Watanganyika mumechelewa kweli😂cc tunataka hata kesho asubuhi saa1huu muungano usiwepo kabisa mwisho chumbe kama mnayaweza vunjeni bas cc tumechoka Zanzibar oyeee Tanganyika bay bay😂
WAZANZIBARI hawautaki huu MUUNGANO, WATANGANYIKA ndio wanaulazimisha ukizungumeia jambo lolote la Muungano unaitwa mhaini, mashehe wa Zanzibar walifungwa miaka minane jela na Kikwete kwa kuzungumzia mambo ya Muungano.
Iko hv.... idadi ya watu sio kigezo .... Zanzibar ni nchi ... kuna nchi zina watu laki nane but still sovernigty is there.. ongelea maendeleo ... na nakubali mabadiliko ya muundo... ila wananchi wengi hawaelewi
Sisi Raisi wetu mwenye huruma na Wananchi wake John p magufuli Alifariki Haya mauzauza sijui yalitoka wapi Leo hii tunauziwa bandari zetu na Wananchi kufukuzwa kwenye makazi Yao ,
Jamani kifo ni siri ya Mungu anajua nani atakufa lini ila Kwa mfano Tundu lissu angeshinda uchaguzi 2020 halafu Mungu akamchukua akiwa kwenye madaraka je nani angeongoza nchi? Bila shaka ni mgombea mwenza ambaye ni Salum mwalimu je Salum ni nani? Mtanganyika au mzanzibar?
asanteni sana Chadema mbowe na LiSU waaambieni wakome tuwafyagie mbali watoto wetu awapewi kazi Samia kazi yake ni kuajiri wazanzibari wake uku Tanganyika wakiumia na. Kuwanyanganya mashamba yao tuwakomeshe mafisadi kinana Samia kikwete waache watanganyika wakae kwa amani wenu ni simba sauti ya wanyonge
Watanganyika ni vileo hawajielewi kabisa lkn kama nyie chadema munasema kweli mujiandae kwa mtutu wa bunduki muandae waasi apo ndio ccm wataelewa lkn maneno yenu yametuchosha
Kushindwa bwaan... Ndio shida zetu hizo... Ayaa after kumkana Mzanzibar... Sura zenu kama Vijusi..(Viboboro). Njooni na hilo Uchaguzi huu... Mtatukoma Wabongo.
Watanganyika sasa mmeamka kutoka usingizini sisi zamani tulilipigia kelele suala la Muungano na wenzetu walikiona cha moto kwa kuugusa Muungano. Sasa watanganyika musirudi nyuma mpaka kieleweke.
Wacha mvua inyesha tuone wap kunavujisha,maana wazanzibar tukidai haki zetu kwenye Mungano hawatuelew Rais wa Zanzibar wanatuchagulia wanaemtaka wao,pass port yetu wamefuta,Leo Samia kuwa Rais wa Tanzania wanapiga kelele ni mzazibar, je wao wanasahau Aboud jumbe aliwahi kuwa Rais Zanzibar na ni huyo huyo ndio alisimamia zoez zima kuweka CCM madarakani,watanganyika hao hao ndio waliuwa chama Afro Shiraz,Mungu mkubwa kweli malipo ni hapa Duniani ,wameamka kutoka usingizn kisa kutawaliwa na Mzazibar
Mnakumbuka shuka wakati kumeshakucha acheni usenge vichogo tulizeni vitenesi mama hakutaka uraisi bali uraisi umemtaka mama wa kizimkazi badala y magufuli kuanguka mulikuwa hamuchuiii kama atarisi iyo ndo namba ya zanzibari njema atakae aje kwa paspot
tukiangalia vzr tokea 1964 mpk zanzibar ndio ilioathirika sn na muungano hio iitwayo tanzanzia kiukweli ni tanganyika yenye mipaka mipya ikijumuisha zanzibar,serikali ya zanzibar ni danganya toto haina meno na hayo yoote yamefanywa na watawala wa tanganyika sio zanzibar hvyo lawama zote jibebesheni wnyw,isitoshe watu wa znz miaka mng wamekuwa wakiupinga muungano huu ulivyo watawala wenu walipinga na kuwanyamazisha kwa staili tofauti,kumbukeni mashehe wa uamsho kilichowakuta.mbowe na lisu kazi yenu nzr sn chocheeni ubaguzi ili watanganyika na wazanzibari mazwazwa waamke na kudai chao,tatizo kubwa ni ccm tuikatae ccm ili tuamue mashirikiano ya haki au tubaki majirani wema.hongera lissu hongera mbowe,zanzibar kwanza shengesha badae tanganyika oyeeeeeeeeee
Kwa sasa tusikubali TANGANYIKA YETU IRUDI. Kwanza wanatusheka Sisi WABARA. jamani hivi nyie wabunge mliokuwabingeni mnaona ni sawa wenzetu walivyotuzunguka? Kwa kuandaa Sheria zao za kuwalinda na hapo hapo kutufhulumu Sisi WABARA..Wananchi AMKENI tudai TANGANYIKA YETU maana hata kwa sasa vizazi vyetu vinakosa Ajira nyingi zimechukuliwa na watu wa Zanzibar mpaka na uchumi wetu. Kazeni sauti kwa nguvu. Tudiwaachie Wariyoba na Tundu Lissu.
