Ahsante sana Global TV kwa makala za ki historia. ila kama mdau wenu nawaomba mtuchambulie pia historia za maisha ya Viongozi hawa wa Marekani na Iran. Hatujui Confidence zao zilianzia wapi ila Tunaona tuu vitisho na vikwazo vya kisiasa. Otherwise mi nawapongeza mana mko sahihi katika makala zenu
Ahsante sana global tv kwa kutuletea habari za ki histolia sasa tunaomba simulizi na histolia ya saddam hussein aliyekua rais wa iraq kuzaliwa mpaka kunyongwa ahsante
Jamani kuna watu wana akili saana hapa duniani wengine tupo tu. Kupanga big operation kama hii in few days salute to them. Mkiona watu wanapata mishahara mikubwa mnalalamika anafanya kazi gani. Hii ilitakiwa ipelekwe Hollywood ni bonge la movies na akili nyingi zilizumika . Kudos.
From Kenya. Guys I watch every video that you post. Not only do u research well,but you also have a good way of.presenting...kiswahili kizuri sana. Update us more on African issues... Thumbs up guys you are the best. 9/10
Ningeulizwa au ningepewa nafasi yakutoa tuzo kwa msomaji bora wa makala za kusisimua hakika nisingemuacha kijana Ananias Edger.Unajua nimesoma creative writing. Hivyo Pamoja na umri wangu kuzidi nusu karne lkn huwa nafuatilia sana makala hizi,
This is what they should teach in schools to avoid mistakes of our former leaders but governments don't put it in curriculum. That's the accountability of the tax payers money we'll spent💯🤔by Idd Amin and Mwalimu Nyerere.
huyu jamaa anafaa sana kutangaza TBC TV na TBC radio, ana sauti nzuri sana. Laikini mambo mengine kama za kina Lumumba, ''mabeberu'' na maadui wa afrika miaka ya 1960s, naona hajafanya research ya kina kirefu sana na mapana sana. anapapasa macho juu juu tu. Haya mambo yanahitaji udadisi wa hali ya juu sana, siyo tu lawama za hapa na pale, hazisaidii kitu.
Hongera sana global news TV kwa habari nzuri sana za kihistoria, Mungu awabariki sana maana ni historia inayo tukumbusha ya kale yalio pita na ya sasa yanayo tokea
Unakosea sana ukisema idd amin field martial sababu cheo hicho hawez pata sifa ya kwanza ya cheo hicho ni uongoze vita na ushinde sasa yeye kapigwa na mwl nyerere kwahiyo hawezi kuwa field martial ,hongera kwa kutupa historia makini bro🙌
Amin alijiita Field Martial co kwamba alishinda vita tatu hapana alijiita hivo kwa sifa zake tu ili aonekane yeye ni mwamba maana cheo cha field Martial kule Uingereza anapewa yule mwanajeshi aliyeshinda vita tatu mfululizo
dada never agreed with white people to be a coconut so their had to framing him dont tell us lies, same as 9/11 please stop feeding us white man lies sad telling lies written by white man...shame on you
Mungu banah fundi sana hakupi kila kitu huyu jamaa anajuaaaaa sana kuhadithia youtube excellent bro!! ila sasa muulize kama anajua mbembeleza dem wake 😂😂😂😂😂😂 utashangaa sana
Makala ni nzuri, hongera sana. Hata hivyo nina maoni kuhusu neno HARAMIA. maana ya neno hilo kwa mujibu wa Kamusi la Kiswahili Fasaha lililotungwa na Baraza la Kiswahili la Zanzibar (BAKIZA), 2010: JAMBAZI ANAYEFANYA UHALIFU KWA KUTUMIA NGUVU KATIKA VYOMBO VYA MAJINI. Kwa muktadha huo, sidhani kama linapaswa/kufaa kutumika hapa.
Ahsante sana Global TV kwa makala za ki historia. ila kama mdau wenu nawaomba mtuchambulie pia historia za maisha ya Viongozi hawa wa Marekani na Iran. Hatujui Confidence zao zilianzia wapi ila Tunaona tuu vitisho na vikwazo vya kisiasa. Otherwise mi nawapongeza mana mko sahihi katika makala zenu
Ahsante sana global tv kwa kutuletea habari za ki histolia sasa tunaomba simulizi na histolia ya saddam hussein aliyekua rais wa iraq kuzaliwa mpaka kunyongwa ahsante
@@joelnchimani4185 ekis
Ekisa
2.
Ap
Unajua saaaana we jamaa.👍 kama unamkubali huyu msimuliaji gonga like hapa ilitwende sawa.
Ni mwamba huu
Mnooo
Unasikiliza makala, unaielewa hadi unapitiliza kuielewa unatamani ukawaeleweshe watu.. kazi nzuri sana.
Umeona eeh!!
Yan ww ndo kama mimi
Ansgar:Nipo ZNZ lkn jamaa anatisha,,kajaliwa mpk sound.
