Zaburi 50: 3 Mungu wetu atakuja wala hatanyamaza, Moto utakula mbele zake, na tufani yavuma sana ikimzunguka pande zote. *MUNGU HATANYAMAZA! KWENYE CHANGAMOTO TUNAZOPITIA ATALETA CHANGAMKO! HATAKAA KIMYA BALI ATATUJIBU KUHUSU HALI TUNAZOPITIA KWENYE AFYA, UCHUMI, MAHUSIANO, NDOA NA MIKANDAMIZO YOTE YA NGUVU ZA GIZA! JINA LAKE LITATHIBITIKA JUU YETU SASA, HALELUYA!!!*
Alafu pia hiyo ni huduma usikatishwe tamaa na wapiga filimbi wa ulimweng, kaka ulivyokwosha kusema duniani kuna wabaya na wema, hivyo songs mbele baba mchungaji
Kanivunja mbavu na maneno yake, Mwenyezi Mungu ampe Ile linalo mfaa na kwenu pia watangazaji wa kipindi ichi,nawafuatilia toka jimbo la Colorado
Huyu mchungaji ni zaidi ya mchungaji Mungu ambariki
Habari zenu huyu mzee nimemkubali sana vijana wa sasa wajifunze ni Somo tosha kwa vijana big up 💞💯🙏 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Ninayasadiki maneno yako ndugu
Nampenda Sana huyu mtumishi,anaishi na kuhubiri ualisia
Ninafarijika sana na kubarikiwa ni mtumish mwenye moyo wa kipekee sana
Clouds, nashauri mpeni Mchungaji Richard Hananja kipindi chake maalum hapo Clouds. Anayo mengi sana ya kufundisha jamii.
0
@@catherineshangali4704 Nim if it's
Zaburi 50:
3 Mungu wetu atakuja wala hatanyamaza, Moto utakula mbele zake, na tufani yavuma sana ikimzunguka pande zote.
*MUNGU HATANYAMAZA! KWENYE CHANGAMOTO TUNAZOPITIA ATALETA CHANGAMKO! HATAKAA KIMYA BALI ATATUJIBU KUHUSU HALI TUNAZOPITIA KWENYE AFYA, UCHUMI, MAHUSIANO, NDOA NA MIKANDAMIZO YOTE YA NGUVU ZA GIZA! JINA LAKE LITATHIBITIKA JUU YETU SASA, HALELUYA!!!*
Katikati ya mbaya kuna jemal. Powerful sermon. I like your teaching. Vitoto utumwa!
Asante Clouds, asante pastor RICH, "jana Historia, LEO ni ZAWADI, kesho itakuwa Maono...ASANTE
Nimekupenda sana mchungaji una ujumbe mzuri mno nimechekapaka basi
Thamani ya mwanadamu haiondolewi na dhambi..
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu rich hananja tumefrah kea kwel tunakuombea
Huyu ndo paster anae jua kuongea kwa kulewesha jamiiii shukrani san
Hii interview nliitafuta muda mrefu sana, asante clouds
Ki ukweli nmempenda mchungajo MUNGU ampe maisha marefu
Huyu mchungaji nimemwelewa sana ana vitu vingi
Huyu Mchungaji Mungu amtunze sana ili tujifunze mengi kwake.
Mtumishiii upo vizuri umenifurahisha sana karibu tena tunduma
Namkubali sana huyo Mchungaji
Duh!Mzee Hananja kweli wewe umenifurahisha Sana.Kumbe ulishapita mbeya vijijini SANTILYA, Kijiji nilicholelewa.
Daaaah,huyu mchungaji kiboko sana,anamisemo yakusisimua😛😛😛😛
Niliiona hii video kwa second 30 kwenye WhatsApp status nikaona Ni video nzuri leo 5/11/2021 nimeiona full time nimefurahi Sana
Nimejifunza kwa raha sanah.
Haki yamungu injili yakweli ,hatutaipenda sababu ina ukweli mwingiii, ! Niukweli Inauma Duh!!! Tuamshe vichwa bb maana najaribu kukumbuka lile wimbi la vijana kuzamia meli, kwakweli ilikua shida sn mtumishi :
Namkubali sana mchungaji hananja.
Huyu mzee fundi wa kulea mateja anafurahisha sana
This Man is intelligent!
