NEW‼️ MABUYU MATAMU SANA YA BIASHARA NA YENYE FAIDA KUBWA SANA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 жов 2024
  • Assalam Alleyhkhum/Hi Lovies
    Asante sana kwa kufika hapa ukitaka video za Biashara ya chakula Link⬇️
    • BIASHARA
    ◼️Ukitaka snacks⬇️
    • Eid Snacks
    ◼️Halfkeki za kila aina⬇️
    • Halfkeki
    ◼️Vyakula vya kiswahili⬇️
    • Ramadhan 2022
    Thanks for stopping by please Subscribe Road to 50K Subs💃💃
    #roadto50k

КОМЕНТАРІ • 211

  • @HadijaSheban
    @HadijaSheban  2 роки тому +13

    Hi Lovies
    Nimesahau kuwambia kipimo cha chumvi weka nusu kijiko cha chai..pia kama wataka mabuyu yakuwasha sana ongeza pilipili manga kama hutaki yakuwasha usiweke..Please Subscribe na pia share na wengine Nawapenda sana watu wangu wanguvu❤️❤️❤️

  • @NuriyaAbukar
    @NuriyaAbukar Місяць тому

    Mashallah tabarakaAllah nakushukuru sana nimejua kupika sahii nafanya zangu biashara yanisaidia mungu atakulipa inshallah nimeona afadhali nirudii kutoa shukurani video zako zanisaidia sana

  • @bossladynaz2213
    @bossladynaz2213 2 роки тому +1

    I tried this today for my business thank you may Allah bless your hustle

    • @HadijaSheban
      @HadijaSheban  2 роки тому

      Allahuma Ameen Darling ❤️❤️❤️

  • @salmaali7080
    @salmaali7080 2 роки тому +2

    Mashaallah Allah akutiliye barka

  • @ziadamyombe2843
    @ziadamyombe2843 2 роки тому +1

    Asante sana dada angu nimepika na umetoka vizuli sana shida hiyo kalatas sijui nitaipata wap🙏🙏🙏🙏🙏

  • @husnaarajab1505
    @husnaarajab1505 10 місяців тому

    . mashaallah nakupenda sna we dada unafunza vizuri sna huna choyo wallah Yani hakuna kitu nimeangalia kwenye recipe zako nikapika kikawa kibaya mungu akupe afya njema furaha na amni ndani ya Moyo wako kwani naami kwamba furaha yako ni yetu pia dada angu mi penda Shana ww

    • @HadijaSheban
      @HadijaSheban  8 місяців тому

      nakupenda pia babyy yees najitahidi sanaa kuleta recipe za uhakika na tunazozihitaji majumbali dua tu muzidishe♥️

  • @aminahismail9022
    @aminahismail9022 2 роки тому +2

    Shukran Sana habbty na dua njema nakuombea Allah akujaalie kila la kher akuepushe na shar zote habbty

  • @aminakassim7741
    @aminakassim7741 2 роки тому +7

    Don't mind the sufuria ,zingatia unachofundishwa...... Ila hadija nimecheeeeka Allah bless you habibty

