#ZaNdaaani

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 27 гру 2022
  • WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • Спорт

КОМЕНТАРІ • 197

  • @dullywa9973
    @dullywa9973 Рік тому +13

    hapa ndo kuna tetesi za ukweli aise 😂😂momo salute aise

  • @nasibuahmedy2438
    @nasibuahmedy2438 Рік тому +14

    Shomari Kapombe daaaaaah

  • @nixnovember
    @nixnovember Рік тому +1

    Momo Romano. Keep it up Brother. Tunakuonaaaaaaa🤜🏿

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 Рік тому +12

    NA NYIE VIONGOZI KANN HAMUWALIPI WACHEZAJI MISHAHARA YAO? NA HUO UBINGWA UTAOUPATAJE? JAMANI WANATUMIA DAMU WACHEZAJI.

  • @mrsultanzimbwe6746
    @mrsultanzimbwe6746 Рік тому +6

    Geita gold

  • @davidpyc2392
    @davidpyc2392 Рік тому +8

    Mtabaki kusikiliz nchi zingine zikiendelea kimpira zaidi kuliko nyinyi baada ya kuwekeza katika uzalishaji wa vipaji kupitia academy zenu mnabaki kunyemelea wachezaji ambao hawatawez wasaidia kwa muda mrefu na wanao wapa gharama kubwa hongereni mtibwa sugar kwa kuwasaidia vijana wa Tanzania kuijua thamani ya mpira sio kubeba makombe bali kutengeneza watu watakao saidia kukuza mpira nchini🤝

    • @afreemanonline8226
      @afreemanonline8226 Рік тому +1

      Hii msg watumie hiyo club yako nayo isinunue ikuze vibaji kwn shida iko wapi

    • @frankhoffa8356
      @frankhoffa8356 6 місяців тому

      Wenawe! Sijui nikujibu nini

    • @lazarolugwisha5524
      @lazarolugwisha5524 6 місяців тому

      Baka , job, kibwana , kibu umewazalisha wewe

    • @josephwayesu338
      @josephwayesu338 6 місяців тому

      Ligi zote kubwa duniani azitumii wachezaji wazawa ww mpira umeanza kufatilia mwaka gani katika ligi zipo timu ndogo kazi yake kufanya ivyo.lkm kilabu kubwa zote zinatazama makombe nasio kumfundisha mjezaji kujitambua.ukitaka mabadiliko nilazima ukubali kushindana.usijisifu unambio msifu na anae kukimbiza maana usingejuwa Kama unambiao kaka jifunze Kisha ndio coment

  • @blackothman7332
    @blackothman7332 Рік тому +4

    Kuna mpumbavu apo anaulizwa vilabu viko vingapi et anajibu viwili halafu mchambuzi😄😄😄

  • @ayubukedimundi3221
    @ayubukedimundi3221 Рік тому +2

    Daaaaa Tupe iyooo bhana

  • @noorbazaar9063
    @noorbazaar9063 Рік тому +3

    Pole sana Mayele!

  • @imanhamis7107
    @imanhamis7107 Рік тому +5

    Code/mmoja washamchukua

  • @josephchuwa1206
    @josephchuwa1206 Рік тому +2

    Ngada weee lipeni mishahara wachezaji wenu.🤣🤣🤣🤣

  • @alexkalonga5323
    @alexkalonga5323 Рік тому +9

    Za NdaaaaaaaaaaaaaN kabisa big show

  • @nyaganyaga3876
    @nyaganyaga3876 Рік тому +9

    Simba hao Hali yao tete Sana huko. Mo kachomoa betri. Ila timu zetu wajifunze kutafuta wachezaji wazuri badala ya kubomoa timu nyingi maana hii haijengi ligi yetu mfano Simba na yanga ni timu ambazo zinashiriki michezo mikubwa ya Caf ukizibomoa umebomoa hata zile nafasi 4 za uwakilishi Kama nchi

