Lissu na Mbowe WATIKISA NCHI, Wapinga MUUNGANO Live BILA UOGAAAA!!!

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 15 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 297

  • @MakameMufadhil-n8d
    @MakameMufadhil-n8d 4 місяці тому +12

    Tumewakopesha Lakin sio mulisema zanzibar sio nchi leo imekua nchi

  • @Gaynor1234
    @Gaynor1234 День тому

    GOOOD IDEA! Tuwe na serikali ya TANGANYIKA.

  • @GeoffreySumbwe-cq6kk
    @GeoffreySumbwe-cq6kk 4 місяці тому +3

    Very true. Let us not be cheated. The truth shall set us free

  • @IddiKhamis-u6c
    @IddiKhamis-u6c 4 місяці тому +4

    Allah ujaalie huu Muungano wa Zanzibar na Tanganyika uvunjike. Maana unaanza sintofaham za kibaguzi.

  • @gracemairusya2950
    @gracemairusya2950 4 місяці тому +12

    Hapa mbowe na list mmenena yaaani akili ni kuntwi

  • @ZuenaSharifu
    @ZuenaSharifu 3 місяці тому +1

    Mungu akujalie upate urais uuuvunje mungano kwasababu sisi wenyewe hukuzanzibar hatutaki uwo mungano wenu tushawachokaaaaa

  • @user-fx6zr6ij5y
    @user-fx6zr6ij5y 4 місяці тому +17

    Kweli kabisa tumefanywa mazezeta tumekuwa machawa kila sehemu

  • @KangaMaluguru
    @KangaMaluguru 4 місяці тому +5

    Kwa points hizi,Mbowe kura yangu CHADEMA 2025.

  • @ashahamad-mq3iz
    @ashahamad-mq3iz 23 дні тому +1

    Mbona na huku Zanzibar kuna Mtanganyika mbona hamusemi kuweni na Imani maana Zanzibar imetawaliwa na Watanganyika toka Mapinduzi mpaka leo hamusemi

  • @Yassinseleman
    @Yassinseleman 2 місяці тому +1

    Safi sana lazima Tanganyika itajwe

  • @JoyceKabula-in1sh
    @JoyceKabula-in1sh 2 місяці тому +1

    Baba mko juu pokeeni mauwa yenu baba nawapenda sana daima kura yangu halafu yenu

  • @michaelmabula7444
    @michaelmabula7444 4 місяці тому +8

    CCM isilazimishe tuchague Mzanzibari
    Hapo hatutaki kabisa

  • @MasnamussaPp
    @MasnamussaPp 4 місяці тому +3

    Watanganyika mumechelewa kweli😂cc tunataka hata kesho asubuhi saa1huu muungano usiwepo kabisa mwisho chumbe kama mnayaweza vunjeni bas cc tumechoka Zanzibar oyeee Tanganyika bay bay😂

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq 4 місяці тому +7

    Ndio mana Kila kukicha michangi na hatuna maendeleo Kodi za watanganyikika zinaendesha inchi nyingine

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 4 місяці тому +5

    WAZANZIBARI hawautaki huu MUUNGANO, WATANGANYIKA ndio wanaulazimisha ukizungumeia jambo lolote la Muungano unaitwa mhaini, mashehe wa Zanzibar walifungwa miaka minane jela na Kikwete kwa kuzungumzia mambo ya Muungano.

    • @ahmedalbalooshi8518
      @ahmedalbalooshi8518 6 днів тому

      Sio Wa Tanganyika,ni kikundi cha wa Tanganyika ndio wanaoshikilia .

  • @mlyamalitv1789
    @mlyamalitv1789 4 місяці тому +6

    U-Tanganyika umerudi.

  • @petroyohana1126
    @petroyohana1126 4 місяці тому +7

    Well said mheshimiwa Mbowe

  • @FortunataNguma
    @FortunataNguma 4 місяці тому +9

    Inauma kwa kweli

  • @GeoffreySumbwe-cq6kk
    @GeoffreySumbwe-cq6kk 4 місяці тому +2

    Msema kweli ni mpenzi wa mungu. Ila mimi sitaki umtaje Magufuli ktk mambo hayo. Vinginevyo tungekelikuwa na magu haya yote hayakuwepo

  • @stunningtv8426
    @stunningtv8426 3 місяці тому +1

    Facts

  • @suleimanathumani5358
    @suleimanathumani5358 5 днів тому

    Iko hv.... idadi ya watu sio kigezo .... Zanzibar ni nchi ... kuna nchi zina watu laki nane but still sovernigty is there.. ongelea maendeleo ... na nakubali mabadiliko ya muundo... ila wananchi wengi hawaelewi

