Mbona hakuna nyimbo kwa msikiti maswali ya wakristo leo ni mengi sana Mmoja asilimu

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 22 чер 2024

КОМЕНТАРІ • 100

  • @aburaasmedia3682
    @aburaasmedia3682 28 днів тому +14

    Asalamu aleykum. Huyu msomaji mdogo ni poa sana. Mungu awape nyinyi wote na sisi janaatul firdaus

  • @user-yl3be9ix4y
    @user-yl3be9ix4y 28 днів тому +7

    Asallam allay kum nipo nyanza lac prov. Makamba burundi nawapongeza kwajuhudi zenu simpati sheikh yahya issa aliacha daawa na gerishon nawapenda

    • @aburaasmedia3682
      @aburaasmedia3682 28 днів тому +2

      Yahya Issa, Sh Suleyman Mazinge wa Kenya na Ustad AlBashir siwaoni pia siku hizi.

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  27 днів тому

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh wako wote

  • @Idysalim
    @Idysalim 28 днів тому +9

    Haki vile napenda daawah, siwezi lala sija sikiza nikikosa new post narudia ya kitambo, Allah awafanyie wepesi wakufundisha kila wakati inshaAllah, tunafaa kushare kwa wingi haya mafundisho pia yafikie wengi zaidi
    Jazzakallahu-Kheir

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  27 днів тому +1

      Masha Allah yeah watu wa share kwa wingi inn shaa Allah

    • @SalmanMughal-lq5lt
      @SalmanMughal-lq5lt 13 днів тому +1

      MashaAlla.hatamiendye..ugonjwa.wangu.napenda.napendampaka.napenda.tena.nahisi.kunenepaHaswaa.na.raha.yauislam.mashaAlla.Allah.awalipe.malipo.mema.mashehe.wetu..naummat.Muhammad.Swalallahu.alyh.wasam.tujaaliwe.yarabi.tufe.mwisho.mwema

  • @sonaratz
    @sonaratz 28 днів тому +10

    Alhamdulillah imefika, huwa siendi kulala mpaka niangalie dawah 🤲🏾

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  27 днів тому +1

      Tunakupenda kwa ajili ya Allah

    • @SalmanMughal-lq5lt
      @SalmanMughal-lq5lt 4 дні тому

      HatamieNdyo.rahazangu

    • @SalmanMughal-lq5lt
      @SalmanMughal-lq5lt 4 дні тому

      Huyo.kachanganya.nimakanisayao.ndyo.yanaUbaguzi.syo.waislam.Sema.BISM..MAsha.Allah.shekh.wetu.Salm.Allah.Awaifadh

  • @iddyjuma8036
    @iddyjuma8036 28 днів тому +8

    Ninashkur sana bado naendelea kuwafatilia...Allah awatie nguvu Inshallah

  • @Sal.0
    @Sal.0 28 днів тому +5

    MashaAllah, MashaAllah, leo na juzi mwanafunzi wa Team, ame pewa na fasi yakuwa Somea Ma Ustad, Vitabu zinazo taki kana!
    Mazoezi Mazuri sana yakuwa DAEE in Future!
    Well done team.
    MashaAllah, watu wana endelea ku OKOWA Nafsi yao.
    Karibu ISLAM, Bro Ali!
    Ai watu wa Kiambu wana Hamu yaku pata mafundisho Top Class from hii Team!
    Very intelligent control from Ustad SALIM and Team.
    Na Kijana aki anzia na kusema "Audu billahi mina Shetani rajeem", ONCE, basi mimi nafikiri, hana haja kui repeat the next time aki endelea, au aki CONTINUE kama msaomaji mpaka mwisho!
    Akishai soma Once, basi tosha. My ordinary opinion.
    TabarakAllah Team

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  27 днів тому +1

      Huyu atakuwa mwalimu mzuri sana inn shaa Allah hapa kiambu county wanahamu sana kujua uisilamu

    • @Sal.0
      @Sal.0 27 днів тому +1

      @@salimdaawah123
      Masha'Allah, idea nzuri sana ku anza ku Train vijana wetu!
      Hapo ndipo wata toka Future DAIES!
      Hii Training Programme pelekeni mbele sasa, Insha'Allah.
      Well done Team.

