Suleiman H. Halletu
Suleiman H. Halletu
  • 4
  • 155 201
KILIMO CHA TIKITI MAJI TABORA (SIKU YA 30 BAADA YA KUPANDA)
Mazao haya yana siku 30 toka nimepanda. Pata updates chache!
mali ipo shambani.
Переглядів: 56 566

Відео

HATUA ZA MWANZO ZA UPANDAJI WA TIKITI MAJIHATUA ZA MWANZO ZA UPANDAJI WA TIKITI MAJI
HATUA ZA MWANZO ZA UPANDAJI WA TIKITI MAJI
Переглядів 40 тис.8 років тому
Ninaendelea na mtiririko wa hatua kwa hatua ktk uzalishaji wa tikiti maji kwa vitedo. Mie bado mkulima mdogo kabisa hivyo nyenzo nizitumiazo ni ndogo pia lakini zinanipa matokeo tarajiwa. Kama mnataka mali mtaipata shambani Stay tuned!
KILIMO CHA VITUNGUUKILIMO CHA VITUNGUU
KILIMO CHA VITUNGUU
Переглядів 13 тис.8 років тому
Kama unataka mali utaipata shambani!
MATAYARISHO YA KILIMO CHA TIKITI MAJI (TABORA)MATAYARISHO YA KILIMO CHA TIKITI MAJI (TABORA)
MATAYARISHO YA KILIMO CHA TIKITI MAJI (TABORA)
Переглядів 46 тис.8 років тому
Napenda tu kuwashauri vijana wenzangu kwamba tusipoteze muda wetu hata kama umeajiriwa na unatoka kazini sa9 jioni ni vizuri ukatafuta kitu cha ziada ukafanya kuliko muda ukaenda bure. Sio lazima ulime lkn kuna vitu vingine vya kufanya ili kujaziliza riziki zetu za kila siku.

КОМЕНТАРІ

  • @AzaeliMbise
    @AzaeliMbise Місяць тому

    Kamanda nimekuelewa ubari.mm ninapenda kulima laki sina eneo

  • @deusdeditngholombi6124
    @deusdeditngholombi6124 3 місяці тому

    Nieipenda hii

  • @MichaelWellah
    @MichaelWellah 4 місяці тому

    Mwandishi hujitambui

  • @jacksonmtaswa2885
    @jacksonmtaswa2885 6 місяців тому

    Kk mbno ndg zako wengne tunaoitaji lima watukatisha tamaa kuona unaombwa no utoi na ss tunaitaji tufanye hyo inshu tunaitaji no zako utuelekeze vyema

    • @jacksonmtaswa2885
      @jacksonmtaswa2885 6 місяців тому

      Nisaidie hyo no mm mdg wako Niko mkoa wa mtwra nimeendaa baadh ya vitu nipe no kk prease

  • @scholasticamchokopa6515
    @scholasticamchokopa6515 10 місяців тому

    Ni mwez gani nzr wa kuandaa shamba la matikit? Yaan msimu mzr ambao unaweza kuuza Bei nzr ukapata faida

  • @MaishaBaluhya-nf5ok
    @MaishaBaluhya-nf5ok 10 місяців тому

    Tafadhari naomba namba ya simu kwa msaada zaidi

  • @juliuskigulah6681
    @juliuskigulah6681 Рік тому

    Napenda San hicho kilimo

  • @manasesimon7651
    @manasesimon7651 Рік тому

    Mkuu unatumia dawa gani kuthibiti dondoo

  • @JaphetMwaisaka-kc3ri
    @JaphetMwaisaka-kc3ri Рік тому

    Ko kwenye matuta unaweza kupanda

  • @amaniabdallah1359
    @amaniabdallah1359 Рік тому

    Mwandishi ni mpumbavu sana mambo ya muhimu yeye anongea na simu kwani huwezi kuongea baada ya kipindi? Shenzi sana