  • @barakanyanchama4297
    @barakanyanchama4297 2 місяці тому

    Kweli kabisa huu sio mngano fedha zinakopwa kupitiya jina ratanganyika zinaelekea Zanzibar huu sio mungano

  • @georgeasalla8542
    @georgeasalla8542 3 дні тому

    Nimewaalewa sana hatuna wasomi

  • @feliciankavishe6792
    @feliciankavishe6792 4 місяці тому +3

    Sema baba,mkinyamaza tumekwisha....

    • @johnboscomasumbuko1073
      @johnboscomasumbuko1073 4 місяці тому

      Haha michongo ming sana inapelekwa kimyakimya cc tupo busy n akina dai na king

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 4 місяці тому +3

    CCM nayo wameifanya masultani wa kufanya watumwa. Badala ya kufaidi uhuru wa Tanganyika tunakuwa watumwa Inchini kwetu.

  • @victorcephas3618
    @victorcephas3618 4 місяці тому +2

    Zanzibar bidhaa bei nafuu watumishi wameongezewa mishahara kusafisha Figo bure ila huku bara dah
    #KunaLaKutafakari

  • @zephreinsuleimanpriciselyu5223
    @zephreinsuleimanpriciselyu5223 4 місяці тому +1

    Sisi Raisi wetu mwenye huruma na Wananchi wake
    John p magufuli Alifariki
    Haya mauzauza sijui yalitoka wapi
    Leo hii tunauziwa bandari zetu na Wananchi kufukuzwa kwenye makazi Yao ,

  • @yassirelrasady1802
    @yassirelrasady1802 4 місяці тому +1

    Jamani kifo ni siri ya Mungu anajua nani atakufa lini ila Kwa mfano Tundu lissu angeshinda uchaguzi 2020 halafu Mungu akamchukua akiwa kwenye madaraka je nani angeongoza nchi? Bila shaka ni mgombea mwenza ambaye ni Salum mwalimu je Salum ni nani? Mtanganyika au mzanzibar?

    • @bonnymakuke3153
      @bonnymakuke3153 4 місяці тому

      Walisha kwambia wanabadirisha katiba wakisha ingia Madarakani kwaiyo kua rais sio hoja angemalizia2 iyo mitano aliyoiacha lisu akaenda kugombea zanzibar

  • @FelixOberlin
    @FelixOberlin Місяць тому

    Yes mbowe waujue ukweli ubatili wauache tumechoka uongo

  • @EmmanuelBisinda
    @EmmanuelBisinda 2 дні тому

    Ninyi ni wachafuzi, kwà siasa hiyo hamuwezi kuwa viongozi wetu,

  • @AlfredAlfred-yd2mg
    @AlfredAlfred-yd2mg 2 місяці тому

    Sio chuki yup sawa kbs

  • @Gaynor1234
    @Gaynor1234 День тому

    Ni kweli hatutaki muungano.

  • @KittoTereva
    @KittoTereva 11 днів тому

    Yeh! It comes a time turn kids will get exhausted and raid whatever is ahead of them.

  • @SultanAli-p2v9l
    @SultanAli-p2v9l 14 годин тому

    Mboe mbaguzi lissu mbaguzi chama cha wabuguzi

  • @user-yg9rk5wv1q
    @user-yg9rk5wv1q 4 місяці тому +9

    Wakosawa tunataka serikali tatu

    • @jeanmusamba8448
      @jeanmusamba8448 4 місяці тому +1

      sio tatu zanzibar iachwe tumechoka sana watanganyika hatujitambui kabisa

    • @ahmedalbalooshi8518
      @ahmedalbalooshi8518 4 місяці тому

      Muungano huu sio wa wananchi wa pande mbili bali ni wa viongozi wenye maslahu yao

  • @InnocentPetermasonyi
    @InnocentPetermasonyi 5 днів тому

    Tuelezeni yanayo husband nchi yet na si kauri za kibaguzi hapo mnafeli viongozi mngano ni mhim sana acheni ubaguzi

  • @talents7934
    @talents7934 4 місяці тому +1

    Jamani eee mkono wa kulia ukigoma tujaribuni na wakushoto jamani Naona CCM wamelemewaaa😢😢😢😢😢

