Day3_"Nguvu ya sadaka" SEMINA ITILIMA SIMIYU NA MCH.AMIEL KATEKELA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 22 сер 2023
  • JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
    M-pesa Lipa Namba.5634017
    AirtelMoney Lipa No.3878783
    Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
    Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
    PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
    1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
    2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
    #ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV

КОМЕНТАРІ • 71

  • @giffttymlemwa4523
    @giffttymlemwa4523 4 місяці тому +4

    God bless you mchungaji. Injili ya kweli hii inatutoa mahali😊

  • @florakwayu5646
    @florakwayu5646 11 місяців тому +14

    tangu nimeanza kumsikiliza Mch Katekela nimejifunza mambo mengi mno mno. namwomba Mungu akupe maisha marefu na hekima zaidi ktk kuwaleta wengi kwa Yesu. Bwana apewe sifa🙏🙏

    • @FezaNoella
      @FezaNoella 11 місяців тому

      Bwa na akuongeze nguvu muchungaji.sababu mimi nilikuwa Natowa sadaka ovyo ovyo na sijaonaka hata .Faida ya utowaji kama vile Mungu anasema kwa watu wanaotowa sadaka

    • @janetmarko6413
      @janetmarko6413 10 місяців тому

      ​@@FezaNoella9

  • @ireneachiengomondi558
    @ireneachiengomondi558 11 місяців тому +7

    Mch.Katekela anatumika na Mungu kwa kweli.Nilitazama video moja ya kukemea wachawi na majini na usiku huohuo nikaota shangazi yangu akinilaani na mimi vile vile nilimkemea vikali katika Jina la Yesu. Nina imani njia zangu zimefunguka baada ya ndoto hiyo.

  • @SteveneKamara
    @SteveneKamara 8 місяців тому +4

    Mchungaji ubarikiwe baba,
    Kwamajina naitwa Steven Kamara,Niko Kampala Uganda
    Nime Anza kukufuatilia toka
    Mwanzo kwenyi ushuhuda wako, hata pia semina
    Mara kwamara nakuaga live
    Na promover TV on line
    Mungu aku zidishiye mafuta.
    Nami pia usinisahau kwa maombi Baba.

  • @MatildaMakawia
    @MatildaMakawia 2 місяці тому +1

    Hakika umenifundisha nashukuru sana Bwana Yesu anipe neema ya kuyatenda

  • @maryability5773
    @maryability5773 3 місяці тому +1

    Mtumishi wa Mungu mimi nime Barikiwa na ujumbe huu

  • @rerisamba
    @rerisamba 11 місяців тому +5

    Yani vile ni mesikia kumbe niko na deni sana yakumpea Bwana

  • @rosemuhandoofficial5676
    @rosemuhandoofficial5676 11 місяців тому +8

    Amina mtumishi umenisaidia kufahamu maana na umuhimu wa sadaka

  • @lucylyale7169
    @lucylyale7169 11 місяців тому +3

    Nabarikiwa sana n shuhuda zako mch tangu nimeanza kukufuatilia nimeuona uwepo wa Mungu juu yangu,,tunaomba kwa neema ya Mungu akutie nguvu ufike hadi Bariadi jmn,,🙏🙏

  • @ChanilaKitwima-zc6ko
    @ChanilaKitwima-zc6ko 10 місяців тому +3

    Mungu akupee Neema ya upekee akutie nguvu umalize kazi yke salamaa vvyo hvy na promover tv mbarikiwee na Bwanaa na awazdishie zaid

  • @elizabethsimbenga4773
    @elizabethsimbenga4773 11 місяців тому +3

    Ukija USA ufike Colorado Springs karibuni sana promoter TV

  • @rerisamba
    @rerisamba 11 місяців тому +4

    Hili somo la sadaka mbona ni pana kweli ziko aina 10 haya kuna kanuni 5 hebu Amiel litafutie siku utufundishe

  • @beatricenyiro5913
    @beatricenyiro5913 11 місяців тому +2

    Ubarikiwe mtumishi kwakunifahamisha kuhusu utoaji wa Sadaka

  • @maryability5773
    @maryability5773 3 місяці тому +1

    Amen 🙏🏾

  • @eshimbise3096
    @eshimbise3096 8 місяців тому +1

    Mungu akubariki sana Mtumishi imetusaidia sana.Nimejifunza mengi Mungu anisaidie kuwa mtekelezaji mzuri sana wa haya.Karibu Sinai Kigoma

  • @sallyeringo33
    @sallyeringo33 11 місяців тому +3

    Promover please put English subtle some we get to understand

  • @mpandawiliam5390
    @mpandawiliam5390 11 місяців тому +3

    Amina, ushuhuda unabariki japounasikitisha.

  • @elizabethchiwamba8372
    @elizabethchiwamba8372 11 місяців тому +3

    Ahaa kumbe hutakiwi kuyoa toa sadaka hovyo, bila sababu, hapo nimepata kitu, natakiwa kuwa wa kiasi kwenye utoaji.