    • @HadijaSheban
      @HadijaSheban  2 роки тому

      Ameen my love sindio hayo mpenzi..nimefurahi umecheka

  • @fahimahajji3544
    @fahimahajji3544 2 роки тому +2

    Want to try thissssssssss,,,,,Inn shaa Allahh..ManshaAllah dearr pambeee

    • @HadijaSheban
      @HadijaSheban  2 роки тому

      All the best lovie🥰🥰🥰shukran

  • @Salmarajabu-kn4
    @Salmarajabu-kn4 22 дні тому

    Asante dear

  • @angelnatalia600
    @angelnatalia600 Рік тому +1

    Asanteeee sana nmeupenda na nmeangalia mara3 hope sitakosea Leo najarb

    • @HadijaSheban
      @HadijaSheban  Рік тому

      utaweza muhimu tu ukishajiamini umefaulu

  • @kasherikiama412
    @kasherikiama412 2 роки тому +1

    Asante kwa mafunzo..mungu akubariki

    • @HadijaSheban
      @HadijaSheban  2 роки тому

      Karibu kipenzi Ameen mungu atubariki sote

  • @هليلالحضري
    @هليلالحضري 2 роки тому +3

    Nimependa recipe yako masha'Allah Mungu akubariki

  • @waridihusein1794
    @waridihusein1794 2 роки тому +1

    Thanks M/Mungu akubarik

  • @MwanaharusiMustapha
    @MwanaharusiMustapha 4 місяці тому

    M/Mungu akutunze dada ❤

  • @aminamwinyi2455
    @aminamwinyi2455 Рік тому

    Shukran kwa receip naomba uniambie maji natia kiasi gani ntaka kuanza hii biashara yarrabi nifanye wepesi iende

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim8293 2 роки тому +2

    Shukran sister mashallah 🥰🥰🥰🇴🇲🌹

  • @felisternjoroge922
    @felisternjoroge922 2 роки тому +3

    Hae dear, I love your content please how much water should I use kama natengeneza mabuyu mingi

    • @HadijaSheban
      @HadijaSheban  2 роки тому

      Mabuyu ukifanya mchezo unaenda hasra fuata hivi vipimo kama mengi double the amount usichoke thanks

  • @valentinanduku8718
    @valentinanduku8718 2 роки тому +2

    Asante sana nimependa hiyo biashara ya ubuyu

  • @salamaaziz144
    @salamaaziz144 2 роки тому +2

    Aaaaai wewee 😋😋😋MashaAllah TabarakaAllah mumeweza wapenzi thanks kwa ujuzi buyu na unga santa

  • @veronicakanini2996
    @veronicakanini2996 2 роки тому +2

    Kazi nzuri sana mungu akubariki

  • @aishasarab9377
    @aishasarab9377 Рік тому +1

    شكرا حبيبتي عجبني طريقة عمل المابويو ❤❤❤

  • @zainabadam8992
    @zainabadam8992 2 роки тому +4

    Nimekupenda bure dada 🇹🇿

  • @salojaanbaloch
    @salojaanbaloch 2 місяці тому

    Mashallah za look tasty

  • @shariffahassan9399
    @shariffahassan9399 Рік тому

    Assalaamu aleikum dada mashaAllah nmejaribu na nmeweza shukran sanaaa Allah akubarikii

    • @HadijaSheban
      @HadijaSheban  Рік тому +1

      Waaleykhm mussalam my love soo happy for you

  • @abdirashidabdi4126
    @abdirashidabdi4126 2 роки тому +1

    Masha alah good nice

  • @princessmj4004
    @princessmj4004 2 роки тому +3

    Ndo maana I love you walai😍😍😍😘💖... Mungu akubariki🙏🤗

    • @HadijaSheban
      @HadijaSheban  2 роки тому

      Ameen darling i love you tooo usisahau kushare🥰

    • @princessmj4004
      @princessmj4004 2 роки тому

      I already did💖.... Naomba vipimo vya labania za njugu ya biashara...

  • @sarahbuhoma7050
    @sarahbuhoma7050 Рік тому +1

    Nimejaribu na yametoka vzur mm nimefanya mabuyu kilo mbili wateja wameyashambulia Asante

    • @HadijaSheban
      @HadijaSheban  Рік тому

      Awwww karibu sana darling mungu akubariki

  • @shebanishebe7866
    @shebanishebe7866 2 роки тому +1

    Recipe nzuri maa shaa ALLAH

  • @MohammadMahmood-b3o
    @MohammadMahmood-b3o 9 місяців тому

    shukran sana,ila nmepka mabuyu lkn hayakauki, nmkosea wap!

