USIJIONE NI MCHAMUNGU KULIKO WATU WOTE UTAANGAMIA // SHEIKH OTHMAN MAALIM

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 1 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 29

  • @AlbanSaifullah-w1y
    @AlbanSaifullah-w1y 6 днів тому

    Mawaidha mazuri Masha Allah

  • @abdurazaqiamisi1463
    @abdurazaqiamisi1463 8 днів тому +1

    Allah akuhifsdhi sheikh wangu

  • @mussangowengo9463
    @mussangowengo9463 8 днів тому

    MASHALLAH! MWENYEZI MUNGU AKUHIFADHI

  • @Baba-l7h
    @Baba-l7h 8 днів тому

    BARAKA ALLAH FEEK YA SHEKH

  • @mubariekabrahams2650
    @mubariekabrahams2650 10 днів тому

    Mashaallah Allah akuongoze katika hakki.
    Kutokana na elimu aliyokuruzuku Allah basi usiongeee kimafumbo katika DINI kuwa muwazi kwa kufundisha jamii.
    Na kama umeyaona na unaogopa kuwaita wanaogombana katika dini na wewe hawaambii basi kazi unayo kwa Allah.

    • @mubariekabrahams2650
      @mubariekabrahams2650 10 днів тому

      Mtume alikuwa anawaita watu na kusiliza hoja sio kupiga kelele ijumaa mpaka ijumaa. Waite ifanywe nikaishi hakki isimame tuu.

    • @AhmadaOzil
      @AhmadaOzil 9 днів тому

      ​@@mubariekabrahams2650 ndugu yangu kwanza kasome ndipo utoe hizo fatwa. Vijana wa leo mkiitwa na kufahamishwa jeuri tupu mnajiona mumesoma nyinyi tu. Muache Sheikh atoe mawaidha wakati hajaenda kinyume na mafundisho ya Mtume SAW

    • @KaitaKatema
      @KaitaKatema 7 днів тому

      Ndvyo ulivyo tafsiri kwamaono yako sasa bas usilazimishe watu woooote waelewe kama ulivyoelewa wewe.

  • @omaryally3489
    @omaryally3489 12 днів тому +5

    Mashallah mawaidhayako ckuzte yanagonga moyo

  • @TalibHaji-c3s
    @TalibHaji-c3s 11 днів тому +1

    Jazakumullah khair npnd sn kusklz mawaidh yko

  • @KhamisHaji-pw4jo
    @KhamisHaji-pw4jo 10 днів тому

    Allahu-akbar❤❤❤

  • @sijartv9554
    @sijartv9554 10 днів тому +4

    HAJI UPEPO UNAFANYA MAKOSA KUWEKA PICHA YA MTU ILIHALI MWENYEWE HATAKI NA HAPENDI HATAKAMA ANAMAKOSA WEWE NIJUKUMU LAKO KUMNYOOSHA TU NA KUMUELIMISHA NA SIO KUENDELEA KUWEKA PICHA YAKE NINAHAKIKA HUO UNAOFANYA SIO UISLAMU PIA MTU AKIFANYA MAKOSA BASI NAWEW USIFANYE MAKOSA

    • @auroxenterprises8003
      @auroxenterprises8003 9 днів тому +1

      Alikwambia kama hapendi mbona uchawa😊

    • @znzmawaidh8702
      @znzmawaidh8702 8 днів тому

      Kumbe siyo haki mbona ninyi masalaf mukitaka kumradi sheikh yoyote munakuw munaweka picha kahuyo sheikh mutakay muradi

  • @Jamalkishangu
    @Jamalkishangu 11 днів тому

    Sheikh wangu Alkah akuhifadhi.