    • @milikimbembela8670
      @milikimbembela8670 Рік тому

      Duh Azam wanabalaa, kama viladmir Putin uvamizi tu kisa donge nono, Simba fungukeni basi watatutia hasara Hawa panya rodi

    • @PaschalMussa-g5l
      @PaschalMussa-g5l 9 днів тому

      ​@@milikimbembela8670kunanin sasa

  • @davidjohn540
    @davidjohn540 Рік тому +4

    Mmoja Fei Kisha wahiwa bado Mayele

  • @user-rw6iz6dc7s
    @user-rw6iz6dc7s 6 місяців тому +2

    Huyu bwana ni muongo kupindukia habari zake sio za kweli

  • @eleoncejohn3823
    @eleoncejohn3823 Рік тому

    Hyo ni Geita Gold.

  • @robinabomola8030
    @robinabomola8030 Рік тому +4

    Mbn watu mnataja yanga kwan hakuna timu yenye wachezaj wazuri

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 Рік тому +2

    Wachambuz wa soka hapo hakunaaa kitu

  • @mirajilimited8563
    @mirajilimited8563 Рік тому +4

    Www mwongo kama simba, yang, azam hakuna

  • @mzeeomary5780
    @mzeeomary5780 Рік тому +6

    Chama huyo

  • @remigiusrwechungula7047
    @remigiusrwechungula7047 Рік тому

    Chama......

  • @salumujaibu8697
    @salumujaibu8697 11 місяців тому +1

    Nakubali sana 😂😂😂😂

  • @jei_maimu6957
    @jei_maimu6957 Рік тому +4

    Acha inyesheee tu🤣

  • @masatumajani8485
    @masatumajani8485 Рік тому +7

    Chama huyo ndio anaondoka simba wasiporekebisha mambo yao

    • @masumbukomaganga438
      @masumbukomaganga438 Рік тому

      wewe ndo umefungua code yenyewe watag wana thimbaa

    • @muddymuzungu4357
      @muddymuzungu4357 Рік тому

      Kweli kabisaaaaaaaaa😂

    • @bulugubujashi6378
      @bulugubujashi6378 Рік тому +1

      Ni Dickson job

    • @rockygappi1018
      @rockygappi1018 Рік тому

      @Majani msemaji wa Simba ndio amekuwa anasema wazi kuwa watatikisa kwenye usajili ina maana we bado hujasoma code tuu???

  • @sebammari5443
    @sebammari5443 Рік тому

    Mmoja kawahiwa ni Feisal aliyebaki Mayele

  • @johnzege209
    @johnzege209 Рік тому

    Tshabalala

  • @thomasluhanga6439
    @thomasluhanga6439 7 місяців тому

    Macha

  • @Tchidymbanga
    @Tchidymbanga Рік тому +2

    Fei toto Azam kuziba pengo Akaminko, Akaminko na Kipre Jr Yanga, Chama Azam weka kumbukumbu vizuri. Sijui nani kaumia 😂😂😂?

  • @linuskyando4155
    @linuskyando4155 Рік тому +2

    Simba haoooo!!!

  • @patricktegea1430
    @patricktegea1430 Рік тому +2

    Chaumaaaaa

  • @abdurikalimu
    @abdurikalimu 6 місяців тому +1

    Azizik kii uyo mpkanleo kagoma kuongeza mkataba

  • @abdurikalimu
    @abdurikalimu 6 місяців тому +1

    Azizik za ndaannnn

  • @Myplusbee
    @Myplusbee Рік тому +1

    Ni timu moja tu hapa siku za nyuma ilikuwa inapanda ndege lakini hivi sasa Wachezaji wake wanapandishwa kwenye Eicher kutoka Dar hado Bukoba!! Kwanini tuoneane aibu kuambiana ukweli bhana!!!

