HISTORIA YA OPERATION ENTEBBE(Part 1)

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 22 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 678

  • @husseinomari5972
    @husseinomari5972 5 років тому +189

    Ahsante sana Global TV kwa makala za ki historia. ila kama mdau wenu nawaomba mtuchambulie pia historia za maisha ya Viongozi hawa wa Marekani na Iran. Hatujui Confidence zao zilianzia wapi ila Tunaona tuu vitisho na vikwazo vya kisiasa. Otherwise mi nawapongeza mana mko sahihi katika makala zenu

  • @augustinofredrick7127
    @augustinofredrick7127 4 роки тому +141

    Unajua saaaana we jamaa.👍 kama unamkubali huyu msimuliaji gonga like hapa ilitwende sawa.

  • @sosatz
    @sosatz 5 років тому +167

    Unasikiliza makala, unaielewa hadi unapitiliza kuielewa unatamani ukawaeleweshe watu.. kazi nzuri sana.

  • @sknapoleonshoo3145
    @sknapoleonshoo3145 2 роки тому +29

    Walio soma Uganda 🇺🇬 ndani ya topic ya Operation Entebbe kwenye soma la SST from P5 to P6 tugonge like 👍 kwa pamoja!

  • @ramadhanindaro6866
    @ramadhanindaro6866 4 роки тому +134

    Nani ambaye anairudia tena hii kwa mwaka huu 2020 gonga like hapa

    • @jacoblaiser7634
      @jacoblaiser7634 4 роки тому +2

      Like inasaidia nini? Mnaboa sana mnaosena gonga like. Nikishagonga ndio kuelewa kinachozungumzwa????

    • @mwahijalukali2387
      @mwahijalukali2387 4 роки тому

      Me

    • @ramadhanindaro6866
      @ramadhanindaro6866 4 роки тому

      @@jacoblaiser7634 just kuinjoy but ailet maana

    • @maomacatta9770
      @maomacatta9770 4 роки тому

      Nadhani like inamaana yake kwa mwenye story pamoja na UA-cam lazima kunafaida anapata

    • @wamoroboy8963
      @wamoroboy8963 3 роки тому

      @@maomacatta9770 mawazo potofu

  • @jamilsalanga4193
    @jamilsalanga4193 5 років тому +7

    Yaaan nkisikia Ananias napata raha kama baraka mpenja tu, , , , , hata ukisimulia habar ya nyani ntapenda tu.
    Broh uko vzur sana.

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 4 роки тому +4

    Jamaa unakipaji Sana wahenga wanasema mnyonge mnyongeni haki yake mpeni hadharani

  • @jokhasaid8666
    @jokhasaid8666 3 місяці тому

    Jamani kuna watu wana akili saana hapa duniani wengine tupo tu. Kupanga big operation kama hii in few days salute to them. Mkiona watu wanapata mishahara mikubwa mnalalamika anafanya kazi gani. Hii ilitakiwa ipelekwe Hollywood ni bonge la movies na akili nyingi zilizumika . Kudos.

  • @masekezenge4845
    @masekezenge4845 2 місяці тому

    Huyu anania Eriger nampenda kwa .historia na sauti yenye mvuto hongera sana mwamba sauti yako haichoshi kusikiliza

  • @bish_daddiyao
    @bish_daddiyao 5 років тому +6

    Uchambuzi Murwa sana historia kama hii inakupa Mda kufwatilia
    Uchambuzi Wako Anannias heko💥💜🤞💥

  • @denistarange5580
    @denistarange5580 4 роки тому +3

    Dah sauti makini Sana mwandishi makini nakukubali Sana Annanias Edgar's mungu akuogoze utuletee Zaid

  • @Manyeisheep
    @Manyeisheep 5 років тому +71

    From Kenya. Guys I watch every video that you post. Not only do u research well,but you also have a good way of.presenting...kiswahili kizuri sana.
    Update us more on African issues...
    Thumbs up guys you are the best. 9/10

