Kwana watu humu mtajifunza kitu mungu huwa anamlipa mtu kulingana na alicho kifanya manaona kama wana wakera ila mtu anazungumuza kitu ambacho hata wewe kingekutokea usinge simama kama yeye ila mungu ana makusudi na wewe akupe uzima siku zote bado tunakupenda❤
Ki msingi inaumiza sana. Lakini unakuta wapo watu baadhi Wana comment mambo ya hovyo. Nadhani watu wa jinsi hiyo wana roho zipendazo damu. Pepo hizo mwende mkaombewe muwe huru na wenye huruma
Ogopa sana mtu anayejifanya mlokole nyuma yke asilimia kubwa kuna meng,makonda sasa hv anajifanya mtakatifu na mwenye huruma sanaa lkn mkikumbuka alikuwa mshenz sana mbabe wa ovyoo ushuhuda tu wa hili inshu ya clouds kipindi kile mbk wakapishana na marehemu ruge😢😢😢😢mama samia ungejifunza mwenzio leo analiwa na funza,hii dunia wote tutapita tu,madaraka yasiwalevye😢😢😢😢
Hata wew fuza watakula Kuma la mama yako mkundu wew hiv nyie wabongo kila maovu yanayofanyika nchi hii lawama zote kwa rais hii hapana magufuri alikuwa mzalendo sana kwangu nasema hii hapana
Kwani yeye damu yake Ina thamanni kushinda ya wengine? Chuki zimemuzidi anajinyima raha. Wewe uko tayari kuwa na Rais kama Tundu Lissu? Mtu Mwenye nongwa zisizoisha. Hata akipata huwo urais, ataiongoza Tanzania VIP-ie? Na uchungu alio nawo?
Wewe una moyo gani na KANISANI unaenda kila siku kufanya Nini,,hata walikufanyia SAMEHE,, NENO la MUNGU linasema SAMEHE saba mara sabini,,,sasa unamtuhumu MTU alishakufa..wewe tungeneza MAISHA yako vizuri na MUNGU ili hata ukifa uende sehemu SAHIHI...hakuna faida hapo..mtafute MUNGU sana.
Analalamika kivipi? Anachoongea hukifahanu au unajitoa ufahamu?. Yaani watu wajinga km ww mpk yaikute familia Yako au wanaokuhusu ndo utajifanya unoangea
Tundu lissu anajifanya kupigania haki za wengine wakati yeye mwenyewe ni wakala wa wazungu wanyonyaji, huyu akiwa rais naye atakuwa mpigaji tu, anapambania tumbo lake na sio watu.
Bashite nimbaya sana anajivisha ngozi ya kondoo kumbe ni mbwa mwitu, pamoja nayote mbona ulibwagwa?? Arfu amekuja kukumbukwa na mama Ebu tubu mrudie mungu tengeneza njia zako damu zawatu cio sawa mungu hapendi
Dunian huko kwa akina Trump na ulnz wake kala SHABAAAA.......... Huku ndich kwetu vipiiiiii?? Hatma yako imefkia wap?? Umejaribu kuwapa ushirikiano police kwa wakat huu umeonaje maana kila siku utaongea tusikilize then ikawa hamna ishu au ukazd kuwapandkiza wenye chuki na wewe wazd kukuangalia kwa jicho jingine.