Hata Wazanzibar hawataki Rais wa kupandikizwa kutoka bara. Miaka yote wazanzibar wanachaguliwa Rais kutoka bara imetosha sasa. Wazanzibar tuwachiwe tupumue. Kama inavyowauma kuwa na mzanzibar Rais wa Tanzania na sisi tumepata kelele miaka tumechoshwa na Muungano huu. Pigeni kelele watanganyika sasa ni zamu yenu nasisi tunawaunga mkono.
jaman lisu anaongea si kwa maslah yake Bali kwa tanganyika nyinyi wa bara pazeni sauti zenu muungano ni kwaajili ya familia ya viongozi wa selekali ngazi za juu hatutaki kabisa muhungano wa mchongo
Mmechelewa sana ss Zbar tunataka ikiwezekana kesho saa 2 asubui Muungano uvunjike kila mtu awe na nchi yake ,endeleeni CHADEMA kudai utanganyika wenu ss kwetu rahaaaa
Mbowe na Tundu Lisu mumeshindwa na siasa, sasa mnakuja na uchochezi. Lisu ni mwanasheria, lakini anashindwa kuelewa kuelewa kuwa wazanzibar na watanganyika wote ni Watanzania.
Mmtanzania gani Leo umwambie hakuna mungaano Hamna takwimu Wliozaliwa ndani ya mundane no zaidi ya MILIONI 6 Wale wazee wa miaka ya mapindduzi na kizazi Chao wako 700. Nyinyi sio viongozi ni njaa zinawasumbua Waiting wa ruzuku Kelele zenu ni ruzuku Kupewa nhe Msahau Nyinyyi mazezeta Watanzanil wana hisia kali.
Tuataka huo muungano uvunjike kesho asubuhi. Kwani muungano una maruweruwe makubwa sana. Waha CCM wametudanganya muda mrefu. Nadhani Nyerere sijui alinyweshwa dawa au alikuwa na wazo gani kichwani mwake. Jamani huyu Samia aondoke na warabu wake siku hiyo aende akawape Pemba yote.
@@ramadhanmahongole9293Vunjeni Muungano kama inakuumeni Nyie TFF shirikisho la Tanzania Bara ndio linatuwakilisha Wazanzibari FIFA na CAF yaani tuna yetu mengi tu
inchi hii kesi nyingi niya ardhi ukitaka kujua fwatilia mkuu wa mkoa anavyo hangaika kusuluhisha namuombea makonda Mungu amulinde ningetamani awe rais waichi hii
Huo ndio ubaguzi na uchichezi leteni sera Kwa wananchi tunataka maisha mazuri, tutibiwe Bure, watoto wasome Bure, Barbara, umeme na maji hizo ndio kero zetu. Mnaenda kuongerea Muungano ili iweje? HAMNA SERA MNATAKIWA MKAMATWE HUO NI UCHOCHEZI. MTAMBUE HILO MNAVITUMIA VIBAYA VYAMA VYENU NA MAJUKWAA HAYO.
Tumewakopesha Lakin sio mulisema zanzibar sio nchi leo imekua nchi
😢😊
Kwasababu imeanza tanganyika imeanza kupeleka mafao yake 😂
GOOOD IDEA! Tuwe na serikali ya TANGANYIKA.
Very true. Let us not be cheated. The truth shall set us free
Allah ujaalie huu Muungano wa Zanzibar na Tanganyika uvunjike. Maana unaanza sintofaham za kibaguzi.