  • @KondaChilua
    @KondaChilua 3 місяці тому

    Kiukweli inauma sana😂😂

  • @RemmySinkala
    @RemmySinkala 2 місяці тому

    Kweli sisi watanzania ni wagum vichwa labda wazambia ni waelewa

  • @user-zk9ox3di4b
    @user-zk9ox3di4b 4 місяці тому

    asanteni sana Chadema mbowe na LiSU waaambieni wakome tuwafyagie mbali watoto wetu awapewi kazi Samia kazi yake ni kuajiri wazanzibari wake uku Tanganyika wakiumia na. Kuwanyanganya mashamba yao tuwakomeshe mafisadi kinana Samia kikwete waache watanganyika wakae kwa amani wenu ni simba sauti ya wanyonge

  • @talibsaid8096
    @talibsaid8096 3 місяці тому

    Hamna mpya kazi kelele tu

  • @jacksonlumuliko8721
    @jacksonlumuliko8721 3 місяці тому

    Lissu Mungu akutie nguvu wewe ndiye❤️❤️wa Nchi unaye sema ukweli🙏

  • @alimau7939
    @alimau7939 4 місяці тому

    Watanganyika ni vileo hawajielewi kabisa lkn kama nyie chadema munasema kweli mujiandae kwa mtutu wa bunduki muandae waasi apo ndio ccm wataelewa lkn maneno yenu yametuchosha

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 3 місяці тому

    Kama wazanzibar hautaki muungano mkamuchukuwe mama yenu Samia

  • @KhaliluRahman-rc4te
    @KhaliluRahman-rc4te 3 місяці тому

    Dah!!! Uyo demuuu tuu katoka zanzibar sijui ingekuwaje tungewaleteya mwanamme mama kaza butiuiii ALAFU KAZI IENDELEEEEEEEW😂😂😂😂😂

  • @user-dk8ln5jb6s
    @user-dk8ln5jb6s 4 місяці тому +1

    Kazi iendeleee mama samia oyeeee❤

  • @hamisgagala4891
    @hamisgagala4891 3 місяці тому

    Great leader!, completely true!

  • @LingisonMwampashi
    @LingisonMwampashi 15 днів тому

    Safi sana

  • @morisemanase2290
    @morisemanase2290 2 місяці тому

    Mungu aitazame Tanzania, nazani katiba ya kipindi hiki cha vyama vingi vya siasa ikiwa imesukwa vzuri tutashare Ttanzania ilonjema

  • @abdirizaksheikh9699
    @abdirizaksheikh9699 3 місяці тому +1

    Kutegana mwisho vita .

    • @Yassinseleman
      @Yassinseleman 2 місяці тому

      Ukweli sio mgao kaka acha kweli izungumzwe

  • @NeemaSamueli
    @NeemaSamueli 3 дні тому

    Kenya walishatupa jibu kwamba ss watanzania ni maiti

  • @EagerBirthdayCake-zh8xb
    @EagerBirthdayCake-zh8xb 4 місяці тому

    Kushindwa bwaan...
    Ndio shida zetu hizo...
    Ayaa after kumkana Mzanzibar...
    Sura zenu kama Vijusi..(Viboboro).
    Njooni na hilo Uchaguzi huu...
    Mtatukoma Wabongo.

  • @philibertmpinzile.6090
    @philibertmpinzile.6090 7 днів тому

    Na sisi tunataka serikali ya tanganyika, hali hii ndio itaendana na wakati uliopo!!!!!understood

  • @ClarenceHilaly
    @ClarenceHilaly 8 днів тому

    Ni kweri kabisa huyu mama hatumtaki kabisa hata kisikia sauti yake chura

  • @willymdeka6034
    @willymdeka6034 5 годин тому

    Daahh huyu bwege ni mnafki sana

  • @fatmasaid1021
    @fatmasaid1021 4 місяці тому +9

    Watanganyika sasa mmeamka kutoka usingizini sisi zamani tulilipigia kelele suala la Muungano na wenzetu walikiona cha moto kwa kuugusa Muungano. Sasa watanganyika musirudi nyuma mpaka kieleweke.

