D Voice feat Mbosso - Tunapendana (Official Visualizer)
Вставка
- Опубліковано 8 лют 2025
- Click👇🏾 Download The Song
dvoice.lnk.to/...
Tunapendana (We love each other) is a beautiful celebration of love and connection. The song captures the deep emotions of longing, joy, and devotion in a relationship, where both partners cherish and support each other through life’s ups and downs. With soulful vocals and heartfelt lyrics, it’s a reminder of the magic of true love and the happiness it brings.
/ @itsdvoice
For Bookings:
dvoice@wcbwasafi.com
Follow D Voice On:
Instagram: / dvoice_ginnii
Facebook: / dvoice_ginnii
Twitter: / dvoice_ginnii
TikTok: / dvoice_ginni
#DVoice #Music #Wasafi
Copyright ©2024 WCB Wasafi. All rights reserved.
Mm apa sitaki like nataka ziende kwa mbosso
Nendaa
@@DanielLaizer-zz5rd😂
Mboso congrats
ni mkenya yupi yu ndani....kama unamtambua mbosso weka tick🥰🥰
Kenya pia kuna msali mkani sana na ni Gxy
saw kaka upo saw
kaka tunaweza tukasaidiana kimuzik
by n nipo mwanz
Wakwanza kutoka Kenya ,,likes za mbosso niekeeni
Lazima upewe 🇰🇪🇺🇸
@XpaterOfficial thanks
🌹🌹🌹
🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 love kenya
@g.o.tgangoftales136 welcome
Sisi kama wakenya Nairobi imekubali Mbosso ni mnyama🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Gonga like ya Mbosso Khan Mshedede..one love
Kenya for life
@@shillahshillah6596 KENYA FOREVER ♾️🇰🇪🇰🇪
@@shillahshillah6596 KENYA IS OURS MY LOVE 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Exactly. They are. Zip
D voice singeli zilikuwa siyo hazi yako sasa hivi tunainjoi sana song zako kama unamkubali D voice usipite bila ku like ❤
Sahivi angekuwa na kipensi cha jeans 😂
Fantastic opportunity
Anamistar smplle sana flavor haichange
Kabisa❤🎉
❤ jamani nainjohi pia sauti tamu yakumtoa nyoka pangoni .
Verse ya Mbosso hatariiiii
Mbosso ni hatari sio nini 😊 ni kama ulitoroka na daftari yamoto band🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Hahahahaha 😂😂
😂 kwakweli
Huu ni ukweli 😅
😂😂😂
Hii fasihi sahihi kweli✅
Mbosso Khan kweli mtunzi hodari zaidi. Hongera kwa wimbo ambao wavutia sana. Team Kenya upo juu zaidi.
Bonge lagoma
Kali hii
Mbosso Afungwe Kwa Kosa la mauaji aliyoyafanyanya Kwa mtoto wa elfu mbili
Mbosso ni definition ya muziki🇹🇿🇹🇿🇹🇿✔️📢🎧🎧🎧🎧🎧
😂😂😂😂 huruma hana kabisa
Kabisa😂😂😂
Huruma ibaki estate pale Nairobi bossi🙌🙌🔥🔥
😂😂❤haswaaa
2:54
Kama unamkubali mbosso khan usipite bila kunipa like kwaajili yambosso❤❤❤
Kaua 🎉
Mbosso naku kubali sana encore fort 🇨🇩
Tutorudia verse ya mbosso gonna like hapa ❤😮
Ametisha sana
@damiandamien4387 That is the way to go
Mshenzi sana Mbosso
Kwa sababu za kibiashara hii Ngoma inakosa remix Kali damn @harmonize angefanya maajabu sana.