Kwel kbs
Ansgar part two iko wap jmn
Adi kuwaelewesha watu
Walio soma Uganda 🇺🇬 ndani ya topic ya Operation Entebbe kwenye soma la SST from P5 to P6 tugonge like 👍 kwa pamoja!
😢
❤❤❤❤❤❤
Nani ambaye anairudia tena hii kwa mwaka huu 2020 gonga like hapa
Like inasaidia nini? Mnaboa sana mnaosena gonga like. Nikishagonga ndio kuelewa kinachozungumzwa????
Me
@@jacoblaiser7634 just kuinjoy but ailet maana
Nadhani like inamaana yake kwa mwenye story pamoja na UA-cam lazima kunafaida anapata
@@maomacatta9770 mawazo potofu
Yaaan nkisikia Ananias napata raha kama baraka mpenja tu, , , , , hata ukisimulia habar ya nyani ntapenda tu.
Broh uko vzur sana.
Jamaa unakipaji Sana wahenga wanasema mnyonge mnyongeni haki yake mpeni hadharani
Jamani kuna watu wana akili saana hapa duniani wengine tupo tu. Kupanga big operation kama hii in few days salute to them. Mkiona watu wanapata mishahara mikubwa mnalalamika anafanya kazi gani. Hii ilitakiwa ipelekwe Hollywood ni bonge la movies na akili nyingi zilizumika . Kudos.
Huyu anania Eriger nampenda kwa .historia na sauti yenye mvuto hongera sana mwamba sauti yako haichoshi kusikiliza
Uchambuzi Murwa sana historia kama hii inakupa Mda kufwatilia
Uchambuzi Wako Anannias heko💥💜🤞💥
Dah sauti makini Sana mwandishi makini nakukubali Sana Annanias Edgar's mungu akuogoze utuletee Zaid
From Kenya. Guys I watch every video that you post. Not only do u research well,but you also have a good way of.presenting...kiswahili kizuri sana.
Update us more on African issues...
Thumbs up guys you are the best. 9/10
Mambo
86
Yeap at least kiswahili simple sio ile ya mashairi
😊0
Leo hii 12/8/2024 nimerudi kusikia historia,zijawahi pewa like zenu jamani
Hapa tunarud daily....
Huyu jamaa asee anajua sana kusimulia! Keep it up bro
Mmh hii ya moto 🔥🔥🔥 sana
Historia ya kwel kabisa hii
Ningeulizwa au ningepewa nafasi yakutoa tuzo kwa msomaji bora wa makala za kusisimua hakika nisingemuacha kijana Ananias Edger.Unajua nimesoma creative writing. Hivyo Pamoja na umri wangu kuzidi nusu karne lkn huwa nafuatilia sana makala hizi,
Asante sana ndugu mwenyez MUNGU yupo pamoja nawe
Ananias edgar una sauti nzuri kama mayayi kwakweli Mungu amekujalia sauti nzuri sana Hongera
An incredible event the world has ever seen!
Napenda kujua historia kama hizi
Duh! Kumbe East Africa kumewah kuwa na mambo makubwa namna hii
Noma Sana mzee baba wauwe
Nakupa big up we no fundi unenifundisha Sana 👏👏👍
We love you anania unachambua vizuri sana
Nimeipenda sana hii story, nimempenda pia msimuliaji, nimependa sauti yake. Hongera Sana kaka
Hii naipenda sana heko Taifa la Mungu
Napenda Sana hzi history
Good goody
Mambo kama haya tuliyamiss sana kwenye lugha ya kiswahili...salute kwenu global online
Big up
Do u have what's up account?
Asante sana
I can't get enough of this already watching the 5th time in Sept2022
Mimi nimewapa 10/10 ni vigumu kupata habari zote za kihistoria. Pongezi
Ananiasi Edgar wewe tunakuaminia Sana we need more from you
This is what they should teach in schools to avoid mistakes of our former leaders but governments don't put it in curriculum. That's the accountability of the tax payers money we'll spent💯🤔by Idd Amin and Mwalimu Nyerere.
Simulizi kali sana Tafadhali ilete sehemu ya pili.
Kazi swafi kutuharisha..
Israel the blessed nation, be blessed more and more
huyu jamaa anafaa sana kutangaza TBC TV na TBC radio, ana sauti nzuri sana. Laikini mambo mengine kama za kina Lumumba, ''mabeberu'' na maadui wa afrika miaka ya 1960s, naona hajafanya research ya kina kirefu sana na mapana sana. anapapasa macho juu juu tu. Haya mambo yanahitaji udadisi wa hali ya juu sana, siyo tu lawama za hapa na pale, hazisaidii kitu.