  • @kaonekaashura4024
    @kaonekaashura4024 2 місяці тому

    Naingia kazini kesho inshaallah

  • @aishachande8612
    @aishachande8612 8 місяців тому

    Asante sana🙏🙏

  • @nafisaakberali1700
    @nafisaakberali1700 3 місяці тому

    I made today ,itcame yummy

  • @ibraabuemu9231
    @ibraabuemu9231 Рік тому

    Asante sana

  • @marthamalashishilangila5204
    @marthamalashishilangila5204 5 місяців тому

    Nimeipenda. sana

  • @salamakhamis154
    @salamakhamis154 2 роки тому +2

    Mashallah mbona mm nikipika rangi sipati nyekundu kama hivi sababu ni nini

    • @HadijaSheban
      @HadijaSheban  2 роки тому

      Mpenzi labda rangi unayopata sio nzuri

  • @FaibeSimfukwe
    @FaibeSimfukwe Місяць тому

    Jaman ni lang zp ama ni zile tunazotengenezea kacholi au kuna rang special?

  • @lindaariwo2770
    @lindaariwo2770 2 місяці тому

    ❤❤kwa hiyo umeongeza baking soda mara mbili? Kwenye sufuria na besheni?

  • @hudaahmed9668
    @hudaahmed9668 2 роки тому +3

    Asalaam aleykom w. W
    Hiyo baking soda ulotia kazi yake nini kwenye ubuyu.
    Na ahsanteni Sana kwa mapishi yko mazuri mungu akubarik❤️

    • @HadijaSheban
      @HadijaSheban  2 роки тому

      Waaleykhm mussalam inasaidia kulainisha na kujaza mabuyu yajae unga😋

    • @HalimaMusa-e3k
      @HalimaMusa-e3k 10 місяців тому

      Mashallah mapish Yako mazuri

    • @HalimaMusa-e3k
      @HalimaMusa-e3k 10 місяців тому

      Natajaribu InshaAllah

  • @hawamasita6301
    @hawamasita6301 Рік тому +1

    Habibty I love this receipt ila unaayacha MDA gani ndio yaanze kuachana ndio nifunge

    • @HadijaSheban
      @HadijaSheban  Рік тому

      Asante unayaacha mpaka yashikane like 2hours

  • @zedpineaple7824
    @zedpineaple7824 Рік тому

    Nimependa

  • @shemsanassor-j1e
    @shemsanassor-j1e 8 місяців тому

    shukraan dada nimejaribu yamekua matam mashallah

    • @HadijaSheban
      @HadijaSheban  8 місяців тому

      Nafurah sana kuskia hivyo hongera

    • @shemsanassor-j1e
      @shemsanassor-j1e 8 місяців тому

      hii baking soda inasaidia nn habibty

  • @joycesteven4803
    @joycesteven4803 2 роки тому +1

    Jmn au npike upya sukari iliiva sana sielew ,ninunue ingne maana sielew nisaidie madam

  • @MarryMponzi-r4d
    @MarryMponzi-r4d Рік тому

    Nitajaribu😂 kuyapika hongera sana

  • @joshmaina4662
    @joshmaina4662 Рік тому

    Asante kwa recipe nzuri sana. Kikombe cha maji ulichotumia ni cha kipimo kipi?

  • @kaonekaashura4024
    @kaonekaashura4024 2 місяці тому

    Baking soda ni ipi?

  • @saideloto7489
    @saideloto7489 25 днів тому

    Soko ya mabuyu inapatikana wapi

  • @masomekitwala3758
    @masomekitwala3758 Рік тому

    nimejifunza,yanakaa mda gani jiko?ili uweze kuipua

  • @badawyhaji9288
    @badawyhaji9288 2 роки тому +2

    😋😋😋😋

  • @BOKAYOSARITE
    @BOKAYOSARITE 2 місяці тому

    Yangu aikauki pliz

  • @bossladynaz2213
    @bossladynaz2213 2 роки тому +1

    I'm preparing 2kgs today should I double the ingredients?

