SHILINGI SPECIAL Ep

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 вер 2024
  • Zingatia kuwa matukio ya Episode hii hayajapangwa katika mfululizo unaotakiwa kwa hadithi.
    Jitihada zinafanyika ili vimalizike kupangiliwa na hatimaye mwendelee kupata burudani kama mlivyozoea hadi mwisho wa simulizi hii.

КОМЕНТАРІ • 577

  • @mwanaishamatano2389
    @mwanaishamatano2389 Рік тому +75

    Wapi nduruuuu kwa shilingi......walio kua na hamu kama mm tujuane gonga like twende nalo

    • @KhalidiAlly
      @KhalidiAlly Рік тому +2

      Oky

    • @KhalidiAlly
      @KhalidiAlly Рік тому +1

      Mm natak shiling stak mal moy mamov yaajab naitaj shiling bwan itoke kwawakat

    • @bethermassawe929
      @bethermassawe929 Рік тому +2

      lakn hii sio ep ya 163.. hii ni special ep ila nyie piga kelele kwa baba kibena woyooooooo

    • @habibuabuu9609
      @habibuabuu9609 Рік тому

      Tupo

    • @MwambaHeri
      @MwambaHeri Рік тому

      Shilingi imeenda

  • @hamismustafahalfansuleiman5799
    @hamismustafahalfansuleiman5799 Рік тому +23

    Msumbiji tumeipokea kwa furaha sana 🙏🙏🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @GodfreySangile
    @GodfreySangile Рік тому +17

    Jaman hii shilingi inazidikunishawishi kuendela kuifuataria wapi Baba wa kibena ❤❤❤❤❤❤🎉

  • @husnaibrahim2107
    @husnaibrahim2107 Рік тому +10

    Yes baba kibenaaaa in the hospital am happy kuskia Michael yupo hai kwakweliiii dj Fanya mambo

  • @salafinatanzani2813
    @salafinatanzani2813 Рік тому +14

    Unajuwa sijapenda kabis sipenda kwa kwel kwann jaman majambazi wanawasumbaa mapacha wangu nn lakni 😢😢😢😢

  • @daviddouglas9565
    @daviddouglas9565 Рік тому +14

    Kaka hizi special episodes kama zipo mingi turushie tu wangu tupunguze uchovu wa kubeba box 🤗. Ningependa kumwona mzee Mkude akitoa mimacho baada ya kujua Michael kwao wapo fresh. asante sana kwa zote zilizopita anyway.

    • @jamesmutali4356
      @jamesmutali4356 3 місяці тому +1

      mm nmeshindwa kwelewa nn kinaendelea

  • @user-px3ct3nq6r
    @user-px3ct3nq6r Рік тому +9

    Suzi nakupenda saanaaa yaan hongera kwa msimamo wakoo❤❤❤🎉🎉

  • @AaronMuyumba
    @AaronMuyumba Місяць тому

    Pisha hiyi ilikuwa ime haribika wakati edina alitaka kufa mimi n'a mupenda sana gutale pamoja n'a ibrah hâta n'a mupenda sana edinah n'a Paméla piya n'a wengine nawapenda sana mutupe vitu ni innocent toka Congo asanteni sana❤❤❤❤❤❤❤

  • @hamismustafahalfansuleiman5799
    @hamismustafahalfansuleiman5799 Рік тому +12

    Hii shilingi inatufanya tulie single tusiwaze mapenzi aiseee Mungu awape mwisho mwema wote waliyo shiliki movie hii amin 🙏🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @user-oi2qc7gr2d
    @user-oi2qc7gr2d Рік тому +6

    Jamani mmeieka special shilingi 😂😂😂😂😂❤❤❤🎉🎉🎉nawapenda sanaa tu

  • @ashuuabdu1638
    @ashuuabdu1638 Рік тому +4

    Baba kibena chafua anga hapo wajue km kuna watu wana weza na wanaweza tenaa❤

  • @AliMohamed-bp5ji
    @AliMohamed-bp5ji Місяць тому

    Babwema, hongera wewenimfano halisi, wawAle Wazazi wenyebusara ambao nindra kupatikana, nakupe da,

  • @salimkombora2742
    @salimkombora2742 Рік тому +4

    Huu wimbo wa shilingi DJ uko sawa sana

  • @claudinetambwe9233
    @claudinetambwe9233 Рік тому +4

    Kama hauna shilling hawuna samani mbereabatu napenda shilling sana❤❤❤❤

  • @teilamchomvu5452
    @teilamchomvu5452 Рік тому +6

    Weuwee piga kelele kwa DJ roma ❤

  • @antonysimiyu-vf5qf
    @antonysimiyu-vf5qf Рік тому +6

    Nilikuwa na hamu kubwa sana ya kuona shilingi asante sana Antony kutokea Kenya

  • @user-cv5dc3br2q
    @user-cv5dc3br2q 11 місяців тому +1

    Mbona munashelewesha

  • @user-vr1ct5vr6n
    @user-vr1ct5vr6n Місяць тому

    nataka kujua baba eddana kuwa kwakina maiko ni masonko atasema vippi. ni Wisey kutoka kenya gonga like za winsey hapo plz.

