PENZI LA MTOTO WA BOSS 💞 NA DADA WA KAZI PART 63 | Love Story

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 лют 2025
  • Welcome to the DONTA TV channel and we proudly present new episode PENZI LA MTOTO WA BOSS. This heartfelt story follows the emotional journey of a rich young man who falls deeply in love with a poor local worker. Despite their different worlds, their love is pure and undeniable. However, their relationship faces countless challenges as the young man's wealthy parents strongly oppose their union, believing she is not worthy of their son. Through tears, sacrifices, and unwavering determination, the couple fights against all odds to prove that love knows no boundaries. Will their love conquer societal expectations and family pressures? Or will their differences tear them apart? A tale of love, struggle, and triumph - watch as these two souls navigate the complexities of their relationship and discover if true love can truly overcome everything. Don’t miss this emotional rollercoaster! Like, comment, and subscribe for more touching stories like this one.
    #love #penzilamtotowaboss

КОМЕНТАРІ • 2 тис.

  • @Dontatv255
    @Dontatv255  День тому +838

    Aya jamani leo nimewawahishia 🥰

    • @Reylanny
      @Reylanny День тому +24

      Nilisubili san ujuh tuu

    • @babynaash
      @babynaash День тому +9

      Asante sanaaa mkuu❤❤❤❤

    • @M3tr.n3
      @M3tr.n3 День тому +27

      Mnatuchelewasha jamani

    • @MikeMikaya-fw8yx
      @MikeMikaya-fw8yx День тому +13

      Unazingua kaka ahad zako zinataka kuwa zauwongo

    • @TausiMokiwa
      @TausiMokiwa День тому +9

      Umetulingia hadi nilisusa eti😂😂

  • @SpuzVilan
    @SpuzVilan День тому +105

    Sijawahi fikisha hata likes kumi anyway much love from kenya 🎉❤

  • @AdhiamboQueen
    @AdhiamboQueen День тому +393

    Nampenda Bonny jamani....nakuombea wewe unaesoma comment hii huu mwaka Mungu akufungulie njia na baraka tele ❤

  • @AmenaAmoon-t3v
    @AmenaAmoon-t3v 23 години тому +52

    Love leo umeniumiza sana badokidogo tuu namm nilie kwasababu umeliya na kuongea kwa isiya sana 🎉🎉🎉🌹🌹

  • @wemasangasanga757
    @wemasangasanga757 23 години тому +94

    Hakika urafik wa bonny na kelvin nimeupenda🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤

  • @LuciaMassawe-x4r
    @LuciaMassawe-x4r День тому +278

    Mwisho wa ubaya ni aibu leo kimewakuta aseee Mungu awafanikishe wote mnaosoma comment hii mwisho wenu uwe mzur

  • @MwanamkuuHamadi
    @MwanamkuuHamadi День тому +281

    Nmependa urafiki w Kelvin n Bonny mnastahili pongezi ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️

    • @Noosa-o4q
      @Noosa-o4q День тому +1

      Nafurahi kuona kervin ameludi kuwa boss denis ninge mshangaoto haamini

    • @Ema-p7z
      @Ema-p7z 23 години тому

      Kabisa

    • @cutefetty-f1u
      @cutefetty-f1u 23 години тому

      Kwel kabs ❤🎉🎉🎉maua kwaoo 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤

    • @umaima1178
      @umaima1178 22 години тому +1

      Sana huu ndio urafiki wa kweli

    • @AllyhasanimussaMussa
      @AllyhasanimussaMussa 18 годин тому

      ila mnatucheleweshea sana ak naomben muwaishe

  • @NaisaliBaby
    @NaisaliBaby День тому +54

    ❤❤❤❤kazi nzuri nilikuwa naisubili kwa hamu kelvin nice❤🎉🎉🎉🎉🎉

  • @HannatyHassan-b8y
    @HannatyHassan-b8y 22 години тому +38

    Nampenda bonny.... nakuombea unaesoma comment hii huu mwaka mungu akufungulie njia na baraka tele❤❤

  • @MaryTinkamanyile
    @MaryTinkamanyile 22 години тому +26

    Love ,unaigiza kweli nimekukubali. Mungu akuongoze na kukulinda katika safari yako ya maisha.