  • @ibrahimmohd6859
    @ibrahimmohd6859 28 днів тому +5

    Watatu wa mwanzo na mm nimo 🎉🎉🎉

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  27 днів тому

      Masha Allah tunakupenda kwa ajili ya Allah

  • @mahmudmugarura2175
    @mahmudmugarura2175 27 днів тому +3

    Mashallah Mungu awazidishie Barka Nyingi Masheikh wetu

  • @everlynechepkoech5649
    @everlynechepkoech5649 28 днів тому +4

    Mashallah tabarkala...Allah awazidishie kanxi mzuri

  • @abdiidaawah-yv9bg
    @abdiidaawah-yv9bg 28 днів тому +5

    Alhamdulillah nitajikaza mpaka kieleweke In Shaa Allah

  • @user-du2fy5sd5u
    @user-du2fy5sd5u 28 днів тому +6

    مشأ الله تبارك الله

  • @user-rc7oi2hp8l
    @user-rc7oi2hp8l 28 днів тому +4

    Karbu ndugu uliesilim.Allah akuogoze ukifa muislam kamili

  • @254trends
    @254trends 26 днів тому +2

    Assalamualaikum maustadh kanzi nzuri naona kijana amepiga luku kali sana

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  26 днів тому

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh hahaaaaaaa

  • @user-rc7oi2hp8l
    @user-rc7oi2hp8l 28 днів тому +3

    Ma sha Allah tabaraka Rahman

  • @alialkindy6690
    @alialkindy6690 27 днів тому +2

    Mashallah.
    Mungu akuzidishieni ilmu inofaa na rizki ya halali kubwa

  • @mwangimuhammad-sx9hb
    @mwangimuhammad-sx9hb 27 днів тому +2

    Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuhu... mazbut hapo ndani ya Githurai. Allah awahifadhi nyote

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  27 днів тому

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh ameen ameen ameen sote

  • @Noorein-ws8wk
    @Noorein-ws8wk 28 днів тому +4

    Eeee wa mwanzo leo alhamdulillah

  • @user-du2sv5fb5s
    @user-du2sv5fb5s 26 днів тому +2

    Ya Allah tujalie mwishomwem amin

  • @user-du2sv5fb5s
    @user-du2sv5fb5s 26 днів тому +3

    Musomaj wa Quoan nimemukubaliii Allah amubaliikii tufanyiy wepex kwaxhugulizet mbali mbalii atujalie mwisho mwem

  • @bahsansheikh6042
    @bahsansheikh6042 27 днів тому +2

    Mungu Awalipe kheri

  • @user-wm9xn9iy4s
    @user-wm9xn9iy4s 27 днів тому +2

    Mashallah Allah awazidishie kila kheir

  • @diangasahad
    @diangasahad 27 днів тому +1

    asalaam aleykum warahmatullahi wabarakatuh shehe wetu daawah pia mwafaa kufukisha huku Kagwe Na githunguri Inshallah Kwanza Kagwe hata Hanna msikiti😢

  • @mufid707
    @mufid707 День тому +2

    Allah'hu Akbar Allah'hu Akbar ❤❤❤🎉🎉🎉.

  • @SalunumaulidmsumiMsumi-cc2im
    @SalunumaulidmsumiMsumi-cc2im 27 днів тому +2

    Yaani bwana mdogo yuko vizuri katika kusoma mpaka raha jazaka llah kheri❤

  • @user-du2sv5fb5s
    @user-du2sv5fb5s 26 днів тому +2

    Mashaalla

  • @mohamedbillowadan1520
    @mohamedbillowadan1520 27 днів тому +2

    Mashallah ❤❤❤

  • @SalmanMughal-lq5lt
    @SalmanMughal-lq5lt 4 дні тому +1

    Walykm.msalam.warahatuh.wabarakatuh.mashehe.wetu.Allah.awalipe..janna.lnshaAllah..Masha.Allah.shekh.Salm.napenda.unavyo.semaga..SIKILIZA.HABARI🤣🤣🤣🤣🤣🇹🇿🇹🇿

  • @hythamhashiem4458
    @hythamhashiem4458 28 днів тому +4

    Wote hao wanao sema hawana dini otawaona wakitetea ukristo

    • @YusufOsman-ej3ic
      @YusufOsman-ej3ic 27 днів тому +3

      Wanajificha wakona wasiwasi na io dini😂😂

    • @SalmanMughal-lq5lt
      @SalmanMughal-lq5lt 4 дні тому

      ​@@YusufOsman-ej3ic🤣🤣ukisto.niaibu.miezaman.Nilijuwa.ukisto.ni.Uchafu.semasasa.kimeongezeka.ukriso.niaAibu🤣🤣🤣🤣🤣

