana yesu asifiwe mchungaji katekela! Naomba kwa huruma za Mungu uje kututembelea hapa Mozambique baba🙏🏾

  • @gracekaniki6954
    @gracekaniki6954 5 місяців тому +1

    Mungu wa Mbinguni atukuzwe Sana Sana mtumishi endelea mbele kumtumikia Mungu aliye hai usichoke simama imara umhubiri Kristo Yesu ili watu waokolewe Mungu akulinde akupe nguvun Roho mtakatifu aendelee kujaa ndani yako ili kila utakapohubiri watu waokolewe, waponywe na kueekwa huru.Furaha yangu ni kubwa Sana Sana barikiwa Sana mtumishi wa Mungu aliye Amen

  • @nevercharles4938
    @nevercharles4938 Місяць тому

    Glory to God

  • @bennygwasa4563
    @bennygwasa4563 4 місяці тому

    Woow Asante sana Asante sana mtumishi na Ny tv I'm so blessed nimejifunza mbinu za kiroho

  • @FelixMwinuka-p3z
    @FelixMwinuka-p3z 5 місяців тому +1

    Mungu akubariki sana uwe na mwisho mwema

  • @bennygwasa4563
    @bennygwasa4563 4 місяці тому

    Gloreeeeeeeeey to God, Mungu azidi kumtia nguvu Pastor Katekela azidi kuhuburi inji kwa usajili ❤

  • @Verojacobo-ui3cu
    @Verojacobo-ui3cu 13 днів тому

    Mungu awenawe

  • @JaneKuyokwa-ng2qf
    @JaneKuyokwa-ng2qf 5 місяців тому +3

    Mungu yesu roho mutakatifu wakulinde tenanatena

  • @NSAMBELAGEORGE
    @NSAMBELAGEORGE 3 місяці тому

    Bwana yesu asifiwe,kwa kutuletea mtumishi huyu!,amiel ubarikiwe,Amina.

  • @mwendwa_m
    @mwendwa_m 7 днів тому

    Wow

  • @user-kk9zw5lc1g
    @user-kk9zw5lc1g 4 місяці тому

    Amen mi pia ni kama wewe mi pia nlipitia stor ka yko ijapo sikufika kama kwako,lakn tusife moyo tuendelee mbele na yesu kristo,mbele mbele na yesu daima milele

  • @EricMaingi-f8b
    @EricMaingi-f8b 2 місяці тому

    Amina, mchungaji Amiel Mungu akubariki

  • @MatildaMakawia
    @MatildaMakawia 4 місяці тому

    Asante sama kwa ushuhuda wako mchungaji barikiwa sana umenitia moyo

  • @Esthermordecai
    @Esthermordecai 5 місяців тому

    God bless you mtumishi,umekuwa wa baraka kwetu kweli, Mwenyezi Mungu Azidi kukulinda na familia yako.🙏

  • @musakasingo594
    @musakasingo594 5 місяців тому +1

    Barikiwa kwa Ushuhudaaa

  • @myself4128
    @myself4128 3 місяці тому

    Mungu amemuheshimisha Mtumishi wake,Walikukataa bila kujua kuwa Wanatimiza unabii wa utukufu wa Mungu kuonekana katika maisha ya wengi,Hakika Mungu ni Mwema! ulidhalilika mwanzoni lakini Mungu akakuinua ukaheshimiwa na Mungu akatukuzwa zaidi

  • @MuyaHappy-j8y
    @MuyaHappy-j8y Місяць тому

    Mungu azidi kukuinua mtumishi wa Mungu amen

  • @GggyJhh-y4x
    @GggyJhh-y4x 5 місяців тому

    Amina mtumishi mungu aliye mbinguni akubariki sana

  • @skeetergodwins2576
    @skeetergodwins2576 5 місяців тому

    Ninafurahi kumuona Mchungaji akiwa na afya nzuri. Mungu aendelee kukutunza

  • @naomicharles5444
    @naomicharles5444 5 місяців тому +1

    Imani ya kiwango cha juu kabisa

  • @wilsonkombeyeri4623
    @wilsonkombeyeri4623 5 місяців тому +2

    Bendera chuma, mulingoti chuma...mtumishi Mungu akubariki lakini pia usikae sana uje Mombasa tena ..karibu sana

  • @rosterfarijala2979
    @rosterfarijala2979 3 місяці тому

    Barikiwa mtumishi wa MUNGU

  • @MatildaMakawia
    @MatildaMakawia 4 місяці тому +1

    Hakika Yesu anaweza

  • @KellyNishimwe
    @KellyNishimwe 4 місяці тому

    Amen amen pastor

  • @user-pq6kr5gg3f
    @user-pq6kr5gg3f 5 місяців тому

    Hongera mtumishi Bwana akutetee

  • @faithe4063
    @faithe4063 5 місяців тому

    Amen and Amen huyu mtumishi ni mtumishi wa Mungu aliye hai maubiri yake inaniinua kiwango kingine abarikiwe kweli

  • @jovinmwesige8520
    @jovinmwesige8520 5 місяців тому

    Very powerful testimony

  • @neemakamgisha2951
    @neemakamgisha2951 2 місяці тому

    Unanibariki sana

  • @HannahNjoroge-dd8fg
    @HannahNjoroge-dd8fg 4 місяці тому

    Halleluya Yesu Kristo ni Bwana wa mabwana

  • @annaombay9417
    @annaombay9417 5 місяців тому +2

    Mchungaji Katekela wewe ni mtumishi mzuri wa Mungu embu nyoa kawaida kuepusha maswali. Unakwama wapi wewe??