Watching & rewatching
Unavyo simulia kama naona vile bro salut kwako
Anania my best history presenter
Kazi iendelee
Upo vzuri sana
Hongera bro unacmuliya kwa makini na upole sauti tisho nzuri xana from saudi Arabia
Baba 0658515267 baba niunge
Kwema ndugu
@@paulinapaulina911 sawa
Nawapongeza kwa stori nzuri
Wapi sehemu ya pili plz bro i salute u Bro Big up from saudi Arabia
kama hujaipata hii hapa: ua-cam.com/video/ojziCWOqYrQ/v-deo.html
Sawa sana waisreal Mungu anawapenda
Ooh God the version i read was different but now i have heard thanks for the update
annanias edger kazi nzuri endelea hivo hivo
Wajina umesimulia vizuri sana hongera
Naipenda hii
History nzur mtangazaji nae yuko vzr sana had naelewa
Hongera sana global news TV kwa habari nzuri sana za kihistoria, Mungu awabariki sana maana ni historia inayo tukumbusha ya kale yalio pita na ya sasa yanayo tokea
I must say you have done your research very well
Dunia imepita watu aisee duh 🙌🙌
Good
Bonge la story aisee, kazi nzuri kwa msimulizi
Well organised operations
good morning
Daah napenda sana makala kama hizi na msomaji awe mahiri kama huyu jamaa tunasubiria sehemu ya pili waungwana
Safi sana, nimependa haya masimulizi
Kazi nzuri mpangilio mzuri
Umezingua mzeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Strong kabisa🎉🎉
Very good narration of the operation. ❤
I was looking for this history.... thank you.
Very nice
Mashaallah..Huchoki kusikiliza.. sauti yako ni nzuri sana. Kwa ukweli.
Hongera sana, leo hujaweka chumvi na yale maneno yako mengi nje ya story yenyewe.
Excellent narration.
baba uko vizur sichoki kusikiliza
ongeza njonjo na vineno vya ucheshi
penda sana stor zenu....
Nakubaliiiiiii sanaaaaa
Daah kaka unajua nakukubaligi sana hongera unajua unachokifanya
Global tv mpo vizuri
Wewe ni mtangazaji mzuli sana Na auna papala unapotupasha habari nakukubali sana mzee
Maitafuta sehemu ya pili siioni tafadhali!! Makala nzuri sana
asante kaz nzur
I love this story.
Historia nzuri sana party two please
Asante sana kwa story zur
Kazi nzuri
hongera kwa kujiajili kupitia MB make hidtoria zako hazifiki mwisho ko ni namna Fulani ya kupika pesa
You are really doing a very good job, I love the voice and the language as well
Unakosea sana ukisema idd amin field martial sababu cheo hicho hawez pata sifa ya kwanza ya cheo hicho ni uongoze vita na ushinde sasa yeye kapigwa na mwl nyerere kwahiyo hawezi kuwa field martial ,hongera kwa kutupa historia makini bro🙌
Sio kushinda tu bali ushinde mara tatu
Amin alijiita Field Martial co kwamba alishinda vita tatu hapana alijiita hivo kwa sifa zake tu ili aonekane yeye ni mwamba maana cheo cha field Martial kule Uingereza anapewa yule mwanajeshi aliyeshinda vita tatu mfululizo
Napenda sana kusikiliza histotia kama hizi maake huwa zinanifungulia dunia kuwa ninachikitaka
Aseeee jamaaa uko.vizr mno Tena Sana Sana
Naoma part two
Hongera kwa kazi nzuri
Tuko pamoja... enjoy it
Asante kwa historia yako
Mungu amsaidie EDI amino Dada na hakua mkatili EDI amino dàdà
huyu jamaa anasimulia sawa kama wazungu walivyodanganya ukweli hajasema huyu ni "BIAS" kama wazungu towards people their hate.
dada never agreed with white people to be a coconut so their had to framing him dont tell us lies, same as 9/11 please stop feeding us white man lies sad telling lies written by white man...shame on you
Kila binadamu ni sawa na mwingine na Mungu anaukumu kila mtu bila kujali rangi,kabila,dini, umri,
Mungu banah fundi sana hakupi kila kitu huyu jamaa anajuaaaaa sana kuhadithia youtube excellent bro!! ila sasa muulize kama anajua mbembeleza dem wake 😂😂😂😂😂😂 utashangaa sana
😒😒😁😁
Hahahaha
Uko vizuri kaka
Fantastic
nasikiliza xtory kama vile nipo ktk operation yenyewe yaan daaah saut imetulia hatar ya msimuliaji! big up bro
Daa kaka mm nakumini sana napenda san stori zako nakupa bgp sana kaka
Safi
Jamaa unazisimulia hizi makala vzr sana
kazi nzuri sana..hongera saana muandaaji
Saf Sana Kaka historia nzur sanaa
Nice
Nimependa sana ungetoaga story nyinginyingi ingekuwa pw sana
History tamu saaaaana duh!!
best narration . keep up
Makala ni nzuri, hongera sana. Hata hivyo nina maoni kuhusu neno HARAMIA. maana ya neno hilo kwa mujibu wa Kamusi la Kiswahili Fasaha lililotungwa na Baraza la Kiswahili la Zanzibar (BAKIZA), 2010: JAMBAZI ANAYEFANYA UHALIFU KWA KUTUMIA NGUVU KATIKA VYOMBO VYA MAJINI. Kwa muktadha huo, sidhani kama linapaswa/kufaa kutumika hapa.