❤❤❤ mbosso
MBOSSO KANIVUTA KUJA KUCHEK HII NYIMBO NA VIDEO ALOOH❤❤❤ VERSE KALI SANA
Mbosso Khan ata hujali we had given up on love,bora nikipenda tena nikiachwa utunge wimbo wimbo wakuniliwaza... bomboclaaat🇰🇪🔥
Unyama mtu wangu hadi wabongo wamekubali kazi mwendo wa raha2 hatupoi
Mbosso, utafutiwe Dunia yako ukaishi kaka, umeshindikana kwa kweli ❤❤
Team mbosso apa mboso we hatari umemfunika adi dogo
D voice mzuri banaa 🤪alafu sasa huyo mbosso hiyo mistari ya mapenzi umetisha🤗
Sema mbosso anajua sanaa kibayaa zaidi kwenye collaboration zake shall out kwakee
Mbosso utamuwa uyu mtoto divoice unamuonesha kama wewe ni king
wale wametoka TikTok kuskiza part ya Mbosso piga ✅
✅✅✅
Mbosso ni fundi wa mafundi kwa kutunga habahatishi. Yarabi akujalie maisha marefu🎉❤
@mbosso Khan
Umemkanyaga UYU fala Sana 🎉mbosso wewe ni teacher Kwa d voice
dvoice kwenye huu wimbo umependeza sana kuzidi nyimbo zote🎉🎉
kama unapenda huu wimbo just like hapa,,tafadhali lets show some love to these guys..so lit💥💥
Mbosso mahabati amefanya mauaji🎉🎉🎉🎉
Team mbosso kenya gonga likes tukisonga
Wow 👌 yani mboso umeamuwa kufunga mwaka kwa vishindo
Mboooooo... Khan Mdudu❤ kaubeba wimbo katisha sana.
NGOMA N KALI LAKINI MBOSSO KAUA JAMANI 🎉🎉🎉
Huyu Mbosso Ukiskia Nyimbo zake Utaona Mapenzi Matamu Ni vile Tu Ujapata ,Aliye Kupenda Kwa Dhati ❤❤❤
Mpaka mwenye wimbo kafunikwa.
Kweli d voice kuimba hajui, ila amebebwa tu
Mbosso kama mbosso umeuwa sana kaka
Wangapi wameskia msemo wa mnyama Tembo💪 hatari sana
mbosso bana acha ubaki kuwa fundi tu Yani una juwa sana
Wale wako hapa baada ya Konde kuinua mkono verse ya Mbosso..waweke likes zao hapa🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Okk
Tunaosema mbosso kaichakaza Ngoma like hapa❤
Toka Kenya naikubali
k8😊l18😊⅙ò
The song is mwaaa...but Vida ingekua na dance Moto ya kiluhya.❤❤❤ representing the luhya land...bakhana baluhya vindu maridadi...dem wa Facebook akiwemo na Vera sidika
Kaa na kiluhya yako
mbosso kafunika D voice
Watching this after heartbreak 💔 mapenzi ni mbaya guys much love mbosso from Kenya 🇰🇪❤️
Japo nimechelewa, naomba japo like 10 tu kwaajili ya Mbosso Khan 🙌🏻
Mboso kiukweli anajua sana d voice kakutana na fundi
Mbosso kafunika Uyu jamaaa❤❤😂
Kweli Harmonize anahaki kushoosha mikono juu kwa hii verse ya Mbosso Khan
Mboso ni mchawi sana amemkabia kwajuu d voic
Mistari ya Mbosso Khan ya kufungia mwaka kabisa
Mbosso kaua hii ngoma. 🔥
wangapi wamerudi after hii video kurudi... wapi likes za dvoice
wa kwanza naomba like zangu jamani safadali...nymbo mkali
Wapi Maua yake Lizer.....katenda haki kwenye mixing...Lizer producer hatari....bomboclat🔥🔥🔥
Mbosso Khan Funs From Rwanda 🇷🇼 likeeee
Nasubir sana kolabo mbosso na alikiba ❤❤ D voice umejitahidi Sio mbaya
Mbosso made this song to be a hit 🔥🔥
Hakuna wimbo naupenda kama huu japo Sina wakunipenda kama wimbo ivoivo I love wote mlioimba
Heloo
Wa Kwanza Mimi kama Unamkubali D Voice Usipite Bila Kugonga Like Hapa