Absolutely
He is real the Man of God
Pastor Mungu Azidi kukuinua
Nimempenda sana Huyu pastor
Kijakazi
Kaziiiiii unaongeza kidogo😂😂😂
We Mzee nakukubali mno kweli maisha si kitu rahisi Kabisa,
Mungu akubariki una mchango mkubwa kwa jamii
Dah 🙌🙌 madini kama yote
Nimefatilia kwa umakini Sana hongera mchungaji
UZEE UGONJWA
Kutoka Congo tunashukuru
Nguvu ya mama🤣🤣🤣🤣🤣ulimi safi
Uko vizuri sana najifunza
Daaah noma mzee
Samu ujalia kwa kucheka kweli
Uyu pastor safi sana
Ubalikiwe mzee wangu
Mchungaji yupo vizurii, Kameza vifungu balaa.
Yes, hiki kitu ni kama watu wengi hawaja notice. Ameshika mistari mingi sana ya Biblia
Nimekupenda sana pastor,unamambo mengi sanaaaa yakutufundisha.Nami nimepata vitu vingii sanaaa kwako
Daah huyu Mch. Noumaaaaaa sanaaaaaaaaa😂😂
Mm muislam lakin mchungaji huyu kuna vitu hua najifunza haongei pumba
Daah jamani huyu mzee ni hatariii😂😂😂
Mmmmmh mzee anatoa madini sanaa
Mtumishi huwa namuelewa sana
MasterMind of Tanzania
Daah jamaa kanunua Bus kawaachia mateja waendeshe, wakamgonga Trafiki 🤣🤣🤣🤣🤣
Heeh jaman
Watangazaji nimewapenda sana, coz mmekuwa wasikivu kuliko waongeaji sana,na hii ndo inaleta tafsiri ya the people station
point👍
Ahaaaaaa eti shirt la dukani.
Mchungaji hongera sana kwa Somo zuri,ninaona una kitu kikubwa sana Mungu akutunze na atunze kitu kilicho ndani yako
Clouds, nashauri mpeni Mchungaji Richard Hananja kipindi chake hapo Clouds. Anayo mengi sana ya kufundisha jamii.
Uzee UGONJWA
Pastor upo vzr sana
Asante pastor
Mtu wa busara sanaa
👏👏👏👏 PR hatar saana
Barikiwa sana pastor Rich
Mitaa yote mitaayangu hiyo pst Rich
Hananja ni WISEMAN
Nakukubali mtumish
Nimejifunza mengi mnoo Pastor Rich ubarikiwe
🤣🤣apo kweny kumgonga trafic,, ila huu mzee ana madin san🙌
Nimeinjoy sana kumskia huyu mchungaji
Dah uyu mzee
Mwizi havamii...
Hatari sana, Unayajua maendeo ya songwe na Mbeya mpaka basi....
Ubarikiwe
Yupo vizuri
🙌 Hallelujah
Harmonize
Leo hawa wezikutembeya vijana kazi kutobowa mapuwa
Leo nimefaid kusikiliza hananja
Mwulizeni Mchungaji kwanini mara nyingi yule uliyepanga kumuoa humuoi unaoa mwingine ambaye hujapanga?
MKE,MUME NI ZAWADI.ZAWADI HUCHAGUI.
MCHUNGAJI UNA VITU VINGI SANA! UBARIKIWE SANA!
hahahha huyu Mchunagi ni mcheshi sana. NImemkubali sana.
Yeremia 31:26
Safi sana
Nmejufunza sanaa
Hongera kwa lugha safi Kiswahili
Huyu mwamba mhekeshaji lakini anafundisha sana
Ameen
Pasta uko vizuri GOD blesss uu
Iko vizurii
Mpeni kipindi cha jumapili,pamoja na kina haris na huluma, zaidi kutubariki!!
Mungu akubariki mchungaji
Nitampata wapi huyu hananjaaa
Anachekesha lakini anaelimisha
Aisee
UZEE NI MARADHI..... Kweli kabisa
Mzee namkubar utan wa ukwer
Hahahahahahahahah paster umenifurahisha Sana imekaa Safi sana
Aisee hii interview noma sana nimecheka mwanzo mwisho😂😂😂
Nakupenda hamani
🙌🙌🙌🙌
Habr mpeni salam zangu za zati mchungaj
Mchungaji kwenye vifungu uko form
Mchungaji Hananja kiboko.
Alafu pia hiyo ni huduma usikatishwe tamaa na wapiga filimbi wa ulimweng, kaka ulivyokwosha kusema duniani kuna wabaya na wema, hivyo songs mbele baba mchungaji
Utoto utumwa, ujana maswali na Uzee ugonjwa