  • @martinjacobtv9864
    @martinjacobtv9864 Рік тому

    Nampenda Pamela vizuri zaidi, my character of Play

  • @fatuma46ramadhan18
    @fatuma46ramadhan18 10 місяців тому

    Jamani siaminni mm wow jamani tuliimis sana❤❤❤

  • @KingZahoro
    @KingZahoro Рік тому +2

    Wa kwanza mwenyewe leo

  • @jacinterakumu9106
    @jacinterakumu9106 Рік тому +12

    Asante sana Dj Roma 🎉❤ kwa mpigo tena zaidi 😂

  • @khadijaumazi3308
    @khadijaumazi3308 Рік тому +1

    Baba kibena hebu fanya mambo iwe mambo nakukubali mauwa hayo🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤😂

  • @user-iy9bd9nk3e
    @user-iy9bd9nk3e Рік тому +5

    Wale wa shilingi oyeeeee nategea nikiwa saudi🎉🎉🎉🎉🎉

  • @radhiamohaa3723
    @radhiamohaa3723 Рік тому +5

    Baba kibena wapi nduruu weweeeeee ❤❤❤❤chukua maua yako dady 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @fatmasuleiman7556
    @fatmasuleiman7556 Рік тому +4

    Shilingii ni tamuuuuu ❤❤❤

  • @JohnFariji
    @JohnFariji 2 місяці тому

    Big up sana wanangu, vip ndo final ao bado tunaendelea.

  • @bakarimnyubi2650
    @bakarimnyubi2650 Рік тому +7

    Ndio kuingia ss wadau gongeni like zenu wtu wngu wa gulf..🇰🇪🇧🇭

  • @achaacha4020
    @achaacha4020 Рік тому +2

    Wawooo hengereni sana roma asante

  • @kisaikamusicsound8
    @kisaikamusicsound8 Рік тому +2

    Nampenda kibena alivofika mjini na KUPATA kazi

  • @mwajumasuleiman9767
    @mwajumasuleiman9767 Рік тому

    Jamani..mnachelewesha..kuturushia

  • @DadeChafimali
    @DadeChafimali 3 місяці тому

    Poleni sana ila tumemisi sana shilingi yetu

  • @husnaibrahim2107
    @husnaibrahim2107 Рік тому +16

    Baba kibenaaaa Fanya jambo Kwa Michael 😢

  • @aishaharun548
    @aishaharun548 2 місяці тому +1

    Jamani tuendelezeeni cjui baba Edna atakuwa hali gni akijua kona michael ni matajiri hamwwzi kutuacha kwenye taharuki imefika mahali paxuri jmni

  • @mwaminishakalili4120
    @mwaminishakalili4120 Рік тому +4

    Jamani david anapangiwa njama tumuombee duwa liwarudie 🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹😭😭😭😭

  • @saidahamis3623
    @saidahamis3623 11 місяців тому +1

    Jaman kaz njema wote nawapenda naomba shilingi isishie hapa plz jaman❤❤

  • @user-px3ct3nq6r
    @user-px3ct3nq6r Рік тому +1

    Daaa kweli usilolijua nisawa nausk wagiza dev ungejua kua Ben ndo adui mkubwaaa hatariii saanaaa

  • @user-fc2ev9id3f
    @user-fc2ev9id3f 7 місяців тому

    Wapi nduruuuuu wooow ❤inaitwa shilingi wenzangu mwasikia kama mimi ninavyoisikia ni tamu ebe Hala Hala watuendeleze na shilingi mwatupokonya peremende na taari.iko Kwa mdomo naingija Kwa hamu tuu sana

  • @mercymbodze8986
    @mercymbodze8986 Рік тому +2

    Oyooooh kwakweli nmefurahi sana❤❤

  • @EricrutuliraOfisa
    @EricrutuliraOfisa Рік тому

    Kweli shilingi nisawa ila munakaa kimya sana

  • @mashafondo142
    @mashafondo142 11 місяців тому +1

    Nimeipenda sana hii filamu

  • @Dorcas_Charles
    @Dorcas_Charles Рік тому

    Shilingi imeisha au maana dj uko kimya sana!!!