Lissu tumechoka na kelele żako. Huwo wimbo unaouimba kila siku watanzania wamechoka. Kama hii ni campaign ya urais, pindisha, waambie watanzania utawafanyia nini ukisha upata urais. Magufuli hayupo tena, Wazungu hawawezi kukusaidia nafikiri na wawo wamechoka. Punguza hasira, hazikusaidii zitakuuwa. Wewe ni mtu aina gani. Kugombana na mtu ameisha kufa inakusaidia nini. Unaongea mambo bila ushahidi. Marekani wamempiga marufuku MAKONDA kuingia Marekani, kwani kuna nini Marekani? Mbona wewe ulienda na ukapakimbia? Marekani kitu gani? Hakuna wauwaji kama Marekani. HUNA haya wewe musomi kuisifu Marekani, KAMA kuna nchi imeleta shida duniani kote ni AMERICA. Tundu Lissu wewe hafai kabisa kuwa kiongozi wa nchi yeyote Africa. You are a PUPPET
Yaani Muda wote mnaishi kwenye visasi, uongo, visa ,chuki , mnadhani hiyo ndo siasa? Yaani Kila siku ni kuleta uchochezi na chuki na vurugu. Tumewachoka sana siasa hamuiwezi . Kama unawajua wataje, pia Suala hili ni lako binafsi usilihusishe na Chadema. Halafu wewe ACHA kumtaja Magufuli wetu ACHA apumzike
Ipo siku haki itapatkana Inshallah, people's power, taratibu tu watanzania wataanza kujitambua, mschoke kutusemea nyie mlioko huko juu, wakabeni mpaka penalty itafahamika tu.
huyu jamaa naye fala kweli ! yaani toka mwaka 2017 kila siku ni kueleza upuuzi utadhani wewe ni dhahabu pumbavu zako ? walikufa Mitume na Manabii utakua we mbuzi ? kwani utaishi milele unadhani ? hayo yalishapita fanya mambo mengine kima wewe ?😏
Pole sana Tundu kiongozi mkweli, madilifu na mtu ambaye ungeweza kuunda Tz mpya na WaTz wapya ambao ni wenye elimu, uelewa wenye tija. Mungu akulinde,akupe afya njema, uhai mrefu n.k. WaTz wengi wa sasa ni mtihani mkubwa, maana hamna elimu, uelewa goi goi n.k.
Yote tisa, kumi ni kwamba mnadhank wapinzani kua na maneno mengi wakikabidhiwa nchi itaenda kama mnavyotaka ila ukweli nikwamba uongoz hautaki mbwembwe za porojoporojo nyingi
lissu katika vitabu vya mungu wanasema samehe Mzee wangu tugange ya jayo na bahat mbaya kiongozi unayemshutumu sana ametangulia mbele yake Sasa wakati wa kushikaman na kujenga nchi Mzee wangu tujifunze kusamehe na tujenge Inchi yetu Mzee kama mtanzania mzalendo .niombe makonda amefana sana kwenye nafasi yake ya mkuu wa mkoa na anafanya vizur zaidi na Arusha imekaa sawa now mwacheni jemedaki poul makonda aendelee na kazi niseme Mzee mambo yake yalipita tugange yajayo mwanasiasa botra Huwa Huwa anasamehe na kuganga ya jayo
Kwanini asifungue kesi yeye si mwasheria au ndiyo anataka huruma ya wananchi sisi atumchagui mtu eti kwakuwa alishambuliwa pili dereva wake yupo wapi mbona akuumia?
Mwanasiasa Hana tofauti na mzungu, wakumwamini ni marehemu pekee maana tunawaamini Kisha mnatugeuka mkisha para pasenti zenu! Shukuru Mungu ikiwa back uko hai.
najiuliza tu kama mtanzania mwenye akiri timamu, mtu yoyote had akufanyie ubaya lazima kuwe na sababu, unajaribu kuipinga nchi kwenye vita ya uchumi we nani labda?
