UTAJIRI wa DIAMOND watajwa,ni TISHIO! Kumiliki Kisiwa,Hotel pamoja na kuingiza pesa nyingi kwa mwezi
Вставка
- Опубліковано 27 вер 2024
- #diamondplatnumz
Unaipenda kazi yetu na ungependa kutuunga mkono? Sasa unaweza kutuchangia kiasi chochote kuanzia shilingi 500. Fuata link hii hiveticket.web...
Tunashukuru kwa kuwa Mwana SnS unayejali
Nipeni maua yake nimpelekee kwa njia ya likes 🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺
🌹🌹🌹🌹
#Diamond ana vitu vingi sana ila anaogopa sana kuviweka wazi maana yy TRA ni mafuta na maji...anaogopa kuweka vitu vyake wazi asije kuwekewa kesi za utakatishaji fedha na kukwepa kodi,Tanzania ukiweka sana vitu wazi inakula kwako.
Diamond platnumz 👑👑
🔥🔥🔥🇹🇿simba kama chibu
Simba💪💪
Hongera zake sana diamond platinums kwa mafanikio hayo mi nishabiki wake toka alvyoanza mpaka leo hii nampenda sana na ninafurahia mafanikio yake
Nawapenda sana Vijana wa SNS, my favourite!!! Big up show haina jina, mimi naiita Boro ezanga kombo!!! 😂😂😂
Diamond platnumz is wealth more than that
Nandimi ndeko
Siwezi kushangaa huyo ni simba 🦁
Nyumba ni kweli kabisa anazo nyingi
Na nizaidi ya 11
Leo Wakwanza jamani Nipeni like zangu
Pumbafu moja, haya nimekupa likes, baada ya hapo inachofuatilia?.. tafuta pesa kijana
We usitafute kazi 🙂
Khaa like zitakusaidia nin
Ujue maisha simchezo wakuigiza jamaa kajituma bgup kwake mungu ndo kaamua
Pesa y harm hyo
Kujituma pesa yake haitoshi na nyota ina husika bro
@@juxjemc5768 🤣🤣ona hii kondoo
Apo kutakua WASAFI TOWER alafu hajatambulisha KASRI LAKE, kuna WASAFI AIR inakuja sema watu wana hela.
@@philemonmagesa5548 Sawa mbunge MAGESA
Jamaani mondi anapesa nyingi tu from27
Pesa sabuni ya roho🙌
Umesahau kusema pia kua inapunguza uzee
Walaaii🙌😂
Daaaa watu wanapesa hatar
Nawakubali sanaaa sns
Chibu ni boss ,sema tu watu hawaoni
Nyumba anazo zaidi ya kumi 11..
Alafu bado amepanga
@@BijouxMunezero si maamuzi tu mzee
Mm nayitaa iyo shoo ukweli na uhakika tu ❤
Big up sana show show
Kuna watu watabisha tu ili mradi maana wanataka atajwe ally kiba ama harmonize yaani bongo uchawi uchawi tu.
Wakina musa
🤴🦁 Simba in terms of 💶💸💴💸
Simba anapambana sana...so he deserves all that and more......big up to Simba!!
AYA MWIGULU NCHEMBA SASA KAZI KWAKO KACHUKUE KODI
Afu Kuna mmakonde anamiliki visiwa vya mademu wenye matako makubwa nyieee😅😅😅😅😅
Wewe unamiliki nini wewe na ukoo wenu hamna hata robo ya hela ambayo anamiliki hamonize
😂😂kisiwa Cha Tako
@@saidabdulkadirmjahid8255 Hawa ni wapumbavu Sana nahisi watakua hawajui maana ya kisiwa eti mondi anamiliki kisiwa
Kisiwa cha zuchu na kuna baadhi ya watu uleuongo ndowanaoupenda
Mfano Kajala nyika😅😅
Tanzania nomaaaa
Kwel yule nisimba mwache apige ela❤
🔥🔥🔥🔥🔥
What is the name of the hotel in order to make a booking The building at Mikocheni is not even complete .
