Gwajima Ashusha Nondo: 'Tuweke Nyenzo Kudhibiti Rais Akiingia Madarakani Asitoke Nje ya Maono'
Вставка
- Опубліковано 5 вер 2024
- Mkutano wa Kumi na Tano, Kikao cha Arobaini na Nane cha Bunge la Jamhuri la Muungano wa Tanzania kinahusu kipindi cha maswali na majibu pamoja na mjadala wa Bajeti kuu ya Serikali iliyopitishwa Juni 13, 2024.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com....
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.
Mungu akipenda siku mmoja nitaomba interview na mzee gwajima asantee sana kwa mchango wako uliotoa kwenye bunge mchango wako uliotoa bungeni kuhusu taifa letu la tanganyika au 🇹🇿 Tanzania
Akili hii ya Askofu Gwajima itaheshimika Sana miaka ya mbele. Siku wakiamua kukusikiliza na kukuelewa badala ya kukusikiliza ili wakujibu tutafika mbali sana
Waoooo! Hongera askofu kwa mchango mzuri. Hizi ndio nondo za kisomi tunazotaka.❤
Asante mh gwajima kwa mchango wako nami nina nyongeza kidogo hapo wizara zingelikuwa zinaazimwa ningeliazima wizara ya ujenzi kwaajili ya kujenga kwa zege na nondo barabara itakayo dumu miaka 100 upana njia 8×2 = 16 🤝🏿✊🏿
Watu wenye akili hawakubariki kwetu bongo!
Big up mzee GWAJIMA
Wenye akili tuuu ndo wanakuelewa Askofu Gwajima.Kila Raisi atakuja na vipaumbele vyake na kila wizara inavipaumbele vyake.Wabunge wengi hawa uwezo wakuwajua long planning na short planning.Sisi siku zote tuna short planning.Nihatari sana.Mungu ona namna ya kumuweka Gwajima kuwa Kiongozi wetu wa nchi ya Tanzania
Nchi ya Maono ya Raisi haiwezi fika mbali
Gwajima ni akili kubwa saana 🫡🫡✅
Asante sana bishop gwajima kwa maono hayo
Gwajima is the next president of Tanzania,you are deserved to be......
Gwajima.upo vzr sana kimaono SEMA vichwa vyetu havitaki mambo mazuri
Mh siku wakikuelewa nchi yetu ishakua tajirii
Hii ni akili kubwa kuliko, hao mawaziri wanaoshikilia uchumi na mipango ya nchi hii wapowapo tu.
Gwajima Bora uwe rais Ili maisha yasonge
Pole sana tangu lini mchumia tumbo akajenga nchi
Huyu aliyesema Ana mango wa wapiga kura wake atawafanyia mpango wa kuwapeleka majuu. Huo mpango wake mdogo tu amefeli
Madini ya kutosha sanaaa🔥
VERY GOOD ASKOFU.
MCHANGO MKUBWA
😂😂 wote hawaelewi kitu
Godbless Lema alishatahadharisha kuhusu hili....
Kwann wasukuma wanaakili sana tofaut na makabila mengine
Safi sana mchungaji wape elimu hao kwa Traffic ded iwepo
Good point
God bless this man, take him to the higher position
Gwajima Kichwa unafaa kuwa rais. kwa sasa uwe mshauli wa rais itakua powa
Gwajima kumbe ni brain hivi hongera
Kwani Askofu Gwajima umeona ugumu gani kusema kwa uwazi tu kuwa instrument inayotakiwa kulinda maono ya nchi ni mfumo mpya wa utawala, kisheria na kikatiba kwa kuhakikisha nchi inaandika katiba mpya ili kumdhibiti Rais???
Awezi kuiweka hiyo mada wazi kwa sababu alishaitwa na kamati ya nizamu na kamati is ya nizamu ndilo inayotengeneza mfumo wa kulindana na ni mfumo una wahasisi wake wananguvu kubwa sana
Gwajima hawezi sema kwauwazi Kwasababu hatayeye. Alipata kiti hicho wakura za Asante makufuli
Katiba na maono ya nchi wapi na wapi mzee
@@user-ic8od4el4c utavfikaje kwenyemaono bila katiba nzuri?
Hongera sema chadema wamesema sana haya mambo nikaona wanawakejeli
safi
Amina uko sahihi askofu
Huyu ndie mtu tunaemuhitaji afrika Ila new colonialism is problem in all African countries
Mh Gwajima nakubali sana point yako. Tusipo kuja na mpango wa jumla hatuwezi kuharmonize resources na implementation kutoka kwenye kiti kikuu cha nchi. Imagine kila president anaingia kwa mamlaka na priorities zake. Its a challenge !