Nakumbuka lisu Alikuwa wakili wa kesi iliyo pelekea ndege moja ya tanzania kukamatwa Canada, ndo magu alimuita kama msaliti na ndo maana alimiminiwa lisasi
Duniani hapa tunapita kweliiii kuna watu wanafikiiiiii sanaaaaa watakufa vibaya sana watakufa midomo wazi makonda anajifanya anasali sana mtu wa mungu kwa baba mwamposa mtume anasali sana adi makamasi na machozi kumbe mtu mubaya sana anaweza kuua mtu kusimamia mauajiiii sababu ya maslahi tu cheo na pesa eeeh kweli viongozi ni matumbo yao tu
Hii Tanzania Ina vijana wa hovyo sana haijawahi kutokea, Yaani maovu YOTE haya yanayotokea na ushahidi wanao ila kama hawaoni, inasikitisha sana.... Comment zao zakipumbavu kabisa
Kwana watu humu mtajifunza kitu mungu huwa anamlipa mtu kulingana na alicho kifanya manaona kama wana wakera ila mtu anazungumuza kitu ambacho hata wewe kingekutokea usinge simama kama yeye ila mungu ana makusudi na wewe akupe uzima siku zote bado tunakupenda❤
Kweli kabisa kaka yangu , mimi nakereka kweli watu wakimbeza huyu bwana
Ukiona mtu anamlaumu huyu jamaa uyo ni kwakua hajavaa viatu vyake kbs, uezijua umuhimu wa maumivu ad utapojua yalivyo
Ki msingi inaumiza sana. Lakini unakuta wapo watu baadhi Wana comment mambo ya hovyo. Nadhani watu wa jinsi hiyo wana roho zipendazo damu. Pepo hizo mwende mkaombewe muwe huru na wenye huruma
Duuh leo hii millard ayo nae anapost interview ya lissu 😂 kweli mambo yanabadilika
Hata mimi nimeshanga sana nilijua ayo ni ccm
Si wamemteka mwandishi wake
@@abumuhammad9615yup huyo bro
Mimwenyewe nashanga
Mwandishi wake yupi Kaka @@abumuhammad9615
Ogopa sana mtu anayejifanya mlokole nyuma yke asilimia kubwa kuna meng,makonda sasa hv anajifanya mtakatifu na mwenye huruma sanaa lkn mkikumbuka alikuwa mshenz sana mbabe wa ovyoo ushuhuda tu wa hili inshu ya clouds kipindi kile mbk wakapishana na marehemu ruge😢😢😢😢mama samia ungejifunza mwenzio leo analiwa na funza,hii dunia wote tutapita tu,madaraka yasiwalevye😢😢😢😢
Exactly 💯
Mmmh mbona umefka mbali sana Dada, Alikufanya nini JPM
Kama unadhani ni rahisi,na wewe jifanye mlokole! Huu ni mkakati,why now??
Tukio la "clouds" linatoa sura ya mtu alivyo madarakani
Hata wew fuza watakula Kuma la mama yako mkundu wew hiv nyie wabongo kila maovu yanayofanyika nchi hii lawama zote kwa rais hii hapana magufuri alikuwa mzalendo sana kwangu nasema hii hapana
Tuache kutumia tgo..Hatupo salama
Laini zote z cm hiyo ni stage ya mwisho kujuwa uko maeneo gan
Wewe kama uko na ushahidi kamili,usitumie sisi tutatumia
Damu ya mtu aimwagiki bure lazima tu majibu yatoke
Kwani yeye damu yake Ina thamanni kushinda ya wengine? Chuki zimemuzidi anajinyima raha. Wewe uko tayari kuwa na Rais kama Tundu Lissu? Mtu Mwenye nongwa zisizoisha. Hata akipata huwo urais, ataiongoza Tanzania VIP-ie? Na uchungu alio nawo?
Please, DEREVA WAKO YUKO WAPI? MBONA HAJAONEKA HADI LEO NA NDIYE ALIKUWA FIRST KUHOJIWA
Alishawahi kuulizwa mbona kama miaka 3 iliyopita? Akasema dereva alipata kazi Belgium na akaamua kuhamia huko huko na familia yake.
Dereva atakuwepo mahali penye ulazina kuwepo
Atakuja kutoa ushahidi mahakamani kuwa muelewa
Damu ya mtu haimwagiki bure
MUNGU atusaidie amani 😢idumu 🇹🇿🌹
Mfungulie kesi mkuu
Mungu sio Athuman waliokuchimbia kabuli wamezikwa wenyewe alale mahala pema utafanya yote mabaya mwisho wa siku unakufa bila kupingwa
Mungu alishatujibu katika hilo Mungu hajaribiwi yuko wp sasa mbwa yule ishi tundu
Hata mimi, wewe nahuyo unaemwambia aishii wote tutakufa
Ye mwenyewe atakufa buana....wote tutakuwa hakuna kuishi milele@@abubakarysaid2772
Bongo kikubwa uzima🙄
Idiamin akfa mm siwez😂😂😂😂
😅😅😅😂
😂😂😂😂
😂😂😂
Kwa makonda tunampenda sanaaa tena sana
Wewe na nani?
