Inshallah Part 2 - Madebe Lidai & Havit Makoti (Official Bongo Movie)
Вставка
- Опубліковано 15 вер 2024
- Inshallah Part 2 (Madebe Lidai, Havit Makoti) Nabii Mswahili Madebe Lidai
Watch Part 1 Here: • Inshallah Part 1 - Mad...
CAST: Madebe Lidai, Havit Makoti, Hidaya Shomar, Nasoro Thomas
STORY: Madebe Lidai
DIRECTOR: Madebe Lidai
Subscribe to Africa Movies on UA-cam here: bit.ly/AfrichaM... #AfrichaMovies #AfrichaEntertainment #MadebeLidai
Ninacho kupendea Madebe move zako zinawezekana kuangaliwa na watu wa rika zote hata wakiwa wamekaa pamoja. Tofauti na movie nyingine ukiwa na watoto au watu wa heshima inakuwa vigumu kuvumilika,inalazimika vipande vingine kuvirusha. big up sana MADEBE.
Nikweli
Kama unamkubal madebe na kazi zake like hapa na ucoment chochote kuhusu moves zake madebe lidai noma sana nanikiboko maastaa bongo
Unajitahidi Kama move ya msungo
Salut sana kaka kazi nzur
Nasasha shabaani namkubali madebe kwa misamiati yake
Nasasha shabaani jama noma madebe lide
Madebe fundi ndio mtanzania pekee anae nishawishi kucheck move zakibongo
Hapa ndio husema Madebe is the current best actor, anayesema vinginevyo huyo ana interest nyingine, location mpangilio ni mzuri sana, wasiomkubali waache tu, Movie zake unaweza kuangalia na mtu yeyote mkiwa pamoja, kuna busara nyingi sana ila tu labda uwe huelewi. tunaomba movie ziwe ndefu kidogo ili kupata maana halisi na kuhusha na kuwafa ya watu wengine waelewe zaidi, All in All BIG UP
Momo inakuaje
yap kaka is good actor
Asante sana, brother Madebe lidai kwa movie nzuri na yenye mafundisho, mungu abariki Kazi ya mikono yako
Dotto Samweli p
Kwamtazamo wangu MADEBE ndiye mtunzi bora Africa mashariki.
Kabisa👏👏👏👏👏👏
Safi sana madebe unajua br endeleaa kutupa mafunzo we fundiiiiiiii
Atamimi naona ivyo
Mimi pia
isaya bombonya
Huwezi kupendwa na kila MTU kwasababu we sio pesa madebe salute
Kazi nzuri sana congratulations to you @madebeLidai👍
mhhhh we na gabo hamna mpinzani Tanzania hii nawaelewa sana
Masha Allah tamthilia za Madebe zote zina mafunzo ya kutosha,Shukran Madebe🙌
Madebe hitimisho ya movie hii, imebeba ujumbe wa maana sana na mazingatio, Mungu akupe afya ya kutuelisha kwa busara.
Mashaallah nami nitowe pongezi zangu za dhati kwa madebe lidai kwa kazi nzuri
Napenda busara na hekima zako.
Ipo siku watakuelewa.
Inshaallah
Usikubali kufundwa na kungwi aliyeachika!!! Hiv kweli kama alishindwa kuishi na mme wewe atakufundisha nn kuachika pia!!!! Big up madebe!!!
Machoziiiiiiiiiii yamenitok Leo Mimi duh
nafikiri madebe akifakiwa kujiweka na kujua jinsi ya kuonekana na kueleweka kimataifa atateka sehemu kubwa ya Afrika na sio tu Tanzania
Huyu ndie msanini naweza kuangalia moving zake mda wowote good luck madebe
Madebe Lidai Fundi.
.wewe jamaa unajua mpaka unapitiliza..Inshalah ...nimsanii pekee anaeuonyexha umma kuwa hata bila magari nyumba za kifahari unaweza onyexha movie bomba kabixa
Sana kaka Shone
Mashaallah Ongera sana madebe lidai kwa movie Nzur
Mashaallah
hongera sana Madebe lidai unaweza sana kabisa
bonge moja ala story mungu azdi kukupgania ktk kupaji chako baba madebe uzdi kutupa vtu vitamuuuuu kama hiki ,,,,,inshaa,allah,,,,
STAMUU JUMA JUMA.
