SHILINGI Ep 162
Вставка
- Опубліковано 15 вер 2024
- Subscribe kufuatilia tamthilia ya Shilingi kuanzia Mwanzo hadi Mwisho katika Channel hii.
Comment kutuambia unachofikiria.
Share na wenziyo wajue tuanze mwendo Episode zaidi ya moja kwa siku
Like kuonyesha Love
Mazuri mengi yanakuja Soon
Hapa nawapongeza kwani filamu nyingi za mapacha huwa zinatatanisha pale tunapotaka kuwaona mapacha wote wawili japo kiuhalisia ni mtu mmoja nawapongeza sana jinsi mlivyo tukutanishia dev&maiko
Ubunifu wa hali ya juu
Nangoja kuona mwisho utakuwaje
Hongera kwa mwandishi
Hongera kwa wahusika wengi wamejitahidi kuvaa uhusika kwelikweli
Hongera kwa mwongozaji
Hongera kwa mama dev duuuh kama mama mtu mzima sana kumbeeee
Nimeipenda
Duuuuu Devid anatia huluma sn yan
Duuuuuu hiiii mov nitamu San nimeikubal
Ndo maan huwa sipatani nawatu wenye vichwa vya nvilingo namacho yasijo tulia kama binam yake na madam daaah sjui wanamwita jovin yaan ingekuwa kwel alitakiwa kumpeleka kwamandonga akatwangwe ngumi
Wamejuwa kuigiza sijui nomadebe kiufupi madebe anajuwa
Hongera zao kwa sana I say nawasalute ❤❤❤
Afadhali leyo nimekuwa wa 14 sijawahi kupata namba kama hizii daa mungu awabariki sana naipenda sana shilingi mba mapacha wasifee jaman tunaomba maana wawo ndiyo wanaotufanya tuipende hii shilingi❤❤❤❤❤🙏🙏🙏🙏💯💯💯💯💯💯
ss kutakuwa aje tena
True mapacha hao mmoja akifa basi kwangu hii siries haina maana kwangu
Imenufanya nijifunze mengi sana kutokuamini kila mtu wa bara barani
DJ hongera sana,Ila Nina swali kwa DJ wetu kipenzi ivi ni kwanini shilingi unaipeleka pole pole uku ukitoa movie zingine ?tumalizie kwanza shilingi Sisi ni mashabiki zako hata shilingi ikiisha ulipo tupo tutaendelea kuku support
Yaani kwa kweli bora atoe moja moja maana hatuwezi kuangalia zote kwa pamoja....bora tupeleke speed tukimaliza hii tuanze nyingine..au vipi familia ya Dj
Meambie Mwambie 🎉🎉🎉🎉
Kwel kabis usicheleweshe dj
dj tumengonjea episode 163:164:165 and 166
Tunasubir muendelezo
Happy happy happy Kwa dj roma like moj kwake
Happy birthday to you 🎂
@@livenkinoti739😂😂😂😂😂😂😂birthday tena🎉😂😅😅😅
Nimelia na Dev aki 😢😢😢 huyu dogo musije muwacha kwenye movie zenu❤
Yaani nimeumia sana mpka machozu yamenitoka
Hii ndio the best series hapa bongo 🔥🔥
😅😅😅😅😅
Yaaani
OG nembo wa mtaa from Kenya 👍mie wa tano apa nipeni like zangu 😆😆
ww upewe like kama Nani? like ziende kwa dj Roma msi tusumbue mnao omba like tupunzisheni bana
@@mariamalt5964 ww una bifu sasa kina kaligraph na hao wasanii wa kwenu umelibeba ww
Kaka Roma kwa ajili ya shilingi nimekundaaa bureee😂😂😂😂 naangalia shilingi kutoka Rwanda 🎉
Onyo hakuna kuomba like sasa hivi tuna majonzi wote tuliokuwa tunatamani hii familia ikutane waomba like hatutoi tutalike kwa dj tu
Wanachosha na likes
@@uytfjhii2138 tena wanakera wanaoba like huenda wao hawa like kwa dj wenzao tuna majonzi
@@uytfjhii2138 wenzao tunasubiri episode ya 163 naisaka nimuone mama wawili kaamka na je Pamela atafanikiwa kuja hospital natamani afike
Haya leo kifungua mimba mm, wengine wote wadogo zangu, anaepinga mguu juu🎉🎉🎉🎉
Kiukweli junior na beni siwapendi kabisaàaaa
Kama mm nawanavyorembua sasa hayo macho nachoka kabisa😢😢😢
😅😅😅😅
Niyakiindi hasa hiiii shilingi ❤❤❤❤ fabrizo usitulie David wetu❤❤❤
Shilingi jameni 🔥🔥🔥 from kenya 🇰🇪
Mambo vipi uko Kenya wanasemaje ase nilikuwa natamani Sana kupata rafiki toka Kenya vipi inawezekana
Jmn Alice mh ukiwa na pesa Shida ukiwa maskini Tabu😢😢 shilingi kiboko asante dj🥰
Hawa watu wanao hangaisha famili ya Alice aky walaniwe ❤❤❤❤😂😂😂
Wafe kabisa😏😏
Tena sana
Ten walaniwe haswa
mie nasema 2 timu nzima hongera sana kila mtu amecheza part yake vilivyo ila nmesoma kitu kimoja n kitu kibaya sana bindi kuwa mrembo pekee ake kijijini angalia anavyoteseka ednah kila mwanaume anarusha huko uoga
Walai David amepitia wakati mgumu ,hajui alilie mum ama bro ,inauma xna 😭😭 Mombasa kenya
Dj wetu mm cna chakukulipa ila Mungu pekee .. aah asante kwakutufurahisha❤❤❤❤.... Mungu akueke InshaAllah 🤲🥰
Shilingi inatufanya 2sizime data simzetu Msumbiji 🇲🇿 tunaisubili Sana Shilingi
tunaomba mwendelezo jamani na hatutaki mapacha wapotee na madebe arudi kutafuta gani kwa hivo mmmmmmmh!!!
