PROFESA TIBAIJUKA ACHAFUA HEWA CCM

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 27 вер 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

КОМЕНТАРІ • 72

  • @ZaidSeifSuleiman
    @ZaidSeifSuleiman 3 дні тому +8

    Huyu bibi tibaijuka haya maneno mazuri anayasema baada ya kustaafu ubunge wakat yumo ccm hakuwahi kusema maneno kinyume na chama chake

  • @frugensifaustine3889
    @frugensifaustine3889 3 дні тому +8

    Nashangazwa na watu waliyokuwa kwenye mfumo hawakushauri lakini wakishatoka ndo wanakuwa walimu wa kuurekebisha mfumo😂

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 2 дні тому

      Unauhakika na unacho kuzungumza nenda kafatilie Historia ya huyu Mama

    • @froma3732
      @froma3732 2 дні тому

      History ya Huyu ni kuwa Alichukuwa pesa za Uma halafu akajibu ni za Mboga Wakikosa ndio wanakuwa Wajuzi sana kurekebisha mambo

  • @hockingsshangali1747
    @hockingsshangali1747 3 дні тому +1

    Mahakama kwa kutumia sheria iliruhusu kupitia kesi ya mchungaji Mtikila hayati kwa sasa.

  • @jacksonsilaa415
    @jacksonsilaa415 3 дні тому +1

    Faida ya vyama vya siasa haipo tangu kuwepo kwa hivyo vyama vyenyewe

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 3 дні тому +4

    Alikuwa wapi kusema wakati hajatoka Hana jipya

    • @jacksonsilaa415
      @jacksonsilaa415 3 дні тому +2

      Hajachelewa ni wakati muafaka

    • @rashidissa5887
      @rashidissa5887 2 дні тому

      Kila jambo lina wakati wake

    • @seifkassim5872
      @seifkassim5872 День тому

      Ukiwa kwenye mfumo wa ccm uwezo sema chochote Cha aki.ataukiona mtu anauliwa mbele yako uwezi sema ihi ndo ccm bana

  • @JohnManyilizu-rl5bm
    @JohnManyilizu-rl5bm 3 дні тому +1

    Nijambo jema sana mgombea binafi

  • @stanslausbernard5950
    @stanslausbernard5950 3 дні тому +1

    Wewe profesa Tibaijuka kwani zile Sh. 1,600,000,000/- za mboga zimeisha mara hii? Kweli aliyepata hatosheki

  • @Veni584
    @Veni584 3 дні тому +1

    Mama una akili wawepo wagombea binafsi kama ubunge wa Shirikisho

  • @fxmeddy9567
    @fxmeddy9567 3 дні тому

    Wananchi wanahitaji muwakilishi bora na sio muwakilishi wa CCM

  • @mariamibrahim6544
    @mariamibrahim6544 2 дні тому

    Alafu madogo hawa bana, wanajikuta list ya wana habari

  • @privatusmbehoma8186
    @privatusmbehoma8186 3 дні тому

    Chama kimoja ni kuanzia 1965 Bara TANU na Zanzibar. 1977 CCM!

  • @isacklaizer6776
    @isacklaizer6776 3 дні тому +2

    Mgombea binafsi...ni tishio kwa vyama vya siasa.

  • @aristarikimrina3830
    @aristarikimrina3830 2 дні тому

    CCM ndo wanaogopa wanajua kwa sababu waki ruhusu kama mtu ambae anakubalika na wanannji asipo teuliwa atakua mgombea binafi

  • @fridayjkajange1247
    @fridayjkajange1247 3 дні тому

    Wow iwe hivyo tupate nafasi maana wazee wanangangania juu

  • @Anna-im5jr
    @Anna-im5jr 2 дні тому

    Huyo Mother mbona alipokuwa kwenye mzunguko wa mezani kuwa waziri.Walikataa KUPITISHA MGOMBEA BINAFSI.Baada ya kutemwa utamu wa Uwaziri.Kaona madhara yake.Yeye awe mpole tu
    CCM PIGA GEUZA HILO SUALA HAWALIKUBALI.YEYE MWENYEWE TUBAIJUKA ANAELEWA.

  • @vincentmwanakoya4943
    @vincentmwanakoya4943 2 дні тому

    Amezeeka

  • @boxdad
    @boxdad 2 дні тому

    Ola kitenge na magezeti kama chupi kwa tako

  • @wemapaschal2325
    @wemapaschal2325 3 дні тому

    Chama kimoja ilikua 1965

  • @Chemba67
    @Chemba67 3 дні тому

    LIPIGIENI CHAPUO HILI SUALA WAANDISHI , HII NDIO NJIA PEKEE YA KUONDOA HAWA TUSIOWATAKA WANAOHARIBU NCHI YETU KWA MASLAHI YAO.

  • @harounali9057
    @harounali9057 3 дні тому

    Jiunge na chama cha Zambarau

    • @jacksonsilaa415
      @jacksonsilaa415 3 дні тому

      Chama cha zambarau kina zambarau ndani yake, political party hatuvihitaji tunahitaji uwakilishi tu siyo porojo za siasa.