Ila Ii nyimbo awajajua kucheza UWO ngo kweli?? Kama kweli weka like chini apo
Dah mbosso wee ni atary 👌
Mbosso mwanasimba mwenzetu umetishaa
Nimekomet nikiwa wa Kwanza kutoka Uganda 🇺🇬 msinyinyime like ❤
Daaaaaaahhhh jmn mbosso anajua sana kuimba anapga pale pale anajua za vichwa kama zidane zizu
Wa kwanza kutoka kenya, nipeeni likes zangu ❤
❤❤❤ wanao mkubari mbosso acha like hapa ❤❤❤
First lady from Kenya nipeeni likes zangu
Talent 💯🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mbona kama Mbosso kaua hii verse❤❤
Mbosso nakupeda sana
Sijawai pata like za mbosso khan jmni
From kenya likes za mbosso jameni❤❤❤❤🎉
Walahi MUNGU hakupi vyote
Mbosso ni hodali wa nyimbo za mapenzi muno
Ila muonekano sasa du!!😅😅
Jamani mbosso basi unawaumiza sana wapunguzie dozi
Kma unalikubali hili dude tujuane wapi like za mboso kani mshedede team 🇹🇿🇴🇲🇸🇦🇧🇮🇰🇪🇦🇪
Mbosso never disappoints 😃 mzee khan endelea hivyo
Nigerians 🇳🇬, tanzanian🇹🇿, Burundians🇧🇮,congolese🇨🇩, Ugandans🇺🇬, Americans🇺🇸, Zambians🇿🇲, south Africans🇿🇦, Zimbabweans🇿🇼, Rwandans🇷🇼, Namibians🇸🇸, Kenyans🇰🇪,my wicked landlord and I approve this song as our unite anthem
yukbbmb 0:00
Kama bomboclaaaaaah ni mwamba gonna like hapa
Simba wa baadae dvoice
Watanzania skizeni nyimbo zangu 💥💥💥💫
Unyamwezi sanaaa mahaba Niue love song 🔥🔥🔥🔥❤️❤️❤️❤️❤️❤️ashiki matununu Bombo Kati unamjua ww huyo nimjomba chumali😂😂😂😂😂😂Mzee wa ndum
Nyimbo kubwa!! Video ya kawaida sana
Nimesikiya sauti ya harmonaze Bomboclass kama na wewe umesikiya weka like tujuwane
Mbosa ❤❤❤kaa ukijua nakupenda vle unapanga kazi zako na ni kutoka kitambo c sai bro keep it up🎉🎉natoka Kenya 🇰🇪
mbosso khan ati ....... nilo kupenda we ashki majununu ............. you killed it broo mistari baada ya mistari
Mbosso ka fanya kazi kabisa umemwandikia d voice kabisa
This is for Mbosso. Stay strong brother 💪
D voice tiya nguvu mingi uwazidi
Dogo anajuwa sanaaaa👌🏽👌🏽👌🏽
Mbosso hapa aliua msee lyrics sumuu💪
Kama unamkubali macvoice na mbosso gonga like
Macvoice mnoma 💪💪
Hii nyimbo ungemuachia tu mbosso d voice kaharibu tu
D voice & mbosso know how to sing speciale romantic songs ❤❤❤❤❤number
Ngoma Kali mbosso king 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Dah ❤❤ hii ngoma imeukamata mtima haki yanani naisi huu wimbo wameimba kwaajili ya dem wangu😅😂😂😂
Atar sana 😂😂
Hakuna nyimbo nnlowai ipenda zahawa watu ispokua hii ❤
Mbosso wewe unajua mpk Sasa unafanya sifa kwenye music wewe kwel muhindi wa kusini
Andika ombi lako Kisha tuombe Kwa pamoja mwakani tuombe mabadiliko kwenye familia zetu na watu wanaotuzunguka,# Ameni
Amin
Mboso khan unajua mpaka basi mistari imenyooka na ya kweli ❤❤❤
Mbosso is a lyricst much love from 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
Mbosso humu ndani kauaaa aiseeee...
D voice is the next mbosso...spectacular mentorship and collaboration
Naskia saying ya zuchu kwa mbali😅😅😅. Big up for both Mbosso na mwanawe.Dvoice.
Ila mbossa bhn sasa ulianza kujitambulisha kwan hatukujui😚😚😚😚
Nana mwingine anarudia apo pa bomboclat ❤