kenye swala la nyumba masamaki alikua na nyumba zaid ya 100 mjini shida sio nyumba shida ni nyumba za aina gani nyumba za million20 sio kitu
Umepanga wewe
Simba Simba nimfano was kuigwa kwa wore wanaopambana kujinasua na umaskin
he deserve it n he knows what he's doing
Saluti kwa Simba🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁
Hotels anayo mana ilisha onekana kwaiyo ahina hofu mana uwezi kutowa nyumba isiyo yako kwa ajii ya Corona
Jamaa kaukuza muziki wa tanzania namkubari sana simba
Sio tanzania ni EAST AFRICA
❤❤❤❤
Acheni kukariri vitu mnafikiri kumiliki kisiwa ni mchezo. Aache uongo bhana
Acheni uongo nyumba ziko wapi
Sadala anadanganya hana kitu
Una umia ukiwa wapi kipenz
Kwahiyo unateseka tu 😂😂 yani kuskia tu Diamond 💎 anapesa bro😂😂. Inabidi Ukajitundike tu ili usi skie Ivi vitu vya Platinumz bro😂😂
Zanzibar hawauzagi visiwa bro..mm nafanya kazi kwenye moja ya kisiwa na wazungu wanapipa Kodi ya 3.6billions bro,..so akiwa kakodi kisiwa hicho naeza kukiamini
Si ajabu ukawa ndo labour katka kisiwa chake 😂😂😂
Mzungu kupewa umiliki ni kazi tofaut na mbongo bro 🤣
Kabsa serikal yetu inaakil haiwez kuuza kisiwa Znz maan znz yenyew inakuja kuja bado
Zanzibar mgeni haruhusiwi kumiliki ardhi ndio maan wanawatumia mabeach boy kumiliki maeneo
@@wakunatahafai1969 ahahahah kweli lakin hajanunua hapa kakodi tu na analipa 3bilions na something
TRA wamefurahi sana leo
😂😂
The Nameless show (TNS) nimewapa jina
Akili kubwa bro
Mje na kwangu tupige mahesabu
My favourite song Mr diamond 💎
Mbona sasa wasio mpenda wanasema hana kitu? Cha ajabu wengini hujaribu hata kumpachika kajina yasio na maadili.
Kama yule Muha alieowa Mombasa ni vijembe tu anamiliki jiulize kwanza mtu anaowa Mombasa si mchezo kajaa roho mbaya husuda 1000000000000 senge sana yule🖕
@@wakunatahafai1969 haaahaaa
@@wakunatahafai1969 kwakwel jamii ya watu wa Mombasa yaani ni vjembe husda roho mbaya ukikaa vbaya kurogana 😂 Aah niliwai Kukaa nao hawa watu hunidanganyi kitu Hadi kikaama nyumba kwa kukimbia na ilikuwahataki niame dah😅
Vitu vijioneshe hicho kisiwa ni kisiwa gani ambacho, ata kukitaja ajawahai kukitaja mwenyew na sifa alizo nazo, pesa anayo but aache uongo vingi ni vya kushere
Tomaso
Punguzeni makasiriko jamani tutafute pesa
Sauli Elisha mtakufa na viholo,sasa atangaze kila kitu ili iwaje
Wali saabu wasafi bet
Kununua kisiwa kwa Zanzibar sio kweli labda fukwe
Matangazo hayo
Jux has cash too boys
Wewe daimondi ni tajiri sana huna wakulinganisha, ila nilikuomba gari tu sijaona najibu
Nyumba 11 ?naona ni ndogo sana kwa platnumz .I believe this guys got double the number mentioned
Fact
Inategemea ni nyumba gani ndugu yangu,kuna boss mmoja yuko mji flan hivi ana ghorofa 10 na kila ghorofa lina vyumba zaidi ya 100😢 ebu jiulize hio pesa.
