PROFESA MBELE AWASHANGAA WASHAURI WA RAIS

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 27 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 34

  • @SmilingFlowerBouquet-hs2hv
    @SmilingFlowerBouquet-hs2hv 4 дні тому +8

    Raisi ana akili za darasani hana maarfa ndiyo maana wana mugeuza wanavyo taka

  • @RamadhaniKitala-gx6wc
    @RamadhaniKitala-gx6wc 4 дні тому +5

    Siku zote ya kuambiwa na changanya na nako ila rais inatakiwa achukue maoni ya wananchi ili tujenge taifa kuliko kuangali ya upande moja

  • @florencejohn6427
    @florencejohn6427 4 дні тому +2

    Hawa jamaa sometimes wanakuwa critical, sometimes wanakuwa wapuuzi tu, sometimes yanakuwa machawa. Hawaeleweki mbwa hawa. Ndumi la kuwili.

  • @juliuszakayo6771
    @juliuszakayo6771 4 дні тому +4

    Tuaitaji chaadema kuutanga maandamano ya nchi nzima zianzie kila kitongoji TUONE haw polisi

  • @isacklaizer6776
    @isacklaizer6776 3 дні тому +2

    Prof. Yupo sahihi...Ni dhahiri Rais anahujumiwa. Kila kinachofanyika kina impact hasi kwake, kwa Nchi na Chama tawala CCM.

  • @BoniphaceManyama-y2s
    @BoniphaceManyama-y2s 3 дні тому

    Iliwai tokea na kujutia kwa Mkapa inawezekana anashauriwa vibaya , au ni mikosi alliyonayo ktk taifa pengine kushiliki au kutenda makosa yasiyompendeza mwenyezi mungu namshauri ajiudhuru nafasi ya urasi

  • @MsNajma-j7e
    @MsNajma-j7e 4 дні тому +2

    Hi bado tutandamana tu ata kmya kmya police hawajui sheria wananchi wap wakaseme..uko bungeni wabunge wakitoa hoja turia anapnga sasa wananchi wap wakaseme

  • @EllenWaigama
    @EllenWaigama 4 дні тому +1

    Na yeye ni mtazamo yake kama nyie mnavyotoa mitazamo yenu inayoegemea upande wa serikali pasipo kuchambua kwa hali halisia

  • @christophermatupila7165
    @christophermatupila7165 4 дні тому +1

    Vilaza ndivyo walivyo shauliana

  • @juliuszakayo6771
    @juliuszakayo6771 4 дні тому +1

    Kidoogo naendelea kukiamini chombo chenu maana waandishi wengi sasahiv wa nchi yetu wanatia kinyaa ukisikia wakizisifia serikali na na maovu take utachoka, katiba imeeeka wazi kua Rai anakua na washauri wanaolipwa na Ila Sheria Ina sema pamomoja na ushauri wao pia Sheria hiohio Nina sema halamiki kuutumia huo ushauri anaweza shauriwa vizuri Ila anaweza kuuacha huo ushauri nakutumia akili yake huo ndio ubovu wa katiba na Sheria zetu,

  • @lovisfrederick3629
    @lovisfrederick3629 3 дні тому

    Wamechambua nini kuhusu kile alichokisema professor Mbele?

  • @BongoCryptos
    @BongoCryptos 3 дні тому

    Social psychology imemshinda kusoma😂😂😂

  • @RamadanPaul
    @RamadanPaul 4 дні тому +1

    Kitenge😂😂😂😂😂😂😂

  • @EdiltrudesMbonde
    @EdiltrudesMbonde 4 дні тому

    Yaani tunawashangaa Sana!!

  • @PROSPERMAZIGO
    @PROSPERMAZIGO 4 дні тому +1

    Wasafi mnaanza kupoteza ethics ya chombo cha habari.

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm 4 дні тому

    Raisi yeye anashindwa kufikiri. Ana utashi wake au hana. Ni maamuzi yake Raisi mwenyewe na uwezo alionao kifikra na kiutendaji. Mnamtetea sana Raisi ambaye ameshindwa kuiongiza nchi hii. Washauri si viongizi kiongizi ni Samia Suluhu mwenyewe aubebe huu mzigo.

