Wa Islamu ni watu ambao wanajuwa ukweli alakini wanataka kupoteza hao wasiyo jua ukweli katika bibiliya. Pastor ndacha mungu akubariki Kwa kutangazia wa Islamu ukweli
Huyu ndacha amesoma kweli na kama amesoma anaakili vizuri kweli?mungu wa ibrahim baba wa mitume ndio tunaemuabudu hakuna mungu isipokuwa mungu ni mmoja tu alieumba mbingu na ardhi,mm naona anapiga kilele tu hajui chochote akasome quran vizuri
Allah ametajwa ktk bibilia original ya ki-ebrania ikiwa inamaanisha Mungu wa Ulimwengu. Hizi za siku hizi zimerekebishwa ZAIDI ya mara 500 kwa maslahi ya kundi Fulani la watu
Alhamdulillah ni sis waje wake ndio tunamsifia hivyo na si Mungu anasema hivyo.. Watu hawaelewi dini ya Islam wala kur ani wsnapiga tu makelele ya tafsiri za uongo
Mtu anashindwa hata kugoogle tu akaona nini maana ya Allah. Allah ni kiarabu maana yake God ni huyo huyo mmoja. Kuhusu masanamu wapi tunaona masanamu na mapicha misikitini au makanisani? Si tunaona masanamu ya Yesu na Maria makanisani? Yesu alikataza kuabudu masanamu. Ash hadu alaila hailala wa ash hadu anna Muhammad arasulallah. Imani ya waislam katika kor ani kwamba nakiri kwamba hakuna apasae kuabudiwa kwa haki ila mwenyezi Mungu na ninakiri kwamba hakina Muhammad ni mtume wake. Ajabu mtu bado anachanganya kati ya Mungu na mtume wake
Tangazo! Tangazo! Wakristo tuingie ktk maombi maalum ya kumwombea NDACHA. Ili Mungu amlinde na mabaya
Ndacha umeumaliza uisilamu ni wao tu kuamua Mungu yupi wakeeli wakumtunikia je ni wamasanamu au aliyehai aliyemtuma yesu kristo aliyehai
Ndacha Hana mpinzani
Wa Islamu ni watu ambao wanajuwa ukweli alakini wanataka kupoteza hao wasiyo jua ukweli katika bibiliya.
Pastor ndacha mungu akubariki Kwa kutangazia wa Islamu ukweli
Ndacha ndacha wewe 😂😂😂 BWANA YESU ASIFIWE
kumekucha hahah
Hahahahaha 😂😂😂😂😂😂 duh ndacha kiboko et walio kwenye huo msikiti wao wanaangalia wapi hehehe😂😂😂😂
SOMENI BIBLIA KWA SAUTI JUU KWA WATOTO WENU. SOMENI Ezekiel Verse 23 kwa sauti ya juu.
Ndacha up makini sana nimecheka
Alafu bado mutu amekatalia kwa uisilamu 😂😂
Huyu ndacha amesoma kweli na kama amesoma anaakili vizuri kweli?mungu wa ibrahim baba wa mitume ndio tunaemuabudu hakuna mungu isipokuwa mungu ni mmoja tu alieumba mbingu na ardhi,mm naona anapiga kilele tu hajui chochote akasome quran vizuri
Ndasha Oyyyy🇲🇿
Kabisa ndacha
Hivi kuna aya ndani ya Quran au Bibilia inasema Allah sio Mungu wa kweli???
naomba jibu wakristo maiki hiyo chukueni🎤
Matendo ya Muhammad ndiyo yanayo muwakilidha allah,angalia maisha ya Musa, Yoshua na Yesu kisha ulinganishe na mud ndipo utajua ni tofauti kabisa
Hii dini haina tofauti na wale wanaoenda kwa mwamposa mwaminni YESU KRISTO muokolewe
Dini ya Hawa watu ni ya kutengeneza na watu sio ya kweli😢
Wanawaingiza watu motoni pasipo kujua
Ndacha waondolee hao Mawani ya MBAO
Ndacha ni kiboko ya waislam
Mungu ni mjapan anaumba motorcars
Allah ametajwa ktk bibilia original ya ki-ebrania ikiwa inamaanisha Mungu wa Ulimwengu. Hizi za siku hizi zimerekebishwa ZAIDI ya mara 500 kwa maslahi ya kundi Fulani la watu
Yaani ninyi hamutosheki na promises ya kitabu yenyu Quran ? Leave the Bible alone.
Ndacha MUNGU akubaliki ila uskatae utatu mtakatifu wa MUNGU nitakuwa skuelewi soma 1yohana 5:8
Ujui ulisalo
Ujui usemalo
Utatu haupingiki
Mm ata iyo utatu imekata kuningia kw akiri juu mna yesu n mna mungu
Muombe Mungu akusaidie maana kwa biblia hakuna Utatu ndg
uwislam nuru 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Yes ni Nuru kw upotefu
mweye bashikirina amuna mungu
musilimu mufate mungu wahaki wenye azari afanani nacocote allah uwislam utazidi kuwa nuru 🙏🏿🙏🏿🙏🏿allah Akbar
Ubarkiw san Ndacha
Alhamdulillah ni sis waje wake ndio tunamsifia hivyo na si Mungu anasema hivyo.. Watu hawaelewi dini ya Islam wala kur ani wsnapiga tu makelele ya tafsiri za uongo
Huyu anajichanganya tu akidhani yuko Shakahola anapotosha tu ma kutoa maelezo yake binafsi akiita tafsiri
Au kuna aya inasema Allah sio Mungu wa wakristo ndani ya Quran au Bibilia 🎤
Kumbe Mungu wa wakristo anazaa anaenda matenet huu ndiyo ukafri kweli
Kwa Quran shetani ana kizazi, je shetani anaenda maternity?
Ninyi ni sawa na wapagani tu maana hapo kwenye Al Kaaba kuna nini umo ndani
Hakana point zaidi ya povu
Wewe umbwa hii
Mtu anashindwa hata kugoogle tu akaona nini maana ya Allah. Allah ni kiarabu maana yake God ni huyo huyo mmoja. Kuhusu masanamu wapi tunaona masanamu na mapicha misikitini au makanisani? Si tunaona masanamu ya Yesu na Maria makanisani? Yesu alikataza kuabudu masanamu. Ash hadu alaila hailala wa ash hadu anna Muhammad arasulallah. Imani ya waislam katika kor ani kwamba nakiri kwamba hakuna apasae kuabudiwa kwa haki ila mwenyezi Mungu na ninakiri kwamba hakina Muhammad ni mtume wake. Ajabu mtu bado anachanganya kati ya Mungu na mtume wake
Jina la Mungu wenu nj nani ?
Wewe ndacha ni ngombe kabisa , wewe unastahili viboko
Hivi viboko ni hoja gani? Vunja hoja kwa hoja nyingine, sio kwa viboko. Kwani wafuasi wa marehemu Muhammad wanatetea dini yao kwa viboko?
Jifunze kusoma kusoma wewe kafiri