Kwahiyo tufanyeje?
Jisemee nafasi yako
na wewe@@antidiusegbert5562
Na MAMAAKO 😂@@antidiusegbert5562
Unamupandaje muuaji fala ww makonda na sabaha wananuka damu zawatu
Wewe una moyo gani na KANISANI unaenda kila siku kufanya Nini,,hata walikufanyia SAMEHE,, NENO la MUNGU linasema SAMEHE saba mara sabini,,,sasa unamtuhumu MTU alishakufa..wewe tungeneza MAISHA yako vizuri na MUNGU ili hata ukifa uende sehemu SAHIHI...hakuna faida hapo..mtafute MUNGU sana.
Upigwe risasi alafu usamehe
Au mkuki kwa nguruwe
😮
Ww ungeweza
Huwezi kusamehe kama kama mkosaji hajakiri na kuacha makosa!.
Sasa kwanini.msipeleke kesi mahakamani hapo ni kuuwa ushahidi wataharibu mifumo ulitakiwa ku mute
Mahakama ipi?
We mgeni hapa Tz ?
Umeishia darasa la ngapi?
Mmh
yaan mlalamikaji unataka uitwe kulalamika polisi
😂😂maajabu hayo, na ni mwanasheria eti
Uyu ni mwanasheria, Wewe ni mvuta bangi huwezi kuelewa mambo ya kisheria, Wewe unaweza kujua bangi nzuri na mbaya tu ayo mengine huwezi jua
Unajua hapa hatuongelei mambo ya kesi za kitoto 🥷🥷
@@Kabi_47Anadhani ni kesi ya ugoni 😂😂
Rest in hell mwendazake
Chadema kila siku mnalalamika tu jamani vipi mlego wenu ni upi
Kma mpka leo ujui basi endelea kulala tu ndgu yangu.
Wanalalamika vipi mtu anasema ukweri kashambiriwa na risasi je ungepigwa wewe risasi ukikaa kmya kuwa na roho ya binadam unakuwana loho ya mnyama
Analalamika kivipi? Anachoongea hukifahanu au unajitoa ufahamu?.
Yaani watu wajinga km ww mpk yaikute familia Yako au wanaokuhusu ndo utajifanya unoangea
@MsevenSaudisNa Angefirwa Kama ROMA JE😂aidi
Na Angefirwa Kama ROMA Je
Angekumbusha kumbsha😂
Kabla mwenye tigo hajasema yote atupiwa nyie subirini
Tulishachoka na hadithi zako
Hivi ata utu kidogo tu huna, muogope Mungu, ujiuliz aliye jifanya mwamba ss hv ni marehemu na aliye pigwa risas yupo hai
Kasikilize za baba yako kwani nani kakwambia usikilize hii habari mbwa wewe
angeuliwa na babako afu ndo useme uo upuuzi wako
Ndio wewe nn mhusika
Pumbavu kabisa mbwa wewe
Huyu nae ni wale wale wanaojikomba kwa wazungu. Tunahitaji viongozi wazalendo wa nchi yao
Si mbaya kujikomba kwa watu wanaokujali kipindi unapokabiri magumu
Tundu lissu anajifanya kupigania haki za wengine wakati yeye mwenyewe ni wakala wa wazungu wanyonyaji, huyu akiwa rais naye atakuwa mpigaji tu, anapambania tumbo lake na sio watu.