Jamani wakuu tuone umuhimu wa collective priorities za nchi za muda mrefu kila anayeingia kwa power aendeleze tuu ana sio kuanza vipya
Aiseee hizi nondo njema sana
Mawazo ya gwajima ni mazuri Sana, tatizo katiba yetu shida
🙌🙌🙌
Nimala ya pili unawambia hawa washenzi namwingin anaanza nakumpongez raisi amekuwa mungu saizi
Unaakili saana
🤝
Gwajima, akili nyingi sana.
Gwajima anafaa sana kuwa Rais kwenye nchi yetu hii
👏👏👏👏
Gwajima uko vzuri
ŴATU WENYE AKILI KUBWA KAMA HAWA CCM HAITAKI WAKAE KWENYE SYSTEM HASA NAFASI YA URAIS. NCHI YETU INATAWALIWA NA WATU WASIOJITAMBUA WAKATI WATU WENYE AKILI KUBWA na UPEO MKUBWA WAPO!!"
Nilichogundua hili taifa bila wasukuma hatufiki popote..
Kabisa asee, ni critical thinkers hasa
Nyie ni Mchongo au sijamwelewaaa jamani
Kweli kabisa vision, vision , vision
Kweli babisa 🎉
Jasusi la Mbinguni😂😂
Mungu amwongoza askofu bungeni. Huwo ni mchango mzuri sana. Tunaomba Mungu ili Afrika yetu ibadilike.
Ndani ya CCM watu wenye akili hawapewi hata nafasi za kuwa mawaziri ila mazuzu .
Hapo kwenye Nini kianze upo sahihi kabisa.
Huyuuu jamaaa anafaa kuwa waziri wa mipango
Big up sukuma tribe
Mbona hiri kabira linaonekana ndiro rinauchungu sana na hii machi ?
Aloo huyu jamaa anapaswa apewe hiyo wizara ya mipango atutengenezee hicho alichoongea anamaono makubwa sana, mengineyo tumwachie mungu mwenyewe ataamua .
Kwa wenye akili hapa Doctor anaizungumzia katiba mpya ya mamlaka ya wananchi ila inabidi uwe na D mbili ndiyo unaweza kumuekewa
Aoil nyingi sna
GWAJIMA POINTI YAKE NI ILE ILE NA IPO SIKU MTAMKUMBUKA
Askofu Ngwajima siku moja Yanzania hii itakukumbuka.
....looks the same.... 😅
Kweli Rais Samia wamewamsha Watanganyika miaka 3 Sasa wanajitambuwa
Wazanzibar wanawapa Hongera
Fundisha Kila Wakati,Vishwa Vya Waafrika Ni Vidumavu.Wengi Ni Wapongezaji Hapo Bungeni.
Sikio la Liga baba,waziri msomi nendeni mkafanye uganga wa kienyeji mambo ya kichumi yanawenyewe,
Hoja nzito, hakika political will ni shida kwa taifa letu
Mpango wa serikali wa muda mfupi na wa muda mrefu ni kuhakikisha CCM inaendelea kubaki madarakani na kushinda chaguzi zote
Kuiona kesho kutwa kutokea juzi kunahitaji kujitoa wakfu (sacrifice) Jana na Leo. Idara za mipango kila wilaya chukueni maoni hayo
Gwajima ana nondo sana, anasema ukweli kabisa
Hakuna nyenzo zaidi ya katiba mpya
Wazee wa kupima upepo
haya yote ya Gwajima ni marudio tu, upinzani walishayasema muda mrefuuu, Gwajiboy ahsante kwa kuwakumbusha ccm, hakuna cha polytical will/wish ila ni KATIBA mpya inahitajika kwanza
Huyu jamaa ni ngumu sana kumuelewa anaongea makubwa sana lazima uwe na akili nyingi kumuelewa
Kitila alitoa taarifa gani 😂😂
Nyie semeni katiba ndo inaweza kusimamia hayo shida yenu mnazunguka
Huu ndo ukweli! Tunashangaa tu bure vya ulaya wakati njia yao ni mipango ya mbali na kuwa na nidhamu kusimamia mipango au maono ya miaka mingi ijayo....hii kanyaga twende tutasubiri mno...mahakama ipewe meno ya kumuhukumu kiongozi yeyote ambae anakosa nidhamu kwenye maono ya nchi...
