NEW‼️ MABUYU MATAMU SANA YA BIASHARA NA YENYE FAIDA KUBWA SANA
Вставка
- Опубліковано 10 жов 2024
- Assalam Alleyhkhum/Hi Lovies
Asante sana kwa kufika hapa ukitaka video za Biashara ya chakula Link⬇️
• BIASHARA
◼️Ukitaka snacks⬇️
• Eid Snacks
◼️Halfkeki za kila aina⬇️
• Halfkeki
◼️Vyakula vya kiswahili⬇️
• Ramadhan 2022
Thanks for stopping by please Subscribe Road to 50K Subs💃💃
#roadto50k
Hi Lovies
Nimesahau kuwambia kipimo cha chumvi weka nusu kijiko cha chai..pia kama wataka mabuyu yakuwasha sana ongeza pilipili manga kama hutaki yakuwasha usiweke..Please Subscribe na pia share na wengine Nawapenda sana watu wangu wanguvu❤️❤️❤️
Ahsante
Binafsi nakupenda mara mbili ya jana.
Mbna kila nikipika nakosea mum
Santee🙏wajina
Salam aleykum habbty ..
Naeza kuuliza hio kilo mabuyu yaleta kama ngapi ..
Mashallah tabarakaAllah nakushukuru sana nimejua kupika sahii nafanya zangu biashara yanisaidia mungu atakulipa inshallah nimeona afadhali nirudii kutoa shukurani video zako zanisaidia sana
I tried this today for my business thank you may Allah bless your hustle
Allahuma Ameen Darling ❤️❤️❤️
Mashaallah Allah akutiliye barka
Ameen Love
Asante sana dada angu nimepika na umetoka vizuli sana shida hiyo kalatas sijui nitaipata wap🙏🙏🙏🙏🙏
Karibu love sijui uko sehemu gani
Niko mbeya
. mashaallah nakupenda sna we dada unafunza vizuri sna huna choyo wallah Yani hakuna kitu nimeangalia kwenye recipe zako nikapika kikawa kibaya mungu akupe afya njema furaha na amni ndani ya Moyo wako kwani naami kwamba furaha yako ni yetu pia dada angu mi penda Shana ww
nakupenda pia babyy yees najitahidi sanaa kuleta recipe za uhakika na tunazozihitaji majumbali dua tu muzidishe♥️
Shukran Sana habbty na dua njema nakuombea Allah akujaalie kila la kher akuepushe na shar zote habbty
Allahuma ameen my love kwa Islam sote🤲🤲Shukran pls share
@@HadijaSheban namba plz
Don't mind the sufuria ,zingatia unachofundishwa...... Ila hadija nimecheeeeka Allah bless you habibty
Ameen my love sindio hayo mpenzi..nimefurahi umecheka
Want to try thissssssssss,,,,,Inn shaa Allahh..ManshaAllah dearr pambeee
All the best lovie🥰🥰🥰shukran
Asante dear
Asanteeee sana nmeupenda na nmeangalia mara3 hope sitakosea Leo najarb
utaweza muhimu tu ukishajiamini umefaulu
Asante kwa mafunzo..mungu akubariki
Karibu kipenzi Ameen mungu atubariki sote
Nimependa recipe yako masha'Allah Mungu akubariki
Tabarakallah Love shukran
Thanks M/Mungu akubarik
Ameen drar
M/Mungu akutunze dada ❤
Shukran kwa receip naomba uniambie maji natia kiasi gani ntaka kuanza hii biashara yarrabi nifanye wepesi iende
angalia video vizuri nimeeleza
Shukran sister mashallah 🥰🥰🥰🇴🇲🌹
Thanks for the support Darling
@@HadijaSheban no yako plz
Hae dear, I love your content please how much water should I use kama natengeneza mabuyu mingi
Mabuyu ukifanya mchezo unaenda hasra fuata hivi vipimo kama mengi double the amount usichoke thanks
Asante sana nimependa hiyo biashara ya ubuyu
Aww asante sana love wangu
@@HadijaSheban karibu
Aaaaai wewee 😋😋😋MashaAllah TabarakaAllah mumeweza wapenzi thanks kwa ujuzi buyu na unga santa
Thanks mpenzi🥰🥰🥰
Kazi nzuri sana mungu akubariki
Ameen asante sana
شكرا حبيبتي عجبني طريقة عمل المابويو ❤❤❤
Afwan
Nimekupenda bure dada 🇹🇿
Asante love nakupenda pia
Mashallah za look tasty
Assalaamu aleikum dada mashaAllah nmejaribu na nmeweza shukran sanaaa Allah akubarikii
Waaleykhm mussalam my love soo happy for you
Masha alah good nice
Shukran love
Ndo maana I love you walai😍😍😍😘💖... Mungu akubariki🙏🤗
Ameen darling i love you tooo usisahau kushare🥰
I already did💖.... Naomba vipimo vya labania za njugu ya biashara...
