Kuna vitu najifunza kutoka Kwa Mzee wasila Mimi ni wadalasa la Saba lakini Huwa nashanga maneno ambayo Huwa wanatoa wanasiasa Huwa wana mzungumzia mtu mmoja tu ambae alikutwa kafa lakini Huwa wana ficha kuhusu walio potea wanakua kama hawaelewi kuwa kunawatu wana lala Mika kupotea Kwa watu
Ninachotambua Kuna amani ambayo inatokea ndani ya mtu kuwa na amani. Na kuna mtu anashinikizwa kukaa kwenye shinikizo ya kuwa na amani wakati hana amani hivi kwanza amani ni kitu Gani? Tafuta sosi ya neno amani.nafikili hatutamambui.neno amani
Anasema Rais alisema 4R hazibasili Sheria lakini anasahau Sheria inaruhusu maandamano na polisi wanajua Hilo. Samia anajua wazi kuwa tuna Sheria kandamizi na zimepingwa hadi mahakama zimetoa wito kwa serikali kuzirekebisha ndio mnataka kuziita Sheria?
Kwanini Raisi asikitishwe tu na kutekwa kwa Mh Kibao hali kuna wengi wamepiga kelele kupotea kwa vijana kama Soka Mbise zkipanya etc. Je hawa hawana haki ya kuishi. Mh Wasira hata siku moja hujaongea busara zaidi ys ushabiki kwa Ccm hata pale jambo liko wazi sana
Eti watu wsnaokufa ni watu wa Chadema. Kumbe sio watanzania. Kila aliyeko CDM hsna haki ya kulindwa na kutetewa na Akina Wasira . Muulizeni vipi vijana wanaopotea hawako kwenye maandamano
Hawa CCM wanavyo ongea utafikiria hii nchi ni mali yaoo !!! Watu wamechoka na utawala wenu. Nyinyi wapuuuzi. Hayaa yote yamesababishwa na UOGA wa TANGANYIKA !!!! Tumechoka kutawaliwa na WATANGANYIKA. !!!!!! Nyinyi hamuna uwezo wa uchunguzi. Nyinyo uwezo wenu ni wiziii. CCM MIJIZIIIIIIIIIII.
Nilitamani na ninatamani intrlijensia iwe inawahi kuzuia maafa ya wananchi. Kwa nini watu hufa na kupotea ktk utendaji wa inteliijensia?Hadi watu wadai haki kwa nguvu?
Katika mizee ya hovyo kwenye hili Taifa na michawa isiyo na msaada kwa Taifa letu kwa sasa Hili siku zote ni kutetea uovu sijawahi kulisikia likitoa ushauri wa kujenga Taifa letu tena kama mzee Waryoba na mzee Butiku! Hovyoooo kabisa!
Huyu Mzee Huwa namshamgaa sana kwa. Umri wake anapaswa kuwa mkweli sana na asiyeogopa kukosoa pale kunapokuwa na uvundo kama huu wa juzi. Chadema walisema wazi kuwa madai yao ni kuona baadhi ya viongozi wanaohusika kuwajibika kwa kushindwa kutekeleza majukumu yao . Na pili wanataka vijana wao walipoitwa polisi na baadae kutoweka waachiwe huru au Jeshi la polisi litoe majibu wako wapi. Sasa kujifanya kuwa anajua kusping Kuna mwarabia uzee wake.. mbowe aliosema akifa oombewe ni kwa sababu ya madhila wanayofanyiwa wapinzani.
Nduguzangu watanzania usikubar mwanasiasa akufanye mzigo wa MAVI yan akwambie njoo tuandamane noh you have to diside your self not some one else came no where pushing you to do yan hiv mtanzania ukitaka kuandamana andamana kwa manufaa yako binafs sio kwa hawa wanasiasa kutaka kuwatumia wananchi kwa manufaa yao binafs shenz kabisa mm sinauchama ila hua sipend kuona wanasiasa watanzania kutufanya kama magenda heka wkat tunaakili yakufikiria watanzania em tuamke Kama kutaka kuingia barabaran tuingie kwa sababu zetu binafs sio kwa sabubu watu fulan kukwambia tuingie barabaran japo hawa Ccm pia mieyusho kenya wananchii waliamua kuingia barabaran ila si shinikizo la wanasiasa upuuz tu
Hawa waliokuwa wanapanga kuiondoa serikali madarakani polisi ndiyo waliotoa maelezo hayi iweje hawakuchukua hatua yoyote kuwakamata na kuwahoji kwa njama hizo wakati wana ushahidi wa kila jambo.