  • @RomainMusangu
    @RomainMusangu День тому +65

    Nina wapenda sana wakina DONTA TV nitafurahi kama nikiwa na nyiye karibu

  • @hadijaIddi-wg5wp
    @hadijaIddi-wg5wp День тому +68

    wakwanza naomba like zang plz,,,big up donta tv

  • @SyombuaMuvengei
    @SyombuaMuvengei День тому +85

    From ...🇰🇪🇰🇪🇰🇪..msipo ni pea like fureshi tu maana maana to kea tuanze hii movie amjawai nipatia like hala sawa masela nawapenda..❤❤❤❤❤

    • @Ema-p7z
      @Ema-p7z 23 години тому +2

      ❤❤❤

    • @KKK-v6j
      @KKK-v6j 23 години тому

      🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤

    • @MorrisMunyaa-qd7io
      @MorrisMunyaa-qd7io 21 годину тому +1

      from kitui now gulf nimekuona🎉

    • @salomemakene4446
      @salomemakene4446 17 годин тому +1

      Izo like unafanyia nini?

    • @SyombuaMuvengei
      @SyombuaMuvengei 17 годин тому

      @salomemakene4446 na furahiya tu kwani kunatatinzo...??

  • @سيييققق
    @سيييققق 22 години тому +18

    Wanao subiri ndoa ya Kelvin na loveness gonga like tujuane 😂 pamoja na wale ambao wamefrahi kumuona Kelvin kuinuka tena mwaga maua ya fraha 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤

  • @SawadogoJushuaa
    @SawadogoJushuaa 23 години тому +29

    Jaman tunaomba isije drama tena tuna taka kitu kifupi chenye utam ikiwa ndefu sana itaharibika. Kama unaungana na mim gonga like

    • @UpendoMaduhu
      @UpendoMaduhu 17 годин тому +1

      Acha ujinga ss tunataka ndefu fupi Tunga yako

    • @AishaAlly-ob7vd
      @AishaAlly-ob7vd 16 годин тому

      Binadam bwana

    • @GetrudaSanga-d7l
      @GetrudaSanga-d7l 3 години тому

      Na hawa ndo binadamu bhana😂😅 hawanaga jema kabsaah

  • @JumaKavula-u5e
    @JumaKavula-u5e День тому +26

    Tinah pole sana na hongera sana💕 kwan sehem uliocheza unaweza sanaaa💞💪

  • @LinaRamale-ih5bz
    @LinaRamale-ih5bz День тому +184

    Jamani movi nzuri sana kama ulikuwa ukiisubiri kwa hamu kama mim gonga like hapooo

  • @mwendemercy4488
    @mwendemercy4488 День тому +20

    Hii movie hiko poa but mwachelewesha sna mpaka hamu hinatoka....hila loveness Pole tu mungu awalinde ❤❤❤❤❤❤❤

  • @DeeDan-sj1mr
    @DeeDan-sj1mr 23 години тому +6

    Nmependa xana ulivoingia na bony kwel kev roho xafi wengne wanaxahau kabxa wema big up kk🎉🎉🎉

  • @NeemaMzur
    @NeemaMzur 16 годин тому +8

    Tulipoenda kelvin kuludi ofisini tujuane tushaherekee🎉🎉😂😂

  • @GatekayvanLight
    @GatekayvanLight День тому +64

    Nipe like hata moja bass

  • @malaikajabali-oj2fh
    @malaikajabali-oj2fh День тому +42

    Bonnie I love you personally...pole sana kwa kifo cha ulie tamani sana kumpenda Dada Kendi but sky is the limit don't worry. Sending hugs from Kenya 🇰🇪

  • @OnesmusKarisa-hx7lf
    @OnesmusKarisa-hx7lf День тому +34

    Wa kwanza from Kenya 🇰🇪💪💪💪

  • @IzereangeBonelle
    @IzereangeBonelle 22 години тому +32

    Woooooow kelvin kwani leo umenifulahisha jamani tumuombee mama kelvin apone vizuri
    Wenye hamtaki hii movie isiishe mapema Tujuana