Bora hata upigaji,huyu ni shoga,anabanduliwa huko ubelgiji
Comment Nyingi Humu wanao comment wengi ni Mbumbumbu Mnooo kweli Tanzagiza
Ww ni zaid ya chizi
We Msenge nn
mbona hukuandika comment yako yenye utashi na akili nyingi kiongozi
Kweli wengi machizi na Rais wao Makonda
@@samuelmlapwa7858 Ukibishana na Mjinga na wewe utaonekana na Mjinga Waache Wararuane Wenyewe 🚶🚶
Bashite nimbaya sana anajivisha ngozi ya kondoo kumbe ni mbwa mwitu, pamoja nayote mbona ulibwagwa?? Arfu amekuja kukumbukwa na mama Ebu tubu mrudie mungu tengeneza njia zako damu zawatu cio sawa mungu hapendi
crown Media maana halisi ya utoaji wa habari
Siku waandishi wa habari wakiacha kuwa chawa...nchi itabadilika
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni..📌📌📌 anachoongea lissu hakuna asiekijua au kukielewa!!! 👌
Naye tundu lissu huyo anapigania tumbo lake, msidanganyike, anatumiwa na wazungu wanyonyaji kuleta vurugu nchini
Usimtetee
@@ppcvk-f8xkweli kabisa.
Ndugai alisema hajui alipo
@@ppcvk-f8xlabda ameleta vurugu kwako nyumbani 😅😅
Dunian huko kwa akina Trump na ulnz wake kala SHABAAAA.......... Huku ndich kwetu vipiiiiii?? Hatma yako imefkia wap?? Umejaribu kuwapa ushirikiano police kwa wakat huu umeonaje maana kila siku utaongea tusikilize then ikawa hamna ishu au ukazd kuwapandkiza wenye chuki na wewe wazd kukuangalia kwa jicho jingine.
Lissu tumechoka na kelele żako. Huwo wimbo unaouimba kila siku watanzania wamechoka. Kama hii ni campaign ya urais, pindisha, waambie watanzania utawafanyia nini ukisha upata urais. Magufuli hayupo tena, Wazungu hawawezi kukusaidia nafikiri na wawo wamechoka. Punguza hasira, hazikusaidii zitakuuwa. Wewe ni mtu aina gani. Kugombana na mtu ameisha kufa inakusaidia nini. Unaongea mambo bila ushahidi. Marekani wamempiga marufuku MAKONDA kuingia Marekani, kwani kuna nini Marekani? Mbona wewe ulienda na ukapakimbia? Marekani kitu gani? Hakuna wauwaji kama Marekani. HUNA haya wewe musomi kuisifu Marekani, KAMA kuna nchi imeleta shida duniani kote ni AMERICA. Tundu Lissu wewe hafai kabisa kuwa kiongozi wa nchi yeyote Africa. You are a PUPPET
Shukuru Mungu you still alive,saa nane,yupo wap,azori gwanda. 😢samehe tu muachie Mungu ameshaanza kulipa kisasi
Huna llote ww....usitupeleke unavyotaka..acha tujitafte wnyewe
Yaani Muda wote mnaishi kwenye visasi, uongo, visa ,chuki , mnadhani hiyo ndo siasa? Yaani Kila siku ni kuleta uchochezi na chuki na vurugu. Tumewachoka sana siasa hamuiwezi .
Kama unawajua wataje, pia Suala hili ni lako binafsi usilihusishe na Chadema.
Halafu wewe ACHA kumtaja Magufuli wetu ACHA apumzike
Yani ww wangekumaliza2.....ukitaka kutuletea ushoga nchini
Lissu, you are a good story teller andaa movie moja hivi maana upo vizuri kwa stori
Ipo siku haki itapatkana Inshallah, people's power, taratibu tu watanzania wataanza kujitambua, mschoke kutusemea nyie mlioko huko juu, wakabeni mpaka penalty itafahamika tu.
huyu jamaa naye fala kweli !
yaani toka mwaka 2017 kila siku ni kueleza upuuzi utadhani wewe ni dhahabu pumbavu zako ?
walikufa Mitume na Manabii utakua we mbuzi ?
kwani utaishi milele unadhani ?
hayo yalishapita fanya mambo mengine kima wewe ?😏
Pole sana Tundu kiongozi mkweli, madilifu na mtu ambaye ungeweza kuunda Tz mpya na WaTz wapya ambao ni wenye elimu, uelewa wenye tija. Mungu akulinde,akupe afya njema, uhai mrefu n.k. WaTz wengi wa sasa ni mtihani mkubwa, maana hamna elimu, uelewa goi goi n.k.
