#ZaNdaaani

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 18 сер 2022
  • WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • Спорт

КОМЕНТАРІ • 112

  • @johnndabazi2469
    @johnndabazi2469 Рік тому +4

    Umetisha sana mzee wa za ndanii kabsaaa

  • @simbajumanne9718
    @simbajumanne9718 Рік тому +1

    Asante sana momo

  • @saidsalum6101
    @saidsalum6101 Рік тому

    Kweli nimeona hayo sawa

  • @godfreyndulu1764
    @godfreyndulu1764 Рік тому +10

    Namkubali sana mzee wa kudere 🙌🏾🙌🏾

  • @FRANSKALITUSI4937
    @FRANSKALITUSI4937 Рік тому

    Nakubr Sana

  • @othmanjkamhanda4208
    @othmanjkamhanda4208 Рік тому +2

    Safi kabisa

  • @daudsimon5417
    @daudsimon5417 Рік тому +2

    Wa kudere na kuelewa sana

  • @godfreywebiro4058
    @godfreywebiro4058 Рік тому +7

    Yanga wapo vizuri kwenye usajiri kwakuwa msajili mkuu na mwenye maamuzi ya mwisho ya usajili anaujua mpira vzuri na yupo smart kwenye kila sajili na anaenda kwa target kwamba anasajili kwakuangalia nini anataka
    Ukija simba wanaosajili ni watu zaid ya wanne au yeyote mwenye uwezo wakusajili anajisajilia tu coz muda ujao mchezaji aliemleta ataweza kupanda dau na akauzwa bei kubwa na kurudisha faida ya aliemsajili
    Yule dada hana anachojua kuhusu mpira yeye yupo vizuri kwenye management & organisation na sio mpira kiujumla ndo mana sajiri za simba nizakufuata mkumbo na zisizo na tija hapo mbeleni
    Kiukweli simba saizi wanadevela sana ukiangalia sajili za mihemko, jezi kusuasua, kuanza msimu japo wameshinda lakini unaona kabisa hakuna future nzuri. vyote hivyo ni kutokana na kukosa kiongozi mwenye vision mwenye anaujua mpira na ubora wa uongozi, kiongozi asieyumbishwa na kiongozi mwenye final say
    Hersi miaka 4 amekuwa yanga lakini unaona kabisa improvement ya mipango yao hadi sasa kakabidhiwa rungu kwa 100% lakini kwa simba unaona kabisa wana drop dah🥲

    • @laqboe8067
      @laqboe8067 Рік тому

      Bigilimana 😅😂🤣

    • @herbertbathlomeo4650
      @herbertbathlomeo4650 Рік тому

      Kwani nani anasajili pale Yanga?

    • @kelvingeorge8679
      @kelvingeorge8679 Рік тому

      Unavoongea utadhan kuna kitu unatoa tofauti kumbe ni ushabiki tena yanga kwa kusajili makapi ndo hawajambo kabisa timu unbeaten msimu mzima usajili wote ule unataka kubadilisha nn yan naona momo anaongea mapoint ila ww unataka kubishana na wapinzan ndo shida iliyopo haya kaa na hayo unayoona n miyeyusho ach inyeshe tuone panapovuja

  • @nuranzubail8134
    @nuranzubail8134 Рік тому +4

    ila akpan hajapewa milioni 200 , sio wa milioni 200 , coastal union wamepewa milioni 100 na akpan amepewa 50M kama signing fees

  • @islamibrahim4525
    @islamibrahim4525 Рік тому +1

    Ni ya kweli kabisa

  • @rashidikawanga2941
    @rashidikawanga2941 Рік тому +9

    Imeisha hiyo sema kocha kenge sana 😢

  • @TravellersTv1
    @TravellersTv1 Рік тому

    🔥

  • @watch5380
    @watch5380 Рік тому +1

    Momo nomaaa

  • @saidijafari2812
    @saidijafari2812 Рік тому +20

    Mi ni Simba ila ungozi wa yanga kwenye usajili upo vizur kwel yani hawataki pesa yao ipotee kilamchezaji wanamsajil wanahakikisha atafiti wapo tayar kutoa pesa nyingi ili tu wapate mchezaji wa uhakika kuliko wamajaribio .sio kama wanashindana bali wana uchungu na pesa yao ya usajili

