@@badruseif1318 akika mwenyezi mungu ametukataza kumtengemea muingine asie kua yeye sasa wewe ukieda KWA mganga kama uyu sule apo utakua amemusirikisa mwenyezi mungu
Elimu ya nyota ni miongoni mwa elimu za ushirikina, na hakuna swahaba yoyote wa mtume Muhammad allayh salaam, aliyefanya mambo hayo , ww Dr sule umetolea wapi ushirikina wako huu...??
Ndio shida ya kujiita masheikh bila kusoma mwisho wanatumbukia ktk ushirikina! Allah amuongoze sule na walio mfano wake, maghorofa magari ya kifahari mapesa visitupumbaze hadi kumshirikisha Allah.
Boss Sulle hata habari huna na hujali kama Mungu anakuona Doh!! Dunia imeisha Mashekh wamepotea hata sijui tunaelekea wapi jamani.Shirk imekua kama maji ya kunywa Mungu asimame na kila anaekana upuuzi wa Sulle
@@dorcaskarago2876 uislamu hauna Siri yeyote. Sheria na taratibu zote za uislamu zinatokana na Quran na Hadith za mtume kama walivyoelewa maswahaba. Na vitabu hivyo vipo wazi, kila mtu anaweza akavi-access. Uzuri huyo bwana amezungumza bila ya ku-quote popote katika vitabu vinavyotumika katika uislamu. Hivyo katumia mawazo yake Tena na anachokisema kinapingana Kwa asilimia 100 na Sheria ya uislamu. Afterall shirk ndio zambi namba Moja Kwa ukubwa katika uislamu, Hilo liko wazi
@@dorcaskarago2876 pia Sulle Hana analojua katika uislamu, kama ni mjinga basi ni namba moja. Usione sijui ana-debate na wakristo ukajua ana elimu, hapana, Mimi nadhani anatumia dini kujiingizia kipato, lakini Kwa njia isiyo sahihi na huko ni kuvuka mipaka katika dini. Si sheikh, bali kwakua ela tamu basi anaenda kinyume kabisa na dini
Inalilah wainalilah rajiughun allah atunusuru... huy anatumia din kuangamiz umma muhammady mtoa rizki kwenye uwilam hamn wew nimshirikin allah akulipe dunian na akher
kadar haibadilishwi na lolote sio wala sadaka cha msingi watu wakaedarsani wakaelimishwe.na sio kwa mawazo yao wanazungumzia qadar aliulizwa mtume rhma na amani ziwe juu yake kuhusu qadar akase nisir Allaah usiizungumze . tumuogopeallaah kwa kutoa fat wa bila ya elimu.
Ahsante sana dr sule kwa kuelimisha jamii tatizo kubwa liliopo ni hawa mawahabi hawana elim na wala hawataki kusoma walicho karirishwa na wapumbavu wenzao kila kitu ni shirki ndio maana ukiwaona wamepaukiana na kila kukicha maisha yao ni afadhali ya jana
Nakumbuka kunakipidi Fulani aliwayi kumleteya fujo mayipopo uyo mtu nimshirikina mimi kwaivi sitaki hata kusikiliza hata maushirikina yake ALLAH anazidi kumunbuwa
Unajua nimesikiliza. Kuna faida ambazo nimepata kutoka kwenye visa alivo hadithia. Lakini nimeona kun shirki pia anafanya. Kuvaa pete upate hela kwa kutegemea majini. Ni sawa na mtu anae vaa irizi ili jini amlinde. Hivi viko sawa. Kwanini uvae pete, ama uvae iridhi wakt mungu yupo.. Tunajikinga kutoka kwake yeye tu ndio mlezi wa viumbe vyote. Hivi nd vit vya kuamini. الله و رسول
