😅Wanatwanga maji kwenye kinu timu wachezaji wanakaa majumbani mwao hilo ndo limewafelusha miaka hii mitatu dawa wahamishwe wakae kambini wakiwa majumbani uhuru mwingi watakua mabaa klabu wanawake na hata wenye wake wanaokaa nyumbani pia wanaharibu mazoezi yao kwa starehe na huo mpango wa kupangiwa wachezaji watoke majumbani ni ten percent nyumba milioni 2 anaongeza 1 wanampiga muhindi niambie wachezaji 30 kila mwezi milion moja kwa mwezi ni milioni 30 hii ni pesa wanaingiza viongozi kocha atakapo dai kambi watu wakae kambini atapigwa zengwe na hapo ndo mgunda na matola wanarudi 😅
Wakimbakuza matola mambo yatabaki yaleyale tu. Huyo ni msaliti wa timu yetu. Kika anapokuja kocha wakigeni yeye lazima afanye figisu aondoke aidha kwa kuwarubuni wachezaji au kwa kuwalisha matango pori viongozi.
Matola ni kdudu mtu hapo simba sc
Matolla àwapishe makocha
Matola kama yupo wamekwisha mtoto mwanga yeye na mgunda kocha mpya hakai mtaniambia
Tungoje tuone jaman kira ardhi iñabaraka zake
Matola ndio dalali,na kuna Siri imejificha nyuma ya watu flani,muuzaji mechi mkubwa Matola
Kocha anatokea nchi gani
Kama Matola anabaki basi hata huyo kocha hatokaa
Huyo kocha anatoka nchigani
😅Wanatwanga maji kwenye kinu timu wachezaji wanakaa majumbani mwao hilo ndo limewafelusha miaka hii mitatu dawa wahamishwe wakae kambini wakiwa majumbani uhuru mwingi watakua mabaa klabu wanawake na hata wenye wake wanaokaa nyumbani pia wanaharibu mazoezi yao kwa starehe na huo mpango wa kupangiwa wachezaji watoke majumbani ni ten percent nyumba milioni 2 anaongeza 1 wanampiga muhindi niambie wachezaji 30 kila mwezi milion moja kwa mwezi ni milioni 30 hii ni pesa wanaingiza viongozi kocha atakapo dai kambi watu wakae kambini atapigwa zengwe na hapo ndo mgunda na matola wanarudi 😅
Sport HQ amna kosha umo namjua vizuri ata uku South Africa awamtaki anashusha timu daraja nyingi tu
Wakimbakuza matola mambo yatabaki yaleyale tu. Huyo ni msaliti wa timu yetu. Kika anapokuja kocha wakigeni yeye lazima afanye figisu aondoke aidha kwa kuwarubuni wachezaji au kwa kuwalisha matango pori viongozi.
Kwa kocha wamechemka sanaaaaa,,Huyu jamaa hakuna kitu,,hana Record yoyote ya ushindi:
Kwan hao weny record walizaliwa nalo😅😅😅😅
kaze kafanya nn