  • @AhmadMassoud-gp4ry
    @AhmadMassoud-gp4ry 11 днів тому +1

    Mashallah

  • @Sarah-e1o9k
    @Sarah-e1o9k 10 днів тому

    Assalamu alykum warhatuallah wabarakatuh

  • @ابومعاذاحمدناصر
    @ابومعاذاحمدناصر 11 днів тому

    Haji ushuzi bana

  • @AmiriUshanga
    @AmiriUshanga 8 днів тому

    MASUFI WENZANGU ELEWENI MAWAHABI HAWANA KINACHO WATESA MIOYO YAO NA KUWA NA KUWA NARIYA ILA NI HUSDATUH ZA KUUPENDA UMIMI NA KUPENDA MADARAKA WALA SIDINI KAMA WAWADHANIAVYO BAADHI

    • @HimidAli-s5v
      @HimidAli-s5v 2 дні тому

      Imam shafy amesema ukiingia katika usufi asubuh hafiki jion bax ashakuwa mpumbavu

  • @HdMshighaty
    @HdMshighaty 10 днів тому

    ukiambiwa.kun.mtu.anamtukn.huyu.shehe

  • @muhammadal-bimani8120
    @muhammadal-bimani8120 11 днів тому

    Tuache madhehebu. Hali ni kweli haya madhehebu yalikuweko? Vipi leo waislamu wanajitenga kimadhehebu.
    Sote tuwe waislamu tu wacheni kuwaabudu mashekhe na maulamaa. Fuateni hoja tu iliyothibiti. Hawa makafikiri ndio wanataka sisi tujigawe.

    • @zanzibaronlytv3470
      @zanzibaronlytv3470 11 днів тому +1

      Na wanaokataa hoja je wafanyajwe?

    • @muhammadal-bimani8120
      @muhammadal-bimani8120 11 днів тому +1

      @zanzibaronlytv3470
      Waachani na ujinga wao. Allah ndio atawahukumu.
      Hayo madhehebu kayaleta nani? Yalikuweko kabla? Upuuzi tu. Kule Makka kulikuwa na kibla nne:
      1.Ya shafi yake
      2. Ya Hanbali yake
      3. Ya Hanafi yake
      4. Ya Maliki yake
      Ujinga ulifika kileleni.
      Angekuweko Mtume wa Allah sasa hivi mungemwambia mimi Sufi, Hanbali au Shafi? Ni ujinga tu kuabudu madhehebu.
      Sisi sote tumeitwa waislamu ndani ya Qurani na sio Sufi, wahabi au Ibadhi au Maliki.
      Wacheni kasumba za madhehebu. Hiyo kujiweka kimadhehebu ndio ujahil mkubwa.

    • @fauznuhu9981
      @fauznuhu9981 10 днів тому

      Hoja hizo zitatoka wapi bila kupita kwa ma ullama? na ma shekhe wana towa wapi kama si kwa ma ullama? Ikhtilafu lazima kikubwa kuheshimiana katika ufataji wa elimu na ma dhehebu

    • @muhammadal-bimani8120
      @muhammadal-bimani8120 10 днів тому

      @fauznuhu9981
      Sasa Mtume wa Allah alikuja na uislamu huu wa vikundi?
      Maulamaa wanatoa hoja na iliyo na nguvu ifanyiwe kazi tu. Hii ndio kazi ya maulamaa.
      Lakini sisi tumegawanyika katika vikundi. Shafi, Hanafi, Maliki, Hanbali na vyenginevyo na hii ndio udhaifu wetu waislamu.
      Uislamu haujaja kutuweka sisi katika Ushafi, au Sufi au Ibadhi hii ni siasa tu.
      Utawasikia wakisema Ahli sunna tu Waljama'a ndio kundi lililoongoka na hao ahli sunna wal jama'a yako makundi mane makubwa na yote yanakhitalifiana, kwanza jiwekeni muwe kundi moja tu halafu museme.
      Tuwache kujiweka vikundi vikundi quran imetukataza.

    • @muhammadal-bimani8120
      @muhammadal-bimani8120 10 днів тому

      @fauznuhu9981
      Don't worship scholars and particular ideology.