  • @samwelwekesa
    @samwelwekesa 2 місяці тому +9

    Leo hii 12/8/2024 nimerudi kusikia historia,zijawahi pewa like zenu jamani

  • @lucasroswe6544
    @lucasroswe6544 5 років тому +53

    Huyu jamaa asee anajua sana kusimulia! Keep it up bro

  • @peterjanuary7972
    @peterjanuary7972 2 роки тому +1

    Mmh hii ya moto 🔥🔥🔥 sana

  • @mocomoco1836
    @mocomoco1836 5 років тому +5

    Historia ya kwel kabisa hii

  • @marykibwana9413
    @marykibwana9413 5 років тому +1

    Ningeulizwa au ningepewa nafasi yakutoa tuzo kwa msomaji bora wa makala za kusisimua hakika nisingemuacha kijana Ananias Edger.Unajua nimesoma creative writing. Hivyo Pamoja na umri wangu kuzidi nusu karne lkn huwa nafuatilia sana makala hizi,

  • @athumanomary1438
    @athumanomary1438 5 років тому +2

    Asante sana ndugu mwenyez MUNGU yupo pamoja nawe

  • @kataninyido962
    @kataninyido962 3 роки тому

    Ananias edgar una sauti nzuri kama mayayi kwakweli Mungu amekujalia sauti nzuri sana Hongera

  • @clementkivegalo2604
    @clementkivegalo2604 5 років тому +23

    An incredible event the world has ever seen!

  • @InnocentSteven-om5ok
    @InnocentSteven-om5ok 8 місяців тому

    Napenda kujua historia kama hizi

  • @goodluckminja9101
    @goodluckminja9101 5 років тому +13

    Duh! Kumbe East Africa kumewah kuwa na mambo makubwa namna hii

  • @ignasamedeus1688
    @ignasamedeus1688 3 роки тому +2

    Noma Sana mzee baba wauwe

    • @ignasamedeus1688
      @ignasamedeus1688 3 роки тому +2

      Nakupa big up we no fundi unenifundisha Sana 👏👏👍

  • @DaudimatindaSiria
    @DaudimatindaSiria Рік тому

    We love you anania unachambua vizuri sana

  • @barnabasdioniz8604
    @barnabasdioniz8604 3 роки тому +6

    Nimeipenda sana hii story, nimempenda pia msimuliaji, nimependa sauti yake. Hongera Sana kaka

  • @DamasjoachimPetro
    @DamasjoachimPetro 11 місяців тому

    Hii naipenda sana heko Taifa la Mungu

  • @witnessmoshi8667
    @witnessmoshi8667 5 років тому +6

    Napenda Sana hzi history

  • @christianmarijani104
    @christianmarijani104 5 років тому +3

    Mambo kama haya tuliyamiss sana kwenye lugha ya kiswahili...salute kwenu global online

  • @Maxwel-z9e
    @Maxwel-z9e 2 місяці тому

    Asante sana

  • @katrinanie9989
    @katrinanie9989 2 роки тому +4

    I can't get enough of this already watching the 5th time in Sept2022

  • @lazaruskeraro8003
    @lazaruskeraro8003 3 роки тому +6

    Mimi nimewapa 10/10 ni vigumu kupata habari zote za kihistoria. Pongezi

  • @carolinecubwa3163
    @carolinecubwa3163 5 років тому +3

    Ananiasi Edgar wewe tunakuaminia Sana we need more from you

  • @matthewwangi2859
    @matthewwangi2859 2 роки тому +5

    This is what they should teach in schools to avoid mistakes of our former leaders but governments don't put it in curriculum. That's the accountability of the tax payers money we'll spent💯🤔by Idd Amin and Mwalimu Nyerere.

  • @jasirimkombozi4926
    @jasirimkombozi4926 5 років тому +4

    Simulizi kali sana Tafadhali ilete sehemu ya pili.