Makonda jembe letu. Piga kazi mzee baba. Wasikutoe kwenye reli wanasiasa hawa ndani ya Ccm na nje ya ccm.
Na aliyepanga kaenda zake mlengwa kapona anasimulia....Mungu wetu mkubwa sanaa🙏🏿
Yote tisa, kumi ni kwamba mnadhank wapinzani kua na maneno mengi wakikabidhiwa nchi itaenda kama mnavyotaka ila ukweli nikwamba uongoz hautaki mbwembwe za porojoporojo nyingi
lissu katika vitabu vya mungu wanasema samehe Mzee wangu tugange ya jayo na bahat mbaya kiongozi unayemshutumu sana ametangulia mbele yake Sasa wakati wa kushikaman na kujenga nchi Mzee wangu tujifunze kusamehe na tujenge Inchi yetu Mzee kama mtanzania mzalendo .niombe makonda amefana sana kwenye nafasi yake ya mkuu wa mkoa na anafanya vizur zaidi na Arusha imekaa sawa now mwacheni jemedaki poul makonda aendelee na kazi niseme Mzee mambo yake yalipita tugange yajayo mwanasiasa botra Huwa Huwa anasamehe na kuganga ya jayo
Bashitee moja ya watawala wa ovyoo vijana nimewai kuwashuhudia ni bashite mkuu wa mkoa arusha,anajikosha na mwamposa ,ipo siku moja tu tutamamliza💪💪
kwamba tundu lisu ninan hadi tumwamini kila analosema!!
Yan inaonekana 2 sio sis watanzania tulio mchagua samia.
Mda wake 2 ishe atoke uuu
Tumechoka kwa kweli
Hiyo ulishatusimulia,vipi kuhusu Marehem Medi
Kwanini asifungue kesi yeye si mwasheria au ndiyo anataka huruma ya wananchi sisi atumchagui mtu eti kwakuwa alishambuliwa pili dereva wake yupo wapi mbona akuumia?
Mwanasiasa Hana tofauti na mzungu, wakumwamini ni marehemu pekee maana tunawaamini Kisha mnatugeuka mkisha para pasenti zenu! Shukuru Mungu ikiwa back uko hai.
Kwa hiyo Task force ya Tanzania wanapigaga risasi 16,kwa target moja?, wadukuzi wa tz ndio wako hivyo kweli
najiuliza tu kama mtanzania mwenye akiri timamu, mtu yoyote had akufanyie ubaya lazima kuwe na sababu, unajaribu kuipinga nchi kwenye vita ya uchumi we nani labda?
Makonda alizuiliwa marekani sababu ya kupinga ushoga vikali, alizuiliwa zamani sana kabla ya lissu kupigwa risasi.
Wewe nawe tumekuchoka kila siku magufuli magufuli huna king kingine cha kufanya
Safi sana jemedar lisu hii nchi ya wauaji lakin Wana vaa ngozi ya ulokole.
Utahangaika sana waliokujeruhi wanaweza kuwa haohao machadema yako
Bado uwe makin mana mama amesema kuwa amewaita mrud nchin mjenge nchi lakn mama akasema nmeanza kuota mikia,!!! Xo be careful!!!