    • @yassirelrasady1802
      @yassirelrasady1802 4 місяці тому +1

      Yaani kila wakipigania u tanganyika na sisi tunafurahi zaidi wallah maana na sisi tushaipigania Zanzibar muda mrefu hatujaipata

    • @KijibaHaji
      @KijibaHaji 4 місяці тому +1

      Wacha mvua inyesha tuone wap kunavujisha,maana wazanzibar tukidai haki zetu kwenye Mungano hawatuelew Rais wa Zanzibar wanatuchagulia wanaemtaka wao,pass port yetu wamefuta,Leo Samia kuwa Rais wa Tanzania wanapiga kelele ni mzazibar, je wao wanasahau Aboud jumbe aliwahi kuwa Rais Zanzibar na ni huyo huyo ndio alisimamia zoez zima kuweka CCM madarakani,watanganyika hao hao ndio waliuwa chama Afro Shiraz,Mungu mkubwa kweli malipo ni hapa Duniani ,wameamka kutoka usingizn kisa kutawaliwa na Mzazibar

  • @dulatizo2970
    @dulatizo2970 3 місяці тому

    Mnakumbuka shuka wakati kumeshakucha acheni usenge vichogo tulizeni vitenesi mama hakutaka uraisi bali uraisi umemtaka mama wa kizimkazi badala y magufuli kuanguka mulikuwa hamuchuiii kama atarisi iyo ndo namba ya zanzibari njema atakae aje kwa paspot

  • @hajjseif5737
    @hajjseif5737 4 місяці тому

    tukiangalia vzr tokea 1964 mpk zanzibar ndio ilioathirika sn na muungano hio iitwayo tanzanzia kiukweli ni tanganyika yenye mipaka mipya ikijumuisha zanzibar,serikali ya zanzibar ni danganya toto haina meno na hayo yoote yamefanywa na watawala wa tanganyika sio zanzibar hvyo lawama zote jibebesheni wnyw,isitoshe watu wa znz miaka mng wamekuwa wakiupinga muungano huu ulivyo watawala wenu walipinga na kuwanyamazisha kwa staili tofauti,kumbukeni mashehe wa uamsho kilichowakuta.mbowe na lisu kazi yenu nzr sn chocheeni ubaguzi ili watanganyika na wazanzibari mazwazwa waamke na kudai chao,tatizo kubwa ni ccm tuikatae ccm ili tuamue mashirikiano ya haki au tubaki majirani wema.hongera lissu hongera mbowe,zanzibar kwanza shengesha badae tanganyika oyeeeeeeeeee

  • @janeshija6638
    @janeshija6638 3 місяці тому

    Kwa sasa tusikubali TANGANYIKA YETU IRUDI. Kwanza wanatusheka Sisi WABARA. jamani hivi nyie wabunge mliokuwabingeni mnaona ni sawa wenzetu walivyotuzunguka? Kwa kuandaa Sheria zao za kuwalinda na hapo hapo kutufhulumu Sisi WABARA..Wananchi AMKENI tudai TANGANYIKA YETU maana hata kwa sasa vizazi vyetu vinakosa Ajira nyingi zimechukuliwa na watu wa Zanzibar mpaka na uchumi wetu. Kazeni sauti kwa nguvu. Tudiwaachie Wariyoba na Tundu Lissu.

  • @fatmasaid1021
    @fatmasaid1021 4 місяці тому +5

    Hata Wazanzibar hawataki Rais wa kupandikizwa kutoka bara. Miaka yote wazanzibar wanachaguliwa Rais kutoka bara imetosha sasa. Wazanzibar tuwachiwe tupumue. Kama inavyowauma kuwa na mzanzibar Rais wa Tanzania na sisi tumepata kelele miaka tumechoshwa na Muungano huu. Pigeni kelele watanganyika sasa ni zamu yenu nasisi tunawaunga mkono.

  • @abdullatifhassan9399
    @abdullatifhassan9399 5 днів тому

    Ukweli unaanza kudhihiri

  • @DeodatusLyambika
    @DeodatusLyambika 8 днів тому

    Sio uko tu mzee morogoro yotee ni ivyo ivyo kirombero malinyi na mlimba yaani rais aache kugombea tena hana faida kwa Tanganyika hii

  • @ZuenaSharifu
    @ZuenaSharifu 3 місяці тому

    Wazanzibar wenyewe hawanashida ya mungano eti na maalim seif alitaka serikali 3 mukamuona mjinga munataka mututawale sasa zamu yetu 😅

  • @hafidhhemed1514
    @hafidhhemed1514 4 місяці тому

    Mimi ni Mzanzibar lakini nataman iwepo serikali ya Tanganyika, ili na sisi wazanzibar tuwe huru na nchi yetu ya Zanzibar

  • @jacksonndiu1070
    @jacksonndiu1070 3 місяці тому

    jaman lisu anaongea si kwa maslah yake Bali kwa tanganyika nyinyi wa bara pazeni sauti zenu muungano ni kwaajili ya familia ya viongozi wa selekali ngazi za juu hatutaki kabisa muhungano wa mchongo

  • @LeoBurra
    @LeoBurra 2 місяці тому

    Nchi niya chadema wananchi niwachadema ccm inatosha

  • @salimhamad-ms6qo
    @salimhamad-ms6qo Місяць тому

    Mbona husemi makufuli aliuwa watu Zanzibar kwa sababu ya muungano ? Una yasema ya Samia tuu na m barawa ?