  • @RamadhanAthuman-d4c
    @RamadhanAthuman-d4c 4 дні тому +2

    Washauri hewa hao ipo day kitanuka tu

    • @RamadhaniKitala-gx6wc
      @RamadhaniKitala-gx6wc 4 дні тому

      Wajina Bora angesikiliza ushauri wa wananchi kuliko hawa washauli wake

  • @wanainchitvrdc6705
    @wanainchitvrdc6705 4 дні тому +1

    Kumbe kakitenge haka jui hata kusoma kiingereza

  • @ZaidAKissinza
    @ZaidAKissinza 4 дні тому +1

    Hii ni redio ya comedy? Maana siielewi ndugu zangu

    • @philemonsnyanda9450
      @philemonsnyanda9450 4 дні тому

      Saiv imeanza anza kujirekebisha kidogo zamani huwezi kutamani kusikiliza

  • @Queen-be1uf
    @Queen-be1uf 4 дні тому +1

    Tanzania kila mmoja anajua, hakuna anaejua sheria wala haki. Ni sheria ya Baharini samaki mkubwa anamla mdogo. Wajinga ni wengi sana. Polisi hawajui kazi zao, wanajiona magwanda yao njaa ndo sheria. Nchi yenye dhulma. Kwani Raisi bwege? Hapimi anachoambiwa? Au ndo ktk hao wajinga wenyewe. Anaendeshwa ovyo na anakubali. Rais si muadilifu. Uongozi unatakiwa uwe muadilifu

  • @thehomeoffootballskills4358
    @thehomeoffootballskills4358 4 дні тому

    Usipokuwa makini vyombo vya habari vitakufanya umchukie ane dhulumiwa na ukampenda anaye dhulumu hii ni nuku my marcom x so ukijua athari za media propaganda machine utaelewa zaidi wanahabari ni wakoje Yan

  • @mtakamatv
    @mtakamatv 2 дні тому

    Tatizo mama anafuata mkumbo wa washauri wake wajinga na machawa,wanaomshauri hovyo ili kulinda nafasi zao na ukaribu wao kwa raisi,kiukweli ni vituko na hata sisi watu wa kawaida tunaelewa serikali ya Sasa inajikita kufanya propaganda kandamizi,onevu sana.kulinda vyeo tu.ila wajue dawa ya wenye kiburi mwamuzi ni mungu.

  • @fxmeddy9567
    @fxmeddy9567 2 дні тому

    Kikwete aliwahi kusema yakuambiwa changanya na zakwako

  • @emmanuelmwakyoma5746
    @emmanuelmwakyoma5746 4 дні тому +2

    Raisi kasema serikali yake Ina interegensia kubwa, na interegensia kubwa Ni bwana msiba bwana Yona wachalinze makonda na shehe mwaipopo, watu waio faa boblia inasema watu wazushi waongo wahaini wachochezi watu walio na moto wa kichawi kwenye nchi ili iungue, raisi akiwaamini hao nchi itateketea. Mie najifika kwenye handaki la Yesu

  • @EllenWaigama
    @EllenWaigama 4 дні тому +1

    Na yeye ni mtazamo yake kama nyie mnavyotoa mitazamo yenu inayoegemea upande wa serikali pasipo kuchambua kwa hali halisia

  • @jengojohn6613
    @jengojohn6613 3 дні тому

    Wazee wa minyama mko vizuri. Ila mnatumia muda mrefu sana kwenye matangazo kuliko content, kumbukeni kipindi chenu watu wanasikiliza wakienda makazini, sasa unafika hadi kazini umesomewa tittle mbili tu za gazeti na longolongo kibao kwenye matangazo..Fupisheni matangazo, kipindi kitanogaa

  • @freddopeter
    @freddopeter 3 дні тому

    😂😂😂 habari ni nzur ila Kitenge na Babu leo mmh!😅

  • @davidmapunda7513
    @davidmapunda7513 4 дні тому +1

    Shukrani @Musa Kipanya umesaidia vizuri kusoma neno "psychology" ambalo lilimchanganya @Kitenge...na hata Zembwela naye akafikiri ni makosa ya kiuandishi lakini ni kwamba alijakosewa. "PSYCHOLOGY" linasomwa SAIKOLOJI .