Ndogo
@@patrickmukundichalamila3038 kuna watu wanahela hapa tz Ila wengine makerere tu mtu akijenga kinyumba Cha hela kidogo makelele kibao mondi ananyumba nyingi Cha kushangaza amepanga inamaana hizo nyumba hazina hazi ya kukaa yeye wenzo pale marekani msanii anatumia mabilioni ya hela kujenga au kununua nyumba ambazo wanaishi mfano Rick Ross nyumba yake bilion 44 tuache kiki za kijinga maisha ya mtu ni fumbo na Siri kubwa
@@rashidyally8715 sawa amepanga sababu nyumba zake hazina hadhi lkn Ni zake na kwa uwezo wake na familia yake tunaweza kusema anahela
mmi nna jiko la gass kitanda na godoro ddoma sofa la watu wawil frij tv32inch laptop zulia kabat mbili la nguo na vyombo viatu pear3 kwa mwez naingiza laki4 nimepanga kwa mzee Ngunde alaf kiwanja ntannuliwa nikifa kidogo tuuu cha kunitosha kulla mille🤣😂😅
Kaka please malipo selekalini kutokea kwake anapatikana Africa akon na dj sub ndio waripa coli sanaa
Waandishi gani hamjui kisiwa na Hotel anazomiliki acheni ujinga
Kweny comments zte ww ndio umeandk cha maan
@@bwanabrainex433 vitu tunaangalia wengine tunashindwa kucomment😅😅 ATI kisiwa kwani yeye ni Ronaldo
Mm.raisi wabadae.sijauzakisiwa.muogo😂
Naomba na mm pesa jamni😢
Fanya kazi😁
Nione
Sky kakimbia
Hapo kwenye show wamekurupuka kwa upande wa Zanzibar concerts zake analipwa dolla elfu 20 na kishafanya concerts mbili kendwa Rocks, kuhusu Kisiwa Zanzibar huwezi kupata Kisiwa kwa dolla laki 7 mana Kisiwa kinaanza na dolla Milion 3 kwenda 4 wajaribu kufanya research again mana dolla laki 7 kwa Zanzibar unanunua land tu tena sio beach safi
Una umia ukiwa wapi kipenz
@@salimalaquimane3077 Niumie for what sasa? I’m not even musician nyie kawaida yenu kila Mtu akubaliane na Mitazamo yenu, naumia nikiwa Zanzibar Ndugu 😂😂
@@zanzibarboyzanzibar509 acha kukurupuka hiyo pesa anayolipwa ni show za nje..show za ndan hauna uwezo wa kumlipa anakuja kushow love tu
Jamaa anamkwanja
UA-cam numbers could have been more, if his residence was in USA. Algorithm could have favored him.
Baada ya kwamba ninyi ndo mtoa tarifa za watanzania ili media za naijeria zichukue kwenu ninyi ndo mnachukua kwao😅😅😅😅
SIO TAJIRI,,ANAJIWEZA
Una umia ukiwa wapi kipenz
@@salimalaquimane3077 UTABURUZWA IVO IVO POLE MNO
Mbona yeye kirasiku.kwanin awachek wasanii wengine watznia?Ina maana kwer jamaa pesa anayo.Kwahiyo Kama una umia kuhusu Diamond nenda Ukajitundike kamba ufe tu😂😂😂
UNACHOAMINI WEWE USILAZIMISHE NA MWENZIO AAMINI,,NDOMANA KILA KIUMBE KIKAPEWA UWEZO WAKE WA KUFIKIRI,,,WE UNAKUBAL ME NMESEMA HAPAN,,SHIDA NIN
Kama ulikuw unajuw utasem hapana Kwanini ujibu sasa?si ungekaa tu Kimya no comment yako ??Kwani vilikuw Vina kuhusu Mpaka ujibu hapana🤣🤣.Watu wengine mnajichosha Mjue
Izi nyumba za Sauzi nyi mwaona mchezo eti
Kaka following sio mchong msani tajili Africa ni Lisundu America Msani tajili P DDY au JAY Z angalia follows wake na wa Chris brown au Justin beby
Huwezi jumukisha anaco charge kwa show wakati hujui anafanya show ngapi kwa mwezi
Hey, he deserves it ❣️🏀✌️
Mondi aliwai kusema wanaigeria hawamzidi hela wao wanawza kununua vitu vya mapito ila yeye anawaza kuwekeza watu hawakumuelew
TRA kama wamestuka ivi na hiyo record
Nibmfanaya biashara wa kwanza kulipa Kodi kubwa wa mwaka TRA wanamjua vizuri tu hawasemi Yani naweza kua tajiri kuliko matajiri mnao wajua nyie
He deserves that and more,he's a hardworking guy,A boy from Tandale
Ya Kweli haya 😂yasije kuwa ya kanumba
Mhhh !