  • @SULEIMAN-l8v
    @SULEIMAN-l8v 4 місяці тому +2

    Mmechelewa sana ss Zbar tunataka ikiwezekana kesho saa 2 asubui Muungano uvunjike kila mtu awe na nchi yake ,endeleeni CHADEMA kudai utanganyika wenu ss kwetu rahaaaa

  • @AgreyAmon
    @AgreyAmon 8 днів тому

    True

  • @FungaMpiga
    @FungaMpiga 17 днів тому

    Endelea kutuelimisha watanzania tuelewe.

  • @GudGudgud-w6q
    @GudGudgud-w6q 3 місяці тому

    KUTESA KWA ZAMU ZAMU YETU WALAUROJOOO MAMA ONGOZAA SISI WAZANZIBARI TUNAKUUNGA MKONO MAMA AWO MATAPELII TU

  • @user-wv5is5ky9b
    @user-wv5is5ky9b 3 місяці тому

    Kwani raisi wa zanzibar si ni mtanganyika mbona huongei na anayoyafanya huku zanziba wee unayajua

  • @kassim1262
    @kassim1262 4 місяці тому

    Tatizo hizi kauli zinaonekana nizakawaida lkn mbeleni zitakujakuchukua nafac rasimu yktiba isipuuzwe wsikilizwe wnanchi nini wnataka

  • @fatmasaid1021
    @fatmasaid1021 4 місяці тому +1

    Aluta continue 👍👍💪💪💪

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 4 місяці тому +3

    Na bado

  • @ConfusedWrench-wy7xy
    @ConfusedWrench-wy7xy 3 місяці тому

    Sahihi

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 4 місяці тому

    Rais uamuzi wowote anaufanya anapewa uamuzi na washauri wake na mawaziri wake.

  • @boneyme9433
    @boneyme9433 4 місяці тому +1

    Choma Muuangano..nyoko..utaona nani wa kwanza....jijue vizuri...
    Uta dakwa na "PUMBAZO ZAKO"..TANANZANIA FIRST.

  • @user-zd2cf8gw8f
    @user-zd2cf8gw8f 2 дні тому

    Selikeli angalieni hili huu ndo ukweli

  • @ustawiwetu
    @ustawiwetu 3 місяці тому

    Ila mama msimtukane, yeye hakuwa na ndoto kabisa ya kuwa raisi. Uraisi umemwangukia tu bil hata kujipanga. Tumwache mama wa kizimkazi

  • @AmosRugaimukamu
    @AmosRugaimukamu 4 місяці тому +1

    Samia hatumtaki

  • @abdullatifhassan9399
    @abdullatifhassan9399 5 днів тому

    Sasa nyinyi hamtaki muungano au hamu Taki Samia?

  • @user-dz2lv6en3z
    @user-dz2lv6en3z 4 місяці тому

    Kwanini tunatawaliwa na mzanzibar? tumefanywa kuwa machawa kwanini? watanganyika tuamke

  • @camilomassao8971
    @camilomassao8971 4 місяці тому

    CCM wanapuuza hoja za CHADEMA lakini kiukweli: CHADEMA WANA HOJA ZA MSINGI

  • @HASSANWAZIRIGAO
    @HASSANWAZIRIGAO 4 дні тому

    KAMA MUUNGANO UKIVUNJIKA MIKOA YENYE BAHARI YAANI PWANI TUTAJITENGA TUONE HUO UBAGUZI WENU NA UDINI MTAUZUNGUMZIA WAPI

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 4 місяці тому

    Muungano tuuvunjeni tu ikiwa kizazi cha sasa HATUUTAKI. Mbona husemi Rais wa Tanzania anaweza kuchaguliwa bila ya kura hata moja kutoka Zanzibar.

  • @sharifhamad6495
    @sharifhamad6495 4 місяці тому

    Mbowe na Tundu Lisu mumeshindwa na siasa, sasa mnakuja na uchochezi. Lisu ni mwanasheria, lakini anashindwa kuelewa kuelewa kuwa wazanzibar na watanganyika wote ni Watanzania.