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 3 дні тому

    Kwa kweli iwe hivyo kama alivyosema Tibaijuka Mgombea binafsi awepo irudi sheria hiyo maana wananchi wamechoka kuishi kwa wasiwasi

  • @KassimAlly-xp4dz
    @KassimAlly-xp4dz 3 дні тому +1

    Mgombea binafsi akiharibu nani atamuwajibisha

  • @NgamelaYussuph
    @NgamelaYussuph 3 дні тому

    Kama Mgombea Binafsi Akiluhusiwa Kuwe Na Sheria Kama Za Marekan Awe Na Utajili Usiopungua Kiasi Fulani mana Mgombea Binafs anaweza kutuuza Nae akatomkia mbali

    • @alexKasanda-if5xl
      @alexKasanda-if5xl 8 годин тому

      Hiki ndo kinachofanya watanzania tunakuwa vipofu wa fikra unaposema utajiri Fulani unafanya matajiri waendelee kujimilikisha nchi Kuna wa2 so matajiri wanamaono na mitazamo chanya juu ya taifa Hilo kuliko hao matajiri achana na upofu wa fikra amkaaa mzee kumekucha

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 3 дні тому +5

    Mgombea huyo binafsi ataleta sera nzuri kila Chama hakieleweki vurugu tupu

  • @frankcharles3980
    @frankcharles3980 7 годин тому

    HIZO PESA MRIZO PEWA MTAJA MZITAPIKE MITANGAZAJI MICHAWA HII INAKERA SANA NYIE ENDERENI KUMTUMIKIA KAFIRI SIKU YENU YAJA PUMBAVUU

  • @wanguwangu34
    @wanguwangu34 День тому

    Mifumo ya tawala za kiafrica huwa hairuhusu mtu kutoa maoni yake wazi kuogopa kuadhibiwa lkn sasa yuko free kusema na ukweli sisi ccm tunaogopa wagombea binafsi maana wakiwepo tukiwakata watenda kugombea binafsi na kushinda.

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 День тому

    Zembwela, ukitaka kupunguza umri wa kuishi ingia kwenye Siasa. Usidhubutu

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im 2 дні тому

    CCM wameiteka nchi. Nchi imekuwa kama mali ya chama cha CCM. CCM imewanyima watu uhuru wa kuchaguwa viongozi wanaowataka. CCM imevibana vyama vya siasa. Ni kama tuna chama kimoja. CCM imeuwa vyama vya upinzani. Iwape uhuru watu wachaguwe viongozi wanaotaka.

  • @OmaryMaulid-k3m
    @OmaryMaulid-k3m 2 дні тому

    Mgombea binafsi atakua anawajibisha na nani?? Ukiwa chini chama maana yake chama kitakusimamia mienendo na weledi. Sasa ukiwa binafsi alafu ukawa mbunge, chombo gani kitakuwajibisha?? Mgombea binafsi ni kama mwanaume asiye na ndoa.

  • @PULKERIAIZIDORY
    @PULKERIAIZIDORY 2 дні тому

    Ila mgombea binafsi anaweza ila katiba ibadilike ili wananchi waweze kumuwajibisha akiwa amefanya tofauti na sheria zetu

  • @BossiLaizer
    @BossiLaizer 2 дні тому

    Irudi TU wengine tunapenda siasa lakini vyama geresha tu

  • @brother_majesty
    @brother_majesty 3 дні тому +2

    KATU CCM HAITOKUBALI CHANGAMOTO KAMA HIZO...HAO JAMAA SIO KABISA

  • @AdamCheze
    @AdamCheze 2 дні тому

    Najifunza Sana Nikiwa Nawasikiliza Na Kuwaangalia Kila Siku Hiki Sio Kipindi Tu Ni Darasa

  • @PULKERIAIZIDORY
    @PULKERIAIZIDORY 2 дні тому

    Tumechoka na ccm ni bora waruhusu mgombea binafsi

  • @mariamibrahim6544
    @mariamibrahim6544 2 дні тому

    Tz bana bibi nae saizi kaibuka chimboni

  • @michaelmshighati8432
    @michaelmshighati8432 День тому

    Mgombea binafsi ni Lazima sio CCM wakipenda Au Cuf wakipenda Sasa nilazima tunahitaji mabadiliko ndani ya CCM na Nje ya CCM hakuna wakipenda Mgombea binafsi Uchaguzi 2024 na 2025 Nilazima.

    • @benswai8099
      @benswai8099 День тому

      Wewe sema watanzania hawajaamua

  • @AndreaNzunda-f7o
    @AndreaNzunda-f7o 2 дні тому

    Tunataka mgombea binafsi

  • @ayububrantaya6624
    @ayububrantaya6624 2 дні тому

    Zembwela😂😂😂😂nawe huna chama

  • @tumainimayala8187
    @tumainimayala8187 3 дні тому +2

    Kabisa..maana huyu mgombea wenu hana mashiko kabisa…

  • @georgejagi3717
    @georgejagi3717 День тому

    Chumvi😂😂

  • @dismasjohnas5970
    @dismasjohnas5970 3 дні тому +1

    Ccm ni waoga hawaturusu hiko kitu

  • @athumanmapunda
    @athumanmapunda 2 дні тому

    Iweke tu

  • @RamadhaniKitala-gx6wc
    @RamadhaniKitala-gx6wc 3 дні тому +1

    Safi sana mgombea bunafsi

  • @SaugoNdemo-tx4le
    @SaugoNdemo-tx4le 3 дні тому

    Wasio na chama ni wazuri sana kwani wao na katiba ya JMTZ TU.

  • @billimambo9517
    @billimambo9517 3 дні тому

    Sasa ruzuku itagawanyikaje?

  • @Muhammedually
    @Muhammedually 3 дні тому +1

    Kidumu chama cha mapinduzi