Nimejaribu na yametoka vzur mm nimefanya mabuyu kilo mbili wateja wameyashambulia Asante
Awwww karibu sana darling mungu akubariki
Recipe nzuri maa shaa ALLAH
❤️❤️❤️
shukran sana,ila nmepka mabuyu lkn hayakauki, nmkosea wap!
sukari haikuiva vizuri
Naingia kazini kesho inshaallah
ok
Asante sana🙏🙏
Karibu sana
I made today ,itcame yummy
awww shukran
Asante sana
Karibu sana
Nimeipenda. sana
asante
Mashallah mbona mm nikipika rangi sipati nyekundu kama hivi sababu ni nini
Mpenzi labda rangi unayopata sio nzuri
Jaman ni lang zp ama ni zile tunazotengenezea kacholi au kuna rang special?
❤❤kwa hiyo umeongeza baking soda mara mbili? Kwenye sufuria na besheni?
Asalaam aleykom w. W
Hiyo baking soda ulotia kazi yake nini kwenye ubuyu.
Na ahsanteni Sana kwa mapishi yko mazuri mungu akubarik❤️
Waaleykhm mussalam inasaidia kulainisha na kujaza mabuyu yajae unga😋
Mashallah mapish Yako mazuri
Natajaribu InshaAllah
Habibty I love this receipt ila unaayacha MDA gani ndio yaanze kuachana ndio nifunge
Asante unayaacha mpaka yashikane like 2hours
Nimependa
Asante sana
shukraan dada nimejaribu yamekua matam mashallah
Nafurah sana kuskia hivyo hongera
hii baking soda inasaidia nn habibty
Jmn au npike upya sukari iliiva sana sielew ,ninunue ingne maana sielew nisaidie madam
Nitajaribu😂 kuyapika hongera sana
kila la
kheri baby
Asante kwa recipe nzuri sana. Kikombe cha maji ulichotumia ni cha kipimo kipi?
Kikombe size moja tu yakawaida
my kikombe ni kile cha one cup my au kipi
Baking soda ni ipi?
Bicarbonate of soda
Soko ya mabuyu inapatikana wapi
nimejifunza,yanakaa mda gani jiko?ili uweze kuipua
😋😋😋😋
Yangu aikauki pliz
I'm preparing 2kgs today should I double the ingredients?
Yes
Mashallah mi pia hupika kama hivyo
Aww nimefurahi mpenzi kuskia hivyo
Asante kwa hii video. MTU akipeleka kwa maduka modogo madogo labda huwa wanataka kulipwa vipi ndio wakuuzie mabuyu? Ningependa kujaribu hii biashara
Karibu unampatia like kwa kila 100 unampa 20
Nilijaribu four times sasa nimekuwa expert wa mabuyu.. na juzi nilifaulu kuyauza kwa duka moja. Nashkuru sana, God bless you much more!!
Love your content! Naeza pata connection ya mabuyu raw nitumiwe huku bara nianze biashara? Please guide.
Hallo love hapana kwasasa mabuyu ni shida sana maybe time yakiweko dear mengi na pia nisharudi zangu nai
Napenda recipe yako, Haya mabuyu nitapata wapi? Mimi Niko Eldoret. Nielekeze vile nitayapata mabuyu.
Sahizi yana shida love
Asante sana dada kwa nini una weka baiking soda ina sadiya nini
Karibu kulainisha ubuyu na pia kuongeza unga kwa video nimesema
😋
Wah!mate tu....nkirud msa icho ndo kitu cha kwanza.
Io roll ya pakiti ntatoa wap
We uko wapi mpenzi
N7ce
Mbona me haukauki kwa halaka jmn😢😢😢
Want some am in Nairobi
Ya howmuch
@@HadijaSheban unauzaje but ningetaka ya 500
Baking soda inalainisha mabuyu au?
Ndio.nakuomgeza chenga
unafanyaje ili yasivunde??
nili jribu ile receipe ya kwanza na mwishowe unga ulio baki ilikuwa kama 400g yanni mingi sana nilikosea wapi?
Naomba kujua ubuyu wa vipande tafadhali
niupi huo?