Kuvaa pete au madini bila kueka shirki haina tatizo tatizo huja kuitegemea pete hali yakua madini nasie waja ni viumbe vya Allah haifai kutegemea aina yyte ktk viumbe vya Allah
Elimu yke kubwa Dr. Sule mm nimemuelewa sna na elimu ikizidi unaweza kuteleza,, lkn ukweli Dr. Sule kasoma na elimu kaipata sasa wale kajamba nani haifai kumpeleka ktk shiriki sheikh wetu kwza wakasome ukweli ameiva
Naskitika kuona uislam unatukanwa kwa mtu kukosa njia nzuri ya kufikisha aliccho nacho, hayo mambo hutaeleweka nduguyangu, hapo sio mahala pake, hakuna aliefaulu kwa kuwa na muelekeo kama huwo, uislam uko mbali na hayo, maulamaa wetu woote wameyapinnga hayo
Hii ndio shida ya wahadhiri huyu aliposilimu alihifadhishwa bibilia hakusomeshwa dini kisha akachanganya utoto wa mjini na dini hapa ndio amefikia... Ewe mola muongoe kiumbe chako mrejeshe katika njia yako sahihi Ila huyu ndugu engebarikiwa elimu ya dini sahihi yengekuwa Bora na kheir kwake
Tapeli umeuchafuu uislam sana sana allah akuathibu hapa duniani na kesho akhera maana uislam ni kalla llahuu kalla rasull kasema allah kasema mtume wake ndo uislam si maneno bin kauli z allah walla mtume usitume maneno ya kusema tuu allah ww ni mchawii na si muumin suala la rizik ni Allah pekee
Hahahahaha jini nikiumbe kilicho asi mbinguni 😂😂😂😂 amtegemeae mwanadamu kua kingayake moyonimwake kamuasi mungu 😂😂😂😂😂😂😂 Majin nimeyatumikia sana mpaka kubadili din ila ukiyahitaji yanakulinda kweli nampaka sasa yananilinda ila nategemea mungu pekee
Bwana mdogo vipi umetangaza dini imekushinda sasa unataka kutia watu kwenye shiriki, wapi na wapi Pete kuvutia riski au kufuga majini unakoelekea cko huko
Pete haisaidii lolote Bw sulle Mimi sasa sitakuita daktari kumbe udaktari ni wa kishirikina Ima kazi ile ya kuchambua Biblia,upo sawa nakuunga mia kwa mia
Ndio maana mimi huwa ninawashangaa wale watu wanaosema bora mimi ni muislamu hii ndio dini ya haki na wengine wanasema bora ukristo. Hapa mna cha kujifunza kuwa dini zote zina wema na waovu. Hivyo mtu mwenyewe kufuata maandiko ya vitabu vya Mwenyezi Mungu. Ila ukifuata ya watu huyawezi.
Ndio mjue kuwa usiidharau dini ya mtu kwa sababu ya matendo maovu ya mtu wa dini ile. Hakuna dini mbaya bali wabaya ni watu. Lakini pia kila mtu anaona chake kizuri cha mwenzie kibaya.
eti pete inaweza kumsaidia kwa idhini ya mwenyezi mungu huyo mungu anayeweza kukusaidia kupitia pete huyo sio mungu ni mapepo yako unayoyaabudu MUNGU MUUMBA MBINGU NA NCHI hana shirika na majini hilo unalijua ila uchawi tu unawasumbua
VISA VYENGINE VIHAKIKISHENI MAPOKEZI YAKE JEE VIME SIHI AU NIVYAKUZUSHA....KWANI NABII MUSSA HAKUWA MCHAMUNGU.... BWANA SULE MANENO MENGINE KUWA MAKINI KUYAELEZA JAMII. Daah hichi kisa Kina wa atiii tena sana.