  • @amonzachary2718
    @amonzachary2718 2 роки тому

    Boss vp msimu mzuri wenye soko zuri kwa zao la tikiti ni upi yani nilime mwezi gan ilinivune msimu gan wenye bei nzuri sokoni wa zao la tikit

  • @mkude
    @mkude 2 роки тому

    Mwandishi unadharau sanaa, umezingua sanaa kuingea na simu

  • @hassanyusuph3204
    @hassanyusuph3204 2 роки тому

    Kwa makadilio ni baaada ya mda gan unaweza kujua mda huu mmea unajitengenezea sukari yake ,ili kupunguza kiasi cha maji

  • @ayubumunapindamunapinda8016
    @ayubumunapindamunapinda8016 3 роки тому

    gram 1 nyany imara f1 ya mbegu be I gan

  • @iddramadhani8206
    @iddramadhani8206 3 роки тому

    Au Ndugu SULEIMAN KAMA UPO ACTIVE NISAIDIE NUMBER ZAKO PLEASE

  • @iddramadhani8206
    @iddramadhani8206 3 роки тому

    Habari za Jioni Kuna mtu mwenye number za huyu ndugu yetu SULEIMAN? TUPATE FAIDA KUTOKA KWAKE?

  • @TEACHER.CLEOPHAS
    @TEACHER.CLEOPHAS 3 роки тому

    I really like watermelon farming and I'd like to start the process.

  • @pulcheriamayombo5222
    @pulcheriamayombo5222 3 роки тому

    Asante nimepanda matikiti ila nimekosea kipimo cha mche na mche.

  • @AIG7187
    @AIG7187 4 роки тому

    Our agriculture our field #Vijana tusonge

  • @AIG7187
    @AIG7187 4 роки тому

    Our agriculture our field #Great

  • @joshngojetv7364
    @joshngojetv7364 4 роки тому

    Habari.. Bwana Sulemani naomba namba yako kunavitu nataka tuonge utusaidie kwenye project yangu.

  • @magaitumbo7111
    @magaitumbo7111 4 роки тому

    Safi nimeipenda hii. Ni mbegu gani unayolima ndugu.

  • @pamelaowiyo9867
    @pamelaowiyo9867 4 роки тому

    Good job

  • @annachales9623
    @annachales9623 4 роки тому

    Mtangazaji unaboa haupo serious na kazi unaongeaongea unaboa

  • @telesphorymwashem948
    @telesphorymwashem948 4 роки тому

    Kaka sulemani naomba namba yko tuwasiliane

  • @jacobshirima4860
    @jacobshirima4860 4 роки тому

    bwana sulemani je naweza kupanda tikiti kwa mbolea ya kuku?

  • @emmanueleddiemwamakula3398
    @emmanueleddiemwamakula3398 4 роки тому

    Hivi hii programu iliishia wapi? Nimejaribu kufuatilia ila sijapata mrejesho

  • @ibrkisale1612
    @ibrkisale1612 5 років тому

    nakuxoma xana endelea kuelimixha

  • @allysalim1997
    @allysalim1997 5 років тому

    Kaka naomba unitafute. Mimi ndio nataka nianze hicho kilimo. Sijui chochote allyshkapoor91@gmail.com

  • @rebecakwaleka8029
    @rebecakwaleka8029 5 років тому

    Wa tabora tunakuonaje? Na unalima tikiti pekee au unaweza shauri hata mazao mengine mfano nyanya,tango na mengine

  • @DIweni
    @DIweni 5 років тому

    Kwa mashina ambayo hayakuota yanaachwa au unarudia kupanda?

    • @khamisally5788
      @khamisally5788 2 місяці тому

      Unamuachia nani sasa weka mbegu wewe

  • @barakaluvanda7941
    @barakaluvanda7941 5 років тому

    kiparapara

  • @elizabethturuya5958
    @elizabethturuya5958 5 років тому

    Msaada wako tafadhari.umesema kunakipindi ambacho unatakiwa kupunguza maji I'll tunda lijitengenezee sukari yake yenyewe... Je katika kipindi hicho hauweki maji kabisa na je kipindi hicho matikikiti yanakuwa na muda gani.... Pia umeongelea swala la kupiga dawa..je Ni dawa zipi ulixokuwa unatumia..