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa5179 4 місяці тому

    huyu kenge nae anakoseaaa piga vita ccm sio samia samia anamiaka 10 ya kutawala ccm ikonpale pale

  • @user-nz9eb4ud6y
    @user-nz9eb4ud6y 4 місяці тому

    Yaani wanyama wanathamani kuliko binadamu du!Samia ni wivu wa nvho yetu kubwa

  • @ceciliamagalabajimmy4391
    @ceciliamagalabajimmy4391 4 місяці тому +2

    Inauma sana.

    • @matatamatatatours3237
      @matatamatatatours3237 4 місяці тому

      Mmtanzania gani Leo umwambie hakuna mungaano
      Hamna takwimu
      Wliozaliwa ndani ya mundane no zaidi ya MILIONI 6
      Wale wazee wa miaka ya mapindduzi na kizazi Chao wako 700.
      Nyinyi sio viongozi ni njaa zinawasumbua
      Waiting wa ruzuku
      Kelele zenu ni ruzuku
      Kupewa nhe
      Msahau
      Nyinyyi mazezeta
      Watanzanil wana hisia kali.

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 3 місяці тому

    Tuataka huo muungano uvunjike kesho asubuhi. Kwani muungano una maruweruwe makubwa sana. Waha CCM wametudanganya muda mrefu. Nadhani Nyerere sijui alinyweshwa dawa au alikuwa na wazo gani kichwani mwake. Jamani huyu Samia aondoke na warabu wake siku hiyo aende akawape Pemba yote.

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh 4 місяці тому +5

    Hata sisi zanzibar tunamalalamiko yetu

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 4 місяці тому

      Waongo nyie mna malalamiko gani nyie wazanzibar wafaidika wakubwa wa muungano huko kwenu mnaserikali yenu lkn bado na huku kwetu tanganyika mnaviongozi wanatuongoza sisi watanganyika haturuhusiwi kumiliki ardhi uko kwenu zanzibar lkn nyie naruhusiwa kumiliki ardhi tanganyika

    • @OmerSuley-gl7go
      @OmerSuley-gl7go 4 місяці тому

      ​@@ramadhanmahongole9293Vunjeni Muungano kama inakuumeni
      Nyie TFF shirikisho la Tanzania Bara ndio linatuwakilisha Wazanzibari FIFA na CAF yaani tuna yetu mengi tu

    • @DavidSemu-gu6wp
      @DavidSemu-gu6wp 4 місяці тому

      Pelekeni kuzimu

  • @gelardanyasi919
    @gelardanyasi919 3 місяці тому

    Kamanda lisu waambieni ukweli waujue juu ya muungano

  • @victorrobert7797
    @victorrobert7797 3 місяці тому

    Hatuhitaji Zanzibar,wametufanya Mazezeta ,hayo yote yameletwa na CCM

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 4 місяці тому

    Tunataka serikali ya wananchi, iliochaguliwa na wananchi.

  • @paulojohn9608
    @paulojohn9608 4 місяці тому

    inchi hii kesi nyingi niya ardhi ukitaka kujua fwatilia mkuu wa mkoa anavyo hangaika kusuluhisha namuombea makonda Mungu amulinde ningetamani awe rais waichi hii

  • @cosmaswilliam3805
    @cosmaswilliam3805 3 місяці тому

    Jamani leta katiba mpya samia ili tatizo liishe.maana yatasemwa mengi na ccm mbeleni watachanganyikiwa.

  • @hamidmussa838
    @hamidmussa838 4 місяці тому +2

    Makwaapa yanatoka majasho.

  • @asajilemwaipasi1869
    @asajilemwaipasi1869 4 місяці тому +1

    Huo ndio ubaguzi na uchichezi leteni sera Kwa wananchi tunataka maisha mazuri, tutibiwe Bure, watoto wasome Bure, Barbara, umeme na maji hizo ndio kero zetu. Mnaenda kuongerea Muungano ili iweje? HAMNA SERA MNATAKIWA MKAMATWE HUO NI UCHOCHEZI. MTAMBUE HILO MNAVITUMIA VIBAYA VYAMA VYENU NA MAJUKWAA HAYO.

  • @mbukumagiubukumagu406
    @mbukumagiubukumagu406 4 місяці тому

    Zanzibar ni nchi sio mkoa mbowe? Kwa hivyo Tuna haki ya kuwa na wabunge wengi