Mungu anasema ataibariki kazi ya mikono yako hivyo ina maana kuwa kupitia kazi zetu ndio ,Mungu anapitia kutupatia mafanikio au utajiri na ameweka kanuni zake,lakini wewe unavaa lipete kidoleni alafu una tuambia lina uwezo wa kukupa utajiri,sikiliza cc si watoto tuna juwa wazi kuwa shetani ni roho hivyo huwezi kumuona kwa macho yako kama hauko ktk roho , hivyo huwa anawakilishwa kwetu kupitia maumbo au vitu tunavyo weza kuviona kwa macho yetu ya kawaida kama pete ulioivaa na kuna sababu ya kuivaa mkononi na wala sio kuiweka kabatini au mahali kwingine
NIPO KENYA🇰🇪 NIMEKUSIKIZA VIZURI ILA NENO LA MUNGU LINASEMA ITAMFAA MTU NINI AKIPATA ULIMWENGU WOTE ILA APOTEZE NAFSI YAKE MIMI NAOMBA UMPOKEE YESU CHRISTO ATAKUSAMEHE DHAMBI MAANA HII DUNIA INAPITA NA VYOTE VILIVYOMO PESA NA UTAJIRI ZINGEKUWA ZA MAANA SANA RAIS NYERERE NA MAGUFURI 🇹🇿TULIWAENZI SANA WANGEKUWAPO LEO SHEHE SULE ITETEA NAFSI YAKO KWA YESU CHRISTO TU MAJINI SIO SULUHISHO MWISHOWE WATAKUPELEKA JEHANAMU MKUU WAO NI SHETANI MWENYEWE WOTE MWISHO WAO NI ZIWA LA MOTO MILELE YOTE 🥺
mm shekh sulle namuelewa sana anatoauhalisia wamaisha ya dunia kabisa ila watu wanapingana naukwli to nakujitaka kujifaliji hivi vitu vipo siyo usilikina ana wambia ukwli ishusisi hatuamini nduguzetu tunaamini sana watu wakigeni akiongea kitu tunajifanya tunamuelewa sana ndomana tunaangamia kwakukosa maalifa mungu tukumbushe
Dugu sangu msiedee uyu nganga ni atari Sana tumtengemee mwenyezi mungu ata kama utakufa maskini aina shida Matajiri na masikini wote tutakufa
Andrew unazungumzia uganga WA aina gani? Mana hata ukienda muhimbili kuna mganga mkuu
@@badruseif1318 akika mwenyezi mungu ametukataza kumtengemea muingine asie kua yeye sasa wewe ukieda KWA mganga kama uyu sule apo utakua amemusirikisa mwenyezi mungu
Uelewa wako mdogo
Sahihi kabisa, huyu ni mganga na anapaswa kupingwa vikali sana
Wewe mpaka Sasa una magari mangapi
Shukran Kwa kunielemisha juu Ya Hayo makundi manne Dr.Sule
Kumbe huyu naye ni mshrikina namba 1 subhanna llah
Nilikua namuheshim sana dr sulle ila kumbe upo kwenye ushirikina dah! Allah akuongoe
Hakika, hata mwenyewe kwasasa simuamini tena
Hakika, hata mwenyewe kwasasa simuamini tena
Ushirikina na uislam ni ndugu moja
Tatizo hujamsikiliza Kwa kumuelewa umemsikiliza Kwa kumpinga
@@FridayMwassashakahola pia alkua mwislamu au
Elimu ya nyota ni miongoni mwa elimu za ushirikina, na hakuna swahaba yoyote wa mtume Muhammad allayh salaam, aliyefanya mambo hayo , ww Dr sule umetolea wapi ushirikina wako huu...??
Kwa mgaga wa kienyeji
Daah shekh wangu unapigia debe ushirikina daah mtihani kwakweli
Duh allah akuongoze sule shirki hiyo ndugu rudi kwa allah uombe msamaha na hizo shirki utubie
Ni kweli tunatakiwa kujifunza Kwa kuuliza tusiyoyajua ila hadithi zinasema nabii Suleiman alikuwa na hyo Pete hebu ifatilie uijue
@josephshirima7057Nabii Suleiman alikua nao Pete hii niTarehwe nimesoma hata mimi kama sijakosea Kitabu cha RiyadhiSalihin jaribu kufuatilia.