    • @MirshuuMakame
      @MirshuuMakame 18 годин тому

      Mi nishaanz kuichk maan kwa vile Kelvin amefanikiw

  • @RachelRobwam
    @RachelRobwam 21 годину тому +8

    Aisee kumbe kevi ni mkali kiasi hicho Bata maji ww Denis akauze tu karanga lati nae hapokei sim ya denisi dah kimeumana👍👍👍♥️♥️♥️♥️🙏🙏🙏

    • @MwanamisiMuna
      @MwanamisiMuna 13 годин тому

      Anifurahisha sna Kelvin 😂😂😂Bata maji huwaje Kwan 😂😂

  • @NeemaAkyoo-s4s
    @NeemaAkyoo-s4s День тому +16

    Chukueni maua yenu kwa kazi nzuri🎉🎉🎉🎉❤❤ ila sauti kidogo leo imezingua hapo kwa tina na baba ake

  • @SafariBaraka-d8f
    @SafariBaraka-d8f День тому +39

    Wakwanza naomba like zangu

  • @JUNOIR17
    @JUNOIR17 День тому +27

    Asanteni Sana DONTA TV Kwa kutuletea hii kipindhi lakini "kasupiidi kidogo jameni" I just begg be first for us abit

  • @NuruSelemani-k7v
    @NuruSelemani-k7v 20 годин тому +7

    Mwenyezi mungu akufanyiye wepesi kwenye kazi zako akujaliye afya jema na wezio wote

  • @neemaneychricious6493
    @neemaneychricious6493 День тому +11

    Ahhaah nainjoy kumwona kelvine ofcn na piah kuandikia mkon wa kushito na hii familia ya kina tinaa kwishaaa mwisho wa ubaya aibu

  • @MwanalimaMwalimu-c4m
    @MwanalimaMwalimu-c4m День тому +29

    Move imenoga sasa, nawapenda wote kwa ajili ya Allah,mimi nimefuraha kweli kuona Kelvin amepambania haki yake❤❤❤🎉🎉

  • @FestorianMtakason
    @FestorianMtakason День тому +34

    Aseee mmetucheleweshea movie yetu wa kwanza leo mm nikiwa nchini 🇫🇷 France

  • @MoudeeyMatindi-p2s
    @MoudeeyMatindi-p2s День тому +45

    🎉 aloooh me ndo wakwanza kabisaa leoo naomb japo like 10 tu

  • @RoseJoab
    @RoseJoab 23 години тому +6

    Nimewahi na me wakwanza nilikua nikusubili kwa hamu sana kevi apewe maua yake🎉🎉🎉❤❤❤

  • @FREDFWAMBA
    @FREDFWAMBA 23 години тому +8

    Mungu hawezi kumsahau mja wake waama Mungu si athumani

  • @SinahakikaChengo
    @SinahakikaChengo День тому +12

    Nasherehekea ujasiri wa kevi tuu mm❤❤❤

  • @HalmHamad-n9w
    @HalmHamad-n9w День тому +21

    Hayahaya ambao tukitoka uku tunaenda kuchungulia kule duniani kwa manyanya tujuane

    • @salomemakene4446
      @salomemakene4446 17 годин тому

      Hahahahahaha huuuuwiiii wametushika masikio.hawa jamani

  • @SharonKithome
    @SharonKithome День тому +26

    Mimi wa kwnza apa from kenya,wap like tukisonga👍❤

  • @UnrulyHope-e9j
    @UnrulyHope-e9j 22 години тому +7

    Tina n baba ako chuma mnacho tena cha moto kitawachoma pole pole Ndio mujuwe maana ya malipo duniani ahera mahesabu big up Kelvin n Loveness 👏👏👏👏mauwa yenu🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤️❤️❤️❤️

  • @lemalinlekumoisa-if9kt
    @lemalinlekumoisa-if9kt 20 годин тому +6

    Nafurahi sanah kumwuona kelvin akiwa mwanahisa mkuu wa lile kampuni

  • @EdinanillanNillan
    @EdinanillanNillan День тому +36

    Mungu mwema tumeiona jumapili ukiwa njema mungu atubaliki wote 🙏🙏🙏

  • @Lyza-s4e
    @Lyza-s4e День тому +16

    Ila mmetuchelewesha sana kevi lakini asante❤❤🎉

  • @bizimanaemmanuel5
    @bizimanaemmanuel5 День тому +11

    Ninabapendaka sana niko Europe ❤❤❤❤❤

  • @LamayaiPetro
    @LamayaiPetro 16 годин тому +6

    Hii movie sijapenda kwasababu kelvin akuonana na love ness

  • @GrandePiquiGrande
    @GrandePiquiGrande 15 годин тому +7

    Vipi wenzangu wa mozambique 🇲🇿 mpo tujuwane kwenye like naitwa Grande PiQui kutoka nangade