    • @mwikamwika4851
      @mwikamwika4851 Рік тому +1

      Kwani umetumwa au umeagizwa? Nenda hukohuko Kwa utopolo

    • @faumahona5769
      @faumahona5769 Рік тому

      Unaliwa mkundu ww

    • @amanijtz4831
      @amanijtz4831 Рік тому +2

      Nakubali

    • @saidijafari2812
      @saidijafari2812 Рік тому +1

      @@mwikamwika4851 Kwan timu ya baba yako ulivyoambiwa , Kuna sehem viongozi wanazingua wanachofanya nisawa na kusema nabana baajeti sinunui chakula mchana leo nitakula andaz mwisho wasiku mpaka jion unaona gharama uliotumia imevuka hata ile ya kununua chakula ndio wanachofanya viongozi wetu . Unamkosa Adebayo kwasababu ya RS Berkane sawa unamkosa mchezaji uliemtaka kwasababu ya yanga ! Huu si upuuzi wakati sisi tulitakiwa tuoneshe umwamba tulitakiwa tukafumue kikosi pale pale tukamchukua mayele kesi ingekua ishaisha saa hizi .huoni warabu wanachofanya ukiimalika wakiona unawasumbua wanachukua wachezaji wenu wazur bc .

    • @saidijafari2812
      @saidijafari2812 Рік тому +1

      Sasa wewe Kama hujui mpira pesa zinaingiaje bora unyamaze tu naona hata hujui umuhimu wa mashabiki cjui we mwanachama upo upo tu!

  • @allychautundu6729
    @allychautundu6729 Рік тому

    sahihi asee

  • @joejux1380
    @joejux1380 Рік тому +6

    Shida kusajili bila kuwepo kocha sasa kocha akija anaona hawaingii kwenye mifumo yake sasa hata kama ww ndo kocha utafanyaje unadhani😂

  • @slumujaibu7205
    @slumujaibu7205 Рік тому +1

    Daaaah jomba uyu mtata sana sijuh taarifa anapata wapi

  • @HafidhJuma-fg2nu
    @HafidhJuma-fg2nu 6 місяців тому

    Dah

  • @rehemaabdullah7606
    @rehemaabdullah7606 Рік тому +3

    Loooh kumbe nawao wanatoaga Mali kauli wanavojigamba basii🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @frankfelix3876
    @frankfelix3876 Рік тому +4

    Nikweli kabisa simba inahitaji washambuliaji wapya wenye manufaa makubwa sio kuleana wakati simba inahitaji mafanikio makubwa

  • @daffangov6074
    @daffangov6074 Рік тому

    Nakuelewa sn mze

  • @burudanitiv324
    @burudanitiv324 Рік тому +3

    Broo umeongea point sanaa ndio maana soka letyu tuna feri sana duhhhhh

  • @flova7022
    @flova7022 Рік тому +3

    Shida ni kwamba tunasajili bila ma kocha

  • @maigathomas2353
    @maigathomas2353 Рік тому

    Mbona mzungu hawezi

  • @mecksonjoseph2522
    @mecksonjoseph2522 Рік тому +4

    Ukweli ndio huo.. Basi wata umia kuambiwa ukweli

  • @ChikwendeNde
    @ChikwendeNde 2 місяці тому

    Simba iyooo

  • @yusuphjilala846
    @yusuphjilala846 Рік тому

    Weweeeee

  • @zuli.comedy.
    @zuli.comedy. Рік тому

    Topsella tv

  • @yoanadaudi4907
    @yoanadaudi4907 Рік тому

    Mzee wa kuderee unajua

  • @omarymlawa5221
    @omarymlawa5221 Рік тому

    Uyoo muongo sana tu

  • @athumanjafar2776
    @athumanjafar2776 Рік тому

    Aa nimekuelewa sana umeongea sana wakudele

  • @mohamedsalum3112
    @mohamedsalum3112 Рік тому +7

    anaongea sanaa , ila kama yanaingia akilini hasa hasa hii point ya mwisho

  • @plumbingandtilesservce5271
    @plumbingandtilesservce5271 Рік тому

    Kwel izo zandani kaka

  • @titobernard383
    @titobernard383 Рік тому

    🤣🤣 🗣️ zaaandaaaaniii !!!!😂

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 Рік тому

    Momo watakuteka ooooooh

  • @yusuphjilala846
    @yusuphjilala846 Рік тому

    Kiongo hichooooo

  • @lamecanton7523
    @lamecanton7523 Рік тому

    Hapa anamzungunzia kocha zoran kipindi kile anapewa mkataba alitoa masharti na alisema wazi boco, chama, phili, onyango alisema kabisa hawa siyo