Ndio shida ya kujiita masheikh bila kusoma mwisho wanatumbukia ktk ushirikina! Allah amuongoze sule na walio mfano wake, maghorofa magari ya kifahari mapesa visitupumbaze hadi kumshirikisha Allah.
Boss Sulle hata habari huna na hujali kama Mungu anakuona Doh!! Dunia imeisha Mashekh wamepotea hata sijui tunaelekea wapi jamani.Shirk imekua kama maji ya kunywa Mungu asimame na kila anaekana upuuzi wa Sulle
ATAKAE AMINI HILI ANA AKILI KAMA ZAKO .....KUNA KITU NYUMA YA PETE UNAWAFICHA WATU.
shekh umekua unajua kadari kuliko ata mtume sasa duh muogope mungu usipoteze watu
Ameongea ukwel kam umefatilia vizur
Sulle unauchafua uislamu bila wewe kujua, hiyo ni shirk
Uyo ndiye anajuwa siri yote ya uislam
@@dorcaskarago2876 uislamu hauna Siri yeyote. Sheria na taratibu zote za uislamu zinatokana na Quran na Hadith za mtume kama walivyoelewa maswahaba. Na vitabu hivyo vipo wazi, kila mtu anaweza akavi-access. Uzuri huyo bwana amezungumza bila ya ku-quote popote katika vitabu vinavyotumika katika uislamu. Hivyo katumia mawazo yake Tena na anachokisema kinapingana Kwa asilimia 100 na Sheria ya uislamu. Afterall shirk ndio zambi namba Moja Kwa ukubwa katika uislamu, Hilo liko wazi
@@dorcaskarago2876 pia Sulle Hana analojua katika uislamu, kama ni mjinga basi ni namba moja. Usione sijui ana-debate na wakristo ukajua ana elimu, hapana, Mimi nadhani anatumia dini kujiingizia kipato, lakini Kwa njia isiyo sahihi na huko ni kuvuka mipaka katika dini.
Si sheikh, bali kwakua ela tamu basi anaenda kinyume kabisa na dini
Sijui nacheka ninj ila naogopa kupoteza imani yangu kwakusikiliza hawa mashehe washirikina yarabi nakuomba utungoze
@@geographicalworld1994Wewe ndiyo unayesema hajui kitu lakini waislam wenzako wana muunga mkono kwamba yuko sahihi
Adhubillahi minasheitwani raajim.yoooo kumbe huyu sheikh nimushilikina ivyo.allah amusamehe kwakwer😢
Ikiwa hujafahamu hasa.uliza tena...Mungu amaumba Sisi na majini tumuabudu...Sawa?
Kwhy unajisifia sasa...Allah anakuona Sulle...!!!
Hamna mshirikina yoyote bila kusoma na wengi ndio wanapoteza jamii na Moroni pia atakua na kundi lake.innalilahi WA inna ilaihi rajiyun
Inalilah wainalilah rajiughun allah atunusuru... huy anatumia din kuangamiz umma muhammady mtoa rizki kwenye uwilam hamn wew nimshirikin allah akulipe dunian na akher
Shida ya shekh mifano anayotoa hasemi kama ni khadithi au qur.an n kama hadithi wapokezi ni wepi
Wewe ni agenti wa shetani
Shirk ni shirk hakuna cha elmu ...hapa kama kuna mtu Ana elmu kuliko Rasul (S.A.W)
kadar haibadilishwi na lolote sio wala sadaka cha msingi watu wakaedarsani wakaelimishwe.na sio kwa mawazo yao wanazungumzia qadar aliulizwa mtume rhma na amani ziwe juu yake kuhusu qadar akase nisir Allaah usiizungumze . tumuogopeallaah kwa kutoa fat wa bila ya elimu.