  • @jeanclaudeiradukunda2571
    @jeanclaudeiradukunda2571 День тому +13

    Kbs nirikua na kumiss Mr Kevin

  • @LeilaAbdi-p4i
    @LeilaAbdi-p4i День тому +18

    Haloooooo kumekuchaaa huku mko wapi tumeisubiria kwa hamu sana sasa mtoto kazaliwa ❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @reginaldidanieli4521
    @reginaldidanieli4521 День тому +9

    Hongera sana kelvin ila sitegemei kama na wewe utakuwa msaliti kwa love ness kwa ajili ya tamaa ya mali

  • @SalmaLukindo-d2m
    @SalmaLukindo-d2m 15 годин тому +4

    Daah kevi ww ni mfano wa kuigwaa big up brooo

  • @winniemwaka3202
    @winniemwaka3202 23 години тому +11

    Mwisho wa ubaya ni aibu dhuluma haifai😅😅😅😅😅😅nafurahi Kelvin kupambania🎉🎉🎉haki yao mana walikua wanateseka😮hivi mali zimerudi😅😅kwa mikono yao 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤

    • @rizikisam6481
      @rizikisam6481 14 годин тому

      Zilikuwa sio za kwao na wao walimuua baba ake denis

    • @EmilyZainab
      @EmilyZainab 14 годин тому +1

      Akuna aki ya Kelvin apo haki niya Denis alafu latty n nyoka sumu

  • @PaschalPius-b6s
    @PaschalPius-b6s День тому +9

    ❤❤ Daa 2meigoja sana wanao ikubali 2kutane

  • @MwanengoMbogo
    @MwanengoMbogo День тому +14

    Wakwanza leo kuiona from Kenya

  • @fatmarama1279
    @fatmarama1279 День тому +51

    Ww kelvin shauri yako utampoteza loveness.. love nenda ukatafute mamako Kevin kawa jeuri

  • @PiliQueen-sm1nm
    @PiliQueen-sm1nm 16 годин тому +4

    Mnajuwa 🎉 mnajuwa tena nimeanza kuifatiliya mwanzo mpaka hapa ilipo fika mambo nimatamu kwakweli

  • @Mathe-c4h
    @Mathe-c4h 23 години тому +6

    Kimewalamba jamani hongera love kwa uvumilivu

  • @Ommyblacktz13
    @Ommyblacktz13 День тому +6

    Kazi nzuri Ila mjitahidi kwa wiki hata mara tatu❤❤❤

  • @Najmahnyangasi
    @Najmahnyangasi День тому +7

    Wow kazi nzuri sana kumenoga mbaya mwisho wa ubaya ubwela Kelvin nakupenda bure na kazi zako sana ❤❤❤❤😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @AckPopo
    @AckPopo День тому +12

    Jaman kelvin umependeza san waoooooh nimependa san

  • @Jaytz-o9b
    @Jaytz-o9b 23 години тому +39

    Hili battle la Kelvin na Denis nimelipenda wacha tuone ila namuombea ushindi Kelvin😂😂😂 muwahishe hizo episodes zinazofuata❤❤. Big up sana Kelvin hujamsahau Bonny nimependa❤❤❤

  • @Mzitomatelephone
    @Mzitomatelephone 15 годин тому +7

    Waliofurahi mzee Gamba na binti yake kuishi chumba kimoja gonga like hapa

  • @SungarekSinjore-w4y
    @SungarekSinjore-w4y День тому +6

    Hongereni sana family kilvni ila natamani huwa na furaha na family yako yote 🎉🎉🎉

  • @sadahamad6158
    @sadahamad6158 День тому +11

    Nimefurahi sasa ❤❤🎉🎉 kina tina muosha huoshwa ila kuna yule mjinga donta movies yuwanikera kweli 😂😂😂😂

