KWa pesa za wizi mnaweza kuwa dunia nzima. Ufisadi wa mali za wananchi hizo. Inakuja siku. Na nyinyi vitisho vya nini. Ni nyinyi ndo mnawatishia wananchi. Tunahitaji tüme huru na Katiba mpya ya wananchi. Si ombi ni haki yetu. Yaani Msigwa kumbe ni muhimu na maarufu sana kwa ccm kuliko wote wa ccm. Kumbe hamna wenye kuona mbali huko.
ccm wamewalipa watu Fulani, kakundi kwa ajili ya kushangilia tu. MACHAW
Siasa za Tanzania ni za ovyo. Wananchi tunayafuatilia sana.
Chadema mnakijua kinawatisha ndo maana mna sema muda wote chadema tu.
Chadema haitishi kwa sababu ile ni saccos ya makengeza Mbowe
Teknolojia tu hiyo
Kazi ya mafisi ni kununua watu kwa kodi zetu huo ni ukweli usiopingika
Kumbe ukitaka kuonekana cheza chedema.lazima uwonekane.basi msigwa hupo sahii.
Hulipokua chadema hulikua mbwa sasa leo umekuja kwetu umekua mtu safi.
KWa pesa za wizi mnaweza kuwa dunia nzima. Ufisadi wa mali za wananchi hizo. Inakuja siku. Na nyinyi vitisho vya nini. Ni nyinyi ndo mnawatishia wananchi. Tunahitaji tüme huru na Katiba mpya ya wananchi. Si ombi ni haki yetu. Yaani Msigwa kumbe ni muhimu na maarufu sana kwa ccm kuliko wote wa ccm. Kumbe hamna wenye kuona mbali huko.
Matusi ndiyo hoja .!!Muwe na kauli njema Mnaona kenya hata Tanzania inaweza kuingia kwenye vurugu .
😢
Sasa hiyo inasaidiaje? Maish ya Wananchi? Mbona siasa zetu mnaitaja CHADEMA tu
Wakamtongoza leo.mmemtongoza nyinyi linatongozwa tu
Inapendeza bila kutaja chadema akuna usingizi
Nchi hii haiko huko.msilete ujanja wenu.mkaja mkafanya yenu mkasema ni chama kile.kumbe
Keisha taaaaa
Kashindwa uenyekiti kanda ndo amehama
Lusinde Kiboko
Wanahutubia watoto tu hakuna mwenye akili timamu akawasikiliza Hawa inzi wa kijani
Ccm imechokwa na watanzania ndo maana uchaguzi mnatumia mabavu
Watu wa iringa wamechukia
Asante sana ccm ,ndio chama sahihi
Siasa za majungu zipo Tanzania , Kenya wanasimamia siasa halisi
Hamia Kenya Fala wewe,hujui yanayoendelea Kenya kwakuwa huna akili
@@walidmgonja3644 ukweli unauma sana 🤣🤣
Kwahiyo kuvunja maduka na kuiba ndio siasa halisi?
Ongea poiti mzee mzingwa ndye nn umekuwa wimbo
Sio kweli hakumanisha hicho.mmekata maneno.hiyo wizi wakuls walimwibia nan.namzurumati wajinga ndo.mnawambia hayo maneno.yeye kazurum nini magum yapi mbona haligombea hskashindwa.hasingeshindwa hangeama.
Mccm bhana ,Yani sijui wanaona watanzania Bado ni wajinga???
None sense
Sio, ccm hii ya majizi
Kumbe mzigwa amezoleka kutongozwa
Acha tamaa wewesi chadema?
Wewe kibajaji una ngumu gani wewe kujifanya mjanjaaa