Ahsante sana dr sule kwa kuelimisha jamii tatizo kubwa liliopo ni hawa mawahabi hawana elim na wala hawataki kusoma walicho karirishwa na wapumbavu wenzao kila kitu ni shirki ndio maana ukiwaona wamepaukiana na kila kukicha maisha yao ni afadhali ya jana
Ukipata wewe inatosha
Hakika
Nakumbuka kunakipidi Fulani aliwayi kumleteya fujo mayipopo uyo mtu nimshirikina mimi kwaivi sitaki hata kusikiliza hata maushirikina yake ALLAH anazidi kumunbuwa
Rizk anatoa Allah na anamkadiria mwenyewe
Mweleweni Sheikh vizuli musilaumu kwasababu ayo Ni mafundisho ya Dunia Na ahelaa kwaiyo mafundisho upate kuwelewa
Unajua nimesikiliza. Kuna faida ambazo nimepata kutoka kwenye visa alivo hadithia. Lakini nimeona kun shirki pia anafanya. Kuvaa pete upate hela kwa kutegemea majini. Ni sawa na mtu anae vaa irizi ili jini amlinde. Hivi viko sawa. Kwanini uvae pete, ama uvae iridhi wakt mungu yupo.. Tunajikinga kutoka kwake yeye tu ndio mlezi wa viumbe vyote. Hivi nd vit vya kuamini. الله و رسول
Kuvaa pete au madini bila kueka shirki haina tatizo tatizo huja kuitegemea pete hali yakua madini nasie waja ni viumbe vya Allah haifai kutegemea aina yyte ktk viumbe vya Allah
YOTE NI SHIRK
Ww mzee acha utapeli na ushirikina na visa vyako vya uwongo ipo siku utakufa na utalipwa kwa unachokitenda✓
Kutegemea jini kwa ulinzi ni Shirki ya wazi katika uislamu..tatizo sio watu kukosa elimu bali ni kwa Dr. Sule kukosa elimu ya Tawheed
Uyu anapoteza waislam ana support shirki
Dr sule uko vzr kwa ili mtu akuelewe inabid akusikilize sanaa
Alhamdulilah Allah ametujulisha wewe ni Mtu wa aina Gani
Allahuakbar
Nakuelewa Sana dk sule
Eti jini anaweza kukulinda ni ushirikina Allah hapendi hayo wew Sule Soma qur'an suratu Al an'am Ayat ya 128
Hii ni elim tu kosa la dr sulle tu hakutakiwa kuisomesha kwa watu wasiojua ulimwengu wa mamb ya kiroho mie niko pamoja na wewe kaka toa elim
Elimu yke kubwa Dr. Sule mm nimemuelewa sna na elimu ikizidi unaweza kuteleza,, lkn ukweli Dr. Sule kasoma na elimu kaipata sasa wale kajamba nani haifai kumpeleka ktk shiriki sheikh wetu kwza wakasome ukweli ameiva
Yan wachache sana tunaemuelewa Dr. Sulle
Dr naomba unisaidie nimeishi maisha magumu sana
Halafu usilazimishe kuwa una elimu nendaa ukasoma itikadi sahihi ya dini yako [
Ustadh unamaliza Mb na story za uo go😂😂😂 mtangazaji katulia tu
Watanzania tunapenda kukariri TU maisha utasiki ni shirki hii ndipo tunapo fely
Naskitika kuona uislam unatukanwa kwa mtu kukosa njia nzuri ya kufikisha aliccho nacho, hayo mambo hutaeleweka nduguyangu, hapo sio mahala pake, hakuna aliefaulu kwa kuwa na muelekeo kama huwo, uislam uko mbali na hayo, maulamaa wetu woote wameyapinnga hayo
huyu sheikh ni mtu muhimu sana ktk huu umma japo wasionsikiliza hawawezi kumuelewa.