  • @rashidchengwi2206
    @rashidchengwi2206 3 роки тому

    Kazi swafi kutuharisha..

  • @nicksonmallya11
    @nicksonmallya11 4 місяці тому

    Israel the blessed nation, be blessed more and more

  • @abdulrazakyussef3177
    @abdulrazakyussef3177 5 років тому +1

    huyu jamaa anafaa sana kutangaza TBC TV na TBC radio, ana sauti nzuri sana. Laikini mambo mengine kama za kina Lumumba, ''mabeberu'' na maadui wa afrika miaka ya 1960s, naona hajafanya research ya kina kirefu sana na mapana sana. anapapasa macho juu juu tu. Haya mambo yanahitaji udadisi wa hali ya juu sana, siyo tu lawama za hapa na pale, hazisaidii kitu.

  • @josephngugi5776
    @josephngugi5776 Рік тому

    Watching & rewatching

  • @enockyohana6856
    @enockyohana6856 5 років тому +43

    Unavyo simulia kama naona vile bro salut kwako

  • @nashonobura2742
    @nashonobura2742 4 роки тому +1

    Anania my best history presenter

  • @suzysoraelw2062
    @suzysoraelw2062 3 роки тому +1

    Kazi iendelee

  • @inocentmarandu3323
    @inocentmarandu3323 5 років тому +5

    Upo vzuri sana

  • @hawaabubakar2619
    @hawaabubakar2619 5 років тому +12

    Hongera bro unacmuliya kwa makini na upole sauti tisho nzuri xana from saudi Arabia

  • @raharaha1631
    @raharaha1631 Рік тому

    Nawapongeza kwa stori nzuri

  • @hawaabubakar2619
    @hawaabubakar2619 5 років тому +23

    Wapi sehemu ya pili plz bro i salute u Bro Big up from saudi Arabia

    • @globaltv_online
      @globaltv_online  5 років тому +5

      kama hujaipata hii hapa: ua-cam.com/video/ojziCWOqYrQ/v-deo.html

  • @Wpatrickwafula3432
    @Wpatrickwafula3432 4 роки тому +1

    Sawa sana waisreal Mungu anawapenda

  • @marywachira6649
    @marywachira6649 Рік тому

    Ooh God the version i read was different but now i have heard thanks for the update

  • @robertmusyimimutuku7040
    @robertmusyimimutuku7040 2 роки тому

    annanias edger kazi nzuri endelea hivo hivo

  • @edgarfelix536
    @edgarfelix536 5 років тому +2

    Wajina umesimulia vizuri sana hongera

  • @zablonmlazi4415
    @zablonmlazi4415 3 роки тому +1

    Naipenda hii

  • @arunamwaholi1351
    @arunamwaholi1351 5 років тому +2

    History nzur mtangazaji nae yuko vzr sana had naelewa

  • @kataninyido962
    @kataninyido962 3 роки тому +1

    Hongera sana global news TV kwa habari nzuri sana za kihistoria, Mungu awabariki sana maana ni historia inayo tukumbusha ya kale yalio pita na ya sasa yanayo tokea

  • @pattykaranja
    @pattykaranja 5 років тому +13

    I must say you have done your research very well

  • @issacmmasy1447
    @issacmmasy1447 3 роки тому +1

    Dunia imepita watu aisee duh 🙌🙌

  • @rakeshmohanbhatt8056
    @rakeshmohanbhatt8056 3 місяці тому +1

    Good

  • @athumanjuma2772
    @athumanjuma2772 5 років тому +7

    Bonge la story aisee, kazi nzuri kwa msimulizi

  • @josphatwanyaki-jp5wv
    @josphatwanyaki-jp5wv Рік тому +1

    Well organised operations

  • @erickotieno988
    @erickotieno988 6 місяців тому +1

    good morning

  • @eliassylvester8150
    @eliassylvester8150 5 років тому +4

    Daah napenda sana makala kama hizi na msomaji awe mahiri kama huyu jamaa tunasubiria sehemu ya pili waungwana