Ila nyiny wabongo hamna akili yan mtu unauliza ya kweli hayo wqkati unamuona msanii anamiliki vitu vya pesa ndefu sana kama magar ya kifahar zaid 8, ana endorsement na pepsi na makampun mengine, ana redio stations...ndio msanii mwenye stream nyingi u tube kwa africa mwa jangwa la sahara lkn pia ana streams nyingi spotify,boomplay,audiomark,apple music, n.k then unakuja unamfananisha na kanumba kweli?? Kwelii??? Wabongo akili hatuna..au ukisikia streams unajua ni ufahari tu...streams ni pesa...money
Acheni uongo wenu jinga kwel msani tajili tz ni akiba sematu hanaga maonesho
Kisiwa cha wapi? Tumepigwa
zanzibar mikoen
Bado bado sana. Hawezi overtake our Akothee.
Mhhh😂😂😂😂😂
Chibaby Daniel endelea kujidanganya,nyumba anayoish akothee ni miongon mwa nyumba alizopangisha diamond huko sinza na mbez beach,sasa ya akothee iko shamba ambako mtu yeyote mwenye vijipesa anaweza kununua eneo shamba akajenga
Jame tuweni wa kweli ndg zangu kwenye ukweli daymond iyo pesa kumiliki utajiri kama uhuuooo apana sikubali apo gadangya sana
Ni kweli kabisa .wenye pesa nyingi ni konde boy mbwa wewe
Nmh sisi wenyewe bongo hatuzijui izo nyumba jmn
Kwenye hoteli na kisiwa tumepigwa
Ukweli ndohuyo 😂😂
@@uwimana6533 nambie zuchu
Simba🙌🙌🙌
Nyuma alishaga zizungumzia aliulizwa kwanini anapanga akasea anavibanda zaidi ya kumi na moja
Jitahidini mtupe news zauhakika musiji kupoteza jammi kutokana nyinyi niwa Tanzania kwaiyo bado tunangoja tujuwe kwanini jama bado anapanga
Umuulize mhusika
We ndo unampangisha halafu usiaibishe majina ya wasanii Jux si wa hivyo shida nyie mnataka kuleta ushabiki hata kwenye ukweli
Umempangisha ww unachukua Kodi kias gan
Nikweli bado anapanga
Kupanga ni kuchagua kwan si ana nyumba Madale anayokaa mama yake na South Africa hizo ambazo ametaka watu wazijue tu
Kisiwa ikisha znz 😂😂😂 tuambiane kisiwa gani tumbatuu au pemba
😂
Wamekurupuka Zanzibar Kisiwa kinaanza na dolla Milion 3 mbaka 4 na kupanda Juu
@@zanzibarboyzanzibar509 aa po umempenda kisiwa gan diamond kaswaend kuwadangany wa naija muhun san sio pow ww jiulz kiswa gan
@@OmanOman-ry5gw kanunua plot tu ambayo inaangalia bahari lakini sio kisiwa
@@janerouhassanjanerou7933 uyo muongo sasa kwnn akawadangany weziwe
Kisiwa cha zuchu
Jaman kuna kisiwa zabr lkn rekebisheni hyo kauli me ninajuwa zbar peke yke ni kisiwa ss mondi amenunua kisiwa kipi hiko ,semeni kuwa amenunua ufukwe na cyo kisiwa
Acha ufala wewe tuulize sisi waznz ndani znz kuna visiwa vidogo dogo kama vile chumbe;changuu, prison island na nk
Fukwe mbali na visiwa vidogo dogo mbali fukwe kama vile nungwi.paje,bwejuu na nk mondi kanunua visiwa vidogo dogo vinavyop patikana znz na hivi visiwa ni miradi ya raisi mwenye katoruhusa viuzwe ilikuzidikuekeza uwekezaji wa utalii kama hujui mambo ya watu usikurupuke
Tunampa maua yake 🙏🌹🌹🌹🌹
Axhawah kusema ananyumba Zaid ya kumi
Kumekucha 😂😂😂
Waliosema hana nyumba amepanga, waje hapa sasa
Uongo huo
Mashallah ❤️ ila wenzetu wametuzid sana davido yy dollar laki moj ni collabo tuu diamond platnumz ni show🤦
Wizkid analipwa zaidi ya million 600 kwa show moja
@@highthemetv7857 tz bdoo sanaa
Icho kisiwa kipo wap
Hicho kisiwa tunOmba kujua kiko wapi
Babalevo alisema nyumba 110 😅 +sifuri
Mbona bado anapanga?Bakhresa asimiliki kisiwa hapo inakuaje? 😂. Views za youtube hapo sawa. Dollar laki 1 halipi kodi? Kwani hawa TRA wanafanya kazi gani?Kila kona kodi zinatakiwa zikusanywe ili watoto wapate madawati,majengo mazuri ya shele na hospital.