  • @rerisamba
    @rerisamba 11 місяців тому +2

    Yap ipo miaka ya nyuma nilikua sina pakutoa sadaka Mungu mwaminifu alinikutanisha na madhabahu sahii namtolea huko

  • @yalalaambobe9528
    @yalalaambobe9528 6 місяців тому

    Amen amen amen ubarikiwe

  • @veronicaphabiani9997
    @veronicaphabiani9997 6 місяців тому +1

    Ubatikiwe sana mtumishi wa mungu umenitia moyo sana

  • @RechoLazaro
    @RechoLazaro 4 місяці тому

    Mungu akutangulie mtmish

  • @everlynemiriam5943
    @everlynemiriam5943 11 місяців тому +3

    Saka is very important to us please let us improve kwa kutoa

  • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
    @RubenMtuwaMungu-bz8ee 11 місяців тому +1

    Ume change mindset yangu kwenye sadaka ukweli sikujua sadaka kwa kina. Ubarikiwe na Yesu Mungu mkuu

  • @user-nu9ww9ly6q
    @user-nu9ww9ly6q 11 місяців тому +2

    Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu

  • @AzAz-sy6zp
    @AzAz-sy6zp 11 місяців тому +3

    Amen ubarikiwe san mtumishi

  • @Ntirampeba
    @Ntirampeba 11 місяців тому +3

    Amen nakuku bari sana nampenda Yesu natamani namimi siku moja niokoke japo mazi ngira haya niruhusu duuuh eeeyesu nisaidie

    • @veronicankhwazi7954
      @veronicankhwazi7954 11 місяців тому +2

      Hakuna mazingira yasiyoruhusu usiokoke ni uamuzi tu

    • @floramongi1410
      @floramongi1410 11 місяців тому +1

      Amina veronica na ndivyo ilivyo

    • @anyendabalongo7141
      @anyendabalongo7141 10 місяців тому +2

      Mungu anatengeneza njia pasipo na njia,ukiwa na nia utaokoka ,usiogope,hakuna jambo la kumshinda Mungu.

    • @user-fu6fx8if6w
      @user-fu6fx8if6w 3 місяці тому

      Jaribu kutafuta Yesu kama Bado una mda Kwa sababu mda wetu haijulikani.

  • @favouredann153
    @favouredann153 11 місяців тому +1

    Wao it's is so educative message from GOD, I LOVE IT SO MUCH

  • @ikambombutolwe6321
    @ikambombutolwe6321 11 місяців тому +1

    Nabarikiwa sana na shuhuda zako mtumishi Bwana Yesu akubariki na uzidi kuwaleta watu Kwa Yesu

  • @everlynemiriam5943
    @everlynemiriam5943 11 місяців тому +1

    Amen Amen glory be 2 God bless you man of God

  • @elizaemmanuel6275
    @elizaemmanuel6275 9 місяців тому +2

    kwakwel ntakunisikilize yaan nimepona bila atakuomba kukusikiliza tuu nimefunguka mtumishi Bendela chuma mlingoti chumaa.

  • @annijulius4953
    @annijulius4953 11 місяців тому +2

    Amen mtumishi Kuna sadaka wanaziita sacrifice (kafara) na seed ( mbegu) hizi nazo kazi yake nini? Makanisa mengi ya kinabii watu wanazitoa.

  • @AzAz-sy6zp
    @AzAz-sy6zp 11 місяців тому +1

    Aminaa kweli kbx pst

  • @bettybusumba1478
    @bettybusumba1478 11 місяців тому +1

    🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼

  • @user-nu9ww9ly6q
    @user-nu9ww9ly6q 11 місяців тому +2

    Hiyonikweli

  • @floramahenge6224
    @floramahenge6224 6 місяців тому

    Naomba no ya simu

  • @happinessshija5136
    @happinessshija5136 9 місяців тому +1

    Ili somo Lina part Ngapi?ii ndio ya mwisho?please kama sio ya mwisho mwenye amepata mwendelezo wake naomba please

  • @merekan5514
    @merekan5514 8 місяців тому

    Amen. Sn pstr. Lkn ningetaka unifafanulie hapa kwa sadaka ya Nadhiri. Mtu akiweka nadhiri alafu afe gafla ya kutimiza .je kuna madhara kwa mwenye kunenewa kufanyiwa nadhiri.

    • @user-ys7ef2ei6z
      @user-ys7ef2ei6z Місяць тому

      Ukiweka nadhiri ufi mbaka utakapo itangua unaijua hiyo😂

  • @florakwayu5646
    @florakwayu5646 11 місяців тому +1

    Big up Promover Tv🔥🔥💪💪

  • @user-vs9bl1rz7u
    @user-vs9bl1rz7u 6 місяців тому

    Hongera mtumishi

  • @virginiaomondi5384
    @virginiaomondi5384 11 місяців тому +1

    Naomba mtumishi wa mungu tuelezee kuzimu wanasema nini kuhusu misa kwa katoliki inawa affect kwa njia yeyote?