Hapa mbowe na list mmenena yaaani akili ni kuntwi
Mungu akujalie upate urais uuuvunje mungano kwasababu sisi wenyewe hukuzanzibar hatutaki uwo mungano wenu tushawachokaaaaa
Kweli kabisa tumefanywa mazezeta tumekuwa machawa kila sehemu
Kwa points hizi,Mbowe kura yangu CHADEMA 2025.
Mbona na huku Zanzibar kuna Mtanganyika mbona hamusemi kuweni na Imani maana Zanzibar imetawaliwa na Watanganyika toka Mapinduzi mpaka leo hamusemi
Safi sana lazima Tanganyika itajwe
Baba mko juu pokeeni mauwa yenu baba nawapenda sana daima kura yangu halafu yenu
CCM isilazimishe tuchague Mzanzibari
Hapo hatutaki kabisa
Watanganyika mumechelewa kweli😂cc tunataka hata kesho asubuhi saa1huu muungano usiwepo kabisa mwisho chumbe kama mnayaweza vunjeni bas cc tumechoka Zanzibar oyeee Tanganyika bay bay😂
Ndio mana Kila kukicha michangi na hatuna maendeleo Kodi za watanganyikika zinaendesha inchi nyingine
WAZANZIBARI hawautaki huu MUUNGANO, WATANGANYIKA ndio wanaulazimisha ukizungumeia jambo lolote la Muungano unaitwa mhaini, mashehe wa Zanzibar walifungwa miaka minane jela na Kikwete kwa kuzungumzia mambo ya Muungano.
Sio Wa Tanganyika,ni kikundi cha wa Tanganyika ndio wanaoshikilia .
U-Tanganyika umerudi.
Kuna nchi mbili zilizounda
Muungano nazo ni NN?
Well said mheshimiwa Mbowe
Inauma kwa kweli
Msema kweli ni mpenzi wa mungu. Ila mimi sitaki umtaje Magufuli ktk mambo hayo. Vinginevyo tungekelikuwa na magu haya yote hayakuwepo
Chimbeni mpaka kieleweke wajumbe Wetu na Mungu waongize makamanda
Facts
Iko hv.... idadi ya watu sio kigezo .... Zanzibar ni nchi ... kuna nchi zina watu laki nane but still sovernigty is there.. ongelea maendeleo ... na nakubali mabadiliko ya muundo... ila wananchi wengi hawaelewi
Kweli kabisa huu sio mngano fedha zinakopwa kupitiya jina ratanganyika zinaelekea Zanzibar huu sio mungano
Nimewaalewa sana hatuna wasomi
Sema baba,mkinyamaza tumekwisha....
Haha michongo ming sana inapelekwa kimyakimya cc tupo busy n akina dai na king
CCM nayo wameifanya masultani wa kufanya watumwa. Badala ya kufaidi uhuru wa Tanganyika tunakuwa watumwa Inchini kwetu.
Zanzibar bidhaa bei nafuu watumishi wameongezewa mishahara kusafisha Figo bure ila huku bara dah
#KunaLaKutafakari
Umeenda haaswaa
Sisi Raisi wetu mwenye huruma na Wananchi wake
John p magufuli Alifariki
Haya mauzauza sijui yalitoka wapi
Leo hii tunauziwa bandari zetu na Wananchi kufukuzwa kwenye makazi Yao ,
Jamani kifo ni siri ya Mungu anajua nani atakufa lini ila Kwa mfano Tundu lissu angeshinda uchaguzi 2020 halafu Mungu akamchukua akiwa kwenye madaraka je nani angeongoza nchi? Bila shaka ni mgombea mwenza ambaye ni Salum mwalimu je Salum ni nani? Mtanganyika au mzanzibar?
Walisha kwambia wanabadirisha katiba wakisha ingia Madarakani kwaiyo kua rais sio hoja angemalizia2 iyo mitano aliyoiacha lisu akaenda kugombea zanzibar
Yes mbowe waujue ukweli ubatili wauache tumechoka uongo
Ninyi ni wachafuzi, kwà siasa hiyo hamuwezi kuwa viongozi wetu,
Sio chuki yup sawa kbs
Ni kweli hatutaki muungano.
Yeh! It comes a time turn kids will get exhausted and raid whatever is ahead of them.