  • @biijahamisi7541
    @biijahamisi7541 2 роки тому +1

    Mashallah mi pia hupika kama hivyo

    • @HadijaSheban
      @HadijaSheban  2 роки тому

      Aww nimefurahi mpenzi kuskia hivyo

  • @dorcasndolo302
    @dorcasndolo302 2 роки тому

    Asante kwa hii video. MTU akipeleka kwa maduka modogo madogo labda huwa wanataka kulipwa vipi ndio wakuuzie mabuyu? Ningependa kujaribu hii biashara

    • @HadijaSheban
      @HadijaSheban  2 роки тому +1

      Karibu unampatia like kwa kila 100 unampa 20

    • @dorcasndolo302
      @dorcasndolo302 2 роки тому

      Nilijaribu four times sasa nimekuwa expert wa mabuyu.. na juzi nilifaulu kuyauza kwa duka moja. Nashkuru sana, God bless you much more!!

  • @doriceasiko9723
    @doriceasiko9723 2 роки тому

    Love your content! Naeza pata connection ya mabuyu raw nitumiwe huku bara nianze biashara? Please guide.

    • @HadijaSheban
      @HadijaSheban  2 роки тому

      Hallo love hapana kwasasa mabuyu ni shida sana maybe time yakiweko dear mengi na pia nisharudi zangu nai

  • @puritywanjiru5372
    @puritywanjiru5372 Рік тому +2

    Napenda recipe yako, Haya mabuyu nitapata wapi? Mimi Niko Eldoret. Nielekeze vile nitayapata mabuyu.

  • @mohammedhanif4383
    @mohammedhanif4383 2 роки тому

    Asante sana dada kwa nini una weka baiking soda ina sadiya nini

    • @HadijaSheban
      @HadijaSheban  2 роки тому

      Karibu kulainisha ubuyu na pia kuongeza unga kwa video nimesema

  • @fardahhassanially7033
    @fardahhassanially7033 2 роки тому +1

    😋

  • @dorothyfondo2703
    @dorothyfondo2703 2 роки тому

    Wah!mate tu....nkirud msa icho ndo kitu cha kwanza.
    Io roll ya pakiti ntatoa wap

  • @salmakadernani2295
    @salmakadernani2295 2 роки тому

    N7ce

  • @DorcasRaphael-tm7of
    @DorcasRaphael-tm7of Рік тому

    Mbona me haukauki kwa halaka jmn😢😢😢

  • @mishimwinyi3
    @mishimwinyi3 Рік тому +1

    Want some am in Nairobi

  • @goldknows167
    @goldknows167 2 роки тому +1

    Baking soda inalainisha mabuyu au?

  • @JudithMinja-q1h
    @JudithMinja-q1h 2 місяці тому

    unafanyaje ili yasivunde??

  • @carolineowino5091
    @carolineowino5091 7 годин тому

    nili jribu ile receipe ya kwanza na mwishowe unga ulio baki ilikuwa kama 400g yanni mingi sana nilikosea wapi?

  • @munirakombo3503
    @munirakombo3503 11 місяців тому

    Naomba kujua ubuyu wa vipande tafadhali

  • @johnkenga187
    @johnkenga187 2 роки тому

    Nimependa hiii biashara aky Na soon nitaianzaa

  • @nafisaakberali1700
    @nafisaakberali1700 3 місяці тому

    Hello

  • @alisymwadime6852
    @alisymwadime6852 Місяць тому

    Hii roll unapata duka gani mld

  • @thehabiba2697
    @thehabiba2697 3 місяці тому

    Hio roll ya plastic paper inapatikana wapi sis ?