  • @clarisotieno3858
    @clarisotieno3858 11 місяців тому +2

    Ukitaka kutuma sadaka naomba namba

  • @virginiaomondi5384
    @virginiaomondi5384 11 місяців тому +3

    Niko kenya kisumu

  • @ezron_official
    @ezron_official 7 місяців тому

    ❤❤❤❤

  • @louisendunguru7106
    @louisendunguru7106 11 місяців тому +1

    Hapo kwa mwezi wa 6🇺🇸 mtumishi State gani?

  • @hortenseornella-po8zw
    @hortenseornella-po8zw 11 місяців тому +2

    mcunganji AMIEL KATEKELA, mbona sisi kanisani tunafundishwa kama monja yakumi kaziyayo ni kulinda maisha ya mtu nakulinda kazizake zamikono, sasa wewe unasema kama nisaka ya wanjane nayatima na maskini ndiyo inayoleta ulinzi, alafu monja yakumi inafanya kazi gani kwamaisha yetu? Tafazali tueleweshe.

    • @user-ro59
      @user-ro59 9 місяців тому

      Mchungaji amesema Zaka inaleta ulinzi keenye mali na maisha yako, na haitolewi kwa yatima na wajane bali inatolewa madhabahuni kwa mchungaji. Zaka kwa jina jingine ndio moja ya kumi.
      Sadaka inayopelekwa kwa yatima na wajane mchungaji amesema inaitwa Dhabihu.

  • @alice4720
    @alice4720 11 місяців тому +1

    Amen amen

  • @rerisamba
    @rerisamba 11 місяців тому +1

    Ngombe zimekufa nanaziri bado iko pale na mtoto amekufa waa chezea nadhiri we

  • @annajohn419
    @annajohn419 10 місяців тому +1

    Fungu la kumi ni sadaka ya Nini hujaiongelea mtumishi

    • @user-ro59
      @user-ro59 9 місяців тому

      Nafikiri hiyo ndio zaka.

    • @user-ro59
      @user-ro59 9 місяців тому

      Zaka ni moja ya kumi ya mapato yako, kwa hiyo Zaka na fungu la kumi ni kitu kimoja.

  • @AlexAliane
    @AlexAliane 6 місяців тому

    I have one question:"najuwa kupunguza ZAKA(CAKUMI) sio vizuri but sijaelewa kuhusu kulipa yenye ambao inazidi"
    Mbarikiwe na Mungu🙏

  • @joramndirangu2263
    @joramndirangu2263 11 місяців тому +1

    P

  • @elizabethchiwamba8372
    @elizabethchiwamba8372 11 місяців тому +1

    Mchungaji, naomba msaada unielishe hapo, mbona ukijitahidi kumtolea Mungu Kanisani zinainuka SAUTI za kebehi toka kwa watumishi wengine ,hasa wakati wa kuomba anakuwa anaongea kwenye mike kwamba Baba katika Jina la Yesu kuna wengine wanakuja na fedha zao kuwarubuni watumishi wa Mungu, wanaleta zawadi zao, Mungu kama siyo watu sahihi waondoe, waondoe mahali hapa, hakafu baadaye anaanza kusema hao hao wanaondoka, wanaondoka, sasa mimi maneno yake yananikwaza sana moyoni, yameondoa kabisa ari ya kuendelea kuabudu mahali pale, nimekuwa demorolized sana. Nisaidie Mchungaji hiyo ni sauti toka kwa Mungu? Au ni sauti ya adui? Hakafu inatoka madhabahuni.

    • @symonwycliff8049
      @symonwycliff8049 11 місяців тому +1

      Omba ufunuo kutoka kwa Mungu akupatie jibu la hapo kanisani ama la huyo mchungaji. Mungu ni mwaminifu atakufunulia ata kwa kumtolea.

    • @mariahyera3737
      @mariahyera3737 11 місяців тому

      Usitoe kwa kujitangaza. Toa pale tu inapobidi tena kwa siri ukiwa umeinenea jambo.

  • @AzAz-sy6zp
    @AzAz-sy6zp 11 місяців тому +1

    Mtumishi hukutaja fungu la kumi ina maana gani ama inafanya kazi gani

    • @rerisamba
      @rerisamba 11 місяців тому

      Ndio hio zaka hebu fatilia

    • @AzAz-sy6zp
      @AzAz-sy6zp 11 місяців тому

      @@rerisamba oooo saw mm nilikua naona zaka ni my engine na fungi la kumi ni nyengine xx mimeelewa

  • @clarisotieno3858
    @clarisotieno3858 11 місяців тому +3

    Naomba namba ya kutoa sadaka

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  11 місяців тому

      +255766294335 M-Pesa Tanzania