  • @samiusiraj6769
    @samiusiraj6769 Рік тому

    Daaah

  • @renatushaule
    @renatushaule Рік тому +1

    "MWENGINE" "MWINGINE"

  • @isayaluvanda8470
    @isayaluvanda8470 Місяць тому

    Wewe nimuongo sana huna rorote mmekunywa supu mnaropka hovyo

  • @eliamunisinkya5169
    @eliamunisinkya5169 Рік тому +5

    Manula hyo naa aslmia 100%

  • @francismwaipopo5046
    @francismwaipopo5046 Рік тому

    Makolo hao, Inonga wamemzuia bado wengine hasa Manula

  • @deboramartin8111
    @deboramartin8111 Рік тому +3

    Chama huyooo tunajua kitamboo

  • @kawanga0073
    @kawanga0073 Рік тому

    Mm naona km Job beki wa chura

  • @geraldbenjamin9302
    @geraldbenjamin9302 Рік тому +5

    Umeshasema timu zamani ilikua inalipa mapema, na mchezaji wao mmoja wamememalizana, bado unataka kupewa code gani tena hapo? Hao ni Ihefu( hahaha)

  • @erickbenedict4943
    @erickbenedict4943 Рік тому +5

    Uyo mchezaji alishawahi kupita kwenye hiyo club,momo akajibu alipitaaa.....Manula no doubt

  • @ramadhanrashidmthailand713
    @ramadhanrashidmthailand713 Рік тому +18

    Chama akiondoka sjui viongozi watatuambia nn ili tuwaelewe!

    • @classicboyrahib903
      @classicboyrahib903 Рік тому +1

      Ipo hivi
      Azam walikuwa kwenye mazungumzo na Inonga na Manula sasa Simba walishtuka wakamuwahi kumuongezea inonga mkataba na mahitaji yake wakamtimizia bado Manula sasa ndo hapo Kama umesikia mzee wa kudere kasema mmoja wamemuwahi😁

    • @muddymuzungu4357
      @muddymuzungu4357 Рік тому

      Mkae mkao wa Kula Azam wanambeba
      Chama na manula

    • @yohanakayinga9279
      @yohanakayinga9279 Рік тому

      Mayele wewe

    • @user-po8hz7xw9j
      @user-po8hz7xw9j Рік тому

      @@classicboyrahib903 hata chama

    • @yohanakayinga9279
      @yohanakayinga9279 Рік тому

      Umewapa pesa za mishahara mpaka wahanngaike kukwambia ww nani nani unatoa sh ngap 😀😀

  • @user-uv2uo2ic2y
    @user-uv2uo2ic2y Рік тому

    saluti kwako kado momo

  • @jonaskabonda741
    @jonaskabonda741 Рік тому

    Inonga kawahiwa bado Chama

  • @reillahabiba9923
    @reillahabiba9923 Рік тому

    AISHI MANULA TO AZAM

  • @abdallahakida7908
    @abdallahakida7908 6 місяців тому

    Mhhh mambo ya mbumbu mchezaji yupi atanyimwa mshahara miezi mitatu labda hatakiwi tena