    • @HadijaSheban
      @HadijaSheban  2 місяці тому

      maduka ya wasomali ya wholsale

  • @MarryMponzi-r4d
    @MarryMponzi-r4d Рік тому

    Nitajaribu😂

  • @rizzy4604
    @rizzy4604 2 роки тому

    Nataka kujiunga mm jameni...napenda kupika ila hua nakosea

    • @HadijaSheban
      @HadijaSheban  2 роки тому

      Darasa sio la.mabuyu lovee

    • @rizzy4604
      @rizzy4604 2 роки тому

      @@HadijaSheban mm nata ka kujua kupika snaks

  • @christinammasy4115
    @christinammasy4115 2 роки тому +5

    Jamani mabuyu yameonekana kama rojo rojo lakini imekauka na kuchambuka!Mimi nafeli wapi maana hayakauki na huganda hayachambuki hivyo. Tunakutafutaje rasmi weka mawasiliano dear

    • @HadijaSheban
      @HadijaSheban  2 роки тому

      0720581168 ila siko free sana

    • @joycesteven4803
      @joycesteven4803 2 роки тому

      Jmn namm nmeshndwa chakufanya mabuyu hayajakauka sjui nmekosea wp sjui Shira imeiva mda mrefu sielew yn haukauki ni upo TU nasjawh toa hvo msaada jmn nafanyaje ili urudi kawaida😭

    • @SmilingBinaryCode-zr6yu
      @SmilingBinaryCode-zr6yu 9 місяців тому

      Sukar ya keikei nikipikia hinafaa

    • @halimaado8685
      @halimaado8685 5 місяців тому

      Sukari ijaiva vizuri yaani ijakua nzito vizuri

    • @SHILECKIZACHARIA
      @SHILECKIZACHARIA 3 місяці тому

      Mimi nilifeli mar 2 dia! Ila jana uwiii niliweza aa usikate tamaa dia jaribu tena na tenaaaa ytawezaa

  • @kavita1550
    @kavita1550 Рік тому

    Na buy mabuyu wapi niko ....makueni county

  • @beckahekimambogela4838
    @beckahekimambogela4838 Рік тому

    Dada uko wap unisaidie namna ya kupata kalatas hio

  • @FarhaSwaleh
    @FarhaSwaleh Рік тому

    Hadija nko malindi pia unga wa mabuyu ntapata wap😢

  • @winniemigot7895
    @winniemigot7895 2 роки тому +1

    unga wa mabuyu Naeza pata wapi Nairobi

    • @HadijaSheban
      @HadijaSheban  2 роки тому

      Huko siwezi juwa but kama una mabuyu bonda tu mabuyu ujitokee unga

    • @winniemigot7895
      @winniemigot7895 2 роки тому

      thanks nilipata Eastleigh

    • @lovineachieng7835
      @lovineachieng7835 Рік тому

      ​@@winniemigot7895 Hi love ulipata Eastleigh wapi na Ubuyu zenyewe?

  • @qmaalim1687
    @qmaalim1687 2 роки тому +1

    Asalam alaykum dear Vipi ww na mtoto

    • @HadijaSheban
      @HadijaSheban  2 роки тому

      Waaleykhm mussalam Alhamdullillah hatujambo sijui na ww

  • @fardahhassanially7033
    @fardahhassanially7033 2 роки тому

    Tam kabla haijaisha kutengenedhwa

  • @gladyspeter5362
    @gladyspeter5362 2 дні тому

    Niko Nairobi naenza pata mabuyu wapi?

  • @joycesteven4803
    @joycesteven4803 2 роки тому

    Madam nisaidie wangu haukauki jmn naomben kujuzwa nifanyaje plz yn sna Raha 🙆umerojeka yn Leo sjui nmefeli wap

    • @HadijaSheban
      @HadijaSheban  2 роки тому

      Hata sielewi umekosea wapi jaribu kuyatandaza mahali kwa sinia ili yapoe mpaka kesho uangalie yasiposhikana basi itabidi ufanye mengine

    • @joycesteven4803
      @joycesteven4803 2 роки тому

      Amina ♥️🙏🥰 Asantee sana

  • @MwashambaVuaiSaleh
    @MwashambaVuaiSaleh 11 місяців тому

    Skari kilo Moja na robo Kwa ubuyu kilo ngap

  • @masomekitwala3758
    @masomekitwala3758 Рік тому

    yanakaa mda gani jikon?