Hii ndio shida ya wahadhiri huyu aliposilimu alihifadhishwa bibilia hakusomeshwa dini kisha akachanganya utoto wa mjini na dini hapa ndio amefikia... Ewe mola muongoe kiumbe chako mrejeshe katika njia yako sahihi
Ila huyu ndugu engebarikiwa elimu ya dini sahihi yengekuwa Bora na kheir kwake
Sasa uyu Sule mwisho wake utakua mbaya saaaana ☺️☺️
Njaaa mbaya sana kwa huyu Jaaahili....alianza kweny nyuki na nyambu zake....leo anaumbuka laivu
Tapeli umeuchafuu uislam sana sana allah akuathibu hapa duniani na kesho akhera maana uislam ni kalla llahuu kalla rasull kasema allah kasema mtume wake ndo uislam si maneno bin kauli z allah walla mtume usitume maneno ya kusema tuu allah ww ni mchawii na si muumin suala la rizik ni Allah pekee
Dokta sulle nakuku Bali sana mimi ni mkristo lakini nakiamini unachofundisha
shirk zipo za aina nyingi kukitegemea kiumbe kingine kikupe utajiri badala ya M/Mungu nayo ni shirk ..
This guy is a genius 😅
Dah mungu tusamehe sisi tisio na elimu eti mtu kabisa anakwambia jini kukulinda inafaa je huyo jini anakulindaje pasipo na masharti
Subhannallah kumbe huyu ni mshirikina kiasi hiki? Amefikia hadi kuhusianisha nyota na maisha ya watu?
Hii Ni Shirki Sio Mafundisho Ya Mungu Ata Kidogo ,Hii Ni Shirki Total
Allahu ya aalam
Nakuelewa Sanaa suleiman
Masha Allah ALLAH atuongoze na atakabalie dua zetu insha Allah
Ameamua kujidhihirisha dakika za mwisho , muoneni ulamaa mumpishe kibla
Kiukweli amepoteza mvuto na mwelekeo amfate tu mzee yussuf
Hahahahaha jini nikiumbe kilicho asi mbinguni 😂😂😂😂 amtegemeae mwanadamu kua kingayake moyonimwake kamuasi mungu 😂😂😂😂😂😂😂
Majin nimeyatumikia sana mpaka kubadili din ila ukiyahitaji yanakulinda kweli nampaka sasa yananilinda ila nategemea mungu pekee
Sule dua haibadilishi kadar umekosea bali hio dua pia nikadar maana Allah alijua kua utaomba dua tatizo liondoke ,kwa hio pia dua imekua kadar
Nyota,Majini na pete ni Shirk jieoushe na hizo Elimu Kaka Maxinge yupo vizuribmno juu ya hilo
Allah akutowe huko kwenye itikadi hiyo ya,shirki usowake unaonesha zahiri kama una,danganya wacha uzushi
Mungu jaman atulinde huu utajiri siyo
Maashaallar
Hata siamini ninachokiona..😢 ndo huyu dr 😢
Bwana mdogo vipi umetangaza dini imekushinda sasa unataka kutia watu kwenye shiriki, wapi na wapi Pete kuvutia riski au kufuga majini unakoelekea cko huko
Umepata kisa cha Nabi Suleman
Katika maelezo yake anamtumia sana tusihukumu elimu pana labda yupo sahihi
Pete haisaidii lolote Bw sulle
Mimi sasa sitakuita daktari kumbe udaktari ni wa kishirikina
Ima kazi ile ya kuchambua Biblia,upo sawa nakuunga mia kwa mia
Huyu ni mshirikina tu...
Mshirikina tu huyo
Nabil Sulemani umepitia kisa chake ?