Movie iko bomba ila kidini nivyema alipo jiua mwnyw kwasababu mzinifu anatakiwa apigwe mawe mpaka kufa so cha msingi nikujielewa unafanya nini kabla ya kutenda big up baba mzazi kwa msimamo wako naamini vijana wengi watajifunza kwahili nawasichana wenzangu pindi mkiona hamuwezi tena kustahamili nivyema tu kusema ili upate halali kuliko haram
Hiyo nondo wapatikane watano kama madebe ⭐️
Manshaallah madebe nipo nje ya nchi yangu najifariji nafurahia mno
Bora Ukahishi Ukijua Kuwa Jana Nilikuwaje! LEO Nikoje! NA Kesho Nitakuwaje! Hongera Saaana Filamu Utafahamu Palipo Na Ukweli🤔😍😐
Napenda sana kazi yako kaka unatia vitu vya maana vinavyotufundisha. Halafu pia napenda mavazi yaheshima mnajielewa kwa kweli shukran 💯
Daaa kz zko nzuri babaa madebe endelea na jitihada hzo...
mama m nakuomba ukienda kusal usimuombe mungu chochote ispokua muombe mungu busara na hekma ili viandane na saiz ako mana utakua huna tofaut na watot
Leo ni mejua mahana ya madebe lidai na movie ya ishaallah
Mashallah,,, madebe hii movie kali sana,,, Endelea kaka
Penda sanaa iko sawaa.
Nikitambo nitizame video's zako ila hii nimeitizama online bila net kusumbua.
Nimeipenda sana na kisa hikii kimenilenga sana ingali X wangu hajakufa na mm nipo hai.
Naitwa Mohammed/ jina la kugiza filamu natumia MAGOBOLO....
FROM KENYA MOMBASA RAHAA,
KITAA CHA KONGOWEA AU KONGOZAIREE.
THANKS GUYS..
Movie zaa Madebe lazima niko na Kalamu na kakitabu..
misemo hii lazima nitinge kitabu nikauze tzd. 🙋👌
Naomba uniunge kwenye group LA WhatsApp naomba yangu hii 0679036003
Absolutely correct
Congratulations
wewe ndo kama mimi hukaa na kidaftari naandikaga misemo
Maa Shaa ALLAH Madebe..
Nimetizama Mpka Nimejikuta Nimesinzia Na Baada Kuamka Aki Imenibidi Nirudi Nyuma Nijue Kilichoendelea Ongereni Sana Mliyo Shiriki❤❤❤❤❤
Madebe lidai ww ni wa Tanzania nakupa 100%
Madebe uko top Allah akuzidishie kipaji chako usifike kote ulimwenguni na mafunzo yako bora
napenda sana movie zako kaka upo juu
Namkubali Sana lp midea
Mhmhmhm muvi nzuriiiiii
Madebe unaweza sana hayupo wakukufikia kuigiza
Noma sna madebe unawez kwa kila hal muung akpe uwez zaid inshallah
Zjrk
Ok
Poa
Ok
Masha Allah madebe
Madebe kawa #Pasua-kichwa👏👍
Congrats
Mamb mzm
Dah big up sana kwako kaka Madebe UHAKIKA najifunza vitu vingi sana kupitia wew
Wangap tunaangalia huku machozi ya kimutoka😢😢😢😢
Mtoto wa Madebe ndiye aliyenitia huzuni....Hongerani Sana Madebe na Team yako, jamii ya Africa Mashariki na kati inahitaji mafunzo mfano wa haya....Baba Shida big up sana kwa kuvaa uasilia wa Mababa wasokubaliana na mibadiliko haali.. Shukran sana
Madebe lidai shukrani sana kwa movie zako Mungu akujalie maisha marefu uzidi kutufurahisha na kutuelimisha asanteni sana wahusika nyote
Tiiii 2024 from congo
ukweli ni kwamba unaelimisha sana, madhaif ya sheria, ukosefu wa busara juu ya utatuzi jambo hilo. kiufupi nimekuelewa.
Yaani ukiangalia moves za Madebe hukosi funzo kwakweli
Movie nzuri nimeipenda bure Asante kwa wote mlioshiriki kwa movie hi!😘😘😘
Big up madebe unastory nzur sna
Always the best Swahili movies....watching from Kenya i wish ungekua huku singekosa any episode uploaded
Vp
Hapo Mzazi nimekuerewa bila kuisahau Msungo umetisha kinoma kaza bunti usiyumbe ili kusudi ufike mbari zaidi
majuto ni mjukuu huja baada ya jambo.pole sana bba Shida
masha_allah hongera san madebe mov zako hazichoshi...zinafundisha nakuelemisha...asant san
many many thanks for the movie I'm getting you from saudiArabia
Duuuuh
Azizi Mnyimwa Aiywa habib
Bosi Abu me from koweit
hongera sana nabii Kwa filamu ya ushauri
huwa sipendelei move za kwetu ila za madebe kila inayo toka lazima niwe nayo coz kama unaakili analemga kila sehem hazina mapenzi bali zina uhalisia wa maisha dah anajua sana
Madebe nakukubali bro movie zako zote kiboko mafunzo tele na entertainment bora kabisa. Endelea hivyo hivyo.