  • @lilahamadi9659
    @lilahamadi9659 10 місяців тому

    km sina unga wa ubuyu je nafanyaje 😊

    • @HadijaSheban
      @HadijaSheban  8 місяців тому

      lazima unga angalia shorts zangu nshafanya jinsi yakupata unga

  • @liliankarembo6736
    @liliankarembo6736 Рік тому

    Niko Malindi daa wapatikana wapi please

  • @SalomeSiwila-mm1yo
    @SalomeSiwila-mm1yo 5 місяців тому

    Mummy kama nime changanya shilayang ikiwa motoni aipandi Yan ailet mapov meng

  • @zaharangalima7599
    @zaharangalima7599 9 місяців тому

    Nilipitia sehem nyingi ila hii ndio iliyonifanya napika ubuyu vzr sasahv hadi siamini kma ni mm asant kwa ujuz

  • @definningmoments7751
    @definningmoments7751 Рік тому

    Can you please put the ingredients and the measurements, I dont understand anything that you are saying

  • @seifjuma3471
    @seifjuma3471 2 роки тому

    Miatano ya Kenya Tanzania ni shilingi ngapi?

  • @murabuchizi1306
    @murabuchizi1306 2 роки тому +1

    Yalichikua mda gani kukauka

    • @HadijaSheban
      @HadijaSheban  2 роки тому

      Like an hour

    • @epifaniashayo6162
      @epifaniashayo6162 Рік тому

      Huu ndio ubuyu ninaoupenda sasa wenye unga yaani dada hapa biashara tushindwe wenyewe asante sana ♥️

  • @ndegeapetro
    @ndegeapetro Рік тому

    Naitaji viungo nipo mkowani

  • @luciacostantine1714
    @luciacostantine1714 2 роки тому

    Jmn unga wa mabuyu una michanga mnisaidie namna ya kuondoa

    • @HadijaSheban
      @HadijaSheban  2 роки тому

      Umeingiaje michanga?Pole sana kwakweli sina tip labda ujaribu kuchuja

    • @luciacostantine1714
      @luciacostantine1714 2 роки тому

      @@HadijaSheban Asantee, unga nimeununua sokoni sikujua Kama unamchanga lkn baada ya kuuweka kwenye mabuyu ni unamchanga balaa, nilitaka nitengeneze ubuyu wa vipande lkn nimeshindwa

  • @SalhaAmiri-wj4bm
    @SalhaAmiri-wj4bm 2 місяці тому

    Kama mabuyu kilomoja maji kiasigani naunga wa mabuyu kiasi gani

  • @RahmaMwakatalima
    @RahmaMwakatalima 4 місяці тому

    Samhn n kikomb cha rob nd umepimia maji

  • @FatumaRamadhan-j6y
    @FatumaRamadhan-j6y 3 місяці тому

    Yangu napika bt kukauka yanachukua muda shida ni nn huwa

    • @HadijaSheban
      @HadijaSheban  2 місяці тому

      hakikisha sukari imeiva vizuri sana

  • @NaphyWyne
    @NaphyWyne 11 місяців тому

    inachukua mda gani kukauka

  • @murabuchizi1306
    @murabuchizi1306 2 роки тому

    Nilitumia hii recipe lakini mabuyu yangu hayakuwa na unga hata kidogo sijui kwa nini

    • @HadijaSheban
      @HadijaSheban  2 роки тому

      Kama umefanya nilivyofanya yanastahili kuwa na unga sukari ukiacha iive sana pia sio sawa

  • @oliverlyaruu4732
    @oliverlyaruu4732 6 місяців тому

    Kama ubuyu wangu haukauki nifanye nn

  • @MwanaharusiMustapha
    @MwanaharusiMustapha 4 місяці тому

    M/Mungu akutunze dada ❤

  • @HalimaKhalidi-f4u
    @HalimaKhalidi-f4u 2 місяці тому

    Asante sana

  • @MwashambaVuaiSaleh
    @MwashambaVuaiSaleh 11 місяців тому

    Skari kilo Moja na robo Kwa ubuyu kilo ngap