Una elimu ndogo
Mi nauliza huy anasaidia nn huwa namuona tuu leo ndio nimesikiliz
Hiyo ni shirk mtu ahusiani na nyota Aina hizo za makadirio umetoa wapi lete dalili we ni mpiga ramri tu
Aliwahi sema kuhusu Nabi Sulemani na matumizi ya Pete
EEWEEEEEH_🤔
EBU TUONE HIO CLIP
@@allahisone6386 ua-cam.com/video/8CcLKpH0SAU/v-deo.htmlsi=O3AMnmtv0iBYN81s
Namuomba aniepushe na dhambi ya shirki. Siwezi kuuza akhera yangu kwa dunia. Allah anifanyie wepesi
Eti hiyu ni Sheikh watu kweli wanalitumia jina la mwenyezi mungu
Hakika umedhalilika kabisa ....na Allah ndiye mwenye kudhalilisha ...
Ndio maana mimi huwa ninawashangaa wale watu wanaosema bora mimi ni muislamu hii ndio dini ya haki na wengine wanasema bora ukristo. Hapa mna cha kujifunza kuwa dini zote zina wema na waovu. Hivyo mtu mwenyewe kufuata maandiko ya vitabu vya Mwenyezi Mungu. Ila ukifuata ya watu huyawezi.
Usiulaumu uislamu Mlaumu muislam,uislamu ni kamilii waislamu ndio tuko na shida.
Ndio mjue kuwa usiidharau dini ya mtu kwa sababu ya matendo maovu ya mtu wa dini ile. Hakuna dini mbaya bali wabaya ni watu. Lakini pia kila mtu anaona chake kizuri cha mwenzie kibaya.
eti pete inaweza kumsaidia kwa idhini ya mwenyezi mungu huyo mungu anayeweza kukusaidia kupitia pete huyo sio mungu ni mapepo yako unayoyaabudu MUNGU MUUMBA MBINGU NA NCHI hana shirika na majini hilo unalijua ila uchawi tu unawasumbua
Kwa we Zeno mnaitolea shaanaa macho,uwoogo nthupo,mtume muhamadi(s.a.w.) hakusema upuzi uwoo.
VISA VYENGINE VIHAKIKISHENI MAPOKEZI YAKE JEE VIME SIHI AU NIVYAKUZUSHA....KWANI NABII MUSSA HAKUWA MCHAMUNGU.... BWANA SULE MANENO MENGINE KUWA MAKINI KUYAELEZA JAMII.
Daah hichi kisa Kina wa atiii tena sana.
Sule anaongea vizuri sana juu ya paswed ya riziki😂
Mungu anasema ataibariki kazi ya mikono yako hivyo ina maana kuwa kupitia kazi zetu ndio ,Mungu anapitia kutupatia mafanikio au utajiri na ameweka kanuni zake,lakini wewe unavaa lipete kidoleni alafu una tuambia lina uwezo wa kukupa utajiri,sikiliza cc si watoto tuna juwa wazi kuwa shetani ni roho hivyo huwezi kumuona kwa macho yako kama hauko ktk roho , hivyo huwa anawakilishwa kwetu kupitia maumbo au vitu tunavyo weza kuviona kwa macho yetu ya kawaida kama pete ulioivaa na kuna sababu ya kuivaa mkononi na wala sio kuiweka kabatini au mahali kwingine
Dr Sule, Sasa sikuelewi tena kama zamani.
😂😂😂😂tunapokwenda mutajiretatuu😅 tumefika pakusema mipangoyamungu inapanguka 😢😢aliyeomba eti mipangoyamungu hayipanguki yukowapi😂😂😂😂
Wote tunajua mashekh ni wachaw na dini ya kiislam ni ya shetani huyu shekh anadhirisha hilo.Bwana Yesu awafungue macho mpate kuona
Dr nakuelwa sana
Sheikh bora urudi kwenye moja dharau lakini huko ndugu yangu unajivalisha Jojo lisilo lako
Kumbe Huyu ni mshirikina sikulifahamu hili kabla
SULE NI KIGAGULA YAANI SANGOMA, NA UKIZAMA SANA KTK UISILAM UNAISHIA KUWA SANGOMA, ILA MNARAHISISHA KUJIITA WATALAMU,UCHAWI TU.