  • @ahmedysaidy9874
    @ahmedysaidy9874 Рік тому

    Umetisha momo mm kama msemaji wa wana thimbaaaa nashindwa ata kutoa maamuzi nawangalia tu watu wanavyopiga pesa sina nguvu ndio maana hata sauti yangu haitoki vizuri bajeti ya mshahara wangu tu watu wanakula asilimia zangu leo nimeona bora niseme ukwel nipo tayari kujutoa kwenye usemaje mwezangu manara kule anakula Bata tu.

    • @rehemaabdullah7606
      @rehemaabdullah7606 Рік тому

      Sasa shidann pole maana unapoteza hata Nuru vumilia yatakuwa Sawa tuu

  • @yohanalukindo3737
    @yohanalukindo3737 Рік тому +2

    Kocha anataka alete wazungu wengine nini

  • @prosperjuma905
    @prosperjuma905 Рік тому +1

    Ukweli mtupu

  • @issamsangi1887
    @issamsangi1887 Рік тому

    Ila nimekuelewa broo

  • @gaudinamosnchobe4909
    @gaudinamosnchobe4909 Рік тому

    Nakuunga mkono momo

  • @festovenas502
    @festovenas502 Рік тому +1

    Nime kuelewa mzee wa kudere viongoz wa Simba waaache ushamba

  • @othmanjkamhanda4208
    @othmanjkamhanda4208 Рік тому +1

    Mzee wa kudere wachane

  • @MrInno-fk8th
    @MrInno-fk8th Рік тому

    hahahaha huyu mkuda kwel yan

  • @jacksonmofulu9336
    @jacksonmofulu9336 Рік тому +2

    Simba tunapigwa sana

  • @chuchumeta8374
    @chuchumeta8374 Рік тому +2

    Momo, Momo uongezewe ulinzi

  • @raphaelkyando1094
    @raphaelkyando1094 Рік тому +1

    Tatizo ni hansipope kufa

  • @assadyabdull5146
    @assadyabdull5146 Рік тому

    Poit muhimu ni ya mwisho

  • @kemmyelisha695
    @kemmyelisha695 Рік тому +2

    Ukweli mtupu wanasimba tuamke 😭 hadi Yanga watatupita

  • @pesangwasalim5258
    @pesangwasalim5258 Рік тому

    Mm

  • @mahengomwenyewe4204
    @mahengomwenyewe4204 Рік тому +1

    Simba inahujumiwa na viongozi wake nishasema zamani sana

  • @decomarcos7458
    @decomarcos7458 Рік тому

    Imeisha iyo momo

  • @godfreybitakama9845
    @godfreybitakama9845 Рік тому

    Kama nimekuelewa

  • @handgodmunuo6602
    @handgodmunuo6602 Рік тому

    Vp

  • @edwardkongo1599
    @edwardkongo1599 Рік тому

    K kubwa wote hao

  • @husseinmasangya1272
    @husseinmasangya1272 Рік тому +2

    Momo 😂😂😂😂

  • @edgarayubu2077
    @edgarayubu2077 Рік тому

    Naitwa edger natokea mbeya grean city bana timu yangu ya simba atup raha kama turivo zoea yan kwa kipind hk tunapata shida t

  • @rehemaabdullah7606
    @rehemaabdullah7606 Рік тому +1

    Hahahahaaaaaaa

  • @erickdioniz8277
    @erickdioniz8277 Рік тому +2

    Kocha ana akili sana huwezi ukampa masharti ya nusu fainali shirikisho halafu wachezaji utumbo

  • @saidijafari2812
    @saidijafari2812 Рік тому

    Viongoz bure kabisa hawa

  • @raro5506
    @raro5506 Рік тому +2

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣mkataba wa ZORAN kama wa pikipiki....😢🤣🤣

  • @florianscarion5085
    @florianscarion5085 Рік тому +1

    Huyu taarifa zake huwa ni za uongo, yani kinachomjia kichwani analileta kwenye radio, huyu si ndo alitwambia Sakho Hana mkataba na Simba.