  • @angeliqueniyonzima3850
    @angeliqueniyonzima3850 Рік тому +2

    Hii nikiboko ya kweli kbs

  • @SophiaKazungu
    @SophiaKazungu Рік тому +1

    ❤❤❤❤❤❤. Asate. DJ. Roma. Ebura. Imss. You

  • @user-df7cn5gg2p
    @user-df7cn5gg2p Рік тому

    🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿tumeipokea vizur Mimi naipenda sana movie ya chilingi

  • @GadssonLutaha
    @GadssonLutaha 3 місяці тому

    Kibena kaletwa mjini kuweka mambo sawa michael na mama yake watakaa sawa!

  • @mackmillankenga3401
    @mackmillankenga3401 Рік тому

    🇰🇪 Kali sana hii filim muendelee hivyo butaleee

  • @oku4900
    @oku4900 Рік тому

    Jamani tunaomba shilingi iendeleee

  • @abumoyo840
    @abumoyo840 Рік тому +7

    😂😂😂 Gd job dj 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-oe5fq3nr5b
    @user-oe5fq3nr5b 11 місяців тому +1

    Aki ni kweli akutakiae mabaya huja kwa furaha

  • @user-jf5np6tn6z
    @user-jf5np6tn6z Рік тому +1

    Aky dj thanks 👍 yaan napenda shilling sana nani tena anapenda shilling kaa mm nipea like plz

  • @kilizajumainn826
    @kilizajumainn826 Рік тому +3

    Bba kibena kaja hospital maiko wetu atakuwa sawa david pia atopigwa risasi😂😂😂😂

  • @odettebarengeke2469
    @odettebarengeke2469 Рік тому +1

    Jamani tu ambieni Kama shilingi ime kwisha ‘ tume Anza rudia jua kali Tena

  • @athumanmatimbwa4144
    @athumanmatimbwa4144 Рік тому +1

    Dj Roma upo vizuri

  • @ezekielmothoka727
    @ezekielmothoka727 Рік тому

    Hapo safi dj bora

  • @danielmsanjila
    @danielmsanjila 4 місяці тому

    Imeisha Bado tnaiyaka jamani imenikatili sana

  • @umau65
    @umau65 Рік тому +1

    Numero uno

  • @pedropedroagira3980
    @pedropedroagira3980 Рік тому

    Dj tuletee bak tu bak🎉🎉🎉

  • @user-lk6vu6sk8n
    @user-lk6vu6sk8n Місяць тому

    Great 👌 job ❤

  • @user-vn9yi4ul6n
    @user-vn9yi4ul6n Рік тому +5

    Realmente pedimos que o Maico venha ter melhorias para que a tia testemunhe!!!

  • @ashaabedi7343
    @ashaabedi7343 Рік тому

    jamani muendelezo maana nakumbuka mwazo nilivyo aza kuifatiliya shilingi nilikomea apa apa naipenda sana shingili ❤❤

  • @josephchandi6192
    @josephchandi6192 Рік тому +1

    Roma brand assim ate quando para teremos continuidade do shilingi
    Ja nao estamos a aguentar com ele
    Tafadhali wakuu tuko hapa tunaisubiri episode ya 163 na kuendelea
    Maana jana na leo hatuona kitu wazee kulikoni huko

  • @kisaikamusicsound8
    @kisaikamusicsound8 Рік тому +2

    Daaa hii shilling ni balaa,natamani maiko aponee ili awapeleekee moto akina junior na baba mdogo sio kwa shobo hizooo😂😂😂😂😂

  • @fatumamwayawe7598
    @fatumamwayawe7598 Рік тому +2

    Jamani nyingine haraka haraka 😂😅❤❤

  • @Nahdiya-nr3de
    @Nahdiya-nr3de Рік тому +1

    Mm nataka mzee ngokee asababishe Devid asipate lolote wale wabaya wote wajulikane

  • @joshuakorir2003
    @joshuakorir2003 Рік тому +1

    Ndio tumengojea wah

  • @nadzuwamangale1186
    @nadzuwamangale1186 Рік тому +1

    Mwendlz dj 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @sabrinadaudi8626
    @sabrinadaudi8626 Рік тому +1

    Wakwanza leo mi sitaki like yeyote Naomba like nyingi kwa DJ wetu tafadhari

  • @EvansMasese-qx7dt
    @EvansMasese-qx7dt 13 днів тому

    Continue with 61 brother

  • @Aileth-pp4on
    @Aileth-pp4on Рік тому +1

    Mbona mnaanza kutuchangany jmn

  • @silvesterokibo521
    @silvesterokibo521 Рік тому

    Shilingi inaweza Sana Kwani Dj Hamna episode ingine

  • @kilimaone3632
    @kilimaone3632 Рік тому

    Asante ni mwisho wake sio mbaya Sana,
    Hongeren bye maana nyie urushaji wa hivi vipande mnataka tupige magot ndio mrushe
    ... Hongereni kwa kuwa wakoloni hii ndio kawaida ya bongo movie punctuality zero always