Upandacho ndicho utakachovuna usichanganye dini na uganga mungu adhihakiwi unamtumikia nani
Kweli uislamu umejaa ushirikina na mambo ya giza
NIPO KENYA🇰🇪 NIMEKUSIKIZA VIZURI ILA NENO LA MUNGU LINASEMA ITAMFAA MTU NINI AKIPATA ULIMWENGU WOTE ILA APOTEZE NAFSI YAKE MIMI NAOMBA UMPOKEE YESU CHRISTO ATAKUSAMEHE DHAMBI MAANA HII DUNIA INAPITA NA VYOTE VILIVYOMO PESA NA UTAJIRI ZINGEKUWA ZA MAANA SANA RAIS NYERERE NA MAGUFURI 🇹🇿TULIWAENZI SANA WANGEKUWAPO LEO SHEHE SULE ITETEA NAFSI YAKO KWA YESU CHRISTO TU MAJINI SIO SULUHISHO MWISHOWE WATAKUPELEKA JEHANAMU MKUU WAO NI SHETANI MWENYEWE WOTE MWISHO WAO NI ZIWA LA MOTO MILELE YOTE 🥺
Mmmmh!!!
Yesu kashakufa we hujitambui
@@ybmtaakwamtaaofficial3415 SIO KWELI YESU CHRISTO YU HAI ANAKUPENDA SANA AMINI TU UTAOKOKA 👆👆🙏
🤔🤔🤔
Kisa Hilo kinapatikana wapi ktk swahihi Bukhar au Muslim
Mungu akunusuru dada
Kwakweli kuna watu wana maneno akikuongelea tu yani linafika wana midomo mibaya macho mabaya mtu akurogi ila meneno tu Kwisha😂😂😂
HUYU NAMPA MUDA , ATAMPOKEA YESU KUWA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YAKE.
Amen
Mashekhe wameweka wazi sana utaperi na ushirikina wa huyu mchawi ila watu wanazidi tu kumpa sapoti ktika upotovu wake amkeni bwana nyie vipi
aminia sana dua
Hawa ndio wale Mashekh wanaowachapa watu mitaani kisa hawajafunga ramadhani
mm shekh sulle namuelewa sana anatoauhalisia wamaisha ya dunia kabisa ila watu wanapingana naukwli to nakujitaka kujifaliji hivi vitu vipo siyo usilikina ana wambia ukwli ishusisi hatuamini nduguzetu tunaamini sana watu wakigeni akiongea kitu tunajifanya tunamuelewa sana ndomana tunaangamia kwakukosa maalifa mungu tukumbushe
Hebu twambia ni kadari ya aina gani kwa sababu wanachuoni wanasema qadari zipo za aina mbili hebu twambia ni kadri ipi inayobadilika kwa dua.
Ya Allah tuhepushe na ushirikina😢
This man has alot of knowledge wow 😮😮😮Asante Dr
Got it..!!
Jamani sisi waislamu tunafuga majini na ni ndugu zetu, na tunayatumia kutupa fedha mashallah
Hello naomba unisaidie
Huu ni uchawi sio uislam,uislam ni kando na uchawi kando tumche allah
Huyo sio mwislam angslia jina lake anapotosha dini yetu subhannah Allah@@KubwaKuliko-dk4bm
Jina lako tu, linaonesha umepotea hata kabla hujazaliwa. Basi mrejee Mungu wako mapema.
@@boubabizo246😂😂😂
Shk Huyu n mshirikina acheni kumsikiliza
Mi namuelewa
Dr Sule, nakuelewa kbs
Nlkuwa namkubar saana, ila skuiz anazngua sjui anazeeka au la, alikuwa ni muhadhiri safi saana huyu ila sjui amekumbwa na nn yan
Allah anamdhihirisha. Ndivyo alivyokuwa sema hatukujua. Tuombe Allah atujaalie mwisho mwema, atuepushe na matamanio ya dunia na kuiacha akhera yetu