  • @Mokiwa
    @Mokiwa 5 років тому +2

    Safi sana, nimependa haya masimulizi

  • @kenyaneye4292
    @kenyaneye4292 4 роки тому +1

    Kazi nzuri mpangilio mzuri

  • @geraldtarimo7379
    @geraldtarimo7379 5 років тому +1

    Umezingua mzeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

  • @CeciliahKiiru-pl4yr
    @CeciliahKiiru-pl4yr Місяць тому

    Strong kabisa🎉🎉

  • @IshmaelLuyagaza
    @IshmaelLuyagaza 9 місяців тому

    Very good narration of the operation. ❤

  • @marionntomola1686
    @marionntomola1686 3 роки тому +2

    I was looking for this history.... thank you.

  • @waltermichael96
    @waltermichael96 5 років тому +3

    Very nice

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 5 років тому +2

    Mashaallah..Huchoki kusikiliza.. sauti yako ni nzuri sana. Kwa ukweli.

  • @godlistenlucas8213
    @godlistenlucas8213 5 років тому +4

    Hongera sana, leo hujaweka chumvi na yale maneno yako mengi nje ya story yenyewe.

  • @romanusdominicus5184
    @romanusdominicus5184 5 років тому +8

    Excellent narration.

  • @mtayaink8020
    @mtayaink8020 5 років тому

    baba uko vizur sichoki kusikiliza
    ongeza njonjo na vineno vya ucheshi
    penda sana stor zenu....

  • @nkwabitz233
    @nkwabitz233 5 років тому +4

    Nakubaliiiiiii sanaaaaa

  • @frankbonifas535
    @frankbonifas535 4 роки тому

    Daah kaka unajua nakukubaligi sana hongera unajua unachokifanya

  • @tiopherysanga2934
    @tiopherysanga2934 4 роки тому

    Global tv mpo vizuri

  • @mohammedamad6568
    @mohammedamad6568 5 років тому

    Wewe ni mtangazaji mzuli sana Na auna papala unapotupasha habari nakukubali sana mzee

  • @pastorvincent9851
    @pastorvincent9851 5 років тому +2

    Maitafuta sehemu ya pili siioni tafadhali!! Makala nzuri sana

  • @ferouzmasoud4741
    @ferouzmasoud4741 5 років тому +2

    asante kaz nzur

  • @roselusenaka7548
    @roselusenaka7548 3 роки тому +2

    I love this story.

  • @rahabujohn2691
    @rahabujohn2691 4 роки тому +1

    Historia nzuri sana party two please

  • @jumannempembee2759
    @jumannempembee2759 4 роки тому

    Asante sana kwa story zur

  • @hammerQ954
    @hammerQ954 5 років тому +4

    Kazi nzuri

  • @benjaminzephaniah4583
    @benjaminzephaniah4583 4 роки тому

    hongera kwa kujiajili kupitia MB make hidtoria zako hazifiki mwisho ko ni namna Fulani ya kupika pesa

  • @EdwardSindayigaya
    @EdwardSindayigaya Рік тому +1

    You are really doing a very good job, I love the voice and the language as well

  • @swagatdebracy2582
    @swagatdebracy2582 5 років тому +4

    Unakosea sana ukisema idd amin field martial sababu cheo hicho hawez pata sifa ya kwanza ya cheo hicho ni uongoze vita na ushinde sasa yeye kapigwa na mwl nyerere kwahiyo hawezi kuwa field martial ,hongera kwa kutupa historia makini bro🙌

    • @ananiamkasu8847
      @ananiamkasu8847 4 роки тому

      Sio kushinda tu bali ushinde mara tatu

    • @hajikihemba5349
      @hajikihemba5349 2 роки тому

      Amin alijiita Field Martial co kwamba alishinda vita tatu hapana alijiita hivo kwa sifa zake tu ili aonekane yeye ni mwamba maana cheo cha field Martial kule Uingereza anapewa yule mwanajeshi aliyeshinda vita tatu mfululizo