Wah hadi machozi yamenitoka
Duh hii movie imeniliza sana
Mapacha na sajo ibra na gutale jamen musiwaache kwa tamthilia yoyote ila hongeren nyote mliousika kwa kazi nzuri❤❤❤❤❤❤❤
Mbona umemsahau chumaa 😂😂😂😂
Mm sitak chuma labda ngokwe
Wema punguza mapepe 😂😂
Sbir umuone Devi waukweli si utamkumbatia utajua ndio Huyo maico wako😂😂
Vizr Sana dev.umeitendea haki nafasi yako
Leo namimi pia nimewai nipeni like zenu
Mungu akusimamie sana washilika katika kazi zenu amana mbambaaaa
Junior simpendi😢 alina ata msaada
Junior simpendi cha ukweli 😢😢😢😢
Mm ndo namchukia kama mama kama mtoto 😏😏😢
Tupo wengi
Aaa dj tunasema aksante sana kwa I kazi nzuri mpaka support tunakupa, keep it up
Alice amka uwaone wanayo😭😭jamani hii shilingi hata ikiisha kila mtu atakua amejifunza kitu❤❤❤
Ndo kama mimi nimejifunz mengi sanaa
Kwakweli ndoto yangu kwa sasa ni shilingi n'a wapenda sana wachezazi wa chilingi hote kwa jumla ❤👍🏿
Ase saiv shilingi sielew ko vipabde viwili tu sku nzima lakin moyo mbon inatumwa sana kinachofanyika hat sielew kabisa unaacha muda ili ukute kidg zmetumwa nyng lakin unakutana na mbili kwel jaman
Mashaallah bora imefika maan muda wote unschunguliaa kama wameweka jaman 😊😊😊😂😂🎉
Mungu ailinde hiyo familia DJ please yasiende vile wanapanga aki🙏🙏🙏
😂😂😂
Nimependa sana ujasiri wa Michael 🇲🇿
David Linalia Lia Sanaaa 😂 Eti mama Sajo Mama 😂😂
Uyo jamaa amecheza
Shilingi hapa ndo ilipo ishia ama kuna mwendelezo maana imeshakua muda sana na hatuoni part 163
Pole devd fura imetoeka
Dj shilingi imeisha
Shilingi nmegojea adi sai na haijamalizika
Dj haya mambo ndo mazur yan nilikuwa niko apa yoube nazungukaxungukaa2😂😂😂😂kusubil shiling
😂😂😂😂kzi ipo
Tuendelee na shilingii kaka❤❤
Eh mm leooo wa kwanzaaaa❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤, nani aseme kitu
Naipenda sana shilingi nawapongeza sana maana inamaudhui makubwa sana ukweli nimeipenda.,,mm Kama mshabik wenu naumia sana mnapoleta kidgkidg.mjitahid basi
Apa wameniliza
Devid devid Umejua kuniliza leo Una Kipaji sana Kakaangu Hongera sana Mwamba
Mbona hammalizii hii series ya shilling jamen nko kenya
Shida mnatuchanganya kwanini mnatoa moja badaa,ya siku nyingi
Kadiri filamu inapoende ndio inazidi kua mbovu, mumeanza vizuri Ila kwasasa ni upuuzi mtupu malizeni upumbavu wenu
Jamani mpakarini shilingi
Shilingi inamfanya tajiri kuwa maskini na maskini kuwa tajiri, (SHILINGI)
roma huna adui,yaani umetisha furaha tel kwenye tamthilia hii ongera baba.kingine huu adui wa mapacha msiharibu movie akafa yeyote katika hii tamthiliaaa
Nawaza sijui kibena ataletwa hospital na boss wake kama alivomuahidi kaka ake kwamba atampitisha kazin kwake vp kama atawaona dev na maiko au ndoo ataewasaidia kuondokana na hyo mitihani vp edna anakuja mjin vp kama atawaona dev na maiko itakuwaje vp shangaz nae atakuja mjin duu nawaaaaza nawaaaaaza nawaaza tuuu
Shilingi Leo mbn inasuasua
Mngu aline hiyo familia Alice David be strong kwanza Julia afukuswe hos ❤
Shling anaipeleka slow sana kama inaelekea mwshoni si utume tu kama kawaid tuimalze tuendlee na zngne sas unavoipeleka slow ivo aaah
Kaka ❤vp mambo vp tena leo shilling tunaisubiri kwa hamu uhongo huo ❤
Kilicho endelea nikipi. natamani tuendelee
Jamn shiringi mbona kimya tena kha dj loma rete mambo bhana
Namchukiya sana junior katili kama mama ake😢😢
Me 2 wallah namchukia😊
Mwenyewe namchukia sanaaa