Dah 😭😭😭
Madeebeee! You're always killing ot at every given moment..🤗
madebe uko juu sana niko kenya naangalia sana story zako zina mafundisho makubwa. mie ni mtanzania na mwalimu wa kiswahili huku kenya, misemo yako naikubali sana.... kazana kijana
Hongera sana madebe hakuna zaida y ww
Uyu mze nomaa sana anakosa kamba na mbunzi loho mbaya tu Sasa anafaidika nini duuhhhh
hiii kwel enxhaallah☝☝
Heri huwe Nama haduwi wengi kuliko Kuwa Nama Rafiki wengi😟😟😟😟😟😟
Mashaallah madebe, mwenyezi mungu atakujalia ufike mbali
Aaaaaahhh Madebe we unajua, we ni bonge la actor babaake!!
Hizi movie za madebe zimenipa fundisho kubwa Sana, nazipenda kweli, big up madebe
Madebe wangu unapo lia unaniliza bwana noma noma😘💕😍pamoja sana wakati wote kwa kazi mzuri🙏🏼
Cijawai kulia muvi ya kibongo Leo his nimelia
Mashaallah madebe Allah akupe umri na cnema zako za mafunz zinatufunza Wallah nakukubali ALLAH akubarik amiin 👏👂🙏✌️🤝💪👊💐🤗
Madebe lidai is true actor from tz and out of tz big up lidai and god you are blessing work of your hand
Mm natokea njini Kenya namkubali sana lidai
Mashaallah Madebe, kitumie sna kipaji icho.!
Madebe utofauti wako na waigizaji wengine katika movie zako wewe unajua kumaliza movie na ikaeleweka tofauti na wasanii wengine wanashindwa kabisaaaa kumaliza story ikaeleweka
Daa hili janga linawakumba wengi sana, 30yrs😥😥
madebe wewe noma 👍👍👌👌👌👏👏👏💓💓💓💓
hongera sana Madebe mungu akuzidishie kwenye kazi zako, jamani hizi filamu nyengine ukijiachia kidogo mara unatoa chozi😥
In sha Allah thank u for loving story appreciate
Sipend bongo movie sababu awajui kuigiza vitu vya maana kama HV madebe hakika Allah akuifadhi sana
madebe lidai mashaili yako vizuri nakukubali.
Sio kila mzee ana busara! ukijifanya mwanasheria sana kuhukumu wenzio ili kuiridhisha nafsi yako utafeli! Mtoto uliye mtegemea leo akufute machozi kesho anakuja kukupa majonzi makubwa na usijaribu kuchora ramani ya Afrika kama mwanzo wake huujui
Aise madebe mungu akupe maisha marefu ili uifundishe jamii
ukweli ubakie usifiwe ....madebe nidhahabu ya mswahili hata uchukieee
Hakika rafiki
Anatosha yule mwamba hana rika lake pale bongo flava na africha mashariki
Madebe mungu azidi kukulinda tunapenda sana movies zako
lidai the best actor for now
jitaidi kubadilisha mavazi msuli una
mungu akupe haya na mengne mauri inshaa allah, madebe safi sana
Aise mungu akuongezee iman brother made be
Innalilah wainnaileyhi rajiun ewe mola tujaribu kuepuka balaa na maamuzi mabaya
Hii movie baada ya kuifurahia naichukia sasa maana inanitoa machozi hakika Allah akuifadhi madebe
Congratulations lidai you are on top of the game.
Safi sana kaka mkubwa thamila ya ni nzuri sana
Hongera sana Madebe, kazi nzuri....!
Daaaah. Kweli wee ni Mwalim tosha wa jamii hongera sana kaka, by Oby Masinjisa
Iyo sehemu ya pili ina nipa fundisho y'a kweli
Mungu wangu kwakweli ma baba kama hawa wapo pole sana daa shida
Uko sahihi sana mzee , mimba za ototoni Tanzania zimezidi sana
Duuuh! Hakuna movies iliyowahi kunitoa machozi ila hii!!! Inshallah.
Nice movies 😘😘😘😘 inshaAllah
kwa mara ya kwanza naangalia movi ya kibongo natoa chozi hongera kwako kaka MADEBE THE KING OF BONGO MOVIE
Five stars ⭐️
nothing to say but take this 💯💯💯💯💯💯💯💯💯
Congratulations brother you really improved on character voice
Napenda sana muvi za madebe na huwa nafuatilia kila muvi inayotoka 😘😘😘
Imenifunza Sana Licha kwamba umenitoa machozi
Madebe mm ni xhabiki ako mkubwaaa
Adam john hongera kaka Mungu akubariki
Hongera aisee brother mungu awenawe
🤗
mchezo ni mzuri ila ukifika mwisho usiweke iyo BEHIND THE SCIENE kwasababu inakua inatoa ile hamu yote kma mtu alisikitika yan huzun inatoka anaona kma kawaida tuu.
Sahihi kabisa
ulitaka ubaki na huzuni kwa muda gani eti
kaka wew mkali sana asie zielewa movie zake basi huyo analake jambo
Ahsanyeni sana kwakutuwekea sehemu ya 2