Mboe mbaguzi lissu mbaguzi chama cha wabuguzi
Wakosawa tunataka serikali tatu
sio tatu zanzibar iachwe tumechoka sana watanganyika hatujitambui kabisa
Muungano huu sio wa wananchi wa pande mbili bali ni wa viongozi wenye maslahu yao
Tuelezeni yanayo husband nchi yet na si kauri za kibaguzi hapo mnafeli viongozi mngano ni mhim sana acheni ubaguzi
Jamani eee mkono wa kulia ukigoma tujaribuni na wakushoto jamani Naona CCM wamelemewaaa😢😢😢😢😢
Kiukweli inauma sana😂😂
Kweli sisi watanzania ni wagum vichwa labda wazambia ni waelewa
asanteni sana Chadema mbowe na LiSU waaambieni wakome tuwafyagie mbali watoto wetu awapewi kazi Samia kazi yake ni kuajiri wazanzibari wake uku Tanganyika wakiumia na. Kuwanyanganya mashamba yao tuwakomeshe mafisadi kinana Samia kikwete waache watanganyika wakae kwa amani wenu ni simba sauti ya wanyonge
Hamna mpya kazi kelele tu
Lissu Mungu akutie nguvu wewe ndiye❤️❤️wa Nchi unaye sema ukweli🙏
Watanganyika ni vileo hawajielewi kabisa lkn kama nyie chadema munasema kweli mujiandae kwa mtutu wa bunduki muandae waasi apo ndio ccm wataelewa lkn maneno yenu yametuchosha
Kama wazanzibar hautaki muungano mkamuchukuwe mama yenu Samia
Dah!!! Uyo demuuu tuu katoka zanzibar sijui ingekuwaje tungewaleteya mwanamme mama kaza butiuiii ALAFU KAZI IENDELEEEEEEEW😂😂😂😂😂
Kazi iendeleee mama samia oyeeee❤
we ujitambui
Great leader!, completely true!
Safi sana
Mungu aitazame Tanzania, nazani katiba ya kipindi hiki cha vyama vingi vya siasa ikiwa imesukwa vzuri tutashare Ttanzania ilonjema
Kutegana mwisho vita .
Ukweli sio mgao kaka acha kweli izungumzwe
Kenya walishatupa jibu kwamba ss watanzania ni maiti
Kushindwa bwaan...
Ndio shida zetu hizo...
Ayaa after kumkana Mzanzibar...
Sura zenu kama Vijusi..(Viboboro).
Njooni na hilo Uchaguzi huu...
Mtatukoma Wabongo.
Na sisi tunataka serikali ya tanganyika, hali hii ndio itaendana na wakati uliopo!!!!!understood
Ni kweri kabisa huyu mama hatumtaki kabisa hata kisikia sauti yake chura
Daahh huyu bwege ni mnafki sana
Watanganyika sasa mmeamka kutoka usingizini sisi zamani tulilipigia kelele suala la Muungano na wenzetu walikiona cha moto kwa kuugusa Muungano. Sasa watanganyika musirudi nyuma mpaka kieleweke.
Yaani kila wakipigania u tanganyika na sisi tunafurahi zaidi wallah maana na sisi tushaipigania Zanzibar muda mrefu hatujaipata
Wacha mvua inyesha tuone wap kunavujisha,maana wazanzibar tukidai haki zetu kwenye Mungano hawatuelew Rais wa Zanzibar wanatuchagulia wanaemtaka wao,pass port yetu wamefuta,Leo Samia kuwa Rais wa Tanzania wanapiga kelele ni mzazibar, je wao wanasahau Aboud jumbe aliwahi kuwa Rais Zanzibar na ni huyo huyo ndio alisimamia zoez zima kuweka CCM madarakani,watanganyika hao hao ndio waliuwa chama Afro Shiraz,Mungu mkubwa kweli malipo ni hapa Duniani ,wameamka kutoka usingizn kisa kutawaliwa na Mzazibar
Mnakumbuka shuka wakati kumeshakucha acheni usenge vichogo tulizeni vitenesi mama hakutaka uraisi bali uraisi umemtaka mama wa kizimkazi badala y magufuli kuanguka mulikuwa hamuchuiii kama atarisi iyo ndo namba ya zanzibari njema atakae aje kwa paspot