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri6524 3 роки тому +1

    Napenda sana kusikiliza histotia kama hizi maake huwa zinanifungulia dunia kuwa ninachikitaka

  • @denistarange5580
    @denistarange5580 5 років тому +5

    Aseeee jamaaa uko.vizr mno Tena Sana Sana

  • @cleophasmkungu7814
    @cleophasmkungu7814 3 роки тому

    Hongera kwa kazi nzuri

  • @habibuanga347
    @habibuanga347 5 років тому +3

    Tuko pamoja... enjoy it

  • @allainnzbnt2764
    @allainnzbnt2764 4 роки тому

    Asante kwa historia yako

  • @nassorabdallahomar1595
    @nassorabdallahomar1595 5 років тому +1

    Mungu amsaidie EDI amino Dada na hakua mkatili EDI amino dàdà

    • @lacroquetalacroqueta6813
      @lacroquetalacroqueta6813 5 років тому +1

      huyu jamaa anasimulia sawa kama wazungu walivyodanganya ukweli hajasema huyu ni "BIAS" kama wazungu towards people their hate.

    • @lacroquetalacroqueta6813
      @lacroquetalacroqueta6813 5 років тому +1

      dada never agreed with white people to be a coconut so their had to framing him dont tell us lies, same as 9/11 please stop feeding us white man lies sad telling lies written by white man...shame on you

    • @linusmagezi8398
      @linusmagezi8398 4 роки тому

      Kila binadamu ni sawa na mwingine na Mungu anaukumu kila mtu bila kujali rangi,kabila,dini, umri,

  • @venstonvedasto
    @venstonvedasto 5 років тому +3

    Mungu banah fundi sana hakupi kila kitu huyu jamaa anajuaaaaa sana kuhadithia youtube excellent bro!! ila sasa muulize kama anajua mbembeleza dem wake 😂😂😂😂😂😂 utashangaa sana

  • @samwelnyambo2647
    @samwelnyambo2647 5 років тому +2

    Uko vizuri kaka

  • @lauriansimon6805
    @lauriansimon6805 5 років тому +8

    nasikiliza xtory kama vile nipo ktk operation yenyewe yaan daaah saut imetulia hatar ya msimuliaji! big up bro

  • @manyandatimoth7
    @manyandatimoth7 5 років тому +1

    Jamaa unazisimulia hizi makala vzr sana

  • @rodneyford88
    @rodneyford88 5 років тому +1

    kazi nzuri sana..hongera saana muandaaji

  • @alhajkisaka2645
    @alhajkisaka2645 4 роки тому

    Saf Sana Kaka historia nzur sanaa

  • @evanstum5032
    @evanstum5032 Рік тому

    Nice

  • @emmanuelnzaligo6262
    @emmanuelnzaligo6262 5 років тому +1

    Nimependa sana ungetoaga story nyinginyingi ingekuwa pw sana

  • @allymmoto7348
    @allymmoto7348 5 років тому +1

    History tamu saaaaana duh!!

  • @healthynation2125
    @healthynation2125 3 роки тому +1

    best narration . keep up

  • @iddiiddi5585
    @iddiiddi5585 5 років тому

    Makala ni nzuri, hongera sana. Hata hivyo nina maoni kuhusu neno HARAMIA. maana ya neno hilo kwa mujibu wa Kamusi la Kiswahili Fasaha lililotungwa na Baraza la Kiswahili la Zanzibar (BAKIZA), 2010: JAMBAZI ANAYEFANYA UHALIFU KWA KUTUMIA NGUVU KATIKA VYOMBO VYA MAJINI. Kwa muktadha huo, sidhani kama linapaswa/kufaa kutumika hapa.