Nimependa hiii biashara aky Na soon nitaianzaa
All the best
Hello
hey
Hii roll unapata duka gani mld
Hio roll ya plastic paper inapatikana wapi sis ?
maduka ya wasomali ya wholsale
Nitajaribu😂
okey
Nataka kujiunga mm jameni...napenda kupika ila hua nakosea
Darasa sio la.mabuyu lovee
@@HadijaSheban mm nata ka kujua kupika snaks
Jamani mabuyu yameonekana kama rojo rojo lakini imekauka na kuchambuka!Mimi nafeli wapi maana hayakauki na huganda hayachambuki hivyo. Tunakutafutaje rasmi weka mawasiliano dear
0720581168 ila siko free sana
Jmn namm nmeshndwa chakufanya mabuyu hayajakauka sjui nmekosea wp sjui Shira imeiva mda mrefu sielew yn haukauki ni upo TU nasjawh toa hvo msaada jmn nafanyaje ili urudi kawaida😭
Sukar ya keikei nikipikia hinafaa
Sukari ijaiva vizuri yaani ijakua nzito vizuri
Mimi nilifeli mar 2 dia! Ila jana uwiii niliweza aa usikate tamaa dia jaribu tena na tenaaaa ytawezaa
Na buy mabuyu wapi niko ....makueni county
Duh kwahuko sijui dear
Dada uko wap unisaidie namna ya kupata kalatas hio
Niko Nairobi
Hadija nko malindi pia unga wa mabuyu ntapata wap😢
unga wa mabuyu Naeza pata wapi Nairobi
Huko siwezi juwa but kama una mabuyu bonda tu mabuyu ujitokee unga
thanks nilipata Eastleigh
@@winniemigot7895 Hi love ulipata Eastleigh wapi na Ubuyu zenyewe?
Asalam alaykum dear Vipi ww na mtoto
Waaleykhm mussalam Alhamdullillah hatujambo sijui na ww
Tam kabla haijaisha kutengenedhwa
Niko Nairobi naenza pata mabuyu wapi?
Islii
@@HadijaSheban thanks for the reply
Madam nisaidie wangu haukauki jmn naomben kujuzwa nifanyaje plz yn sna Raha 🙆umerojeka yn Leo sjui nmefeli wap
Hata sielewi umekosea wapi jaribu kuyatandaza mahali kwa sinia ili yapoe mpaka kesho uangalie yasiposhikana basi itabidi ufanye mengine
Amina ♥️🙏🥰 Asantee sana
Skari kilo Moja na robo Kwa ubuyu kilo ngap
yanakaa mda gani jikon?
Pika sukari mpaka iive
km sina unga wa ubuyu je nafanyaje 😊
lazima unga angalia shorts zangu nshafanya jinsi yakupata unga
Niko Malindi daa wapatikana wapi please
Nyanyangu yuko mere
Mummy kama nime changanya shilayang ikiwa motoni aipandi Yan ailet mapov meng
Mimi pia sioni ikiwa na mapovu
inamanisha haijaiva basi
Nilipitia sehem nyingi ila hii ndio iliyonifanya napika ubuyu vzr sasahv hadi siamini kma ni mm asant kwa ujuz
karibu sana unikumbuke kwa dua nzuri
Usijali tupo pamoj
Can you please put the ingredients and the measurements, I dont understand anything that you are saying
Okey next time I will
Miatano ya Kenya Tanzania ni shilingi ngapi?
Nakupenda sana Dada Mungu akubariki sana
Ameen kipenzi
Itagemea na rate dear labda ugoogle
Nakupenda pia dada Neema
Kwasasa n 9000
Yalichikua mda gani kukauka
Like an hour
Huu ndio ubuyu ninaoupenda sasa wenye unga yaani dada hapa biashara tushindwe wenyewe asante sana ♥️
Naitaji viungo nipo mkowani
Samahani siuzi
Jmn unga wa mabuyu una michanga mnisaidie namna ya kuondoa
Umeingiaje michanga?Pole sana kwakweli sina tip labda ujaribu kuchuja
@@HadijaSheban Asantee, unga nimeununua sokoni sikujua Kama unamchanga lkn baada ya kuuweka kwenye mabuyu ni unamchanga balaa, nilitaka nitengeneze ubuyu wa vipande lkn nimeshindwa
Kama mabuyu kilomoja maji kiasigani naunga wa mabuyu kiasi gani
Samhn n kikomb cha rob nd umepimia maji
250ml
Yangu napika bt kukauka yanachukua muda shida ni nn huwa
hakikisha sukari imeiva vizuri sana
inachukua mda gani kukauka
2hr
Nilitumia hii recipe lakini mabuyu yangu hayakuwa na unga hata kidogo sijui kwa nini
Kama umefanya nilivyofanya yanastahili kuwa na unga sukari ukiacha iive sana pia sio sawa
Kama ubuyu wangu haukauki nifanye nn
M/Mungu akutunze dada ❤
Ameen asante sana
Asante sana
Skari kilo Moja na robo Kwa ubuyu kilo ngap