yani. Simpendi hata kumuona ila sina jinsi 😡😡😏😏
Ninamchukiaaaaa
Mshenz kama mama yake
Shilingi kwann mnatufanyia hvo leo mwendelezo hamleti kwann lkn
Ipo vizuri sana
Maake kwanza nncheke😂😂😂😂😂😂 aya waomba like mmeenda wapi......? Dj sikutaji
Hatuwataki waomba like kwa siku hizi tuna majonzi
@@رقيهالخصيبي 😂😂😂😂😂
Like nyingi kwa Roma brand 👍👍👍👍👍👍👍👍
Acauhunijuniya
Kuigiza Alice hajui kabisa mfundishen anaangaika tu
Dj unatuangusha mbn unatutumia moj moj alfu inaishia kweny streess unatufanya tunkosa aman tupe muendlezo tuwe n amani🥲
Junior kumbe ni katili kama mamayake 😂😂😂😂
Naomba hiyo hospital iwe na camera 📸📸 imnase Junior hayo maneno yake ili askar wapate ushahid
Mtoto wanyau awezi kuwa kenge
@@tajilimtoto5009 umeona eee yaani mama yake alimteka David lakini aliwaambia sitaki adhurike lakin Junior hatari kaumia kwanini hakupigwa David
Duuuuuuh hii nihatal jmn namuonea huruma Dev wetyu
Lovely ❤❤❤
Huyu mjinga anaetaka kupewa kazi ya kumua devid ni hatari sijui nani atawalinda
Tunaomba hyo final episode jamani msisahau hivo, congratulations sajo bt pia mumetuacha kwa dilema saana
From kenya , Tz your the best it's really amazing
Yap hapo sawa ila najua ikiisha nitatamani ifuatayo nyie rusheni tu watazamaii tupo
I appreciate it dj continue to send this .shilingi
Ngj tuone km itamaliziwa😅😅😅maana waliishiaga epsode izi izi
Hivi bona shillingi yapelekwa polepole au imekwisha
Kiukweri mumenikosha sana kwa hi flm
Maa Sha Allha.
Nimefurahi kuona mama na mtto wote wanakabiliana na kifo/kifungo kirefu wamwache Alex na wtto wake wajifarague km watamchukua na shangazi wa kjjni waishi nae au wamjengee yake kjjni/mjini astarehe.
Yani katika maisha unaweza ukafikiri aduwi yako ni mtu WA mbali kumbe aduwi yako ni mtu wakaribu yako tena ndugu WA karibu. Aise Dunia hiyi.
Ndooo ivo
Muendelezo tunaomba big boss
DJ hongera sana
Leo shili gi imenitoa machozi david kukabiliwa na matatizo mengi but mungu atakuacha kamwe and you junior as mother as son kumbe ww ni katili ivo
Na huyu ben alimuongezea
Kumbe sio tu waarabu wenye madevu ndo wana roho ata wa Africa pia
Mungu walinde devid na maico wawe salama🤲
Yan mi mmoja wapo
Nimelia sana na devi
Qwn shilingi ndo iliisha hvoo
Alisi anastairi kupewa tunzo ya mama Bora
Naipenda Sana shillingi
Junior unafanya ukatili kisa mali😢😢😢 km mali si chukuwa tu waache watu waish kwa amani junior utalia baadae ww na huyo mwanga mwenzio😢😢😢
Mbna hamna mwendelezo
Wema kichaa ningekua mimi sajo ningemrapua makof ya maana akili imkae sawa sawa
Junior ww ni mbaya sana
Dj tuendelezee shilingi watu tusha boeka kusema kweli 😅
Dj ungekuwa unatupa ata episode 3 unapumzika baada ya masaa kadhaa unatupia tena
😂😂😂😂ndio ivyo sasa
Hii series atakma n acting lkn munakera kiupande mwengine...sasa ayo mauaji yametokea wapi JAMANI mnaniboree sanaa...movie n nzuri lkn mnaniudhii... SIJAPENDAAaa kabisaa...si muachee mauwaji movie iishe vizurii...
Mgogo class
Napenda hata baba Yao wangelimupata
Hivi karibuni atapatikana na nitajiri pia
Nyoka ww pamoja na mwano feki.pubavu zenu ww Ben nakuchuki San joi
HIO mikosi yote inapo tokea namulaumu Davy ndio cha haya yoote yeyee amesoma ako na akili alishindwa vipi kurudi nyumbani kumuelezea mama kua amepata pacha wake ndio akaamua kumuita kichakani mtu miaka 25 amekua anafaa kutumia akili hii na iwe funzo kwa wengine
Nimelia yni duuuh