  • @FaisalSadulu
    @FaisalSadulu 15 днів тому

    Shabalala

  • @felixbenos6365
    @felixbenos6365 Рік тому

    Chama kuja yanga

  • @TwalibuAlbaamiryShoka
    @TwalibuAlbaamiryShoka 7 місяців тому

    Aish Munula

  • @kanyikamasika3628
    @kanyikamasika3628 Рік тому

    Inonga kawahiwa ila chama yupo mguu ndani mguu nje

  • @MarkoMgaya-xv3qd
    @MarkoMgaya-xv3qd Рік тому

    Chama asepetuu

  • @suzancharles1639
    @suzancharles1639 Рік тому +12

    Chama huyoooooo😂😂😂😂😂 nyie this life is not fair

    • @frankgeorge149
      @frankgeorge149 Рік тому

      sasa tushapata ukweli ni simba hawalipi mishahara🤣🤣🤣🤣

    • @Bruno-ed1ps
      @Bruno-ed1ps 6 місяців тому

      Hata wakimchukua hachezi klabu bingwa

  • @jumanneyakuti3218
    @jumanneyakuti3218 Рік тому +1

    Diksoni job ,,🤣🤣🤣huyooo

  • @mgongolwajoseph6901
    @mgongolwajoseph6901 Рік тому

    Chama wakawaida

  • @bulugubujashi6378
    @bulugubujashi6378 Рік тому

    Ni Dickson job huyo

  • @emmanuelgodfreylotti8684
    @emmanuelgodfreylotti8684 Рік тому +2

    Sure boy uyo from azam to yanga

  • @daudkhatib4678
    @daudkhatib4678 Рік тому

    Ndio. Kazi. Zenu. Umbra. Kama. Wakezeni. Wachakuku. Watupuu

  • @f.a6043
    @f.a6043 Рік тому +1

    Wacha kelele zako za chura ww🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸👈🏿😂😂😂 kwa vile utoh wamepata changamoto unadhani ni kila team

  • @ashasaidi1895
    @ashasaidi1895 Рік тому

    Manula ameongeza mkataba wa miaka mitatu msimu uliopita kwa tsh ml 300 bado miaka miwili nanusu chama nae bado miezi 20 mkataba wake kumalizka hzo story tu za mitandaon hazina ukweli

  • @PharmacistGoodluckMdugi
    @PharmacistGoodluckMdugi 4 дні тому

    Muongo sana we jamaaa

  • @VMGAfrica
    @VMGAfrica Рік тому +3

    Mlete #Bangala #Simba Imeishaa Hyo

  • @eddiemay547
    @eddiemay547 6 місяців тому

    Hao ndo waandishi wa tanzania

  • @bbclondonulimwenguwasoka6126
    @bbclondonulimwenguwasoka6126 Рік тому +2

    Kama Kuna timu ya namna hiyo ni wapuuzi sana , matajiri uchwara waondoke timu ibaki pekee c mashabiki tubaki huru na timu yetu.

    • @davidmyale9496
      @davidmyale9496 Рік тому

      Ukibaki huru na team yako utaipa pesa ww 🥱

  • @ShabaniMchela-zx4ln
    @ShabaniMchela-zx4ln 8 днів тому

    Ukweli mtupuhapa

  • @issajuma8297
    @issajuma8297 Рік тому

    Umbea waachie wadada aupendezei unaongea vitu bila ushaid udada uo

  • @mwitahassan1934
    @mwitahassan1934 Рік тому

    Anamzungumzia chama aliewahiwa ni inonga yeye keshasain

  • @user-lb6my9qs5c
    @user-lb6my9qs5c 18 днів тому

    Kagoma yusuf

  • @jailosibrahim88
    @jailosibrahim88 Рік тому +2

    Hata mm naijua hiyo chama anataka kwenda azam baada ya kushindikana kwa inonga

    • @f.a6043
      @f.a6043 Рік тому

      Labda Utopolo 🐸🐸🐸👈🏿😂 na manyele wenu🐸😂
      Uto - manyele =🐸 👈🏿🤣

    • @jailosibrahim88
      @jailosibrahim88 Рік тому

      @@f.a6043 mbona unatumia nguvu kubwa kwan shida iko wap

    • @muddymuzungu4357
      @muddymuzungu4357 Рік тому

      Chama huyo ni kweli kabisaaa
      Ushafungua code kaka

  • @enockjuvenary9553
    @enockjuvenary9553 Рік тому +1

    Code, washachukua mmoja mwigine wanammendea

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Рік тому

      KAMA MMOJA WESHACHUKUWA BASI UTOPOLO HIYO.

    • @classicboyrahib903
      @classicboyrahib903 Рік тому +1

      @@salimmalaka256 Ipo hivi
      Azam walikuwa kwenye mazungumzo na Inonga na Manula sasa Simba walishtuka wakamuwahi kumuongezea inonga mkataba na mahitaji yake wakamtimizia bado Manula sasa ndo hapo Kama umesikia mzee wa kudere kasema mmoja wamemuwahi😁