tukiangalia vzr tokea 1964 mpk zanzibar ndio ilioathirika sn na muungano hio iitwayo tanzanzia kiukweli ni tanganyika yenye mipaka mipya ikijumuisha zanzibar,serikali ya zanzibar ni danganya toto haina meno na hayo yoote yamefanywa na watawala wa tanganyika sio zanzibar hvyo lawama zote jibebesheni wnyw,isitoshe watu wa znz miaka mng wamekuwa wakiupinga muungano huu ulivyo watawala wenu walipinga na kuwanyamazisha kwa staili tofauti,kumbukeni mashehe wa uamsho kilichowakuta.mbowe na lisu kazi yenu nzr sn chocheeni ubaguzi ili watanganyika na wazanzibari mazwazwa waamke na kudai chao,tatizo kubwa ni ccm tuikatae ccm ili tuamue mashirikiano ya haki au tubaki majirani wema.hongera lissu hongera mbowe,zanzibar kwanza shengesha badae tanganyika oyeeeeeeeeee
Kwa sasa tusikubali TANGANYIKA YETU IRUDI. Kwanza wanatusheka Sisi WABARA. jamani hivi nyie wabunge mliokuwabingeni mnaona ni sawa wenzetu walivyotuzunguka? Kwa kuandaa Sheria zao za kuwalinda na hapo hapo kutufhulumu Sisi WABARA..Wananchi AMKENI tudai TANGANYIKA YETU maana hata kwa sasa vizazi vyetu vinakosa Ajira nyingi zimechukuliwa na watu wa Zanzibar mpaka na uchumi wetu. Kazeni sauti kwa nguvu. Tudiwaachie Wariyoba na Tundu Lissu.
Hata Wazanzibar hawataki Rais wa kupandikizwa kutoka bara. Miaka yote wazanzibar wanachaguliwa Rais kutoka bara imetosha sasa. Wazanzibar tuwachiwe tupumue. Kama inavyowauma kuwa na mzanzibar Rais wa Tanzania na sisi tumepata kelele miaka tumechoshwa na Muungano huu. Pigeni kelele watanganyika sasa ni zamu yenu nasisi tunawaunga mkono.
Mh upo m'mke ngangari
Wewe ni Mzanzibari mwenye akili,mimi ni Mtanganyika lakini nataka wote tuwe huru.
Muungano tuuvunje tu.
Mungu ibariki mama tanzania wabariki na viongozi wake
Ukweli unaanza kudhihiri
Sio uko tu mzee morogoro yotee ni ivyo ivyo kirombero malinyi na mlimba yaani rais aache kugombea tena hana faida kwa Tanganyika hii
Wazanzibar wenyewe hawanashida ya mungano eti na maalim seif alitaka serikali 3 mukamuona mjinga munataka mututawale sasa zamu yetu 😅
Mimi ni Mzanzibar lakini nataman iwepo serikali ya Tanganyika, ili na sisi wazanzibar tuwe huru na nchi yetu ya Zanzibar
jaman lisu anaongea si kwa maslah yake Bali kwa tanganyika nyinyi wa bara pazeni sauti zenu muungano ni kwaajili ya familia ya viongozi wa selekali ngazi za juu hatutaki kabisa muhungano wa mchongo
Nchi niya chadema wananchi niwachadema ccm inatosha
Mbona husemi makufuli aliuwa watu Zanzibar kwa sababu ya muungano ? Una yasema ya Samia tuu na m barawa ?
Mmechelewa sana ss Zbar tunataka ikiwezekana kesho saa 2 asubui Muungano uvunjike kila mtu awe na nchi yake ,endeleeni CHADEMA kudai utanganyika wenu ss kwetu rahaaaa
True
Endelea kutuelimisha watanzania tuelewe.
KUTESA KWA ZAMU ZAMU YETU WALAUROJOOO MAMA ONGOZAA SISI WAZANZIBARI TUNAKUUNGA MKONO MAMA AWO MATAPELII TU
Kwani raisi wa zanzibar si ni mtanganyika mbona huongei na anayoyafanya huku zanziba wee unayajua
Tatizo hizi kauli zinaonekana nizakawaida lkn mbeleni zitakujakuchukua nafac rasimu yktiba isipuuzwe wsikilizwe wnanchi nini wnataka
Aluta continue 👍👍💪💪💪
Na bado
Sahihi
Rais uamuzi wowote anaufanya anapewa uamuzi na washauri wake na mawaziri wake.
Choma Muuangano..nyoko..utaona nani wa kwanza....jijue vizuri...
Uta dakwa na "PUMBAZO ZAKO"..TANANZANIA FIRST.