  • @jillianyohana2166
    @jillianyohana2166 5 місяців тому

    Hongera sana kwa ushindi

  • @aminakyungu8414
    @aminakyungu8414 5 місяців тому

    MUNGU akubaliki mtumishi wa Mungu

  • @nehemiahmguluka1996
    @nehemiahmguluka1996 5 місяців тому

    Powerful

  • @elishamafulu106
    @elishamafulu106 2 місяці тому

    AMEN

  • @BahatiMadata-vk6tg
    @BahatiMadata-vk6tg 5 місяців тому

    Bwana Yesu akutunze mtumishi.

  • @SelestinaHamis-dw1gs
    @SelestinaHamis-dw1gs 3 місяці тому

    Nimecheka Sana Kama mazuri

  • @FlorenceAkinyi-rq3hx
    @FlorenceAkinyi-rq3hx 4 місяці тому +1

    Nimecheka hadi machozi yakanitoka, ila huyu Mungu ananishangaza sana.hadi mtumishi apigwe fimbo nyingi ndio mtoto apone na pia watu kuokoka. Huwa nafurahia sana huyu Mtumishi wa Mungu akisimulia shuhuda zake. Siku nyingine hakuwa na chakula kwenda kibarua cha shambani, jembe likavunjika tena likapiga mbuzi akafa, kisha akatoroka hadi nyumbani, nyumbani wakala samaki bure bila sima, ndio baadaye mtu akamletea unga mwingi, huku washamaliza kula samaki bure. 😂😂😂😂

  • @HannahRichard-ru3rj
    @HannahRichard-ru3rj 5 місяців тому +1

    Nadhan angefanya interviews na Erica angefunguka sana

  • @vickysteven1172
    @vickysteven1172 4 місяці тому

    Ameen Ameen

  • @re.emmanuelmdoe3345
    @re.emmanuelmdoe3345 3 місяці тому

    🙏🙏🙏🙏

  • @FredyMkeny
    @FredyMkeny 5 місяців тому

    Najifunza mengi kupitia kwako mtumishi wa Mungu

  • @EliasHerman-qy4gt
    @EliasHerman-qy4gt 3 місяці тому

    Asant san

  • @barakanatus5676
    @barakanatus5676 4 місяці тому

    Huduma ya kweli inaambatana na kujitoa

  • @user-by5dh2wx1e
    @user-by5dh2wx1e 5 місяців тому +2

    Kwakweli katekela mimi sijapendezwa na kunyoa kidunia sijui kama biblia inakubali au sisi

    • @saidabdalla8996
      @saidabdalla8996 5 місяців тому +1

      Kwani mtu akizaliwa huwa anazaliwa na nywele Mbona hayupo jibaya mkato wa kawaida du ndugu

    • @SelestinaHamis-dw1gs
      @SelestinaHamis-dw1gs 3 місяці тому

      Mfwatilie Saiv ananyoa vizuri

  • @veronicahkhaikwa4929
    @veronicahkhaikwa4929 5 місяців тому

    Bwana yesu asifiwe, huyu mchungaji alifanya aokoke jamani naomba atutajie ama alisha teleza

  • @EvelyneRwejumul
    @EvelyneRwejumul 5 місяців тому

    Sababu unayo ni Yesu yy ni dhahabu ya roho

  • @RachelMligwa
    @RachelMligwa 5 місяців тому +2

    Unapokuja Duniani kwenye makanisa ulikuwa unakuwa ktk hali ya mwili au?

    • @leonidasbzzojoyhatung3118
      @leonidasbzzojoyhatung3118 5 місяців тому +2

      Kuingia kanisani Dunia alikuwa anaingi kwa Hali ya kipepo ndani ya mtu.dark angel.

    • @rerisamba
      @rerisamba 5 місяців тому +2

      Mfatilie promover TV utamuelewa sana

  • @elbaricktv1632
    @elbaricktv1632 5 місяців тому

    Naomba namba ya mchungaj katekela

  • @goodluckjoseph3540
    @goodluckjoseph3540 5 місяців тому

    Nipo geita hapa nalitafuta hilo kanisa unalolichunga nije niabuduu hata Ibaada moja

  • @EmanuelLemba-t1d
    @EmanuelLemba-t1d 5 місяців тому

    Kipindi icho simu kubwa kulikuwa hamn ili tuangalie ulivyo kuwa kipindi umekimbilia chooni

  • @annaezra2344
    @annaezra2344 4 місяці тому

    Jamani mtumishi nakusihi sana acha kunyoa kidunia

  • @stellamwapinga6944
    @stellamwapinga6944 4 місяці тому

    Wasaidie na wengine wanaotamani kutoka huko, ila mambo ya shetani ni uchafu mtupu kula mavi

  • @HannahNjoroge-dd8fg
    @HannahNjoroge-dd8fg 4 місяці тому

    Halleluya Yesu Kristo ni Bwana wa mabwana