  • @daidibrahimadam482
    @daidibrahimadam482 27 днів тому +2

    MASHALLAH

  • @adrisshagi1255
    @adrisshagi1255 14 днів тому +1

    Asalamu aleykum akhi Islam . Ume sahau ku onyesha. Kuwa islamu ku segenya vile umbaya

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  14 днів тому

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh inn shaa Allah

  • @hassanimouigni6648
    @hassanimouigni6648 28 днів тому +5

    Alhamdullilah kua muislam kua mkristo ni mtihani mkubwa kutamka kwa kinywa yesu ni muislam halaf niwe mkristo ni mtihani mkubwa
    Tumshuru mungu kutu epusha na mtihani wa ukristo alhamdullilah alhamdullilah

    • @GamingLimbe
      @GamingLimbe 28 днів тому +2

      Naam Shekh wangu jambo ambalo tunahitaji tudumu nalo ni ibada ya salaa maana ndio mtihani kwa Waislamu Wengi nyakati hizi
      Tupo katika haaki lakini hatumuabudu aliyetuumba Mtihani kweli kweli

    • @isahbarasa
      @isahbarasa 28 днів тому +1

      Amin mwalimu

  • @AlhajiSaidi-uo8zl
    @AlhajiSaidi-uo8zl 23 дні тому +2

    tz

  • @user-fm8dz1bt8l
    @user-fm8dz1bt8l 22 дні тому

    yani hii daawa tamu sana❤❤❤❤

  • @josemu870
    @josemu870 27 днів тому +1

    Mafundisho mazuri na yenye utaratibu wa kitabu yani mawaidha ya Koran mwenyezi Mungu amulide Allahamdhullah

  • @salhkasmm558
    @salhkasmm558 28 днів тому +3

    Muislam haendi jihad mpaka kuwe na zulma ilofanyika najihadi ipo nikulipiza ufisadi.

  • @SalmanMughal-lq5lt
    @SalmanMughal-lq5lt 4 дні тому +1

    Wakristo.wamesimamaHapo.maskin.wanatiauruma.nyuso.zao.hawanatumain.naDini.yao.

  • @HassanSaid-eu2pv
    @HassanSaid-eu2pv 27 днів тому +2

    eeebaba korna,korna baba korna😂😂😂 kutoka zanzibar tunawapata vizuli

  • @YusufOsman-ej3ic
    @YusufOsman-ej3ic 27 днів тому +3

    Ukristo sio dini ndo maana wakona wasiwasi

  • @aliabdallah8456
    @aliabdallah8456 26 днів тому +1

    Hiyo ni dini ya kupenda muziki tu na kuimba vitu hata havieleweki mbele mbele nyuma nyuma na nyimbo mpya inasema Yesu ninyandue Yesu ninyandue unitie mimba ya imani

    • @khadijahamina8457
      @khadijahamina8457 25 днів тому

      😂😂😂 nimtiyani kabisa

    • @chiefmkalikibz1503
      @chiefmkalikibz1503 11 днів тому

      😅😅😅😅😅😅😅😅😅Aaaah Wacha!!!!
      Yasema hivyo kweli😮?

    • @SalmanMughal-lq5lt
      @SalmanMughal-lq5lt 4 дні тому

      Wenyewe.utasikia.Haluluyaaa.Ammeen..unajiuliza.ninini.kimewafurahisha...Ataujinga.wao.ameen

  • @SalmanMughal-lq5lt
    @SalmanMughal-lq5lt 4 дні тому +1

    SikilizaHabariii 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @user-xh6mt8xj9d
    @user-xh6mt8xj9d 27 днів тому +1

    Wanaume hawaruhusiwi kuvaa mapambo ya wanawake mf bangili cheni hereni nk ktk uislamu sijui dini nyengine

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 24 дні тому +1

    Sheikh Salim , unaelewa nini Kumbukumbu 24:16 ?

  • @mohagurey2214
    @mohagurey2214 27 днів тому +1

    Gurale sio matusi kwanza, it means "none cushitic" na ni neno ya kiborana. Pia hakuna mtu anadhulumu gurale in Mandera or Garissa, that's a lie, tayari wako wengi huko na we live in peace and harmony

  • @KareemMkobe
    @KareemMkobe 10 днів тому +2

    Natamani niwe kama nyie walimu Allah sw anijarie anifanyie wepesi