CCM ni wahalifu namba moja Wanatisha Watu, wanateka na kuua watu ni Siasa za Kishamba hakuna MAGADI Tanzania ni polisi wanatumika kutisha, kuteka na kuua watu
Hatutegemei wazee kukosa busara kwa sababu ya umri wao. Hatutegemei wazee kukosa maarifa. Hatutegemei wazee kuwa waoga wa kusema ukweli Hatutegemei wazee kuwa wajinga.
Wewe ndiyo zwazwa anae unga ujinga wenu ndiyo anafaa, akiwapinga chawa unaujuwa uchawa, wewe pia ni chawa wa wajinga hawa.msijidanganye kuwa mnaungwa mkono na watz sivyo, hilo ni lenu chadema tu. Pumbavu nyinyi.
@@hassanthabit3726 Hassan uwe na utu ndugu yangu. Siku moja Mola atakupitisha wewe na familia yako ktk mazingira ambayo hawa wanaolalamika sasa wanapitia. Ukisimamia ukweli utapata thawabu kutoka kwa Allah. Mungu akupe hekima ya Suleiman kutambua huyu mtoto anayepiganiwa na hawa mama wawili( CCMnaCHADEMA) ni wa nani.
Huyu Mzee ni mpuuzi kabisa hafai
Wazee wenzio wameishtukia ccm Bado wewe Wasira!!!!!!
Huyu mzee ubongo wake umesinyaa haelew chochote anatakiwa aachwe alale
Acha magumashi mdingi
Namuona mpoki amezeeka
Kuna vitu najifunza kutoka Kwa Mzee wasila Mimi ni wadalasa la Saba lakini Huwa nashanga maneno ambayo Huwa wanatoa wanasiasa Huwa wana mzungumzia mtu mmoja tu ambae alikutwa kafa lakini Huwa wana ficha kuhusu walio potea wanakua kama hawaelewi kuwa kunawatu wana lala Mika kupotea Kwa watu
Unaposema Samia must go hapo hakuna amani
Mzee wangu labda uzee umeingia ila uccm upo kichwan ila seeka kwa amani naona hauna jipya maana wewe unalindwa na polis na ccm hatuna la kusema.
Ninachotambua Kuna amani ambayo inatokea ndani ya mtu kuwa na amani. Na kuna mtu anashinikizwa kukaa kwenye shinikizo ya kuwa na amani wakati hana amani hivi kwanza amani ni kitu Gani? Tafuta sosi ya neno amani.nafikili hatutamambui.neno amani
Ni nini kinyume Cha neno AMANI,,
Huyu akili imeshachoka mnamchosha mzee mwache apumzike.ndio Walio tufikisha hapa.
Wewe ni mpuuzi sana huo ni ujinga
Anasema Rais alisema 4R hazibasili Sheria lakini anasahau Sheria inaruhusu maandamano na polisi wanajua Hilo. Samia anajua wazi kuwa tuna Sheria kandamizi na zimepingwa hadi mahakama zimetoa wito kwa serikali kuzirekebisha ndio mnataka kuziita Sheria?
Hovyo la mahovyo
Yaani humu hamnamo kitu! Ngoja nizime data kwanza!
Muwe mnatafta wazee wa kufanya nao mazungumzo cio uyu mlala bungeni
Hiyo kauli ndio inayompa maisha maana hajiwezei kwa kazi yotote, uongo na uchwa ndio unafanya aishi hadi leo
Hivi uchawa na ukuadi kunatofauti?
@@abdallahkihanza482nyinyi mafara mnaubonge wa ndege
Mzee ana akili sana
Huyu WASIRA acheni kumhoji ni chawa na kisiasa amechoka
Mzee yupo sawa kabisa
Usawa upi huyo Tyson hana jipya @@ShamteMohmed-ed2kk
Kajifunze Kwa wenye uzee mwema kama Warioba
Hawa ndio legend CHAWA, the oldest of all chawaz!