  • @babynaash
    @babynaash День тому +108

    Tuliokua tumeikumbuka mtoto wa boss tujuane kwa umoja wetu tuwashinde waomba like😂😂😂
    Na ikumbukwe kutesa kwa zamu hatima familia ya Tinnah kimewaramba😂😂 makofi matatu kwao👏👏👏

    • @FelisterKamanga
      @FelisterKamanga День тому +2

      Mi jana nilishinda nachungulia tu 😂😂😂😂

    • @babynaash
      @babynaash День тому +1

      ​@@FelisterKamangajamani poleeee😂😂😂

    • @babynaash
      @babynaash День тому +1

      ​@@FelisterKamangawalitudanganya 😂

    • @FatmaMwinjuma-p5u
      @FatmaMwinjuma-p5u День тому +1

      Tupooo😊

    • @LevinaMchomvu
      @LevinaMchomvu День тому +1

      Duh wameweka kigodoro chini!😂😂😂

  • @YasintaMabumo-x5k
    @YasintaMabumo-x5k 18 годин тому +3

    Aiishi mpka iisheeeeeeeeeee mambo ni fireeeeeeeee😇😇😇😇😇😇😇😇😇isiishe mpka tuone kina tina wanavyopitia msotoooooooooooo big up sanaaaaaaa bro kelvin💝💝💝💝💝💝💝💝

  • @deborahngoliga
    @deborahngoliga 23 години тому +4

    haya sawaa mm wakwanzaaaaa mninyime sasaa na leooo

  • @eliasndayishimiye2058
    @eliasndayishimiye2058 День тому +16

    Jamani nilidhani mi wa kwanza!! Kumbe ni wengi mlikuwa na hamu na yo. Basi like

  • @MwanamkuuMwalinendo
    @MwanamkuuMwalinendo День тому +7

    ❤❤❤❤❤loveness na kelvin hope muko poa

  • @KumbukaNabena
    @KumbukaNabena День тому +13

    Nimekuwa wa kwanza ku view ,,, like zangu guys naombeni

  • @neykidoti102
    @neykidoti102 Годину тому +1

    Sawa ila mnachelewesha au mimi tuu nachelewa 🎉🎉🎉

  • @DoreenKabeby-kw4bj
    @DoreenKabeby-kw4bj 5 годин тому +2

    Kazi nzuri kelvin kw kurudisha mali yenu jamani 💪💪💪💪 then mkumbuke pia before I meet you juu imekaa sana am ilisha na cjaona episode ingine ikiwa n mwendeleo 27

  • @JosephineMomanyi-jp8tv
    @JosephineMomanyi-jp8tv День тому +6

    Ilati aolewe ña Bon. Bon ni mme mzuri sana alfu kev abaki na love

  • @SaumuLugogo
    @SaumuLugogo День тому +8

    Waaaaa safi sana Tina na babake😂 mnakula majibu ya kaziyenu safi kelvin ❤❤

  • @ntungwanayoodette752
    @ntungwanayoodette752 День тому +6

    Walio onakama ni 🔥🔥🔥munipe link zangu mana kelvin na denis gemu njo inaanza❤❤❤❤🇸🇦🇧🇮🔥🔥🔥

  • @SophiaPaulo-w4i
    @SophiaPaulo-w4i 23 години тому +3

    Wote mnaotazama move hihi mungu awabariki pamoja na familia zenu

  • @judithogaya9730
    @judithogaya9730 22 години тому +3

    Congratulation team kelvine takes your flowers 🍸👌🎊🎉🌹🌺🇹🇿💪🇰🇪🇯🇴🇧🇮🇳🇬🇺🇬🇪🇹Aya team strong.hope Mie ndio Wa Kwanza kuwalisha team fulus Mafi mushikila🇸🇦🇸🇦😁😁

  • @LkTokyoman
    @LkTokyoman День тому +16

    Kazi nzuri saana ❤❤❤❤

  • @ScholarMawia
    @ScholarMawia День тому +101

    Tunaofurahia kuteseka kwa tinah kutokana na matukio aliompiga Kelvin mbeleni gonga like 😊