Sio kwa CCM,! au sio viongozi wa Serikali tulionao Hawa!
Hivi bunge limekuwa darasa inaonekana bunge na wabunge awajui kwanini wanaitwa wabunge sipika ajui kwamini anaitwa sipika na mawaziri awajui kwanini wanaitwa mawazili kwaiyo tanzania imezaliwa leo uwezi kujua kama nchi yetu ni kongwe au ina miaka 60 na ushee
Gwajima ameongea vzr,,, japo nikama marudio ya mipango ya hayati magufuri. Kikubwa wamkumbushe Dr Samia rais, kuwamkali asimamie fedha na wateule wake
Wt wenye akili kama huyu wako wapi
Uko sahihi mzee tunaangamia,kwa kukosa marfa
Hii ndiyo elimu bure kwa serikali
Nchi inatengezwa na maono ya nchi kutumia habari/information tofauti tofauti katika kushirikiana na nchi rafiki zilizo fanikiwa na ikiwemo kutumia mashushu (spy) katika kuiba au kupeleleza habari za nchi shindani kutengeza uwezo wao kiuchumi na kiusalama kwa masilahi ya nchi nzima kwa maisha ya nchi ya sasa na yajayo kwa kutengeza contingency plan ya muda mfupi na mrefu. Ila Tanzania ina pelekwa pelekwa na watu wachache wasio na uchungu wa nchi na wananchi wake kwa kufanya maamuzi ya utashi na hisia za akili zao wao wenyewe matokeo yake wanaingiza taifa kwenye matatizo.
mimi hili swala la kilimo sielewi paka leo..kwa nini hakufanyiki mapinduzi ya makusudi while we call this uti wa mgongo wa Taifa,haiingii akilini,kwa nini jambo ambalo lingeweza kuwa ishal wananchi na serikali yenyewe
CCM hawana hiyo wao wanaangalia ya leo tu,wabunge 😂
Kauli ungesema hatuna katiba , na Sheria za kusimamia mpango wa taifa,
Kuna wabunge wanatamani kua upande wa wawananchi lkn wanaogopa
Mh askofu una nondo Kali ila hapo wamejizima data wanaona ya Leo wapige hela2 na tushaambiwa vichwa vyetu vya Wenda wazimu 😂😂😂
Ccm na ngonjera,mko hovyo sana.
Mbona ndio wachdm wanawaambia
Nimecheka nchi kuangukia pua kiu kweli piga penyewe
Kwamfano spika wabunge akiwa mbuzi halafu wabunge wakiwa mbwa wanabweka hivi mnahisi mbuzi atakuwa anawazanini katika mipango ?
Watu wanazekea malumbano vita ya kupinga kusapot karine hii ni 'yakuwaza barabara ya lami wakati wa china or island wanakaribya kutoka kwenye huo mfumo wa magari duuuh haya mambo haya
Asiuze mali zetu pia
kwani Gwajima ukusema ukweli kwamba Tatizo lipo kwene katiba shida itakua nini
*All African countries LOOKS the same." What?*
Wanacheza na maneno, ngeli ya ngenge.
Gwajima aliahidi kuleta train ya umeme sijuhi huo mpango umefika wapi?
Tushaa angukia pua
Sasa mzee gwajima ww upo kwenye kikundi hipi sasa kwasababu maono yako ni makubwa lakni uwezi kuitekeleza hapo unapiga kelele tuu kwasababu kla 1 afrika anamupango na tumbo lake
Sasa kama Gwajima asiye waziri ndiyo yuko hivyo kwa nini wasimpe hiyo wizara aiongoze? Gwajima hao watu hawatakuelewa isipokuwa wenye akili na wazalendo wa nchi tu. Hawa watu kila mtu ana biashara zake unadhani watakuelewa? Mipango ya Wala nchi ndiyo wanaita mipango ya taifa, na hatuoni taifa linaenda popote.
Kwanini askofu asiwe raisi jamani ili hii brain tuifaidi tz
Ameongea hoja nzito na nzuri sana, bahati mbaya business as usual no body cares
Uwa nakufatilia sana vile vile nasaport ungekua rais uchumi ungepanda.Ulisomea wapi? una mawazo mazuri
Akiongea Kitila wanapiga makofi. Gwajima wanapiga makofi jamani
Na haya ndiyo yalipaswa kuzungumzwa na viongozi wetu wakiwa bungeni n.k