KILIMO CHA TIKITI MAJI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 31 січ 2025

КОМЕНТАРІ • 61

  • @edgarmikongoti708
    @edgarmikongoti708 2 роки тому +3

    Mimi ni mkulima ambaye zao hili la Tikiti nimelianza kulilima Mwaka huu wa 2023 ninalima kwa kutegemea Mvua kutokana na changamoto ya ukame kuna mkulima mwenzangu amenishauri nitumie SUPER GLO ili iweze kukabiliana na ukame ,Je ni sahii kutumia hiyo Super Glo

    • @ziddy8076
      @ziddy8076 Рік тому

      dqwa ya ukame ni maji tu mjomba hakuna cha dawa wala mbolea

  • @elizalaya7887
    @elizalaya7887 6 років тому +3

    Wow Kilimo kizuri sana nami nipo Dar nataka kulima tikiti sijui hata nianzie wapi msaada jamani

  • @TEACHER.CLEOPHAS
    @TEACHER.CLEOPHAS 3 роки тому +1

    A great source of motivation. Keep it up guys.

  • @kefasimwashitete4766
    @kefasimwashitete4766 Рік тому

    Wow what a good project

  • @berthakamugisha9787
    @berthakamugisha9787 7 років тому +4

    Nimeipenda sana kaz yenu. Hongera sana

  • @abdangembe4339
    @abdangembe4339 8 років тому +8

    Kazi nzuri sana,

  • @happinessfrancis6916
    @happinessfrancis6916 7 років тому +13

    Aiseee! nikiona mazao huwa nachanganyikiwa

  • @nassirsaid3897
    @nassirsaid3897 7 років тому +7

    motivation right there...been following your channel so closely to gain the knowledge in farming industry. some great videos. please upload some more.. really appreciated.

    • @kilimobiashara9361
      @kilimobiashara9361  7 років тому +2

      thanks , we have a lot more to be uploaded soon buckle up!!

  • @kassimmgwami
    @kassimmgwami 2 роки тому +1

    Mdau hiyo Iko poa.

  • @lucasmagalayashilinde5379
    @lucasmagalayashilinde5379 8 років тому +5

    Elimu nzuri sana

  • @aidandago5528
    @aidandago5528 6 років тому +2

    Kazi nzur

  • @kurthumkamru5435
    @kurthumkamru5435 3 роки тому

    Uongo hakuna kitu danganya. wasiojua

  • @njeshkaris7951
    @njeshkaris7951 7 років тому +3

    kazi mzuri sana mtu anaeza pata shamba huko

    • @kilimobiashara9361
      @kilimobiashara9361  7 років тому +1

      Ni vyema ukaenda kufanya uchunguzi kama una dhamira ya kulima

    • @njeshkaris7951
      @njeshkaris7951 7 років тому +2

      Kilimo Biashara asantee sana

  • @sophiamagnus3428
    @sophiamagnus3428 7 років тому +2

    Napenda sna kilimo matkit yna stawi wapi? Kwa hapa dar?

  • @christinamelikioli9201
    @christinamelikioli9201 2 роки тому

    Tatizo solo yaan wakulima wa matikiti wanaoat shida San Bei mbovu.mr yamekalibia kuiva Ila sok ndo shida jaman

  • @جزجزشكطا
    @جزجزشكطا 6 років тому +1

    asanten sana ila mi naomba km mnaweza kunisaidia mm na taka lima mapapai sin ujuzi ila napeda san kilimo hicho

    • @kilimobiashara9361
      @kilimobiashara9361  6 років тому

      Tutaandaa kipindi muda si mrefu kinachohusiana na papai subscribe utajulishwa tutapoweka

  • @mzeemweva2102
    @mzeemweva2102 7 років тому

    Nimeipenda kazi nzuri

  • @ElizabethMartini-y1q
    @ElizabethMartini-y1q Рік тому

    Khams. Ntakupat wap

  • @sulemwarabu7298
    @sulemwarabu7298 8 років тому +3

    safii saana

  • @athanaelalexchuma7700
    @athanaelalexchuma7700 7 років тому

    elimu nzuri kabisa kaka lakini aujatuambia hiyo ni mbugani ya tikitikimaji naomba unijuze

  • @elisantemrita8122
    @elisantemrita8122 7 років тому +2

    natamani kukutana nae maana wengi wana agakwenda shamba kulima ila wakati wakuvuna huwaoni wakileta walicholima nawengine hulimia Kwenye madaftari

  • @khamiskapopo6206
    @khamiskapopo6206 3 роки тому

    Kwanini karibu wataalam wote wa kilimo awasemagi katika heka moja zinaingia mbegu kiasi gani na no grm ngapi za mbegu?

  • @ElizabethMartini-y1q
    @ElizabethMartini-y1q Рік тому

    Naipend kaz hiy

  • @jacobntugwa5566
    @jacobntugwa5566 2 роки тому

    👍

  • @nyanzalakaporo2504
    @nyanzalakaporo2504 7 років тому +2

    SAFI SANA KILIMO KIZURI SANA ICHI ASANTE SANA KWA ELIMU

  • @mohdfaki9324
    @mohdfaki9324 2 роки тому

    Kila biashara inalipa ukihadithiwa

  • @duakyando791
    @duakyando791 7 років тому +1

    shukrani kwa kuniamsha.

  • @piusvincentkihiyo499
    @piusvincentkihiyo499 7 років тому

    Faida ni zaidi ya hiyo..!

  • @annacanykaybravo8772
    @annacanykaybravo8772 7 років тому +2

    nawapataje?

  • @esperansahkafuka9891
    @esperansahkafuka9891 7 років тому

    Bei ya tikiti shambani ni kiasi gani?

  • @abuumaingu5414
    @abuumaingu5414 7 років тому

    Kilimo kinatoa nata mshauri

  • @sammritta6584
    @sammritta6584 7 років тому +1

    Naomba unisaidie ni sehemu gani nzuri kwa Tanzania kulima aina hizi za matunda
    1.Tikiti maji
    2.Vitunguu
    3.Mapapai
    Natumai Majibu kutoka kwako

  • @jumaally5612
    @jumaally5612 7 років тому

    kuna shirika kalitaja, ambalo ndo limemshauri kuhusu kilimo, amelitaja lakini halisikiki vzuri,

  • @filoteamagabali941
    @filoteamagabali941 5 років тому

    Tikiti maji inakomaa baada ya muda gani??

  • @piusvincentkihiyo499
    @piusvincentkihiyo499 7 років тому +1

    soko la tikiti maji pasua kichwa, wakulima wanateseka sana.

    • @christinamelikioli9201
      @christinamelikioli9201 2 роки тому

      Kabisa Kaka yaan mi mume wangu klima yapo vizuri san nimakubwa San Ila tatizo soko.anahangaik tu wateja amn

    • @mxofmfk8406
      @mxofmfk8406 2 роки тому

      @@christinamelikioli9201 wewe upo mkoa gani?

    • @BarakaJumanne-v4m
      @BarakaJumanne-v4m 7 місяців тому

      Inategemea na eneo ulipo

    • @BarakaJumanne-v4m
      @BarakaJumanne-v4m 7 місяців тому

      Tafuta Soko mbona lipo tu

  • @elisantemrita8122
    @elisantemrita8122 7 років тому

    natamani kukutana nae maana wengi wana agakwenda shamba kulima ila wakati wakuvuna huwaoni wakileta walicholima nawengine hulimia Kwenye madaftari

    • @asmaseif1316
      @asmaseif1316 5 років тому

      Elisante Mrita mambo ayo naitaji sana nanina hitaji kukutananae