    • @hamisilipaye9241
      @hamisilipaye9241 4 роки тому

      Ninaomba namba yko ya simu kwa maelekezo zaidi maana umenivutia sna kwa uthubutu wko

    • @digitalaffiliatemarketing210
      @digitalaffiliatemarketing210 2 місяці тому

      Siku ya 50 ndiyo matikiti huanza kukomaa na kutengeneza sukari..inapofikia siku ya 65-70 yanakuwa full tayari kuvunwa...so, siku za mwishoni baada ya siku ya 50, unamwagilia mara mbili Kwa wiki, kama ni kiangazi hakuna mvuna...kama kuna mvua nyingi hutakiwi kumwagilia kabisa.

  • @ngesselamassalu6615
    @ngesselamassalu6615 5 років тому

    Vipi kuhusu market inaonekana ni challenge sana, ni miezi ipi hasa ukilima demand inakua kubwa na producer wanakua sio wengi?

    • @amonzachary2718
      @amonzachary2718 2 роки тому

      Cheza na hesabu zako ila vuna kuanzia March mpka April ama pia October mpka December boss hapo demand mtaani ni kama yote alaf product inakuwa insufficient kwa mtaa

  • @michaelcosmas5591
    @michaelcosmas5591 5 років тому

    Umetumia aina gan ya mbegu

  • @msafirikatopola8750
    @msafirikatopola8750 6 років тому

    Ulilima shamba la ekari ngapi na ulitumia mtaji kiasi gani

  • @dyankson
    @dyankson 6 років тому

    HONGERA! Safi sana kiongozi. Vijana tuzidi kuhamasishana kuwekeza kwenye kilimo. Kiongozi nimeanza na mladi wa shamba kilimo cha tikiti ili mwakani niwekeze 2 hekta. Tafadhali naomba namba yako ya simu tu-exchange uzoefu na ushauri. Asante

  • @stevenmsuya9583
    @stevenmsuya9583 6 років тому

    sumugani unatumia?

  • @cainamos5231
    @cainamos5231 6 років тому

    hii namna ya mbolea nimeipenda kwa kweli, naeza nikawaona vipi au naomb hata namba ya smu jinsi ya kuwafiak wandugu.

  • @adammakoye4198
    @adammakoye4198 6 років тому

    nipe madhara ya kuifukia mbegu sana ww umesema sm 2.5 mm nkazidisha sm 5mpk 7

  • @adammakoye4198
    @adammakoye4198 6 років тому

    naomba ujibu meseji nakutumia kwny namba yko hiyo ya voda

  • @stephanomulokizi2026
    @stephanomulokizi2026 6 років тому

    Nimefurahi kuona kijana anachukua hatua kulingana na mtaji alio nao safi

  • @emmanuelmohammed1294
    @emmanuelmohammed1294 6 років тому

    unaongea na simu wakati unahost kipindi?

  • @AliM-di8dz
    @AliM-di8dz 6 років тому

    Kwamtindohuu lazima utajirike

  • @danfordjosephjosephdanford7115
    @danfordjosephjosephdanford7115 6 років тому

    bwana sulemani kwa hiyo ndiyo tumekoea hapa tu

  • @danfordjosephjosephdanford7115
    @danfordjosephjosephdanford7115 6 років тому

    apu date nyingine

  • @danfordjosephjosephdanford7115
    @danfordjosephjosephdanford7115 6 років тому

    vip bwana mkubwa toleo lingine tutalajie lini?

  • @ellyms5581
    @ellyms5581 6 років тому

    wakati wa vua nilimeje

  • @fredym4517
    @fredym4517 6 років тому

    Mwandishi mjinga sana.

  • @kolthoomkolthoom2516
    @kolthoomkolthoom2516 6 років тому

    Nimeamasika Sana namilazima niingie kwenye kilimo