ALLAH SIO MUNGU WA WAKRISTO: MCH NDACHA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 2 жов 2024
  • Mdahalo wa kidini

КОМЕНТАРІ • 48

  • @melkizedck
    @melkizedck 3 місяці тому +4

    Tangazo! Tangazo! Wakristo tuingie ktk maombi maalum ya kumwombea NDACHA. Ili Mungu amlinde na mabaya

  • @BonfaceWawire-k6p
    @BonfaceWawire-k6p 3 місяці тому +6

    Ndacha umeumaliza uisilamu ni wao tu kuamua Mungu yupi wakeeli wakumtunikia je ni wamasanamu au aliyehai aliyemtuma yesu kristo aliyehai

  • @JamesMoses-jd1yq
    @JamesMoses-jd1yq 3 місяці тому +4

    Ndacha Hana mpinzani

  • @MugishaMusabwa-lc7hq
    @MugishaMusabwa-lc7hq 3 місяці тому +2

    Wa Islamu ni watu ambao wanajuwa ukweli alakini wanataka kupoteza hao wasiyo jua ukweli katika bibiliya.
    Pastor ndacha mungu akubariki Kwa kutangazia wa Islamu ukweli

  • @salimkondo3354
    @salimkondo3354 3 місяці тому +4

    Ndacha ndacha wewe 😂😂😂 BWANA YESU ASIFIWE

  • @pastorhermantv5420
    @pastorhermantv5420 3 місяці тому +2

    Hahahahaha 😂😂😂😂😂😂 duh ndacha kiboko et walio kwenye huo msikiti wao wanaangalia wapi hehehe😂😂😂😂

  • @sohrabtajadin3402
    @sohrabtajadin3402 3 місяці тому +1

    SOMENI BIBLIA KWA SAUTI JUU KWA WATOTO WENU. SOMENI Ezekiel Verse 23 kwa sauti ya juu.

  • @FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl
    @FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl 2 місяці тому +1

    Ndacha up makini sana nimecheka

  • @Mejaclub
    @Mejaclub 3 місяці тому +1

    Alafu bado mutu amekatalia kwa uisilamu 😂😂

  • @kkhalifairumba2932
    @kkhalifairumba2932 3 місяці тому +1

    Huyu ndacha amesoma kweli na kama amesoma anaakili vizuri kweli?mungu wa ibrahim baba wa mitume ndio tunaemuabudu hakuna mungu isipokuwa mungu ni mmoja tu alieumba mbingu na ardhi,mm naona anapiga kilele tu hajui chochote akasome quran vizuri

  • @daniellourencojaime
    @daniellourencojaime 2 місяці тому

    Ndasha Oyyyy🇲🇿

  • @IreneSaimoni
    @IreneSaimoni 3 місяці тому +1

    Kabisa ndacha

  • @salimchimwaga8384
    @salimchimwaga8384 3 місяці тому

    Hivi kuna aya ndani ya Quran au Bibilia inasema Allah sio Mungu wa kweli???
    naomba jibu wakristo maiki hiyo chukueni🎤

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 3 місяці тому +1

      Matendo ya Muhammad ndiyo yanayo muwakilidha allah,angalia maisha ya Musa, Yoshua na Yesu kisha ulinganishe na mud ndipo utajua ni tofauti kabisa

  • @leahdaniel1117
    @leahdaniel1117 2 місяці тому

    Hii dini haina tofauti na wale wanaoenda kwa mwamposa mwaminni YESU KRISTO muokolewe

  • @frankmwakalinga7455
    @frankmwakalinga7455 3 місяці тому

    Dini ya Hawa watu ni ya kutengeneza na watu sio ya kweli😢
    Wanawaingiza watu motoni pasipo kujua

  • @eddagreyson-pc7cv
    @eddagreyson-pc7cv 3 місяці тому

    Ndacha waondolee hao Mawani ya MBAO

  • @NathanielNathan-m4o
    @NathanielNathan-m4o 3 місяці тому

    Ndacha ni kiboko ya waislam

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 3 місяці тому

    Mungu ni mjapan anaumba motorcars

  • @Skeletonking2116
    @Skeletonking2116 2 місяці тому +1

    Allah ametajwa ktk bibilia original ya ki-ebrania ikiwa inamaanisha Mungu wa Ulimwengu. Hizi za siku hizi zimerekebishwa ZAIDI ya mara 500 kwa maslahi ya kundi Fulani la watu

    • @CORNERSTONE10
      @CORNERSTONE10 2 місяці тому

      Yaani ninyi hamutosheki na promises ya kitabu yenyu Quran ? Leave the Bible alone.