Wasira, the chimpanzee huna hoja
..
Kwanini Raisi asikitishwe tu na kutekwa kwa Mh Kibao hali kuna wengi wamepiga kelele kupotea kwa vijana kama Soka Mbise zkipanya etc. Je hawa hawana haki ya kuishi. Mh Wasira hata siku moja hujaongea busara zaidi ys ushabiki kwa Ccm hata pale jambo liko wazi sana
Eti watu wsnaokufa ni watu wa Chadema.
Kumbe sio watanzania.
Kila aliyeko CDM hsna haki ya kulindwa na kutetewa na Akina Wasira .
Muulizeni vipi vijana wanaopotea hawako kwenye maandamano
ZEE zima CHAWA DUH!
Hawa CCM wanavyo ongea utafikiria hii nchi ni mali yaoo !!! Watu wamechoka na utawala wenu. Nyinyi wapuuuzi. Hayaa yote yamesababishwa na UOGA wa TANGANYIKA !!!! Tumechoka kutawaliwa na WATANGANYIKA. !!!!!! Nyinyi hamuna uwezo wa uchunguzi. Nyinyo uwezo wenu ni wiziii. CCM MIJIZIIIIIIIIIII.
Nilitamani na ninatamani intrlijensia iwe inawahi kuzuia maafa ya wananchi.
Kwa nini watu hufa na kupotea ktk utendaji wa inteliijensia?Hadi watu wadai haki kwa nguvu?
Mzee pumzia utajibu nini kwamungu wachie taifa lakesho wanachotaka
Lisu hadi leo hakuna uchunguzi wowote uliifanyika watu wamechoka na porojo zenu wauaji nyinyi wezi majambazi ccm na polisi nyote matapeli tu
Mzee wasira hana busara yakiutu uzima yssni anakuwa ki ccm tu na hana maana
Kiukwel tangu nmfahamu huyu Mzee enzi za tawala zilizopita pamoja na kupita wizara na nyadhifa nyingi sijawahi ONA mchango wake ktk Taifa letu!!!
SOMA WAKUU Wakipungukiwa na Akili Nchi Huangamia Huyu Mzee wetu Kapungukiwa sana Haifai Kumu Uliza Chochote Mwacheni Apumuzike jamani
We.zeee sema hajatekwa mwanao
Mzee uliwahi kuwa NCCR mageuzi 1995 ongea Kama mtu uliyewahi kuwa chama B
Samahani webabu mchwa nao unachoka sifa sionzuli mbona sasa wewe ni baabu alafu unatamaa gombea bas
Labda mi sijaelewa,mtangazaji kusisitiza maridhiano iv wanaridhiana Kuhusu nini?Maridhiano ya kitu gani.
Kwa hiyo CHADEMA wamehalifu katiba . Mbowe.na Lissu Wawajibishwe
Wewe usiwe muongo nyinyi waandishi maleemu kachukuli na polisi alafu kakutwa amekufa tumlaumu nani usilete siyasa pumbavu nyinyi
Katika mizee ya hovyo kwenye hili Taifa na michawa isiyo na msaada kwa Taifa letu kwa sasa
Hili siku zote ni kutetea uovu sijawahi kulisikia likitoa ushauri wa kujenga Taifa letu tena kama mzee Waryoba na mzee Butiku!
Hovyoooo kabisa!
Mzee anachosema amani izingatiwe tusiige mawazo ya nje na nchi ina tusihukumu tumsikilize tu
Mzee wewe ni tatizo pia mambo mangapi serikali huwa inasema inachunguza na hakuna majibu kwa miaka kadhaa?