Selikeli angalieni hili huu ndo ukweli
Ila mama msimtukane, yeye hakuwa na ndoto kabisa ya kuwa raisi. Uraisi umemwangukia tu bil hata kujipanga. Tumwache mama wa kizimkazi
Samia hatumtaki
Sasa nyinyi hamtaki muungano au hamu Taki Samia?
Kwanini tunatawaliwa na mzanzibar? tumefanywa kuwa machawa kwanini? watanganyika tuamke
CCM wanapuuza hoja za CHADEMA lakini kiukweli: CHADEMA WANA HOJA ZA MSINGI
KAMA MUUNGANO UKIVUNJIKA MIKOA YENYE BAHARI YAANI PWANI TUTAJITENGA TUONE HUO UBAGUZI WENU NA UDINI MTAUZUNGUMZIA WAPI
Muungano tuuvunjeni tu ikiwa kizazi cha sasa HATUUTAKI. Mbona husemi Rais wa Tanzania anaweza kuchaguliwa bila ya kura hata moja kutoka Zanzibar.
Mbowe na Tundu Lisu mumeshindwa na siasa, sasa mnakuja na uchochezi. Lisu ni mwanasheria, lakini anashindwa kuelewa kuelewa kuwa wazanzibar na watanganyika wote ni Watanzania.
huyu kenge nae anakoseaaa piga vita ccm sio samia samia anamiaka 10 ya kutawala ccm ikonpale pale
Yaani wanyama wanathamani kuliko binadamu du!Samia ni wivu wa nvho yetu kubwa
Inauma sana.
Mmtanzania gani Leo umwambie hakuna mungaano
Hamna takwimu
Wliozaliwa ndani ya mundane no zaidi ya MILIONI 6
Wale wazee wa miaka ya mapindduzi na kizazi Chao wako 700.
Nyinyi sio viongozi ni njaa zinawasumbua
Waiting wa ruzuku
Kelele zenu ni ruzuku
Kupewa nhe
Msahau
Nyinyyi mazezeta
Watanzanil wana hisia kali.
Tuataka huo muungano uvunjike kesho asubuhi. Kwani muungano una maruweruwe makubwa sana. Waha CCM wametudanganya muda mrefu. Nadhani Nyerere sijui alinyweshwa dawa au alikuwa na wazo gani kichwani mwake. Jamani huyu Samia aondoke na warabu wake siku hiyo aende akawape Pemba yote.
Hata sisi zanzibar tunamalalamiko yetu
Waongo nyie mna malalamiko gani nyie wazanzibar wafaidika wakubwa wa muungano huko kwenu mnaserikali yenu lkn bado na huku kwetu tanganyika mnaviongozi wanatuongoza sisi watanganyika haturuhusiwi kumiliki ardhi uko kwenu zanzibar lkn nyie naruhusiwa kumiliki ardhi tanganyika
@@ramadhanmahongole9293Vunjeni Muungano kama inakuumeni
Nyie TFF shirikisho la Tanzania Bara ndio linatuwakilisha Wazanzibari FIFA na CAF yaani tuna yetu mengi tu
Pelekeni kuzimu
Kamanda lisu waambieni ukweli waujue juu ya muungano
Hatuhitaji Zanzibar,wametufanya Mazezeta ,hayo yote yameletwa na CCM
Tunataka serikali ya wananchi, iliochaguliwa na wananchi.
inchi hii kesi nyingi niya ardhi ukitaka kujua fwatilia mkuu wa mkoa anavyo hangaika kusuluhisha namuombea makonda Mungu amulinde ningetamani awe rais waichi hii
Jamani leta katiba mpya samia ili tatizo liishe.maana yatasemwa mengi na ccm mbeleni watachanganyikiwa.
Makwaapa yanatoka majasho.
Huo ndio ubaguzi na uchichezi leteni sera Kwa wananchi tunataka maisha mazuri, tutibiwe Bure, watoto wasome Bure, Barbara, umeme na maji hizo ndio kero zetu. Mnaenda kuongerea Muungano ili iweje? HAMNA SERA MNATAKIWA MKAMATWE HUO NI UCHOCHEZI. MTAMBUE HILO MNAVITUMIA VIBAYA VYAMA VYENU NA MAJUKWAA HAYO.
Pingeni kwa kutumia hoja za wapinzani
Kwani sera ni nini?
Zanzibar ni nchi sio mkoa mbowe? Kwa hivyo Tuna haki ya kuwa na wabunge wengi