  • @latifamohamed7692
    @latifamohamed7692 Рік тому +1

    Nkweli au macho yangu naingia hivi paap

  • @safarikanigibertin9812
    @safarikanigibertin9812 Рік тому

    Vipi kwa sasa mambo inatumaa kweli

  • @marcojibuta1621
    @marcojibuta1621 Рік тому +1

    Leo wa kwanza naomba like

  • @user-zz6ti5rb1p
    @user-zz6ti5rb1p Рік тому

    Mm hapa nina.ham.sana

  • @ZachariaKoroso
    @ZachariaKoroso 2 місяці тому

    Great🎉🎉🎉

  • @samyabahatialhiani401
    @samyabahatialhiani401 8 місяців тому

    Mtuleteye shilingi muendelelesho🇧🇮

  • @leonardinnocent9638
    @leonardinnocent9638 Рік тому +4

    Mambo ni bambam. Dj atakuwa Lazaro Mushi a.k.a Gutale. Chukua 🎉🎉🎉🎉🎉 yako

  • @MshamuShafeek-kx5xb
    @MshamuShafeek-kx5xb Рік тому

    Jaman shilingi yet mtumalizie tutazimia kwa shiling sie

  • @user-vn9yi4ul6n
    @user-vn9yi4ul6n Рік тому +3

    Amém o meu conteraneo, de facto 🇲🇿 contribuiu bastante na observação de shilingi. Os ❤ para Ednina esposa do David

  • @emmanuellukwaro407
    @emmanuellukwaro407 Рік тому +1

    Sema mnazingu sana

  • @yusroman1626
    @yusroman1626 Рік тому +2

    Mii kwaushauli wangu tunge maliza kwanza shilingi alafu move zingine badae au vp

  • @salamahamadisudi1912
    @salamahamadisudi1912 11 місяців тому +1

    Wema kimekuramba 😂😂😂😂😂

  • @user-fy4op1sw2f
    @user-fy4op1sw2f Рік тому

    Dj movie umeiharibu kwa kufa Michael

  • @Nahdiya-nr3de
    @Nahdiya-nr3de Рік тому

    Imerudiwa hii move

  • @user-om1rm8tm1r
    @user-om1rm8tm1r Рік тому

    Jamani. Mbona hatuelewi. Vip. Tena

  • @janerosejuma5840
    @janerosejuma5840 Рік тому +2

    Sante baba Kibena kukuja kuokoa Maiko wetu!

  • @babajuma2500
    @babajuma2500 11 місяців тому

    Aki nimeangalia bongo movie nyingi lkn shilingi ni bonge lao muko vizuri nyote lkn itabidi binty wa mzee mkude uniote nyuma ya tent

  • @magrethlubimbi4055
    @magrethlubimbi4055 Рік тому

    Shangazi kibena hao wote ni wakwako naomba usizimie shangazi ukimuona maiko

  • @mufdatabdallah7341
    @mufdatabdallah7341 Рік тому +1

    Hiii ep inanichanganya sana sehem alipokuja edna na akampiga kibao chuma mbona haipo 😢😢😢 na mumeunganisha unganisha matangazo mengine😢 shilingi

  • @user-gn2wz2os4f
    @user-gn2wz2os4f Рік тому

    Ahsanteni sana,tunataka muendelezo,piga kelele kw baba kibena weweeeeee

  • @sindalove5831
    @sindalove5831 2 місяці тому

    Vip hii itaendelea au

  • @rehemamaduhu5642
    @rehemamaduhu5642 Рік тому

    Hao majambazi sijawapenda wameharibu scene

  • @mwaminishakalili4120
    @mwaminishakalili4120 Рік тому

    Bora babakibena kaja utufunulie ujambazi wavifo 🥹🥹🥹🥹

  • @aishasuleimantabwara4954
    @aishasuleimantabwara4954 Рік тому

    Yani huyu mr Ben ñi mnafiki sana

  • @davidkalumwa5277
    @davidkalumwa5277 Рік тому

    waiting for continuation

  • @ramadhanmwanyika2121
    @ramadhanmwanyika2121 11 місяців тому +1

    Vp shilingi leo mlituahidi

  • @user-zl7mz5kx1u
    @user-zl7mz5kx1u Рік тому

    Aslm alykm waugwana Jaman shilingi ndo imeisha hapa au sierewi jamani

  • @BarakaMatheo-ym4fm
    @BarakaMatheo-ym4fm Рік тому +2

    Wakwanza