Nilikiwa lazima huyu mzee aongee upumbavu tu
Huyu Mzee Huwa namshamgaa sana kwa. Umri wake anapaswa kuwa mkweli sana na asiyeogopa kukosoa pale kunapokuwa na uvundo kama huu wa juzi. Chadema walisema wazi kuwa madai yao ni kuona baadhi ya viongozi wanaohusika kuwajibika kwa kushindwa kutekeleza majukumu yao . Na pili wanataka vijana wao walipoitwa polisi na baadae kutoweka waachiwe huru au Jeshi la polisi litoe majibu wako wapi. Sasa kujifanya kuwa anajua kusping Kuna mwarabia uzee wake.. mbowe aliosema akifa oombewe ni kwa sababu ya madhila wanayofanyiwa wapinzani.
HUYU SIYO WA KUMWITA KUMHOJI. MWITENI MZEE WARIOBA. HILI DUDE HALIJAWAHI KUIUNGA MKONO DEMOKRASIA.
Nduguzangu watanzania usikubar mwanasiasa akufanye mzigo wa MAVI yan akwambie njoo tuandamane noh you have to diside your self not some one else came no where pushing you to do yan hiv mtanzania ukitaka kuandamana andamana kwa manufaa yako binafs sio kwa hawa wanasiasa kutaka kuwatumia wananchi kwa manufaa yao binafs shenz kabisa mm sinauchama ila hua sipend kuona wanasiasa watanzania kutufanya kama magenda heka wkat tunaakili yakufikiria watanzania em tuamke Kama kutaka kuingia barabaran tuingie kwa sababu zetu binafs sio kwa sabubu watu fulan kukwambia tuingie barabaran japo hawa Ccm pia mieyusho kenya wananchii waliamua kuingia barabaran ila si shinikizo la wanasiasa upuuz tu
Wewe usipotoshe ummahatuna imani nanyi. Wate daji ninyie, wachunguzi nyie m arufanya mazuzu golila wewe
Hawa waliokuwa wanapanga kuiondoa serikali madarakani polisi ndiyo waliotoa maelezo hayi iweje hawakuchukua hatua yoyote kuwakamata na kuwahoji kwa njama hizo wakati wana ushahidi wa kila jambo.
Upo vizuri mzee wetu lakini makenge wengi hapa watakutukana tu hawakubali ukweli lakini ukweli utabaki pale pale 🤣🤣🤣
Sema Wasira ni mpuuzi kweli huyu mzee! Ujana wake kweli alikuwa machachari lakini utu uzimani amekuwa mpuuzi asiyejielewa kabisa.
Umri na anayoyafanya ni vitu viwili tofauti kabisa, mtu mzima ovyoo.
CCM ni wahalifu namba moja Wanatisha Watu, wanateka na kuua watu ni Siasa za Kishamba hakuna MAGADI Tanzania ni polisi wanatumika kutisha, kuteka na kuua watu
Ila ukitoka hapo usihau kwenda kustahaf uwaachie na wengine hiyo chansi Ajira nichache mzee
Umechoka acha uongo
Wewe fara mzee Anaonge ukweli
Mzee huyo acheni kumuhoji atahojiwa na wakati uchawa ache angetekwa mwanae angejua vizuli kweli mukate wa ccm amekula sana
Safi mzee maana waandishi wetu wengi si wadadavuzi wa mambo na kwa kifupi ni kwamba tunavyama vingi vya siasa je kwa nini kila siku chadema?
Vyombo vyetu chagueni wazee wa kuhojiana nao ambao wanauwezo mkubwa wa kufikria.
Waandishi mmekosa mtu wa kuongea nae..., mwambieni huyo akalale maana alilalamika mmemharibia usingizi
Alafu Hawa waandishi wanakupotezea muda mbona wanakuuliza maswali kama hawaja soma kata kipindi tafazarii
Khasira ukaa kwenye kifua Cha mpumbavu poleni mlio kasirika
Mamba zee ....atakufa na ujinga wako naomba mungu aniepshe na hilo ...
Mi namheshimu sana huyu mzee kwa umri wake ila kwa kweli hayupo sawa hapo mnamaliza mb zetu tu
Sioni hapo swali la maana kutoka kwa waandishi, hao ni machawa wote.
Dhambi hii itatutafuna kama blue imegeuka kuwa nyeusi daaah kazi ipo mungu tusaidie ili ikweli utuweke huruuuu
Unaongeaaga nini mzee, ndio maana Tawala wa Awamu ya tano uliwaambia mkapumzike, maana anwafahamu..