    • @muddymuzungu4357
      @muddymuzungu4357 Рік тому

      @@classicboyrahib903 akili kubwa sanaaaa

  • @elishalaurent2892
    @elishalaurent2892 Рік тому

    Singida hao

  • @mwasa_tv
    @mwasa_tv Рік тому

    simba mbn code nyepes iyo

  • @hellymsigala9852
    @hellymsigala9852 Рік тому +2

    N chama huyo shenz

  • @husseinkassimu2714
    @husseinkassimu2714 Рік тому

    We dogo ni mshamba tu coz unajificha ficha ww niutopolo tu kama utopolo wengine kua free acha kujificha tunakuchukulia kama punga jiachie acha uzezeta

  • @mohamedjeizan5929
    @mohamedjeizan5929 Рік тому +2

    Utopolo ndio hawalipi mshahara

    • @saimonijonas1471
      @saimonijonas1471 Рік тому +1

      Umekaririshwa bila kufanya uchunguzi.nikusaidie ili uumie sio uelewe.
      Simba wamemuwahi Inonga bado Chama.Inonga alitaka kuondoka dakika za mwisho wakamuwahi.

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Рік тому

      UTOPOLO VISHAHARA VYAO MKIA WA MBUZI HAWASHINDWI KULIPA.

    • @muddyville
      @muddyville Рік тому

      Yanga hainaga shida hiyo sasa hivi. NGADA ndo kuna changamoto.

  • @jacksonmartin8485
    @jacksonmartin8485 Рік тому

    Mhhhhh chama huyo

    • @classicboyrahib903
      @classicboyrahib903 Рік тому

      Ipo hivi
      Azam walikuwa kwenye mazungumzo na Inonga na Manula sasa Simba walishtuka wakamuwahi kumuongezea inonga mkataba na mahitaji yake wakamtimizia bado Manula sasa ndo hapo Kama umesikia mzee wa kudere kasema mmoja wamemuwahi😁

  • @kennyndessa2039
    @kennyndessa2039 Рік тому

    Air manula

  • @mbelwamadiwa3334
    @mbelwamadiwa3334 Рік тому

    Huyo ni job na azam

  • @nickdr_tv
    @nickdr_tv Рік тому

    CHAMA....

  • @joviignus1674
    @joviignus1674 Рік тому +1

    Manula uyo

  • @AmaniHittu-qm1fx
    @AmaniHittu-qm1fx 26 днів тому

    Mwamba anajua

  • @eddsonjeremiah6669
    @eddsonjeremiah6669 Рік тому +1

    Simbwa hiyo mbona tushajua

    • @f.a6043
      @f.a6043 Рік тому

      🐸🐸🐸🐸 machura yanalia tu

  • @aminaally7622
    @aminaally7622 Рік тому +1

    Kama ni kweli azam wana ushenzi wa hali ya juu cjui kwann wametuanza cc kwa fei sahv wanaingia kwengne wanakera hawa jamaa kisa wanahela

    • @afterfull-time1348
      @afterfull-time1348 Рік тому +1

      Mpira pesa mbwa ww

    • @aminaally7622
      @aminaally7622 Рік тому

      @@afterfull-time1348 mbwa baba ako na mama ako waliofanya umbwa wqo wakakuzaa ww mbwa mtoto shenzi kahaba uso mteja

    • @suzancharles1639
      @suzancharles1639 Рік тому

      Ngoja wapigwe kwenye mshono😂😂😂😂😂

    • @mussammanga7791
      @mussammanga7791 Рік тому

      Azam hawana pesa,kama wanapesa kwanini wasiende kwa Yanga wakamchukuwe Fei na baadala yake wanafanya mizengwe kumchukuwa mchezaji kweli wana pesa haooo!?
      Hahahahahaa!

    • @askwarysiay635
      @askwarysiay635 Рік тому

      Kweli Azam hawana hela wabakia kama vibaka wanawasubiri wachezaji uchochoroni🙈

  • @OswardMwambete-en5uk
    @OswardMwambete-en5uk 25 днів тому

    Mwamnyeto kendal Sc

  • @nationalparkofafrica2184
    @nationalparkofafrica2184 Рік тому +3

    jamani Mayele kama akiondoka yanga 🙆🙆🙆🙆

  • @faustinesamani6359
    @faustinesamani6359 Рік тому +2

    Mayele jamani ni mvumilivu miezi tatu no mshahara anaishi kwa kula chips dume ah Azam mchukueni tu kwa kumsaidia.