    • @Recho-s6z
      @Recho-s6z День тому

      Niko na ww pia na furai hadi raha😂😂😂

    • @rahimaaaaa5682
      @rahimaaaaa5682 День тому

      😂😂😂😂

    • @FélixMbogambi
      @FélixMbogambi 23 години тому

      Muache akome kabixaaa🎉

    • @Lucy-vp8pm
      @Lucy-vp8pm 21 годину тому

      Tupo pamoja kufurahiya 😅😅😅wacha wakome

  • @DavidBruno-e4m
    @DavidBruno-e4m День тому +11

    Leo nilikua makin kusubili sijafanya kaz nasubil ii ep

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody5618 12 годин тому +1

    Ilikuwa naisubiri kwa hamu namkubali sana bony anacheza vzr sana nafasi yake❤🎉

  • @JamesComplexnumber
    @JamesComplexnumber 23 години тому +6

    Nishagundua msiwashutum sana walikuwa wanatafuta location kwa ajili ya akina tina si unaona ni new location

  • @lilianndunge
    @lilianndunge День тому +8

    Wakwanza leo ❤❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @SarahSam-h4b
    @SarahSam-h4b День тому +7

    Jamani kwani amkua kanisani huh doh kutoka na cjui nko nabari gapi from🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @SoziSozi2020
    @SoziSozi2020 День тому +102

    mimi hapa naomba like 👍 hata 5 tangu tuanze mtoto wa boss sijewahi pewa like DONTA family Hello 👋

    • @babynaash
      @babynaash День тому

      @@SoziSozi2020 uongoooo huooooi

  • @Mamaboys-d1e3m
    @Mamaboys-d1e3m 11 годин тому +1

    Hii y leo Love umenitoa majozi team strong 💪 kama kawa 💪💪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦🤝🤝🤝🤲🫂 mungu awatangulie uko bele Kevin n Bonny nawapenda sana ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @GiftPallangyo-q5y
    @GiftPallangyo-q5y 4 години тому +2

    Kumbe kelvn wew ni mashoto...unatumia kushoto kuandikia

  • @MacameRascunho
    @MacameRascunho День тому +22

    Leo jamani nipeni like ufanikiwe utakae nipa like

  • @WISTONMAXMILIANBINAMUNGU
    @WISTONMAXMILIANBINAMUNGU День тому +11

    Leo nimewai sana jmn naomben like ❤🎉

  • @JuliaAfonso-m3g
    @JuliaAfonso-m3g День тому +23

    Leo Mimi wa kwanza kutokea msumbiji🇲🇿🇲🇿

  • @Covid29pesa
    @Covid29pesa 21 годину тому +4

    Jamani duu hatali Sana nawapenda wote

  • @GiftPallangyo-q5y
    @GiftPallangyo-q5y 4 години тому +2

    Congratulations 🎉

  • @musahRoba
    @musahRoba День тому +17

    Wa kwanza nimefika...wapi likes zangu jamani?

  • @suzanajackson1910
    @suzanajackson1910 День тому +8

    Yan mbn mmfika sehemu nzur Harafu ndo mnaboa Yan nasubiri mpaka nakasirika m sijapenda kelvin mpenzi wangu 🥺🥺🥺lakin nice kazi nzuri unajua baba hongera😘😘😘

  • @9ntyplus
    @9ntyplus День тому +11

    Wa kwanza leo aki nipeeni mauwa yangu ❤❤

  • @ElinaPoul-c5e
    @ElinaPoul-c5e 3 години тому +1

    Ni kitu bomba sana me nafurahia❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @GladnesAndrew
    @GladnesAndrew День тому +3

    Kazi nzuri sana nawapenda wotee

  • @GuillainAlimasi
    @GuillainAlimasi День тому +11

    Nimewai leo naomba like zangu namimi jmn 😢😢😢

  • @RashidiShabani-j7d
    @RashidiShabani-j7d День тому +34

    Jaman mileo wakwanza ❤❤❤ pamoja cn Kevin ft love ness

  • @AdamHaji-t5q
    @AdamHaji-t5q День тому +5

    Daaah yaaani leooo nimewahiiiiiiiiiii❤❤❤❤❤

  • @NancyMgonja
    @NancyMgonja Годину тому +1

    Tunaotumiia left hand Kama Mr kalvin tujuaneee✋✋✋✋✋❤❤❤

  • @gogoloveofficial5666
    @gogoloveofficial5666 20 годин тому +1

    Love from GOGO LOVE OFFICIAL TO BURUNDI 🇧🇮.