Unaongea sana ww ila chadema kuitawala hii nchi bado sana
Walizani hawata julikana bt now wameshaa julikanaa hahahhaha kwa mm nikishaa wajuaga tangia kipindi kileeee bt now mamboo hadharani
BOYCOTT
TIGO NETWORK
KATAA KUTUMIA MTANDAO WA TIGO
HAUTUNZI SIRI NA TAARIFA ZA WATEJA WAKE
Tuombe sana Mungu jambo kama hli lisawahi kufanya jambo baya kama hili ata kama tuko tofauti kimtazamo kisiasa
sasa kiongonzi mbona agenda Yako ni ile ile tu ya kupigwa risasi.mwamba kashatangulia we pambana na waliohai .sio kila siku kumshtumu mwamba
Nakumbuka lisu
Alikuwa wakili wa kesi iliyo pelekea ndege moja ya tanzania kukamatwa Canada, ndo magu alimuita kama msaliti na ndo maana alimiminiwa lisasi
Sema yote ila usimwongolee mwamba wetu Magufuli
WAZUNGU HAWANA RAFIKI WA KUDUMU!!, MISSION YAO IKIISHA AU IKIKWAMA UNAKULA YA USO , BORA TUKALIME TU..
Haka ka story kana sisimua mjue 😂😂😂 hasa mwa wanao sikiza na 👂 phone 😂😂😊
Duniani hapa tunapita kweliiii kuna watu wanafikiiiiii sanaaaaa watakufa vibaya sana watakufa midomo wazi makonda anajifanya anasali sana mtu wa mungu kwa baba mwamposa mtume anasali sana adi makamasi na machozi kumbe mtu mubaya sana anaweza kuua mtu kusimamia mauajiiii sababu ya maslahi tu cheo na pesa eeeh kweli viongozi ni matumbo yao tu
Nyie wajinga mbona mnakatakata
Pigwaaaaaaaa alaha hyo ndio faida ya watu wenye mdomo mdomo
Hii ni vita ya wakubwaaaaaaaaaa wewe kaa chonjoooooooo 😂😂😂😂
Antipas lisuu tunamtaka awe raisi wetu tunamkubali
Siku zako bado zinahesabika Mh...Lissu
Nyinyi ndo mumemuua Raisi Magufuli
Chezeeni akili za wachache ila wanaojielewa wanaelewa tuu
Unachosema lissu inawezekana ni kweli ila kwa chadema na huu muda kawaida sana kuwasikia hivi
Mm naamini ao vijana ndio watu wanateseka sana katika mioyo Yao wametumika kijinga na kwenye ujinga
Chacha wangwe aliuliwa na nani twambie kama ww ni mkamilifu na mkweli
Huna lolote kila siku magufuli wewe faraaa kweli
Pole sana lisu mungu atakulinda ktk maisha yako
😂😂😂😂😂😂 huyu ndio anataka kiwa raisi wa Tz duuuh na mimi nitagombea
Malekani akafanye nini yeye sio mbwa wa wazungu
Ila miladi naomba nikufollow umeacha uchawa saiv. Unapost habar zote❤
Mungu ni mungu tu. Hakika mungu husmama na wenye haki
Naona makonda amemwaga machawa wake kumtetea.
Me hata sikuelew mjinga wew
Hizi hadisi si zishasimuliwa jamani au ndo maandamano yamerudisha nyuma mambo?
Alikua akijibu maswali
Umeishia darasa la ngapi?
hadithi za sungura hizo😂
Utasikia mama anasema ni dramadrama
Lisu we ndo rais achana na vijana wa ccm
Hata wajinga nao wanazeeka😂😂
Mmmh mungu n mkubwa aiseeee
Tuache bana hina cha kutuambia
Kwanini hukkufa kuma wewe
Utalipwa namungu baba
Hii Tanzania Ina vijana wa hovyo sana haijawahi kutokea, Yaani maovu YOTE haya yanayotokea na ushahidi wanao ila kama hawaoni, inasikitisha sana.... Comment zao zakipumbavu kabisa
Mzee wa kutembea na upepo🚮🚮
Unakata vipande vipande
Acha shobo kijana, shukuru kuwa mzima
Fala ww hayajakukuta
Unaweza kusamehe kupigwa risasi😂😂😂
Na walomteka Roma vp mbona kimya
Kwel kabisa duu
SAMIA MPAKA 2040..
Pole sana mjomba 😢