Huyu mzee anaongea point tupu lazima tumuunge mkono.
Mzee unafaa kwa maojiano safari nyingine wakuite wew unajua sanaa maisha marefu wasira
Mizee.isiyo kuwa na busara kama Hilo li wasira halina jipya Hilo
Ngoja itekwe familia yako na kuuliwa ndio utajua chadema walikuwa sahihi au la
Tujifuze kuhurumiana kwaza ndy tubaki namapez ya vyama
Uhuru unakuja kesho
Utamaduni wetu ni woga eti? Wakati umefika, woga baas!
Mzee umepitwa na mda hivi kweli wewe haujui kwamba watu wanapotea
Ccm waachieni vijana tangia nipo chekechea jamani pumzia mzee
huyu Mzee AKILI imechoka!!!
Saafiii mzeee mm naunga mkono maneno Yako utamadini wa watanzania ni Amani
Mzee wetu uko vizuri. Ahsante
ay huyu nae anaona anaongea points!!! ujinga kwel
Watangazaji gani mnaoshindwa kuuliza maswali
Wakazi inaonekana akili alitoa kwa Mama sio kwahuyu mzee
Huyu hakubaliki kabisa. Anamharibia rais wetu
Hili zee nalo la wap kwan, au ndio lile lakusinzia bungeni
Napoteza mb apa ngoja ntoke kabisa
Mzee mwenyewe kama nyani sasa ataongea nn chamaana
Hatutegemei wazee kukosa busara kwa sababu ya umri wao.
Hatutegemei wazee kukosa maarifa.
Hatutegemei wazee kuwa waoga wa kusema ukweli
Hatutegemei wazee kuwa wajinga.
Huyu kakosa vyote hivyo kwa bahati mbaya!
Kama muliwatishia wangekujaje.musinge wazuia
Uzushi ni ushahidi ???? hicho nikisingisio tu
Wanawake wanahuruma aiseeee
Mzee yuko vzr hazina ya nchi
Hii MIJAMBAZI ishapita na wakati, inaporoja ipewe fupa linong'one
Hovyo tuko na Lisu mtaumbuka sana zamu hii
Sura tuu kama lizee lisilo kuwa na busara
Wew acha uogo wako 😎😎
Kama mpuuzi nenda kaandamane mpuuzi
Mzee aliyezeeka na ujinga wake
Kumbe mzee chawa tu 😂😂 mjinga kabisa
Umezeka.vibaya.hatahekima.hauna
Chawa mzee yupo kwenye samli kisha sahau ccm walivomfanya mpaka akakimbilia chadema, sasa yupo patamu kawa mpambe wa ccm
Wewe unaonesha kiwango cha UCHAWA NA UZUZU wa hali ya juu.
Wewe ndiyo zwazwa anae unga ujinga wenu ndiyo anafaa, akiwapinga chawa unaujuwa uchawa, wewe pia ni chawa wa wajinga hawa.msijidanganye kuwa mnaungwa mkono na watz sivyo, hilo ni lenu chadema tu. Pumbavu nyinyi.
Hao mafara wanadhani TZ ni mafara. CHADEMA pumbavu lema watoto wake na mzee wapo nje. Waganga njaa wanaburuzwa
@@hassanthabit3726 Hassan uwe na utu ndugu yangu. Siku moja Mola atakupitisha wewe na familia yako ktk mazingira ambayo hawa wanaolalamika sasa wanapitia. Ukisimamia ukweli utapata thawabu kutoka kwa Allah. Mungu akupe hekima ya Suleiman kutambua huyu mtoto anayepiganiwa na hawa mama wawili( CCMnaCHADEMA) ni wa nani.
Ukizeka akili nazo hovyo
Upewe maua yako mzee umejibu vizuri na kwa busara wew ndio tunu yetu ya taifa maisha marefu
Mwwweeee
Mzee wa hovyo
Mzee ni brainwashed
Ni chawa huyu
Wape somo watawala
Huyu Mzee ata contribute nini katika siasa za nchi hii. He is spent up force, is almost an imbecile!?