  • @saidijafari2812
    @saidijafari2812 Рік тому

    Yani viongozi kujikubali saana Kama wanafanya kwa weled Ila huo weled hauna uhalisia , imagine unamuacha AZIZ ki mchezaji abaejituma ambae unajua kabisa Kama atafiti kwenye eti unamuacha sababu kataka pesa nyingi halafu unamsajir mchezaji kwa pesa nyingi Kisha hamumtumii hiyo pesa c bora mungeongezea kidogo tu na nyengine ingebaki mukamchukua azizi ki

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi9809 Рік тому

    Kudere leo umeongea point kidogo biashara za watu wajinga SN sio kwa NN wanakuwepo Simba pale

  • @fressoj-mova5686
    @fressoj-mova5686 Рік тому +2

    Akpan

  • @ayoubmbwambo9604
    @ayoubmbwambo9604 Рік тому

    Hhhhhhhhhhh

  • @donmoofmmawaidhaaudio4508
    @donmoofmmawaidhaaudio4508 Рік тому

    Angalia Nasheed Nzuri 👇❤🤍
    ua-cam.com/video/keekDotg4uM/v-deo.html

  • @ibrahmmgaya312
    @ibrahmmgaya312 Рік тому +1

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @chollejr_
    @chollejr_ Рік тому

    Ila ila jamaaa .😂😂😂😂

  • @magneticofficialtz
    @magneticofficialtz Рік тому

    ua-cam.com/video/Rrtc4BO-RTA/v-deo.html mdada wa kazi kafumaniwa wakifanya mapenzi na mlinzi jikoni duh dunia imevaa chupi

  • @costantinopaul4887
    @costantinopaul4887 Рік тому

    Kocha wa simba hatufai haendan na las na uzito wa lig yetu tunaomba uchebe waturudishie klabuni

    • @salim02tv24
      @salim02tv24 Рік тому +1

      Si mlisemaaa bonge la kochaa

    • @titobernard383
      @titobernard383 Рік тому

      Si tuliambiwa ni kocha wa vikombe huyu au tumepigwa hapa ?

  • @damarygaratulu9135
    @damarygaratulu9135 Рік тому +2

    Huyu nae porojo tu mdomo du kama herufi za mwisho za jina lake

  • @jonathansirkintungi3440
    @jonathansirkintungi3440 Рік тому

    Wapigaji wapo Kwa boss wako gsm Kwa mo hayo hayapo. Sasa tuone Kama utadhubutu kumsema utakosa bahasha kenge wewe usituletee vurugu msimbazi.

    • @rehemaabdullah7606
      @rehemaabdullah7606 Рік тому

      Tulia ww mkiambiwa ukweli mnanunaa umeona Yanga asahv Wana sajili kihoreraa kama zaman? Mtaumbuka mwaka huu

    • @jacksonnchimbi1966
      @jacksonnchimbi1966 Рік тому

      GSM alikuwa anapigwa zamani sasahivi kazi za usajili zinafanywa na rais enginer hersi said habahatishi anawapandia mwenyewe usibishe watu wanapiga mpunga sana hapo simba wameanzisha kamtindo hako wanamleta mchezaji hata wa majaribio baadae anasepa wewe unafikiri ghalama za kuwaleta nani anahusika yaani Barbra sikuhizi kanenepa sio miss tena anapiga mpunga na ahmedy Ally wake sikuhizi kanenepa hela za michango pia

  • @hdmsasa3355
    @hdmsasa3355 Рік тому

    Gusa maandish ya blue ukatazame Video nilivyomfunika DOGO BALAA ua-cam.com/video/ZXoVZuZFMy8/v-deo.html

  • @azizihfarijala5307
    @azizihfarijala5307 6 місяців тому

    huyi hana jipya muongo kweli

  • @thabitngangila8562
    @thabitngangila8562 Рік тому +2

    Mambo yake kama joti!!!