Kwani alikwambia halipi Kodi ?? Acha ushirikina mtoto mdogo
@@highthemetv7857 Kua na adabu kwanza. Kwani huwezi ku comment bila matusi? Swala lipo hivi. Kato la kodi kwa matajiri ni muhimu sana as along mtu anaingiza kiwango kikubwa cha pesa. Na hii itasaidia nchi kuwanyanyua maskini ili pengo kati ya maskini na tajiri ipungue. Na hili si swala binafsi. Laa hasha! Hata nchi zilizoendelea hufanya hivyo. Kuna wazee wapo vijjji hana huduma na hawana jamaa wakuwasaidia. Unadhani watasaidiwaje? Na pia swala lingine ni uongo na masifa ya kupitiza yanayofanya nisiamini wasanii wengi. Wanaishi maisha ya maigizo.
Hana pesa ya kununua kisiwa 😂
Hata matako yako ananunua
Nyumba kuwa nazo anazo,pesa ako nayo ila kwenye hotel mmedanganywa hapo hotel gani iyo bro mbona haijulikani!!!,kwenye hotel kawapiga hapo na Kisiwa kawapiga pia,tatzo uongo mwingi+ukweli kiasi
Hoteli anayo kweli sema sio kubwa kiviiile mi nilishaenda na nisha kama vyumba vyote anaweza kumiliki yeye peke yake kwa sababu hainaga ukubwa kiviiiile
Nilishaenda na nime kagua vyumba vyote mpaka.sehem yamkutano ni hoteli tu mtu ilimshinda akaamua kuiuza aka inunua yeye ni kama vile bondeni hoteli iliopo pale magomeni mapipa karibu na kwa macheni zamani.
Yeye hajasema watafiti wamemfuatilia wakakutana nahivyo achawivu hivovitu vipo
Kama ana pesa kwa nn aishi nyumba ya kupanga ajenge yakwake Kama alikiba.alikiba ndio msani tajili tz
kuishi nyumba ya kupanga sio sababu hata wakina messi na Ronaldo wanaishi nyumba za kupanga lkn ni wachezaji wenye kumiliki nyumba kibao na makampuni
Acha ujinga wako ukifa inakuaje et sema anakuwa Hana pesa ya kujenga nyumba yenye hazi labda Kama ni mgeni uko nchi za nje huko Sasa mtu unaishi ndani ya nchi yako usijenge nyumba
Msisahau kua anamiliki soko la tumbaku uko vijijin yni yule jamaa anabalaa kubwa
To be honest I expected more.!! Na huyu ndiye no1 East Africa...really???? Kweli wasanii wetu have a long way to go..
Wewe una shillingi ngapi?
Mnajua anamiliki zaidi ya hivyo..😅
@@nightwishisthegreatestband6355 mm nna 1000 tu
@@paulntalima6998 hahaaaahaaa
1. Kaeni hapo hapo jina la kipindi hasa linaweza kuwa jingine lakini liwe la Kiswahili please.
2. Charge kwa show hiyo sio income mpaka awe amelipwa hivyo sio sahihi kuingiza kwenye total.
West si ndio magharibi😂😂
AACHE MANENO AMILIKI HIZO NYUMBA TUONE
Daimond ana ela wewe co alikiba na sio mariooo na siyo hamo Yule ni levo ya ulaya na naijeria we angalia cheni zake kama kina wizikid ndo kumiliki nyumbaa unabishaaa
Mzee unatafuta kaz wasaf nn maana ni diamond thus diamond that
Kujituma ndo kitu ambacho,sasa we we kaa tulia afu useme miujiza itakushukia
Na ndo muache kumshindanisha Simba na watoto wadogo wapumbavu walilia mapenzi kina vilandage hasa nyie #sns
😂😂😂😂
steven chenga hapo chacha🤣🤣🤣😂😂🤣🤣
@@valeriaally6584 hawa jamaa sns wanampaishaga Sana mmakonde wao😅😅