  • @JamesKanyenda-y9y
    @JamesKanyenda-y9y 3 місяці тому

    Ndacha MUNGU akubaliki ila uskatae utatu mtakatifu wa MUNGU nitakuwa skuelewi soma 1yohana 5:8

    • @ShomiLongwa
      @ShomiLongwa 3 місяці тому

      Ujui ulisalo

    • @ShomiLongwa
      @ShomiLongwa 3 місяці тому

      Ujui usemalo

    • @MiziziMti
      @MiziziMti 3 місяці тому

      Utatu haupingiki

    • @justine-2707
      @justine-2707 3 місяці тому

      Mm ata iyo utatu imekata kuningia kw akiri juu mna yesu n mna mungu

    • @RestutaLucas-p7e
      @RestutaLucas-p7e 3 місяці тому

      Muombe Mungu akusaidie maana kwa biblia hakuna Utatu ndg

  • @innocentndikumana8928
    @innocentndikumana8928 3 місяці тому +1

    uwislam nuru 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿

    • @justine-2707
      @justine-2707 3 місяці тому

      Yes ni Nuru kw upotefu

    • @innocentndikumana8928
      @innocentndikumana8928 3 місяці тому

      mweye bashikirina amuna mungu

    • @innocentndikumana8928
      @innocentndikumana8928 3 місяці тому +1

      musilimu mufate mungu wahaki wenye azari afanani nacocote allah uwislam utazidi kuwa nuru 🙏🏿🙏🏿🙏🏿allah Akbar

  • @DicksonRwechungur
    @DicksonRwechungur 3 місяці тому +1

    Ubarkiw san Ndacha

  • @hashimchaoga9566
    @hashimchaoga9566 3 місяці тому

    Alhamdulillah ni sis waje wake ndio tunamsifia hivyo na si Mungu anasema hivyo.. Watu hawaelewi dini ya Islam wala kur ani wsnapiga tu makelele ya tafsiri za uongo

  • @hashimchaoga9566
    @hashimchaoga9566 3 місяці тому

    Huyu anajichanganya tu akidhani yuko Shakahola anapotosha tu ma kutoa maelezo yake binafsi akiita tafsiri

  • @salimchimwaga8384
    @salimchimwaga8384 3 місяці тому

    Au kuna aya inasema Allah sio Mungu wa wakristo ndani ya Quran au Bibilia 🎤

  • @aliabdallah8456
    @aliabdallah8456 3 місяці тому

    Kumbe Mungu wa wakristo anazaa anaenda matenet huu ndiyo ukafri kweli

    • @stephen-S7n
      @stephen-S7n 3 місяці тому

      Kwa Quran shetani ana kizazi, je shetani anaenda maternity?

    • @mwlpierre
      @mwlpierre 2 місяці тому

      Ninyi ni sawa na wapagani tu maana hapo kwenye Al Kaaba kuna nini umo ndani

  • @mohamedmillanzi9070
    @mohamedmillanzi9070 3 місяці тому

    Hakana point zaidi ya povu

  • @hashimchaoga9566
    @hashimchaoga9566 3 місяці тому

    Mtu anashindwa hata kugoogle tu akaona nini maana ya Allah. Allah ni kiarabu maana yake God ni huyo huyo mmoja. Kuhusu masanamu wapi tunaona masanamu na mapicha misikitini au makanisani? Si tunaona masanamu ya Yesu na Maria makanisani? Yesu alikataza kuabudu masanamu. Ash hadu alaila hailala wa ash hadu anna Muhammad arasulallah. Imani ya waislam katika kor ani kwamba nakiri kwamba hakuna apasae kuabudiwa kwa haki ila mwenyezi Mungu na ninakiri kwamba hakina Muhammad ni mtume wake. Ajabu mtu bado anachanganya kati ya Mungu na mtume wake

  • @AlbertMakori-u2l
    @AlbertMakori-u2l 3 місяці тому

    Wewe ndacha ni ngombe kabisa , wewe unastahili viboko

    • @bustedislam3578
      @bustedislam3578 3 місяці тому +1

      Hivi viboko ni hoja gani? Vunja hoja kwa hoja nyingine, sio kwa viboko. Kwani wafuasi wa marehemu Muhammad wanatetea dini yao kwa viboko?

  • @Khalidmwangwai4651
    @Khalidmwangwai4651 3 місяці тому

    Jifunze kusoma kusoma wewe kafiri