    • @rehemaabdullah7606
      @rehemaabdullah7606 Рік тому

      Hiv unajua mchezaji wenu Chama inadai miez 3🤣🤣

    • @classicboyrahib903
      @classicboyrahib903 Рік тому +1

      Ipo hivi
      Azam walikuwa kwenye mazungumzo na Inonga na Manula sasa Simba walishtuka wakamuwahi kumuongezea inonga mkataba na mahitaji yake wakamtimizia bado Manula sasa ndo hapo Kama umesikia mzee wa kudere kasema mmoja wamemuwahi😁

    • @energeticmbn4596
      @energeticmbn4596 Рік тому

      @@classicboyrahib903 😁😁😄 kama kweli hivi

    • @noorbazaar9063
      @noorbazaar9063 Рік тому

      Pole sana Mayele.

    • @hagaimadonda9145
      @hagaimadonda9145 Рік тому

      @@classicboyrahib903 kweli kabis ndo mana khalid chukuchuku alivomuuliz momo akasem alishawah kupita iyo timu.. Uyu ni manula tu

  • @mikidadijoseph5612
    @mikidadijoseph5612 Рік тому

    Kolo mtalia

  • @emmanuelhosea370
    @emmanuelhosea370 Рік тому +2

    Kakolanya huyo...😀😀

  • @damarygaratulu9135
    @damarygaratulu9135 Рік тому +2

    Huyu jamaa na domo Lake kubwa muongo kinoma

  • @classicboyrahib903
    @classicboyrahib903 Рік тому

    Ipo hivi
    Azam walikuwa kwenye mazungumzo na Inonga na Manula sasa Simba walishtuka wakamuwahi kumuongezea inonga mkataba na mahitaji yake wakamtimizia bado Manula sasa ndo hapo Kama umesikia mzee wa kudere kasema mmoja wamemuwahi😁

    • @hassankilongo8061
      @hassankilongo8061 Рік тому

      Ni Chama sio Manula.

    • @taseleli9181
      @taseleli9181 Рік тому

      Hivi huyu Manula anatimiziwa mara ngapi juzi tu hapa kafanyiwa kila kitu labda ni mwingine.

    • @pascalburah297
      @pascalburah297 Рік тому

      Upuuzi mmja uwo msiishi kwa kukariri mrudisheni kwanza feisal

  • @user-tw9nc5cq2t
    @user-tw9nc5cq2t 6 місяців тому

    Singida je huyo mchezaji ninani

  • @obedpeter6874
    @obedpeter6874 Рік тому

    Mpole kuja simba

  • @elishaelisha6755
    @elishaelisha6755 Рік тому

    Ricardo momo,,,,

  • @samwelrevocatus1218
    @samwelrevocatus1218 Рік тому

    Hizo za ndani mbona zinatisha kama ni kweli

    • @Elizabeth-fu3ze
      @Elizabeth-fu3ze Рік тому

      Hawana cha maana cha kuongea ktk mipira ya bongo! mishahala sasa sisi ndiyo tunawalipa!si muwambie viongozi mafumbo ya nini wewe mwanaume

  • @mahengomwenyewe4204
    @mahengomwenyewe4204 Рік тому

    Anawaongopea mjinga huyo

  • @DM_15
    @DM_15 Рік тому

    Kamasio kapombe au manula

  • @amannesphory7343
    @amannesphory7343 Рік тому

    Manula huyo

  • @cat-kr1ro
    @cat-kr1ro Рік тому

    Manula au zimbwe au kapombe

  • @barakamando2706
    @barakamando2706 6 місяців тому

    Mwandishi mkuda huna lolote

  • @EnockSDady
    @EnockSDady Рік тому

    Manula huyo Bai Bai simba